The Sacred City - Swahili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 дек 2021
  • Kugundua mahali halisi kulikozaliwa Uisilamu
    The Sacred City dubbed into Swahili. The Sacred City is a 90 minute documentary film on the origins of Islam.
    Join the discussion! To interact with Dan about this video, please visit nabataea.net/cinema/sacredcit...
    Dan’s latest book Let the Stones Speak: Archaeology Challenges Islam is available as a free PDF, or as a hardcover for purchase here: nabataea.net/shop/history/let...

Комментарии • 16

  • @servantofjesuschrist839
    @servantofjesuschrist839 Год назад

    kweli kweli hii ni ushahidi wa kweli

  • @karthikm5928
    @karthikm5928 2 года назад +1

    I hope you are doing well, Dan!

  • @sylvelunga2166
    @sylvelunga2166 2 года назад +1

    ...inafikirisha sana hii.... Kuna ushahidi wa kutosha hapo...

  • @babbuvishwakarma8368
    @babbuvishwakarma8368 2 года назад +1

    ♥️👍

  • @sheikhboyardee556
    @sheikhboyardee556 2 года назад

    Not sure how I missed this a few weeks ago. I have been waiting for Dan Gibson to post something for some time.

  • @louie6608
    @louie6608 2 года назад

    Criss Cross Adventures RUclips Show would love to colab

  • @salamuahmadov6588
    @salamuahmadov6588 2 года назад +1

    Надо перевести на русский,Мы незнаемь Английский язык,

  • @mohassan1978
    @mohassan1978 Год назад

    Gibson na wenzako mlioshirikiana kutengeneza video hii acheni kupotosha watu na kusema uongo. Makkah sio petra wala haipo jordan km mnavyodai. Wala waislamu hawajawahi kuswali kuelekea petra huko jordan,
    Makkah ipo saudi arabia na ushahidi ni km ifuatavyo
    1. Makkah ilikuwa ni njia ya biashzra kutoka yemen ya kale tofauti na unavyodai. Misafara ya biashara ilitoka na ubani udi na manukato yemen ikapitia makkah medina syria hadi rome ya kale
    2. Mtume muhammad sawalizaliwa makkah saudi arabia na sio jordan. Upande wa wazaziwaje aa k8ke ni mji wa taif ambao upo saud8 arabia kama kilomota 80 kutoka makkah ambako alikimbilia baada ya watu wa makkah kumpinga,
    3. Taif ipo michoro ya majabalini iliyochorwa enzi za kale kuonesha kuwa kulikuwa na mtume muhammad saw na alitangaza uislamu. Taif ni mbali sana na petra.
    4. Mzkkah kuna alqaaba iliyoasisiwa na nabii ibrahim abmapo petra haipo. Alqaaba hiyo ilitaka kuvu jwa na mtu akiitwa abraha akitokea yemen ne jeshi la tembo mwaka aliozaliwa mtume saw. Ingekuwa makkah ni petra tembo hao wasingefika kwa njaa na kiu kwa kuwani mbali na jangwani.
    5. Waislamu kabla ya hijra ya madina walihama kutoka makkah kuelekea abysinia ambayo sasa ni ethiopia. Safari hiyo ilikuwa docume ted na haikuwa kutoka jordan au petra bali makkah ya saudi arabia.
    6, makkah upo ushahidi wa maeneo yalipokuwepo majengo km nyumba ya mtume, masahabs km abubakar omar abu sufian nk na makFiri km abu jahal. Petra hskunA maeneo hayo wala taarifa za makaazi yao.
    7. Pango la hira lipo makkah hadi leo na sio suala la hadithi hivyo kupanga simulizi kuwa lipo petra ni uongo.
    8 waarabu hawakuwa wakijenga nyumba zao kwa mawe km jamii nyengine bali kwa mahema au tope hivyo kutafuta kuona mabaki ya majengo ya kale km misri au jordan sio kigezo kuwa makkah haikuwz mji. Mahema yalitengenezwz kwa ngozi ambayo haiwezi kudumu muda mrefu.
    9. Ktk filamu yako yote hujaonesha jufika makkah wala saudi arabia bali nchi nyengine za jordan china syria nk ni jambo la ajabu. Wala hujaonana na taadisi za historiaza saudi arabia kupata maelezo yalo. Umeshirikiana na mpotofu mwenzio kutoka kuwait ambae hana uchambuzi zaidi ni kukubali unachosema ww
    10. Kuhama. Mtume makkah kwenda madina kulirekodiwa hadi njia aliyopitia na vijiji alivyopitia na hadi leo rekodi zipo. Haikuwa petra km unavyodai.
    Shukran

  • @wiseguy2287
    @wiseguy2287 2 года назад

    Greetings Mr. Dan, how can I communicate with you, I have information about a very old mosque, the qibla of this mosque is directed towards Petra until now, and this mosque is still entered by many worshipers and prayer is held there until today, and it is located in the city in which I was born and live

    • @salmanhossin
      @salmanhossin 2 года назад

      Which country is this and the name of the mosque? Can you show us evidence???