Yafahamu MADINI ambayo KOREA KUSINI inayasaka kwa udi na uvumba Afrika, sababu ya Mkutano na Marais

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 137

  • @CodeWithCrescent
    @CodeWithCrescent 3 месяца назад +8

    UMEELEZEA VZR SANA, SEMA ALL IN ALL SISI AFRIKA NI WAJINGA. TUNA KILA KITU ISIPOKUWA AKILI YA KUENDESHA TULIVYO NAVYO

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 месяца назад +18

    Sie tunauza tu tutabaki watupu Afrika kwasababu ya tamaa ya pesa

  • @OdranLazaroChaula-wp2zj
    @OdranLazaroChaula-wp2zj 3 месяца назад +3

    Wewe ni kiboko unachambua vizuri sana congratulations

  • @hiscoprogrammer7399
    @hiscoprogrammer7399 3 месяца назад +9

    big up sanaa kwa uchambuzi mzuri zaidi

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 3 месяца назад +8

    Ali masubi .ww noma bro mungu aendelee kutupa uhai na uzima kwa sote Wana sns.

  • @richwase6550
    @richwase6550 3 месяца назад +15

    Oya hyu mchambuz mbn yupo nondo nchi inahadhin y watu hii kwa nn hay tunayoyajua tusianze n viwanda vidog vidog huu ujuzi wenu hp SNS ujue n zaid y channel n chuo ss.

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 3 месяца назад +5

    SnS for Future events

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 3 месяца назад +4

    Upo vizuri sana

  • @RuttaJames-kh5jx
    @RuttaJames-kh5jx 3 месяца назад +9

    Naona wabovu wa akili mna mshinda Nisha ally masubi na dj sma wote wakovizuri hacheni ujinga

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 3 месяца назад +5

    Moja ya kitu kinaendelea kuiweka Africa nyuma ni mifuno mbaya wa elimu haina zaid ya ugumu lkn pia imekosa taswira ya kufikisha popote. Acha wenye elimu watukalie juu. Yaani nchi zote izo zimeweza kusimamiwa na nchi moja tu. Tumekosa ata uwezo wa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад +1

      Sio elimu sana kubwa ni mfumo wetu wa katiba unamruhusu raisi kufanya anavyotaka na akitoka madarakini inamkingia kifua

  • @stevenmahinda657
    @stevenmahinda657 3 месяца назад +7

    Ally anajua kila kituu

    • @josephk90
      @josephk90 3 месяца назад +1

      Jamaa ni mtata balaa😂😂

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa 3 месяца назад +7

    Ali masubi upewe kitengo selikalini🎉🎉🎉

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      serikali ipi hii ya viongozi wajinga

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 3 месяца назад

      Wajinga wanaowaongoza werevu 😂😂, sjui nani mjinga ..

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 3 месяца назад +11

    Hivi sisi tukiamua kuwaita viongozi wa ulaya kuja Afrika watakuja kweli?😢

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 3 месяца назад +12

    Africa hata ukiwa na ujuzi wako serekali ndio kitu cha mwanzo kukuekekea vikwazo tuna elimi ambayo kila siku inatufanya tuwe watumwa mtu unamaliza hadi chuo huna ujuzi wowote halafu ety mtu ujiajiri wao mbona hawajajiajiri africa hatutaendelea maisha 😂😂😂🙌🙌🙌

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 3 месяца назад +1

      Daah mpaka nasikitika 😢😢 afrika alituroga kasha kufa.

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 3 месяца назад +2

      Tuliachiwa kuombaomba😂😂

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 3 месяца назад

      @@RamadanPaulMkoloni katuriga

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад +3

      Hakuna aliyetuloga shida yetu sisi tumezoeya kujikomba Kombatu na tumejawa na unafki tu

    • @fainesKigahe
      @fainesKigahe 3 месяца назад

      Tutatawaliwa mpaka basi utafikiri tuna laana Mungu atujalie sana ktk hili .pia tatizo tumeamini sana mawazo ya wenzetu kuliko yetu . Yani tungesomesha kizazi chetu Kwa nguvu ili kulinda lasilimali zetu .

