Комментарии •

  • @eneamwaipopo8849
    @eneamwaipopo8849 19 дней назад +1

    Nilifulai nikiwa simba nalia nikiwa simba ila siami simba mana mm nisimba ilove you simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-br7lh1yq5m
    @user-br7lh1yq5m 20 дней назад +5

    Hii Simba me mwenyew YANGA lkn naogopa 😅😅

  • @nebisoni1234
    @nebisoni1234 20 дней назад +5

    Huu mwaka yani mpaka mseme simba sports club

  • @MafanikioAmani
    @MafanikioAmani 20 дней назад +6

    Hii timu inahitaji muunganiko

  • @tanashatweet3292
    @tanashatweet3292 20 дней назад +5

    Simba ya MAUAJI🔥🔥

  • @ProsperFloridi
    @ProsperFloridi 20 дней назад +5

    ❤❤❤❤ I love you simba

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 20 дней назад +6

    Kumbuka pia umri wao! Kadri umri unavyosonga ndivyo pia na viwango vinavyopanda

  • @michaelmwaijande2561
    @michaelmwaijande2561 20 дней назад +4

    Yusuph kagoma mnamsahau

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 20 дней назад +10

    Hivi ninyi wachambuzi hata aibu huwa hakuna. Timu mbovu ni simba na yanga ni kila kitu kwenu. Mnatia kichefuchefu sana na hii inadhihirisha mnasumbuliwa na mgongano wa kimaslahi hamfai kuwa wachambuzi hata kidogo. Tumewachoka bakini na yanga yenu.

    • @MafanikioAmani
      @MafanikioAmani 20 дней назад

      Mmmh, wameongea nn kibaya hapo?

    • @user-jf6kw8be6n
      @user-jf6kw8be6n 20 дней назад

      Mbona Kama umeanza kuogopa? 😂😂😂

    • @eneamwaipopo8849
      @eneamwaipopo8849 19 дней назад

      wewe ludi tena uxome iyo Awana baya lolote wachambuzi ila we uwe nahaibu ndokaziyao iyo mbwa ww

  • @user-om6ny2vk8g
    @user-om6ny2vk8g 10 дней назад +2

    Mchambuzi yanga

  • @FaridaMwamlima
    @FaridaMwamlima 20 дней назад +2

    Simba bingwa2025

  • @HamisiMussa-s8u
    @HamisiMussa-s8u 20 дней назад +1

    Naipeda cimba maadalizmema

  • @user-xs1tq6ow3c
    @user-xs1tq6ow3c 20 дней назад +1

    naaiman tutaweza msimu huu tunaua

  • @JohnTendwa-gn1nl
    @JohnTendwa-gn1nl 12 дней назад +2

    Kwani wachambuzi wanakuwa Kama wapiga ramli? Kwani ni lazima kuifananisha yanga na Simba? Kwani hao Azam nap so ni wachezaji wapya? Na kwani Simba mliwaita wazee na Yanga akina pakome so ni pancha mbona hamsemi? Tukiinua vijana mnalalama Bora lipi Sasa? Nyie yanga wachambuzi uchwara.

  • @JumamkuulaMkuula
    @JumamkuulaMkuula 20 дней назад +2

    Nyie Uyanga mtupu

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 20 дней назад +4

    Msimu ujao bado yanga bingwa

  • @user-jf6kw8be6n
    @user-jf6kw8be6n 20 дней назад +1

    Msimu ujao watajuta 😂😂😂

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 20 дней назад +4

    Mimi ni mwanasimba ila yanga bado wapo juu