Ivi Kuna kma Mimi walio tamani jeshi na halafu wakajikuta kwenye kazi ambazo ata kuziwaza hawajaziwaza kwenye maisha yao duuuuuuu kweli allha ndo mpangaji Kila kitu nilitamani Sana nami kufata mlio wa bunduki nisio juwa wapi unatokea ila pambanene wanajeshi wetu tupo pamoja watakao jipendekeza tunafanya tu kma ukrein
Asante viongozi jeshi tanzania tunaro, vijana wanapambana kwajili yanchiyao, walim wajeshi ongeleni sanaa mnafundisha vizuli, mungu awape afyanjema walim wote wajeshiletu tanzania.
Safi sana jeshi letu. Natamani pia watuoneshe matumizi ya vifaa vya teknolojia katika ulinzi wa taifa letu. Matumizi ya "remote sensing", GPS, surveillance n.k. Dunia ya sasa imebadilika sana, mtu anaweza hata awe hajui karate na bado akakuangamiza kirahisi kwa kutumia teknolojia tu.
Kasaidieni wenzenu wa Afrika mashariki kupigana na waalifu huko congo, ndio wajue ubabe wenyu uko wapi hizi mwaonyesha ni sinema tuu! Kwanza Jeshi la Tanzania limekawia vita tangu enzi za iddi Amin, Experience imeisha sababu waliopigana ni wazee sasa, na vita vya kisasa vilivyobadilika mtaumia sana iwapo kutatokea vita kuu. Sio madharau maana naheshimu jeshi ila experience ya kisasa kupata ni muhimu sana
Kumamake napenda jeshi vibaya Sana lakini nimeangukia kusomea ualimu na ajira sina daaaaaaah roho inaniuma nikiangalia mzee aliwahi fia kweli mambo ya medali huko nikiona hii kitu moyo unawaka moto mzee wangu angekuaa hai angenisaidia na mm nitimize ndoto yangu niwe kama yeye R I.P ulipambana Sana mwanajeshi wangu mwanao naumia roho ndoto sijaitimiza
Ningelikuwa Mimi ndiyo mkuu wa majeshi Tanzania... Ningeliwapeleka hawa jamaa wakasafishe panya load. Ningelienda kila kambi nachukua wahitimu wote, halafu nawaweka kila nyumba miamba mitatu bila kujua mtu yeyote... Halafu walijelete filimbi ipulizwe... Mbona Panya load wanaisha
Acheni ubongo movie..! Askari maalum wanafanya mazoezi ya sanaa za mapigano kila siku na wanazijua sanaa zao. askari wa vikosi maalum wengi wao wamefuzu mikanda myeusi katika fani mbalimbali kulingana na umahiri wao au military specialization! Nyie askari wa kawaida acheni kucheza sinema. kama mnataka kujua haya mambo jiungeni na mafunzo ya askari maalum! Inatia aibu jinsi mnavyopenda kucheza sinema wakati askari maalum wenyewe ni walio fuzu wayafanyayo? Siku hizi askri magereza nao wanjifanya special forces pia? Acheni udwanzi. kama wwewe ni askari bwana shamba baki kuwa bwana shamba.. mpaka ujifunze mambo ya wanaume. Ucheni uzwazwa!
Dah jeshi kazi ya kiume lakin kama huna jamaa alokua ana vyeo hupati wanapelekwa watoto Mchelele tu Sisi makomandoo tulojitolea kwa kila kitu na vyeti tunavyo tupo mtaani
Kwa sheria za UN, huendi kupigana bali unazuia waasi wasisogee makazi ya watu. Kwa sehemu unaruhusiwa kuwarudisha nyuma adui so kule hauendi kupigana ila una zuia mapigano. Ni kazi kuelewa kama ni kilaza.