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 3 месяца назад +12

    Dahhh nilikua sijui hiyu jamaa amesoma ni noma sana🔥🔥🔥

    • @12345678938129
      @12345678938129 3 месяца назад

      Ni mali ya taifa ya kulindwa. SNS wampe kipindi chake cha economics ao finance literacy

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 3 месяца назад +8

    Africa nahisi ndio tuliolaaniwa na mungu

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 3 месяца назад +2

      Ata mm sielewi 😢Africa in tajiri ila tunaishi kimaskin 😢Mkoloni alituroga

    • @Africangirl_in_India
      @Africangirl_in_India 3 месяца назад

      Lol nimejuwa kucheka kwakweri, umenichekesha sana🤣🤣🤣

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 3 месяца назад +2

      Hatujalaaniwa ila sisi akili ndo hatuna

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 3 месяца назад

      @@denismasele4130ndo uchawi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      ​@@denismasele4130akili tunayo ni tamaa na ubinafsi wa viongozi wetu na kukubali kuwa vibaraka vya wakoloni

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela 3 месяца назад

    Nawa kubali sana wana sns

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 месяца назад +2

    Kwahiyo wanataka kuja kuiba madini Afrika shenz hawa na huyu mama ana waita tuu

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 3 месяца назад +9

    Aisee Wana sns wote wako poa acheni kasumba uyu nzuri uyu mbaya kikibwa tuwatie moyo kwa wte .

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад +5

    Kutoka shaurimoyo nairobi

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 месяца назад

    Mdogo wangu nakukubali sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 3 месяца назад

    Asante Ally

  • @GodfreyChalo-id4mi
    @GodfreyChalo-id4mi 3 месяца назад +2

    hiv vtu waliumbiwa wazungu sis waafrika tuliwekwa juu ya ardhi kama mapambo2 hatuna uwezonavyo hata kama tukiwanyma tutavipeleka wap jaman? acha tuwauzie watupe vioo nas tuwape madin yote kwayote sis tuendelee kuwatawala ng'ombe,mbuz,kondoo,punda pamoja na ndge maana ndo uwezo wetu unapoishia🖐🖐🖐

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 месяца назад

      We una akilii sasa awa wasomii siwanaenda kusomea au jitambue ww chizii Nye Lele alipeleka majeshii kwenda kujifunzaa namna ya mbinu zakijeshii walienda na wakaludii Sasa ww mweuuu una ongea nn

  • @MalengaEleme
    @MalengaEleme 3 месяца назад +3

    Huyu mwamba kiboko❤ ally

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 3 месяца назад +1

    Shule matata sana 🎉sns

  • @davidkalama5426
    @davidkalama5426 3 месяца назад +2

    Je! Pesa hizi za mkopo Tanzania ilizokopa toka Korea kusini,je! itatutoa ktk umasikini wetu? Bila kuweka rehani migodi yetu, tafadhali kumbukeni kumuenzi mzalendo wa kweli number , one, John Joseph Pombe Magufuli/yeye hakuweka nchi rehani ila aliingia mikataba upya ya win win situation/ccm oyeee! .

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 месяца назад

    Nakubali Mr Ally Masubi

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 3 месяца назад

    Ali masubi mmoja tu ni zaidi ya taasisi mungu akuweke uzidi kutupa elimu zaidi

  • @kenwillard1605
    @kenwillard1605 3 месяца назад +1

    Kwenye gold sio madini yanayo kua peke ake sometimes yana kua mixed na Zinc wengine huita Sulphur na pale unapo taka kufanya purification uwenda ukakutana na madin mengine na dhahabu sio kama metal ni vumbi yani huioni kwa macho ni kwa uchache sana kuiona kwa macho iko kama chenga ndogo sana..

  • @rashidiamini
    @rashidiamini 3 месяца назад +6

    Tanzania imeuzwa mchana kweupeeee

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 3 месяца назад +1

    MOOO dewj,BAHAARESA,GSM,ABRAAZZ STAM,ASAS,MLOKOZ,hawa n wachache wanaweza kuipeleka TZ kilelen selikal iwaangalie kweny hili

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 3 месяца назад +1

    Kiukweli sijui kwanini Tanzania ni nchi maskini. ani nashangaa sana

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 месяца назад

    Hii mikutano ni kwa ajili ya kuiba rasilimali za Africa

  • @JosephLadisilaus
    @JosephLadisilaus 3 месяца назад +2

    Viongoz wet uwezo wao wa kuongoz n mdogo nd maan mikataba inawafaidisha wazungu sio waafrica

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 3 месяца назад +1

    Sasa wafanye nini nq africa ni shamba la bibi kila mtu ambaye sio muafrica anarubusiwa kuvuna kila kitu anachotaka kutoka shamba la bibi africa

