DAKIKA 7 ZA NGUVU WANAJESHI WAKIONYESHA JINSI WALIVYO 'FIT' KUPAMBANA "KAA MBALI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 177

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 2 года назад +41

    Ivi Kuna kma Mimi walio tamani jeshi na halafu wakajikuta kwenye kazi ambazo ata kuziwaza hawajaziwaza kwenye maisha yao duuuuuuu kweli allha ndo mpangaji Kila kitu nilitamani Sana nami kufata mlio wa bunduki nisio juwa wapi unatokea ila pambanene wanajeshi wetu tupo pamoja watakao jipendekeza tunafanya tu kma ukrein

    • @mamakoku5123
      @mamakoku5123 2 года назад

      🤾🏋️🏃🎂🍽️

    • @wasehuncho3460
      @wasehuncho3460 2 года назад +2

      Tulia dogo😂piga rangi na tengeneza mafeni

    • @ameirdarueshi2593
      @ameirdarueshi2593 2 года назад

      @@wasehuncho3460 kkkkkkkkkkkk nipo baharini Kaka navua papa na changuu tuuuu

    • @ibrahimgreyson7829
      @ibrahimgreyson7829 2 года назад

      Nimekuwa muuza gari namgambo nilikimbia ili niingie njeshi lakini wap

    • @mwinamimrpfamily4240
      @mwinamimrpfamily4240 2 года назад

      tupo wengi tu

  • @salumkisengo7989
    @salumkisengo7989 2 года назад +2

    Asante viongozi jeshi tanzania tunaro, vijana wanapambana kwajili yanchiyao, walim wajeshi ongeleni sanaa mnafundisha vizuli, mungu awape afyanjema walim wote wajeshiletu tanzania.

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Год назад +2

    Asante sana Jeshi letu kwa huduma yetu, tunawapenda sana. Nyie ni wazalendo wa kweli kuliko awa wanasiasa wanaotuibia na kujaza matumbo yao

  • @nikodemkajange3257
    @nikodemkajange3257 Год назад +2

    Mungu Ibariki Tanzania...Mungu Ibariki Afrika iwe na amani daimaaa..🇹🇿🇹🇿 sisi vijana tuwe na uzalendo wa kulinda na kutetea maslahi ya Taifa

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Tunashukulu sana kwakujitoa kwenu ulinzi wenu umekuwa mkubwa kwenye mipaka yetu Mungu awabarki

  • @zakwetuartsdecor9815
    @zakwetuartsdecor9815 Год назад +2

    Safi sana jeshi letu. Natamani pia watuoneshe matumizi ya vifaa vya teknolojia katika ulinzi wa taifa letu. Matumizi ya "remote sensing", GPS, surveillance n.k. Dunia ya sasa imebadilika sana, mtu anaweza hata awe hajui karate na bado akakuangamiza kirahisi kwa kutumia teknolojia tu.

  • @fathiyakikolo7475
    @fathiyakikolo7475 Год назад +1

    Mwenyez mungu awatunze wanajeshi watu kwa kila hali amiiiiiin🤲🏻🤲🏻big up kwao wanapambana sanaaa had raha ✊👊🏿

  • @mohamedmangala1370
    @mohamedmangala1370 2 года назад +2

    Dah hongereni wanangu
    Waaay to goo......

  • @kilambeumsuya1942
    @kilambeumsuya1942 Год назад +1

    kazi nzuri

  • @bonefacejoseph4850
    @bonefacejoseph4850 2 года назад +6

    Tunashukuru kwa ulinzi wenu ndan na inje ya mipaka yetu

  • @greysonmbembelakarateka5842
    @greysonmbembelakarateka5842 2 года назад +1

    Big up sana,mmejitahidi sana hiyo ndio combat karate haswaa........Msichoke kujifunza hata mtakapo tawanyika hapo,

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson2362 2 года назад +1

    🙏 God bless 🇹🇿

  • @MariamGidion-ht9pz
    @MariamGidion-ht9pz Год назад

    Hongereni vijana kwanguvu mzotumia

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 года назад +1

    Gooooooood. Vijana wng

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 года назад +15

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 🙏🥰🥰mungu warinde wanajesh wetu 🙏

  • @lakaspamedia
    @lakaspamedia Год назад +1

    Tamu sana

  • @eliasmwansule7244
    @eliasmwansule7244 Год назад +1

    Mungu ibaliki Tanzania yetu na wanajesh wetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @alvinekent8846
    @alvinekent8846 Год назад