😅😅😅bravo! bt why! hv u seen in a war anywhere they use physically. out here is gun n bombs drone reaper, is to much to handle it doesn't miss target. Thanks for showing old ways & it good to keep body fitness. Bt battle field u need equipment n keep u a eyes on price one mistake copper Will take u a breath away. u a enemy has no time to throw kicks n brows!!!
ruclips.net/video/08m7HmMurUo/видео.html Huyu ni Godfrey, baba yake alimuacha toka akiwa mdogo ahitaji msaada wako wa kifedha ili aweze kutibiwa katika hospital ya MUHIMBILI mama yake oliver ameeleza changamoto nyingi ambazo zinazomkumba toka aachiwe Godfrey
nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanajeshi daaaaaa wachawi sio watu wazuri kila kitu nilikamilisha dakika ya mwisho kwenda kambini ndio ndoto yangu ilivyo kufa peke yangu nimerudishwa nimeambiwa mm msomali sio mtanzania daaaaa hapa nipo njiani kuelikea mogadishu kuwa mjeda
Ivi Kuna kma Mimi walio tamani jeshi na halafu wakajikuta kwenye kazi ambazo ata kuziwaza hawajaziwaza kwenye maisha yao duuuuuuu kweli allha ndo mpangaji Kila kitu nilitamani Sana nami kufata mlio wa bunduki nisio juwa wapi unatokea ila pambanene wanajeshi wetu tupo pamoja watakao jipendekeza tunafanya tu kma ukrein
🤾🏋️🏃🎂🍽️
Tulia dogo😂piga rangi na tengeneza mafeni
@@wasehuncho3460 kkkkkkkkkkkk nipo baharini Kaka navua papa na changuu tuuuu
Nimekuwa muuza gari namgambo nilikimbia ili niingie njeshi lakini wap
tupo wengi tu
Asante viongozi jeshi tanzania tunaro, vijana wanapambana kwajili yanchiyao, walim wajeshi ongeleni sanaa mnafundisha vizuli, mungu awape afyanjema walim wote wajeshiletu tanzania.
Asante sana Jeshi letu kwa huduma yetu, tunawapenda sana. Nyie ni wazalendo wa kweli kuliko awa wanasiasa wanaotuibia na kujaza matumbo yao
Mungu Ibariki Tanzania...Mungu Ibariki Afrika iwe na amani daimaaa..🇹🇿🇹🇿 sisi vijana tuwe na uzalendo wa kulinda na kutetea maslahi ya Taifa
Tunashukulu sana kwakujitoa kwenu ulinzi wenu umekuwa mkubwa kwenye mipaka yetu Mungu awabarki
Safi sana jeshi letu. Natamani pia watuoneshe matumizi ya vifaa vya teknolojia katika ulinzi wa taifa letu. Matumizi ya "remote sensing", GPS, surveillance n.k. Dunia ya sasa imebadilika sana, mtu anaweza hata awe hajui karate na bado akakuangamiza kirahisi kwa kutumia teknolojia tu.
Upo sawa kabisa
Sio vitu vyote utaonyeshwa hapo. Vingine ni siri za ndani.
Mwenyez mungu awatunze wanajeshi watu kwa kila hali amiiiiiin🤲🏻🤲🏻big up kwao wanapambana sanaaa had raha ✊👊🏿
Dah hongereni wanangu
Waaay to goo......
kazi nzuri
Tunashukuru kwa ulinzi wenu ndan na inje ya mipaka yetu
Big up sana,mmejitahidi sana hiyo ndio combat karate haswaa........Msichoke kujifunza hata mtakapo tawanyika hapo,
🙏 God bless 🇹🇿
Hongereni vijana kwanguvu mzotumia
Gooooooood. Vijana wng
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 🙏🥰🥰mungu warinde wanajesh wetu 🙏
Tamu sana
Mungu ibaliki Tanzania yetu na wanajesh wetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
hawana lolote kawaida cana yan tn sana
Kasaidieni wenzenu wa Afrika mashariki kupigana na waalifu huko congo, ndio wajue ubabe wenyu uko wapi hizi mwaonyesha ni sinema tuu! Kwanza Jeshi la Tanzania limekawia vita tangu enzi za iddi Amin, Experience imeisha sababu waliopigana ni wazee sasa, na vita vya kisasa vilivyobadilika mtaumia sana iwapo kutatokea vita kuu. Sio madharau maana naheshimu jeshi ila experience ya kisasa kupata ni muhimu sana