  • @LEGENDSBROTHERHOOD
    @LEGENDSBROTHERHOOD 3 месяца назад +2

    Hicho kikao naona ni nchi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 itaendelea kuteseka na haitapata amani kamwe , kwa sababu karibu madini yote unayojua wewe yanapatikana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC
    KWA HILO NASEMA TU PRAY FOR CONGO 🇨🇩🇨🇩
    FREE CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, FREE AFRICA 🌍 TUTAUANA SANA WA AFRICA SISI KWA SISI

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 3 месяца назад

      Yote yanaenda USA na Europe kutengeneza IPhone,Tesla na Microsoft

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437 3 месяца назад

    Iv sis Africa mbona tunatoa vitu vyetu kipumbavu kwenda kuwatajilisha wengine

  • @DOUBLE_G_DA_BST
    @DOUBLE_G_DA_BST 3 месяца назад +1

    Uyu jamaa anajua kila kitu 🤣🤣🙌

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 месяца назад

    Dola billioni mbili mbona si nyingi sana? Wakorea wanataka rare minerals ambazo Tanzania inayo kama vile graphite, nikel, na lithium.

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 3 месяца назад

    SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿

  • @AbelnegoPhilimon
    @AbelnegoPhilimon 3 месяца назад +1

    Iasee watu wanachekesha sana yaan unachukua mkopo wa trilion 6 then ukishindwa kulipa unawabana wachimba chumvi na wauza mchicha wakupe kodi, viongozi wetu wakiitwa na wazungu wanaenda mbio kwanin kama wao wanahitaji madin wasije ? EE Mungu ikomboe Africa! It is a shame

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 3 месяца назад

    Taka kujua aina ya madini

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 3 месяца назад

    Ali msumbu soon una safari na mama samia. Unatufaa . Tz tuekeze kwenye elimu alafu wakimaliza wawezeshwe sio kukaa maskini. Jamani story za shalwadu sio tija tupoeni this is smart worlds 🌎 kusoma muhimu

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 3 месяца назад +2

    Africa tuna mali,lakini tuna emty brain!😢

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 месяца назад

    Kiwanja pekee kilichobaki Kwa wasafiri ....ukiishi hapo umetusua ni Bora zaid ya marekani

  • @ramadhanially8932
    @ramadhanially8932 3 месяца назад +2

    Africa mungu ametupa kila kitu lakin bado ni masikini yaani naisi mpaka malaika wanatucheka😂😂😂

    • @DodomaTanzania-r5z
      @DodomaTanzania-r5z 3 месяца назад +2

      Tatzo akitokea kiongozi sisi wenyewe tunampinga mfano magufuli wananchi tulianza kumchukia kwa wazungu kupindisha ukweli

    • @dfinalpatrick8555
      @dfinalpatrick8555 3 месяца назад

      Penyemit hapanawajenz

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 3 месяца назад +1

    Aisee, tulishindwa kuwa na mikakati mathubuti na sisi tungekuwaga tumepiga hatua laiti tulingewekeza ktk elimu inayoendana na rasilimali tulizo nazo. 😢😢

    • @kamtandeabdala3271
      @kamtandeabdala3271 3 месяца назад +1

      Wazungu ndio huweka vizingiti ukiwa na uthubutu unakutana na vikwazo kibao

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 месяца назад

    Korea kusini ni marekani damu damu....hapo tumepigwa changa la jicho

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 3 месяца назад

    Mambo safi sana❤🎉

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 3 месяца назад

    Imagine tuna mali ila ss ndo maskini 😢Africa niyawa foreigners not for Africans 😢

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 3 месяца назад

    Hata dhahabu ipo ambayo inakuwa yenyewe ambayo siyo nyingi sana. Dhahabu nyingi ni ile inakuwa kwenye aina nyingine ya madini hasa copper, Sulphur , silver, iron n.k so unapoitafta dhahabu ya aina hii huwa kuna chemicals maalum kwa ajili ya kuitenganisha dhahabu na madini mengine. Mfano sodium cyanide ndiyo chemical inayotumia zaidi

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 3 месяца назад

      Haipo kasome zaidi mkuu dhahabu inaexixt kama dhahabu hzo unazozisema ww ni impurities dhahabu haihitaji extraction kama ilivyo aluminium and iron.