    Kasaidieni wenzenu wa Afrika mashariki kupigana na waalifu huko congo, ndio wajue ubabe wenyu uko wapi hizi mwaonyesha ni sinema tuu! Kwanza Jeshi la Tanzania limekawia vita tangu enzi za iddi Amin, Experience imeisha sababu waliopigana ni wazee sasa, na vita vya kisasa vilivyobadilika mtaumia sana iwapo kutatokea vita kuu. Sio madharau maana naheshimu jeshi ila experience ya kisasa kupata ni muhimu sana

  • @abasishabani1151
    @abasishabani1151 2 года назад +1

    Kumamake napenda jeshi vibaya Sana lakini nimeangukia kusomea ualimu na ajira sina daaaaaaah roho inaniuma nikiangalia mzee aliwahi fia kweli mambo ya medali huko nikiona hii kitu moyo unawaka moto mzee wangu angekuaa hai angenisaidia na mm nitimize ndoto yangu niwe kama yeye R I.P ulipambana Sana mwanajeshi wangu mwanao naumia roho ndoto sijaitimiza

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 2 года назад +1

    Ningelikuwa Mimi ndiyo mkuu wa majeshi Tanzania... Ningeliwapeleka hawa jamaa wakasafishe panya load. Ningelienda kila kambi nachukua wahitimu wote, halafu nawaweka kila nyumba miamba mitatu bila kujua mtu yeyote... Halafu walijelete filimbi ipulizwe... Mbona Panya load wanaisha

    • @ramadhanirashidi3401
      @ramadhanirashidi3401 Год назад

      Kwa muktadha upi ulioufikiria kila kazi inataaluma ujuzi na weledi wake ndio maana ukaona kunavitengo vingi vya kiusalama nchini

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 года назад

    Aiseeee good fighting wako vizuri waingieee mtaaniiii watupigie mapigo kipigo cha mbwa koko kwa mapanya road mtaani wanaosumbua wananchi

  • @wafulaerick6473
    @wafulaerick6473 2 года назад +2

    , mungu alinde jeshi yetu amen

  • @cassamomussamussa
    @cassamomussamussa Год назад

    Ninguém penda kufanhia mafuzo ya jeshi Tanzânia❤❤❤❤❤❤

  • @goodadamu9303
    @goodadamu9303 Год назад

    Nakubali Sana nduguzangu mugu awabaliki

  • @fredsonjaphet
    @fredsonjaphet 10 месяцев назад

    Yn Kwa kata hizo , wakajifunze pale ukonga magereza, vinginevyo wale jamaa wa magereza ndo waitwe makomandoo wa hii nchi.

  • @shabanmatuga9687
    @shabanmatuga9687 Год назад

    Mimi naipenda kazi ya jeshi

  • @ausipema5588
    @ausipema5588 Год назад

    Jwtz Watu wake wako fresh isipokuwa air Force mig21 zibadilishwe ni long time

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Год назад

    Acheni ubongo movie..! Askari maalum wanafanya mazoezi ya sanaa za mapigano kila siku na wanazijua sanaa zao. askari wa vikosi maalum wengi wao wamefuzu mikanda myeusi katika fani mbalimbali kulingana na umahiri wao au military specialization! Nyie askari wa kawaida acheni kucheza sinema. kama mnataka kujua haya mambo jiungeni na mafunzo ya askari maalum! Inatia aibu jinsi mnavyopenda kucheza sinema wakati askari maalum wenyewe ni walio fuzu wayafanyayo? Siku hizi askri magereza nao wanjifanya special forces pia? Acheni udwanzi. kama wwewe ni askari bwana shamba baki kuwa bwana shamba.. mpaka ujifunze mambo ya wanaume. Ucheni uzwazwa!

  • @vdjcarlder847
    @vdjcarlder847 Год назад

    am alway very interested

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 года назад +1

    Dah jeshi kazi ya kiume lakin kama huna jamaa alokua ana vyeo hupati wanapelekwa watoto Mchelele tu Sisi makomandoo tulojitolea kwa kila kitu na vyeti tunavyo tupo mtaani

  • @mwanaishamghwai5181
    @mwanaishamghwai5181 Год назад

    Well done

  • @hosea4703
    @hosea4703 Год назад

    Nimefurahi sana kuona hvyo

  • @edwardmenawezkuzamakwadaki4825

    Napenda xana jexh

  • @shedracdamas1240
    @shedracdamas1240 2 года назад

    Nimekubali jeshi langu

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 года назад +2

    Wakitoka hapo hasira zao zotr wanakuja zitoa kwa raia wema

  • @kichelekichele8682
    @kichelekichele8682 Год назад

    Duuh kaz nzur katik jesh letu

  • @kimanzikathina002
    @kimanzikathina002 Год назад

    Hiii bhang kweli

  • @stevenlazaro9176
    @stevenlazaro9176 2 года назад +1

    Jamaa wa mwisho aliyetumiw panga anazingua sijamwelewa kwa upande wa miguu

    • @ahmadisaid7318
      @ahmadisaid7318 Год назад

      Hao bado sana alafu wasipende kujionesha wakike watazaraulika

    • @ahmadisaid7318
      @ahmadisaid7318 Год назад

      Sor wasipende kujionesha au kuonesha uwezo wao hazarani watazarauliwa na watu wa kawaida na hata maadui