Kumamake napenda jeshi vibaya Sana lakini nimeangukia kusomea ualimu na ajira sina daaaaaaah roho inaniuma nikiangalia mzee aliwahi fia kweli mambo ya medali huko nikiona hii kitu moyo unawaka moto mzee wangu angekuaa hai angenisaidia na mm nitimize ndoto yangu niwe kama yeye R I.P ulipambana Sana mwanajeshi wangu mwanao naumia roho ndoto sijaitimiza
Mwanaume haifai haifai usarende weka bidii
Jipe moyo
Ningelikuwa Mimi ndiyo mkuu wa majeshi Tanzania... Ningeliwapeleka hawa jamaa wakasafishe panya load. Ningelienda kila kambi nachukua wahitimu wote, halafu nawaweka kila nyumba miamba mitatu bila kujua mtu yeyote... Halafu walijelete filimbi ipulizwe... Mbona Panya load wanaisha
Kwa muktadha upi ulioufikiria kila kazi inataaluma ujuzi na weledi wake ndio maana ukaona kunavitengo vingi vya kiusalama nchini
Aiseeee good fighting wako vizuri waingieee mtaaniiii watupigie mapigo kipigo cha mbwa koko kwa mapanya road mtaani wanaosumbua wananchi
, mungu alinde jeshi yetu amen
Ninguém penda kufanhia mafuzo ya jeshi Tanzânia❤❤❤❤❤❤
Nakubali Sana nduguzangu mugu awabaliki
Yn Kwa kata hizo , wakajifunze pale ukonga magereza, vinginevyo wale jamaa wa magereza ndo waitwe makomandoo wa hii nchi.
Mimi naipenda kazi ya jeshi
Jwtz Watu wake wako fresh isipokuwa air Force mig21 zibadilishwe ni long time
Acheni ubongo movie..! Askari maalum wanafanya mazoezi ya sanaa za mapigano kila siku na wanazijua sanaa zao. askari wa vikosi maalum wengi wao wamefuzu mikanda myeusi katika fani mbalimbali kulingana na umahiri wao au military specialization! Nyie askari wa kawaida acheni kucheza sinema. kama mnataka kujua haya mambo jiungeni na mafunzo ya askari maalum! Inatia aibu jinsi mnavyopenda kucheza sinema wakati askari maalum wenyewe ni walio fuzu wayafanyayo? Siku hizi askri magereza nao wanjifanya special forces pia? Acheni udwanzi. kama wwewe ni askari bwana shamba baki kuwa bwana shamba.. mpaka ujifunze mambo ya wanaume. Ucheni uzwazwa!
am alway very interested
Dah jeshi kazi ya kiume lakin kama huna jamaa alokua ana vyeo hupati wanapelekwa watoto Mchelele tu Sisi makomandoo tulojitolea kwa kila kitu na vyeti tunavyo tupo mtaani
Uko wapi nicheki
Well done
Nimefurahi sana kuona hvyo
Napenda xana jexh
Nimekubali jeshi langu
Wakitoka hapo hasira zao zotr wanakuja zitoa kwa raia wema
Duuh kaz nzur katik jesh letu
Hiii bhang kweli
Jamaa wa mwisho aliyetumiw panga anazingua sijamwelewa kwa upande wa miguu
Hao bado sana alafu wasipende kujionesha wakike watazaraulika
Sor wasipende kujionesha au kuonesha uwezo wao hazarani watazarauliwa na watu wa kawaida na hata maadui
Waendehapo Ukraine 🇺🇦 neno
Sarakasi tu ! Wakuje drc congo
Hongereni but lmao that round kick though 😁😁
Ni demonstrations hawezi kufanya kwa useriousness mkubwa sije akamumiza mwenzake bahati mbaya
Amna kituu mmeshindwa kupiga #adf congo
Kwa sheria za UN, huendi kupigana bali unazuia waasi wasisogee makazi ya watu. Kwa sehemu unaruhusiwa kuwarudisha nyuma adui so kule hauendi kupigana ila una zuia mapigano. Ni kazi kuelewa kama ni kilaza.