  • @vijasa1124
    @vijasa1124 3 месяца назад

    Africa wanakuja kushota t
    N wacorea n mkono wa marekani tu n wala c mkorea mwenyewe

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад +1

    Sisi waafrica tunaupungufu mkubwa tumekwamia wapi akili au mbona wengine wamejikwamimua hawana madini wapo ukiangalia wanaweza Kwa watu wao eti Sisi tunasoma kivipi au ni kujifunza kusoma Tu sio kujua mambo Sisi tumekalia kuzaa tu ndio maana kila nchi zinakimbilia huku .

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 месяца назад

    Tanzania Ina madini kalibia yote lkn wanaonufaika ni hao kina mama yenu mnaowasifia wanaupiga mwingi baadhi yenu madunya msiojua maana ya maendeleo

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 3 месяца назад +1

    Mzee unachimba ,hadi periodic table

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 3 месяца назад

    Huyu mkorea kusini hana hizi fedha huyu anayefanya haya ni mmarekani ampitia mrango wa nyuma ili kupata mali gafi baada ya kugundua kuwa afrika mnaichukia marekani sasa sisi afrika hata kufili kidogo hamna ni kusifia tu acheni ujinga kila siku tunaona marekani amewekeza vitu vingi pale anashindana na korea kasikazini

  • @DannyElias-t3v
    @DannyElias-t3v 3 месяца назад

    Yaani África tuna resources lkn viongozi ndo hatuna kabisa kila siku kukopa wakati haohao wanaonda kukopa wanakuja kuchukua material kwetu

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange630 3 месяца назад

    Mwamba sina cha kuongezea kiukweli, unafugua bongo zetu

  • @danstanirubazibwa2494
    @danstanirubazibwa2494 3 месяца назад

    Yaani licha ya hayo yote lakini bado mpaka sasa hata hatushutuki hata kidogo

  • @MalengaEleme
    @MalengaEleme 3 месяца назад

    Kka unajua sana

  • @HansChuma
    @HansChuma 3 месяца назад +1

    Kwetu sisi Tanzania upuuz mtupu serekali hamna kitu hatufu chafu ya rushwa tamaa na roho mbaya juu

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 3 месяца назад

    viongoz wala hata hawastuki wao kusomba pesa nakugawa madini tutaendelea kuwa maskini milele huyu mama puuu

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 3 месяца назад

    Tatizo la viongozi wetu wa Africa hujali matunbo Yao tu,wewe ulishaona wapi viongozi wa ulaya wakatunza pesa zao Africa,viongo wa Africa tumelahaniwa na Nini hatuhulumie bas,

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 3 месяца назад

    Africa ni gereza kuu waloliandaa watu weupe, na wakuu wa gereza hilo ni watu weupe,, wanaosimama kama manyapara ni viongozi wa africa,,, alitabili baba etu nyerere.

  • @omarybakari5812
    @omarybakari5812 3 месяца назад

    Sijajua Tanzania itachimba na kuwauzia malighafi au bidhaa zitokanazo na malighafi hizo JPM UNGE AMKA KDOGO TU

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 3 месяца назад

    Wenzetu wako seriously sana hawana undugu zembe kwenye maswala ya utawala

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 3 месяца назад

    Waatuchukue na sisi basi😂

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 3 месяца назад

    Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 shida nini?.
    Mbona tuna kila kitu?😮‍💨
    Daah Mwenyezi Mungu ametuachaniza kabisa🤔🤔

  • @khatibkhatib730
    @khatibkhatib730 3 месяца назад

    Duhh apa tatizo ni mfumo wetu wa elimu, yaan chemistry yetu na physics yetu kuanzia form 1 hadi six inakufundisha story tu za hivi vitu ..je unavipataje, unachimbaje utatumiaje kutengeza hizi kuwa katik usable product , hamna 😂unajkuta unajua element zote 128 kwa majina tuh na story

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад

    Allah aqibaru

  • @mweupebrown3233
    @mweupebrown3233 3 месяца назад

    Sema Kuna mtu watu awamjui mtuambie adani ni nani maana anatajwa na bandari yetu

  • @exaudmphuru6172
    @exaudmphuru6172 3 месяца назад

    Waafrica tumelogwa hatujui tunaenda wapi

  • @David-s6y8k
    @David-s6y8k 3 месяца назад

    Ndomana raisi wa Congo alikataa kwenda huko kwenye huo mkutano

  • @dunialehani6188
    @dunialehani6188 3 месяца назад

    Shida ya Africa tumehasi asili yetu hatuwezi kuwa na maendeleo kama tuko busy na bible ukikuta mtu ana hogea na mababu mnamuhita mchawi siku mtastuka basi Africa tutakuwa matajiri

