BOBCAT: BAHARIA ALIYE ZAMIA ULAYA/ "WAMENIHARIBIA MAISHA"/ NIUZE FIGO, PART 03

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Kijana wa kitanzania "Bobcat" aliondoka Nchini (Tanzania) miaka ya 2000...kuelekea kutafuta maisha katika nchi za ulaya, hata sahau mkasa huu katika maisha yake..
    #Safarizaulaya #Mbanga #baharia
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News

Комментарии • 117

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 года назад +7

    Miaka 20 USA 🇺🇸marekani nduguzagu message from USA never give up

    • @simongaudence2685
      @simongaudence2685 9 месяцев назад

      Yeah never give up,but support inahitajika na sisi kuja USA

  • @simbachips58
    @simbachips58 3 года назад +4

    Good hope brother mungu atakutilia wepes mpambanaji mwenzetu never lose hope until the end fighter 🙏🙏

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 Год назад +1

    Dah umenikumbusha mbali sana broo hiyo kauli ya kwamba harudi tena ulaya ilinikuta mara mbili hapo bongo air port mwaka 2013 na 2018 ila sikukata tamaa nipo mbele mjini brissel now askari wetu sio wazuri kabisa sijui kwa nn yaani
    Siwapendi sana tena sana hao jamaa wa air port hao askari mungu awalaani maisha yao yote na vizazi vyao

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 года назад +2

    Allah akujalie upate mafanikio Bro na watoto wako awajalie wasikusahau Bro ni mipango ya Allah hiyo muhimu akuna kukata tamaa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 3 года назад +5

    Roho imeniuma sana jamani watanzania atupendani mtu umjui kwanini usimuwache akaludi zake ulaya ujui utasaidiwa nanani kaka wawatu wamemkatisha maisha yake

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 года назад +2

    Maaaa nicca,,I love ya spirit ya,fake it till ya make it🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 3 года назад +3

    Merci beaucoup Sana brother

  • @martinemati7969
    @martinemati7969 2 года назад +3

    Duuhh I m Burundian na nimefika Holland 2006 kulikuwa wa Tz wengi sana nawalikuwa wanaishi kama warundi....wanjanja waliji mixe na warundi wa ukweli kabisa....kuanzia 2012 warundi wengi walirudishwa Burundi...ww ulipata bahati till 2015 ulikuwa bado na kibali za ukimbizi kama mrundi. Kama ulikuwa unaishi vizuli na mke wako ataweza kukurudisha kama mume wake...sio tena kama mukimbizi....

    • @theophilyyona9940
      @theophilyyona9940 2 года назад

      hata mimi niliwaza ivo kwanini asimtumie mke kurudi

  • @ficachoka7713
    @ficachoka7713 10 месяцев назад

    Pole sana kaka sema nimekukubari sana

  • @mussakaembi5706
    @mussakaembi5706 3 года назад +3

    Dahh nimemkubali Sana broo mpambanaji na jamaa hata kihisia tu jamaa anaonekana nimkweli kabisa ameniongezea kitu Sana kwan nami napambana nifike pande hizo 🙏🙏🙏

  • @markh8142
    @markh8142 2 года назад +1

    Nimeumia sana pole bro unaonekana upo smart brother one day yes bro💪🙏

  • @geofreymwaijonga
    @geofreymwaijonga 3 года назад +3

    Mbanga Dar24Media Talk of Tz 🔥🔥🔥🔥

  • @salehkhalif3708
    @salehkhalif3708 2 года назад +1

    kaka salute

  • @lupacrisamayc518
    @lupacrisamayc518 3 года назад +2

    Wanaigeria wataendelea kutuzidi sana.....sababu wanapeana support sana.......wabono tunakaziana bila mpango wwt