Safi Sana gd
When we talk about millitary is something very unique when it comes to national defence
Watch
Safi Sana tupo sawa
Mimi kwenye gumi Niko sawa nikipata mazoezi ata mwezi mmoja nitakuwa siteligi
Nimependa wako vizuri sana
Dadeki zangu kazi naipenda hii Hadi bc
Kusema ukweli hilijeshi nikakamavu ila linahitaji mazoezi zaidi kwenye upande wa ngumi
Hongereni ila kumite sio serious fighting bado mna kazi ya ziada na kiada
Wanarukaruka halafu technology ya kisasa hawana, hawawezi kutoboa uwanja wa vita
Aisee Hao makomando hatali Sana
Ni mbaya sana
Kawaida sana
Bado sana
Naitwa dudu qweba kwa kuzuia panga ivo njoo sasa ivi
😅😅😅bravo! bt why! hv u seen in a war anywhere they use physically. out here is gun n bombs drone reaper, is to much to handle it doesn't miss target. Thanks for showing old ways & it good to keep body fitness. Bt battle field u need equipment n keep u a eyes on price one mistake copper Will take u a breath away. u a enemy has no time to throw kicks n brows!!!
,😄😄😄 haya bana wajeshii tunawakubali
😆😆😆😆😆
Kazkazi
Sijaona kitu zaidi ya Vipara tu!!!!!
Vita ya kitechnolojia Ni kubwa ulimwenguni kuliko kelele zetu!!!
Wakija wenzetu tunatafunwa Kama sisimizi!!!!
Good Job👍
Vijana mmemaliza hongereni intake 41...aaaiiii morali
Naona mtu amebeba dunia pale 😂😂
Kipengele kwa mtu wa kawaid unaweza ukaaga
Dawa
Evl
Nice fight
mwanaume!!!jeshiiii!
Tunawataka DRC wakajoin KDF QRF
Bado sana !! 💪💪
Kumbe umeon km mm 🤣🤣🤣
Bado mnoooo😂
Waende kongo wamkte mzee m23
TPDF🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Hawa Ni Komakondoo????
Bado sana kwa ngumi izi tutaweza kumpiga mrusi kweli
Physical lazima wawe fit kwanza
Asee kwa vitasa bado saana itabid waje kitaa wajifue upyaaa😅
ruclips.net/video/8eldozAUlJA/видео.html
DAWA KUACHISHA MTU POMBE NA UZINIFU *#
ruclips.net/video/8eldozAUlJA/видео.html
Uongo uo
daaaaah Hawa watu sio Mchezo hakika 😢😢😢😢😢
Hawa naweza wachanganya na niwapige vibaya sana...😂😂😂
Wananikosha hao wanogeshaji wanaopga pushup na sarakasi,nmefurahi sna😁😁
Yani ndyo mmeitimu alafu mnaweka mnaonesha tungumi twakitoto ivo.???? Hamna kitu hapo.
Aki natamani jeshi
Kwa hiyo mnatufundisha kupigana sio kufanya kaziii
AWA ATA MM NAPAMBANA NAWA😂😂😂
They have along way to go🤣🤣hii ni vitimbi
Mimi binasi naipenda Sana kazi ya jeshi retu
Bado wazito Sana train more
kwani hapo vitani mzee
Panya lod wakiona haya mazoezi vp kina kitu wanafikilia et au bas
ruclips.net/video/08m7HmMurUo/видео.html
Huyu ni Godfrey, baba yake alimuacha toka akiwa mdogo ahitaji msaada wako wa kifedha ili aweze kutibiwa katika hospital ya MUHIMBILI
mama yake oliver ameeleza changamoto nyingi ambazo zinazomkumba toka aachiwe Godfrey
Vijana wameiva had wameungulia
Hiyo fencing hapo mwisho.... imekaa kama ya britain.
Maigizo ayo
nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanajeshi daaaaaa wachawi sio watu wazuri kila kitu nilikamilisha dakika ya mwisho kwenda kambini ndio ndoto yangu ilivyo kufa peke yangu nimerudishwa nimeambiwa mm msomali sio mtanzania daaaaa hapa nipo njiani kuelikea mogadishu kuwa mjeda
Vijana wa kike Mbona siwaoni?
Ndio watailinda mipaka ya nchi na tutakuwa salama .Vipi tutakuwa salama kwa wezi wa mali ya umma?
Maboya tu
Hakiyangu
Mazoezi mepesi ya kipemba hayo
Ngome
Siowewetu namimipia
Naptia comment tu hapa...
Hahaha sijaona hapo tofauti nakusikia kelele tu
Sisi waafrika ni watu jinga sana
ruclips.net/video/b8aSug9KAtU/видео.html
Sijui niseme au basi
😀😀😀😀😀