    • @silivestatesha9262
      @silivestatesha9262 Год назад

      Waendehapo Ukraine 🇺🇦 neno

  • @morriszkivuva2569
    @morriszkivuva2569 Год назад

    Sarakasi tu ! Wakuje drc congo

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Год назад +3

    Hongereni but lmao that round kick though 😁😁

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy Год назад

      Ni demonstrations hawezi kufanya kwa useriousness mkubwa sije akamumiza mwenzake bahati mbaya

  • @heneryofficial638
    @heneryofficial638 2 года назад

    Amna kituu mmeshindwa kupiga #adf congo

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 Год назад

      Kwa sheria za UN, huendi kupigana bali unazuia waasi wasisogee makazi ya watu. Kwa sehemu unaruhusiwa kuwarudisha nyuma adui so kule hauendi kupigana ila una zuia mapigano. Ni kazi kuelewa kama ni kilaza.

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Год назад

    Safi Sana gd

  • @holytv.
    @holytv. 2 года назад +4

    When we talk about millitary is something very unique when it comes to national defence

  • @amosjuma4536
    @amosjuma4536 2 года назад +1

    Mimi kwenye gumi Niko sawa nikipata mazoezi ata mwezi mmoja nitakuwa siteligi

  • @bonefacejoseph4850
    @bonefacejoseph4850 2 года назад +1

    Nimependa wako vizuri sana

  • @frankjackson9016
    @frankjackson9016 2 года назад

    Dadeki zangu kazi naipenda hii Hadi bc

  • @ezekielsabiyumva8048
    @ezekielsabiyumva8048 Год назад

    Kusema ukweli hilijeshi nikakamavu ila linahitaji mazoezi zaidi kwenye upande wa ngumi

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 Год назад

    Hongereni ila kumite sio serious fighting bado mna kazi ya ziada na kiada

  • @topevents4400
    @topevents4400 Год назад

    Wanarukaruka halafu technology ya kisasa hawana, hawawezi kutoboa uwanja wa vita

  • @IsackaMussa-el3ii
    @IsackaMussa-el3ii 6 месяцев назад

    Aisee Hao makomando hatali Sana

  • @harizonkiplangat-nl8sm
    @harizonkiplangat-nl8sm Год назад

    Ni mbaya sana

  • @ahnafabdallah9433
    @ahnafabdallah9433 Год назад

    Kawaida sana

  • @josephlucas5798
    @josephlucas5798 Год назад +1

    Bado sana

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 года назад +1

    Naitwa dudu qweba kwa kuzuia panga ivo njoo sasa ivi

  • @jjmutenteria914
    @jjmutenteria914 Год назад

    😅😅😅bravo! bt why! hv u seen in a war anywhere they use physically. out here is gun n bombs drone reaper, is to much to handle it doesn't miss target. Thanks for showing old ways & it good to keep body fitness. Bt battle field u need equipment n keep u a eyes on price one mistake copper Will take u a breath away. u a enemy has no time to throw kicks n brows!!!

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 2 года назад +1

    ,😄😄😄 haya bana wajeshii tunawakubali

  • @IssaTarazo-ct9mi
    @IssaTarazo-ct9mi Год назад

    Kazkazi

  • @saidmasengo7988
    @saidmasengo7988 2 года назад

    Sijaona kitu zaidi ya Vipara tu!!!!!
    Vita ya kitechnolojia Ni kubwa ulimwenguni kuliko kelele zetu!!!
    Wakija wenzetu tunatafunwa Kama sisimizi!!!!

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine7317 2 года назад +1

    Good Job👍

  • @obedpetromasunga7040
    @obedpetromasunga7040 Год назад

    Vijana mmemaliza hongereni intake 41...aaaiiii morali

  • @veeJesus
    @veeJesus 2 года назад +3

    Naona mtu amebeba dunia pale 😂😂

  • @Jethro-Tony
    @Jethro-Tony Год назад

    Dawa

  • @mariamubakari7233
    @mariamubakari7233 Год назад

    Evl

  • @AyubMugo-ze5ye
    @AyubMugo-ze5ye Год назад

    Nice fight

  • @MussaAliHaji
    @MussaAliHaji Год назад

    mwanaume!!!jeshiiii!