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 2 года назад +2

      Bro ni kwel cc East Africa ndio tulivyo hivyo

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 2 года назад +1

      Bro me mwenyewe juz 2 hapo mwez wa 5 nilikuwa bongo hapo sasa cku ya kuondoka hapo Airport sio poa huo mziki hao immigration tulibishana mpaka basi mixer kiniita mm mjeur daaahh na wakanitisha kuwa passport yangu wataifungia daaahh watu weusi cc 😳 na Tanzania crudi tenaa mbele kwa mbele hyo .....sirudii ngoo

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 Год назад +1

    Funzo ilo, kwa wale walioko au watakao bahatika kwenda kwenye nchi au mabara yaliyo endelea kama vile ulaya, america, Australia nk, jaribuni kuwekeza na nyumban ili hata kama kikitokea chochote kile bac upate kwa kuanzia huku nyumban

  • @momahamba7467
    @momahamba7467 3 года назад +3

    Yo Mr duper, big respect to bobcat unlucky Holland's imagination department is very tough in there,keep ur head up b

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 2 года назад

    Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 Год назад

    Dah polee sana bro never give up umepambana sana

  • @zidadumbepo1486
    @zidadumbepo1486 3 года назад +10

    mwanangu kilichokuponza mawasiliano yako ulikua unaongea Sana Tanzania na walikua wanakufuatilia mpka wanakupiga bati walikua walishapata ukweni wote

    • @TALLUBOY
      @TALLUBOY Год назад +1

      kwel kabisaaa kaka

  • @monsterxtz6281
    @monsterxtz6281 3 года назад +1

    Wabongo wanaftina sana daah

  • @radjabundikumana5689
    @radjabundikumana5689 3 года назад +1

    Never give up big fella 💪🏾💪🏾💪🏾 keep it up

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 Год назад

    Dah Mzee kama vipi weka namba brother tukusaport dah huyo imeniuma Sana muda huu angekuwa na family yake

  • @suhelkassim8837
    @suhelkassim8837 Год назад

    Watz wangese sna

  • @afterx3172
    @afterx3172 3 года назад +1

    Jamaa anahitaji mwanasikolojia

  • @shahiduzubery4601
    @shahiduzubery4601 2 года назад

    Salute to u 👏

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 2 года назад

    Dah! roho imeniuma sana wallah bro wabongo sijui tukoje sasa ushaona mchizi kakaa mika 17 Ulaya then unataka abaki maisha mabovu dah! wabongo tupo na roho mbaya sana 😭

  • @katambihamisi4130
    @katambihamisi4130 Год назад

    Iko ivyo watanzania huwa tuna roho mbaya sana, wivu, tamaa vimetujaa hatupendi kuona wengine wanapata ilikuwa issue ndogo tuu ila askari alikunja

  • @salumsicknesspeoplemusafir7902

    Mwambiye asikate tama angaliki anapumuwa bora uzima haijuwi yenye Allah amemupangiya ya kesho .na anaaeza kuwa alitoka kule kumbe Allah amemukimbiza kibaya huko holland

  • @charlesgeorge9549
    @charlesgeorge9549 Год назад

    Story yke inauzunisha lkn naimani hapo migration angekua na pesa angewaonga wangemuacha lkn miaka 17 ulaya then unakua kwenye hali iyo vijana tuwe makini sana na mtu ukifanikiwa basi uwe makini sana na starehe nimeona mahojiano mengi ya mabaharia wanasafiri nchi nyingi za ulaya lkn siku wakihojiwa unakuta wpo kwenye Hali mbaya,

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Год назад

      Ulaya maisha magumu Sana watu hawaelewi Tu hata upate kazi maisha yako juu Sana unaweza kuishia Kula na kuvaa

  • @jumabee9890
    @jumabee9890 3 года назад

    We r love with dar24 mdupangeeeeeee

    • @imamswea4829
      @imamswea4829 3 года назад

      Alichokosea alijieahau hata kuwekeza nyumbani kiukweli lazima watu wamjambishe

  • @makenebartazary2236
    @makenebartazary2236 3 года назад +1

    😂🤣😂UTAELEWA 2 daaaaa wa bongo nomaaa

  • @Avagumyan
    @Avagumyan Год назад

    Lamborghini

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 3 года назад +2

    Wa swail wanafk wangemkataaa 2u kamaa awamjuii

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 3 года назад

    Yeah 🔥🔥🔥🔥

  • @Project1986p
    @Project1986p 2 года назад

    Dah..kweli…DUNIANI MABEKI KIBAO.