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli 3 месяца назад

    Why
    Saudi Arabia to Africa summit
    USA to Africa summit
    Russia to Africa summit
    Korea to Africa summit
    China to Africa summit
    Why why

  • @kelvinkitego8471
    @kelvinkitego8471 3 месяца назад +1

    Mwanetuu MASUBII una umechukuaa degree gani chuo ...???? Maan unashushaa mamboo ambayo nilikuwa nayaona onaa tuu shuleee aisee 🤣🙌 extraction of metal yotee imelalaa hapaa leo 🤣🙌

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 3 месяца назад

    Nimeisikia Tunduru hapo Ruvuma hiyo.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 3 месяца назад

    Hayo yote nikuwa na li katiba libovu na laovyo

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 3 месяца назад

    South Korea ni Miongoni mwa nchi za kuigwa duniani maan kwa sie tuliokua huku Korea tunajionea jamaa wanavyofanya kazi., pili siasa zao ni tofaut na siasa za Africa huku mpk raisi anapelekwa jela akifanya ufisadi is shot no one is above the law
    Mtu mweny PhD hapa hana tofaut na mtu wa darasa la 7 na Ile sera ya Magufuli hapa kazi tu kaitoa huku jamaa wanafanya kazi zaid ya Punda

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 3 месяца назад

      Sana usisahau walikuwa na miaka ya kiza iliyojaa ufisadi mwingi baada ya ile vita ya korea hapo ndo wakajifunza kujitegemea.

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 месяца назад +1

    kwaiyo we kwa awa viongozi wa africa unataka uwe kama south korea 😁😁🤣🤣

  • @mnaratailoring6346
    @mnaratailoring6346 3 месяца назад

    Kaka tueleezeee pia kuuusu mekiuri .

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 3 месяца назад

    Africa tukiamka sisi ndiomabilionea wamilele😅

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 3 месяца назад

    viongonzi wetu wanatufanya tujutia kuzaliwa huku Africa asee

  • @RamaTraceur
    @RamaTraceur 3 месяца назад

    ule msemo wajinga ndo waliwao ndo huu. Unatoa madini yako unapewa karatasi zao.(Pesa). watu wa korea watakuwa na ajira za kutosha, Watu wa Afrika hatutokua na ajira bali tutanunua bidha za wakorea zinazo tokana na madini yetu,kwa kutumia makaratasi yao (pesa) walizotupa, mchezo ni ule ule faida itakua korea na africa tutabaki na Mashimo ya madini na Umaskini. ni Maoni yangu tu😂😂😂

  • @yusuphkapilimka
    @yusuphkapilimka 3 месяца назад

    SNS❌ CNN✅. 🔥🙌🫡

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад

    Viongozi wa Africa hawajielewi maana wenye shida ni hao lakini yanakusanywa kama mazao kuwafuata hao wenye shida kukopeshwa makaratasi wao wanachukuwa mali zetu....Mama yeye ni kukopa wala sio kusomesha watu ili waje kutusaidia kuunda viwanda lkn mikopo tu 😂😂😂

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 3 месяца назад

    Hata sisi tutabadilika soon mbele ya mama kiz mkazi tutaanza kukopesha nchi jirani

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 3 месяца назад

      😂😂😂😂 KWA hali hii mnavyokwepa kulipa kodi

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 3 месяца назад

    Viongozi wa afrika kazi yao kuitwa njee wakishaoneshwa mataa ya mjini na miji olivyo jengwa,halafu nakupewa Kula basi
    Washamba sana viongozi wetu wanatamaa sana

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад

    Sio magari na simu vifaa vingi Sanaa vya electronic wao Wana maono makubwa sio wajinga

  • @ibrahimgamba8053
    @ibrahimgamba8053 3 месяца назад

    Braza, Mbona umetudanganya 😮 kweli south Korea ikaizidi saudia kiuchumi.?

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад

      Unajua uchumi nn kwanza na unajua uchumi unapimwa kwa vitu gani sikiliza kwa makini utajijibu

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe 3 месяца назад +1

      Saudi arabia gdp ni 1.109 trillion USD 2022
      Korea kusini gdp ni 1.674 trillion USD 2022

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 3 месяца назад

    kusoma physics + chemistry safi sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 месяца назад

    Daaaaa