  • @bilalisalim360
    @bilalisalim360 Год назад

    Tunawataka DRC wakajoin KDF QRF

  • @khamissiali2231
    @khamissiali2231 2 года назад +1

    Bado sana !! 💪💪

  • @magaritanzania6540
    @magaritanzania6540 2 года назад

    TPDF🔥🔥🔥🔥

  • @kaludrizz8590
    @kaludrizz8590 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Год назад

    Hawa Ni Komakondoo????

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 2 года назад +1

    Bado sana kwa ngumi izi tutaweza kumpiga mrusi kweli

  • @CaptainNgogo
    @CaptainNgogo 2 месяца назад

    Asee kwa vitasa bado saana itabid waje kitaa wajifue upyaaa😅

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +2

    ruclips.net/video/8eldozAUlJA/видео.html
    DAWA KUACHISHA MTU POMBE NA UZINIFU *#
    ruclips.net/video/8eldozAUlJA/видео.html

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Год назад

    daaaaah Hawa watu sio Mchezo hakika 😢😢😢😢😢

  • @jabalaoproductions
    @jabalaoproductions 7 месяцев назад

    Hawa naweza wachanganya na niwapige vibaya sana...😂😂😂

  • @toastresskiwanja221
    @toastresskiwanja221 Год назад

    Wananikosha hao wanogeshaji wanaopga pushup na sarakasi,nmefurahi sna😁😁

  • @danielimusa7601
    @danielimusa7601 Год назад

    Yani ndyo mmeitimu alafu mnaweka mnaonesha tungumi twakitoto ivo.???? Hamna kitu hapo.

  • @jenskingmatinde
    @jenskingmatinde Год назад

    Aki natamani jeshi

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Kwa hiyo mnatufundisha kupigana sio kufanya kaziii

  • @petromafuru9567
    @petromafuru9567 Год назад +1

    AWA ATA MM NAPAMBANA NAWA😂😂😂

  • @johnmasha7851
    @johnmasha7851 Год назад +1

    They have along way to go🤣🤣hii ni vitimbi

  • @castoagust7073
    @castoagust7073 2 года назад +1

    Bado wazito Sana train more

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 года назад

    Panya lod wakiona haya mazoezi vp kina kitu wanafikilia et au bas

  • @kanikionlineTV
    @kanikionlineTV 2 года назад +1

    ruclips.net/video/08m7HmMurUo/видео.html
    Huyu ni Godfrey, baba yake alimuacha toka akiwa mdogo ahitaji msaada wako wa kifedha ili aweze kutibiwa katika hospital ya MUHIMBILI
    mama yake oliver ameeleza changamoto nyingi ambazo zinazomkumba toka aachiwe Godfrey

  • @geraldbajile7564
    @geraldbajile7564 Год назад

    Vijana wameiva had wameungulia

  • @JerubaalXerxes
    @JerubaalXerxes Год назад

    Hiyo fencing hapo mwisho.... imekaa kama ya britain.

  • @robbywingle3323
    @robbywingle3323 Год назад

    Maigizo ayo

  • @AngelRemmy-w3d
    @AngelRemmy-w3d Год назад

    nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanajeshi daaaaaa wachawi sio watu wazuri kila kitu nilikamilisha dakika ya mwisho kwenda kambini ndio ndoto yangu ilivyo kufa peke yangu nimerudishwa nimeambiwa mm msomali sio mtanzania daaaaa hapa nipo njiani kuelikea mogadishu kuwa mjeda

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 2 года назад

    Vijana wa kike Mbona siwaoni?

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Год назад

    Ndio watailinda mipaka ya nchi na tutakuwa salama .Vipi tutakuwa salama kwa wezi wa mali ya umma?

  • @KhubeybJandaal-uz4oo
    @KhubeybJandaal-uz4oo Год назад

    Maboya tu

  • @mariamubakari7233
    @mariamubakari7233 Год назад

    Hakiyangu

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 2 года назад

    Mazoezi mepesi ya kipemba hayo

  • @patricknilahi8247
    @patricknilahi8247 Год назад

    Ngome

  • @hanafitotoya7762
    @hanafitotoya7762 Год назад

    Siowewetu namimipia

  • @rajahamy9700
    @rajahamy9700 2 года назад

    Naptia comment tu hapa...

  • @dismasshija7584
    @dismasshija7584 2 года назад +2

    Hahaha sijaona hapo tofauti nakusikia kelele tu

  • @Cheffhood
    @Cheffhood Год назад

    Sisi waafrika ni watu jinga sana
    ruclips.net/video/b8aSug9KAtU/видео.html

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 2 года назад

    Sijui niseme au basi

  • @daisondamiani2895
    @daisondamiani2895 Год назад

    😀😀😀😀😀