  • @leninbien3509
    @leninbien3509 3 года назад

    Dah good story

  • @ramadhanishabani2743
    @ramadhanishabani2743 2 года назад

    Daaa wabongo sisi

  • @mdabwaaissa4920
    @mdabwaaissa4920 3 года назад +1

    Daaaaa huyu mwana smart saaaana ndani ya leeward hakuwa na matatizo na mtuu

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 3 года назад

      Sana Mwana alikuwa smart kivyake

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 2 года назад

      Yeah kamanda hao immigration siwapend hata kdg mm juz hpo walitaka kuniletea uchawi daaahh bahat nzur nikawapita alhamdulilah nashkur mungu ila bongo sirudi tena ....kaeni na roho zenu mbaya huko

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 2 года назад

      @@abdallahmohamad8360 kaka upo wapi
      Mimi nipo Nederland

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa6979 2 года назад +1

    Wabongo nuksi sn

  • @hamidumtega4694
    @hamidumtega4694 Год назад

    Dah baalia umeishi ulaya miaka kibao ruga gongana😄🙌

  • @aminali2677
    @aminali2677 3 года назад

    Nice ❤❤🔥🔥🔥💯🇸🇦

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 3 года назад +1

    Uyo Afisa inaelekea ndo bingwa wa kuwadundasha watu hapo kitengo

  • @leecode6135
    @leecode6135 2 года назад +1

    Wa Holland mbuzi wale nilivutana não nikadondokea Brasil kkkkk

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 2 года назад

    Allah zaid

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 3 года назад +2

    Nipeni number zake

  • @reeckstar931
    @reeckstar931 Год назад

    Mzee apo walitaka pesa tuuu Amna chengine c unajuwa bongo tena

  • @lumumbasimba1450
    @lumumbasimba1450 2 года назад

    Aah ndugu yangu , wanga sio waited usiku , huyo uliekutana nae ni zaidi ya mwanga ni kigagula ..( Jelousness never succeed . Bob Marley said if one door is closed many Moore is open . My Father born in Kigoma ujiji migombani ,naishi Italy 30 years now .do not give up ! Si unajuwa tunavyo usuguwa huku mtongani ?? Siri ya mtungi ?

  • @marthadanielgethro6216
    @marthadanielgethro6216 2 года назад

    Watoto watakufuata tu🙏

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 Год назад

    Hakukaza mwamba

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 года назад +1

    Wengine hufukuzwa kutokana na uharifu

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane 2 года назад

    Dah jamaa wamezingua...miaka 17 mingi sana

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 2 года назад +1

    Sio Rizki bro,Ni yule jamaa ndio amekulet down,Njoo nikupe michongo,Mimi nakaa Europe

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 2 года назад

      Inauma Sana nduguzagu wa Tanzania kamamimi vile niko marekani 20 twenty years unirejeshe Tanzania umenionea. 🇹🇿🇺🇸

    • @salehkhalif3708
      @salehkhalif3708 2 года назад

      asalam alaykum vp kaka dah so poa si unaona wabongo noma

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 2 года назад +1

    Nimemchek mwamba kimtindo alikuwa mvivu mjanja awez kurudi kinyonge kiivyo

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 2 года назад

      Hyu kama atakaza anaweza kurudi tena ...ila wabongo wachawi 2 mm mwenyewe juz c nilikuwa hapo hapo tz wakat wa kuruka eeeeehhhh hpo Airport immigration wameanza uchawi tulibishana ...mpaka kimeeleweka lkn bongo sirud tena ....

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 2 года назад

      Usiseme hivyo

  • @omarykaniki3194
    @omarykaniki3194 2 года назад

    Migression wa bongo machawi wanazingua mimi mimi nawajibu ushuzi wanaroho mbaya sasa angalia unateseka ndio wanapata nini sasa mimi naletaga fujo tu dah namuonea uruma sana mshikaji

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa6979 2 года назад

    Ungemkataa kungeharibika nini ila cyo poa kabisa mueke mungu mbele atakusaidiy

  • @lupacrisamayc518
    @lupacrisamayc518 3 года назад +2

    Migration wana jealous sana

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 2 года назад

    Walikuchinjia baharini dahhhh

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 2 года назад

    huyu mtangazaji itabidi mmfugie mic kwenye shati anaweka mic karibu sana na mdomo ina distort

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 3 года назад +4

    Miaka17 hio ange focus kujenga nyumbani saa hii angeishi poa lakini yy alifika kufika full kujisau

    • @Chemba67
      @Chemba67 3 года назад

      Yaani nyundo 17 Ulaya alafu huna documents hili ni funzo tosha kwa wale wanaowania kuja Ulaya

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 3 года назад +7

      Shalo boy Maisha ya ulaya siyo lelemama sikia hivyo hivyo,Tatizo Bongo ukijenga nyumba ndiyo unaoneka unakiri,Fanya wewe uje uwende ulaya ujione?

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 3 года назад +3

      Mjomba mskixike tu ulaya nom di so kuishi ulaya ndo kujenga unajuwa akunakitu kinachoumixa Kam codi ya nyumba boy njoo ujionee di

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 3 года назад

      @@rasjamal9854 sijakupata bro tatizo pesa aiekeki ama tight yake iko vp?

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 3 года назад +1

      @@enemtatuka5863 huyu mzee baba alikua na mtoto wakizungu hapo lazima wife alicheza kama mwenyeji tukubali kua akili yake ilikua ishafika

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 Год назад

    Tz nyosooo

  • @devmwalabu3193
    @devmwalabu3193 2 года назад

    Kwer kaka kunawatu wanaroho mbaya

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +1

    WATANZANIA HATUPENDANI
    HATA KIDOGO TUPO FAKE SANA
    KWENYE KUSAIDIANA

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Год назад

    Tupende kwetu jomoni! Hivyo hivyo hata kama masikini ndo tupambanie maendeleo yetu wenyewe ili tusione nchi za wenzetu ndo kuna neema

  • @mombasaraha1252
    @mombasaraha1252 Год назад

    Unaeza rudi vile uko na watoto ulaya usiwemj8nga unayo hakiyako hawaezi kukutangamanisha wewe na watoto wako

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 года назад

    Uyo jamaa angemkataa huyu mwamba kwani Tanzania ingepungukiwa na nini ..!!??
    Ulaaniwe uliomuaribia jamaa maisha ..!!

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 3 года назад +1

    Mwendo taxi 😅😂😀😁😃😉

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 2 года назад +1

    Watanzania Wana Roho mbaya kabisa bola arudishwe kwasababu sio mrundi sisi Burundi Tunajua kabisa Tena Tukija kwenu mnatushika vibaya

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 2 года назад

    Ati ameka 17 years Holland na hakuna hata kitu amefanya tanzania wewe ndugu mtangazaji ume msauri nini huyo? Huyo amejidhulumu mwenyewe asisingizee kama kuna mkono wa mtu starehe ndizo zilizo mpoza ndio shida yasisi wa africa twajisahau kwa hivyo wacha asote hapo kigoma pengine huwenda akili ikafanya kazi

  • @awadhially3753
    @awadhially3753 3 года назад

    Boycat soory man

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 2 года назад

    Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed