Oya hyu mchambuz mbn yupo nondo nchi inahadhin y watu hii kwa nn hay tunayoyajua tusianze n viwanda vidog vidog huu ujuzi wenu hp SNS ujue n zaid y channel n chuo ss.
Moja ya kitu kinaendelea kuiweka Africa nyuma ni mifuno mbaya wa elimu haina zaid ya ugumu lkn pia imekosa taswira ya kufikisha popote. Acha wenye elimu watukalie juu. Yaani nchi zote izo zimeweza kusimamiwa na nchi moja tu. Tumekosa ata uwezo wa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
Africa hata ukiwa na ujuzi wako serekali ndio kitu cha mwanzo kukuekekea vikwazo tuna elimi ambayo kila siku inatufanya tuwe watumwa mtu unamaliza hadi chuo huna ujuzi wowote halafu ety mtu ujiajiri wao mbona hawajajiajiri africa hatutaendelea maisha 😂😂😂🙌🙌🙌
Tutatawaliwa mpaka basi utafikiri tuna laana Mungu atujalie sana ktk hili .pia tatizo tumeamini sana mawazo ya wenzetu kuliko yetu . Yani tungesomesha kizazi chetu Kwa nguvu ili kulinda lasilimali zetu .
hiv vtu waliumbiwa wazungu sis waafrika tuliwekwa juu ya ardhi kama mapambo2 hatuna uwezonavyo hata kama tukiwanyma tutavipeleka wap jaman? acha tuwauzie watupe vioo nas tuwape madin yote kwayote sis tuendelee kuwatawala ng'ombe,mbuz,kondoo,punda pamoja na ndge maana ndo uwezo wetu unapoishia🖐🖐🖐
We una akilii sasa awa wasomii siwanaenda kusomea au jitambue ww chizii Nye Lele alipeleka majeshii kwenda kujifunzaa namna ya mbinu zakijeshii walienda na wakaludii Sasa ww mweuuu una ongea nn
Je! Pesa hizi za mkopo Tanzania ilizokopa toka Korea kusini,je! itatutoa ktk umasikini wetu? Bila kuweka rehani migodi yetu, tafadhali kumbukeni kumuenzi mzalendo wa kweli number , one, John Joseph Pombe Magufuli/yeye hakuweka nchi rehani ila aliingia mikataba upya ya win win situation/ccm oyeee! .
Kwenye gold sio madini yanayo kua peke ake sometimes yana kua mixed na Zinc wengine huita Sulphur na pale unapo taka kufanya purification uwenda ukakutana na madin mengine na dhahabu sio kama metal ni vumbi yani huioni kwa macho ni kwa uchache sana kuiona kwa macho iko kama chenga ndogo sana..
Hicho kikao naona ni nchi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 itaendelea kuteseka na haitapata amani kamwe , kwa sababu karibu madini yote unayojua wewe yanapatikana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC KWA HILO NASEMA TU PRAY FOR CONGO 🇨🇩🇨🇩 FREE CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, FREE AFRICA 🌍 TUTAUANA SANA WA AFRICA SISI KWA SISI
Iasee watu wanachekesha sana yaan unachukua mkopo wa trilion 6 then ukishindwa kulipa unawabana wachimba chumvi na wauza mchicha wakupe kodi, viongozi wetu wakiitwa na wazungu wanaenda mbio kwanin kama wao wanahitaji madin wasije ? EE Mungu ikomboe Africa! It is a shame
Ali msumbu soon una safari na mama samia. Unatufaa . Tz tuekeze kwenye elimu alafu wakimaliza wawezeshwe sio kukaa maskini. Jamani story za shalwadu sio tija tupoeni this is smart worlds 🌎 kusoma muhimu
Aisee, tulishindwa kuwa na mikakati mathubuti na sisi tungekuwaga tumepiga hatua laiti tulingewekeza ktk elimu inayoendana na rasilimali tulizo nazo. 😢😢
Hata dhahabu ipo ambayo inakuwa yenyewe ambayo siyo nyingi sana. Dhahabu nyingi ni ile inakuwa kwenye aina nyingine ya madini hasa copper, Sulphur , silver, iron n.k so unapoitafta dhahabu ya aina hii huwa kuna chemicals maalum kwa ajili ya kuitenganisha dhahabu na madini mengine. Mfano sodium cyanide ndiyo chemical inayotumia zaidi
Sisi waafrica tunaupungufu mkubwa tumekwamia wapi akili au mbona wengine wamejikwamimua hawana madini wapo ukiangalia wanaweza Kwa watu wao eti Sisi tunasoma kivipi au ni kujifunza kusoma Tu sio kujua mambo Sisi tumekalia kuzaa tu ndio maana kila nchi zinakimbilia huku .
Huyu mkorea kusini hana hizi fedha huyu anayefanya haya ni mmarekani ampitia mrango wa nyuma ili kupata mali gafi baada ya kugundua kuwa afrika mnaichukia marekani sasa sisi afrika hata kufili kidogo hamna ni kusifia tu acheni ujinga kila siku tunaona marekani amewekeza vitu vingi pale anashindana na korea kasikazini
Tatizo la viongozi wetu wa Africa hujali matunbo Yao tu,wewe ulishaona wapi viongozi wa ulaya wakatunza pesa zao Africa,viongo wa Africa tumelahaniwa na Nini hatuhulumie bas,
Africa ni gereza kuu waloliandaa watu weupe, na wakuu wa gereza hilo ni watu weupe,, wanaosimama kama manyapara ni viongozi wa africa,,, alitabili baba etu nyerere.
Duhh apa tatizo ni mfumo wetu wa elimu, yaan chemistry yetu na physics yetu kuanzia form 1 hadi six inakufundisha story tu za hivi vitu ..je unavipataje, unachimbaje utatumiaje kutengeza hizi kuwa katik usable product , hamna 😂unajkuta unajua element zote 128 kwa majina tuh na story
Shida ya Africa tumehasi asili yetu hatuwezi kuwa na maendeleo kama tuko busy na bible ukikuta mtu ana hogea na mababu mnamuhita mchawi siku mtastuka basi Africa tutakuwa matajiri
Mwanetuu MASUBII una umechukuaa degree gani chuo ...???? Maan unashushaa mamboo ambayo nilikuwa nayaona onaa tuu shuleee aisee 🤣🙌 extraction of metal yotee imelalaa hapaa leo 🤣🙌
South Korea ni Miongoni mwa nchi za kuigwa duniani maan kwa sie tuliokua huku Korea tunajionea jamaa wanavyofanya kazi., pili siasa zao ni tofaut na siasa za Africa huku mpk raisi anapelekwa jela akifanya ufisadi is shot no one is above the law Mtu mweny PhD hapa hana tofaut na mtu wa darasa la 7 na Ile sera ya Magufuli hapa kazi tu kaitoa huku jamaa wanafanya kazi zaid ya Punda
ule msemo wajinga ndo waliwao ndo huu. Unatoa madini yako unapewa karatasi zao.(Pesa). watu wa korea watakuwa na ajira za kutosha, Watu wa Afrika hatutokua na ajira bali tutanunua bidha za wakorea zinazo tokana na madini yetu,kwa kutumia makaratasi yao (pesa) walizotupa, mchezo ni ule ule faida itakua korea na africa tutabaki na Mashimo ya madini na Umaskini. ni Maoni yangu tu😂😂😂
Viongozi wa Africa hawajielewi maana wenye shida ni hao lakini yanakusanywa kama mazao kuwafuata hao wenye shida kukopeshwa makaratasi wao wanachukuwa mali zetu....Mama yeye ni kukopa wala sio kusomesha watu ili waje kutusaidia kuunda viwanda lkn mikopo tu 😂😂😂
Viongozi wa afrika kazi yao kuitwa njee wakishaoneshwa mataa ya mjini na miji olivyo jengwa,halafu nakupewa Kula basi Washamba sana viongozi wetu wanatamaa sana
UMEELEZEA VZR SANA, SEMA ALL IN ALL SISI AFRIKA NI WAJINGA. TUNA KILA KITU ISIPOKUWA AKILI YA KUENDESHA TULIVYO NAVYO
Sie tunauza tu tutabaki watupu Afrika kwasababu ya tamaa ya pesa
Wewe ni kiboko unachambua vizuri sana congratulations
big up sanaa kwa uchambuzi mzuri zaidi
Ali masubi .ww noma bro mungu aendelee kutupa uhai na uzima kwa sote Wana sns.
Oya hyu mchambuz mbn yupo nondo nchi inahadhin y watu hii kwa nn hay tunayoyajua tusianze n viwanda vidog vidog huu ujuzi wenu hp SNS ujue n zaid y channel n chuo ss.
SnS for Future events
Upo vizuri sana
Naona wabovu wa akili mna mshinda Nisha ally masubi na dj sma wote wakovizuri hacheni ujinga
Moja ya kitu kinaendelea kuiweka Africa nyuma ni mifuno mbaya wa elimu haina zaid ya ugumu lkn pia imekosa taswira ya kufikisha popote. Acha wenye elimu watukalie juu. Yaani nchi zote izo zimeweza kusimamiwa na nchi moja tu. Tumekosa ata uwezo wa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
Sio elimu sana kubwa ni mfumo wetu wa katiba unamruhusu raisi kufanya anavyotaka na akitoka madarakini inamkingia kifua
Ally anajua kila kituu
Jamaa ni mtata balaa😂😂
Ali masubi upewe kitengo selikalini🎉🎉🎉
serikali ipi hii ya viongozi wajinga
Wajinga wanaowaongoza werevu 😂😂, sjui nani mjinga ..
Hivi sisi tukiamua kuwaita viongozi wa ulaya kuja Afrika watakuja kweli?😢
Watakuja endapo unataka kuwapa madini yao
@@DodomaTanzania-r5z Daah sawa
Hilo nalo neno🤣
@@zachariamwita3926 Hatari. Wanatuonaje sijui sisi.
😂😂😂
Africa hata ukiwa na ujuzi wako serekali ndio kitu cha mwanzo kukuekekea vikwazo tuna elimi ambayo kila siku inatufanya tuwe watumwa mtu unamaliza hadi chuo huna ujuzi wowote halafu ety mtu ujiajiri wao mbona hawajajiajiri africa hatutaendelea maisha 😂😂😂🙌🙌🙌
Daah mpaka nasikitika 😢😢 afrika alituroga kasha kufa.
Tuliachiwa kuombaomba😂😂
@@RamadanPaulMkoloni katuriga
Hakuna aliyetuloga shida yetu sisi tumezoeya kujikomba Kombatu na tumejawa na unafki tu
Tutatawaliwa mpaka basi utafikiri tuna laana Mungu atujalie sana ktk hili .pia tatizo tumeamini sana mawazo ya wenzetu kuliko yetu . Yani tungesomesha kizazi chetu Kwa nguvu ili kulinda lasilimali zetu .
Dahhh nilikua sijui hiyu jamaa amesoma ni noma sana🔥🔥🔥
Ni mali ya taifa ya kulindwa. SNS wampe kipindi chake cha economics ao finance literacy
Africa nahisi ndio tuliolaaniwa na mungu
Ata mm sielewi 😢Africa in tajiri ila tunaishi kimaskin 😢Mkoloni alituroga
Lol nimejuwa kucheka kwakweri, umenichekesha sana🤣🤣🤣
Hatujalaaniwa ila sisi akili ndo hatuna
@@denismasele4130ndo uchawi
@@denismasele4130akili tunayo ni tamaa na ubinafsi wa viongozi wetu na kukubali kuwa vibaraka vya wakoloni
Nawa kubali sana wana sns
Kwahiyo wanataka kuja kuiba madini Afrika shenz hawa na huyu mama ana waita tuu
Aisee Wana sns wote wako poa acheni kasumba uyu nzuri uyu mbaya kikibwa tuwatie moyo kwa wte .
Kutoka shaurimoyo nairobi
Mdogo wangu nakukubali sana
Asante Ally
hiv vtu waliumbiwa wazungu sis waafrika tuliwekwa juu ya ardhi kama mapambo2 hatuna uwezonavyo hata kama tukiwanyma tutavipeleka wap jaman? acha tuwauzie watupe vioo nas tuwape madin yote kwayote sis tuendelee kuwatawala ng'ombe,mbuz,kondoo,punda pamoja na ndge maana ndo uwezo wetu unapoishia🖐🖐🖐
We una akilii sasa awa wasomii siwanaenda kusomea au jitambue ww chizii Nye Lele alipeleka majeshii kwenda kujifunzaa namna ya mbinu zakijeshii walienda na wakaludii Sasa ww mweuuu una ongea nn
Huyu mwamba kiboko❤ ally
Shule matata sana 🎉sns
Je! Pesa hizi za mkopo Tanzania ilizokopa toka Korea kusini,je! itatutoa ktk umasikini wetu? Bila kuweka rehani migodi yetu, tafadhali kumbukeni kumuenzi mzalendo wa kweli number , one, John Joseph Pombe Magufuli/yeye hakuweka nchi rehani ila aliingia mikataba upya ya win win situation/ccm oyeee! .
Nakubali Mr Ally Masubi
Ali masubi mmoja tu ni zaidi ya taasisi mungu akuweke uzidi kutupa elimu zaidi
Be blessed 🙏🏾.
Kwenye gold sio madini yanayo kua peke ake sometimes yana kua mixed na Zinc wengine huita Sulphur na pale unapo taka kufanya purification uwenda ukakutana na madin mengine na dhahabu sio kama metal ni vumbi yani huioni kwa macho ni kwa uchache sana kuiona kwa macho iko kama chenga ndogo sana..
Tanzania imeuzwa mchana kweupeeee
😂😂😂😂
MOOO dewj,BAHAARESA,GSM,ABRAAZZ STAM,ASAS,MLOKOZ,hawa n wachache wanaweza kuipeleka TZ kilelen selikal iwaangalie kweny hili
Kiukweli sijui kwanini Tanzania ni nchi maskini. ani nashangaa sana
Hii mikutano ni kwa ajili ya kuiba rasilimali za Africa
Viongoz wet uwezo wao wa kuongoz n mdogo nd maan mikataba inawafaidisha wazungu sio waafrica
Sasa wafanye nini nq africa ni shamba la bibi kila mtu ambaye sio muafrica anarubusiwa kuvuna kila kitu anachotaka kutoka shamba la bibi africa
Hicho kikao naona ni nchi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 itaendelea kuteseka na haitapata amani kamwe , kwa sababu karibu madini yote unayojua wewe yanapatikana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC
KWA HILO NASEMA TU PRAY FOR CONGO 🇨🇩🇨🇩
FREE CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, FREE AFRICA 🌍 TUTAUANA SANA WA AFRICA SISI KWA SISI
Yote yanaenda USA na Europe kutengeneza IPhone,Tesla na Microsoft
Iv sis Africa mbona tunatoa vitu vyetu kipumbavu kwenda kuwatajilisha wengine
Uyu jamaa anajua kila kitu 🤣🤣🙌
Dola billioni mbili mbona si nyingi sana? Wakorea wanataka rare minerals ambazo Tanzania inayo kama vile graphite, nikel, na lithium.
SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿
Iasee watu wanachekesha sana yaan unachukua mkopo wa trilion 6 then ukishindwa kulipa unawabana wachimba chumvi na wauza mchicha wakupe kodi, viongozi wetu wakiitwa na wazungu wanaenda mbio kwanin kama wao wanahitaji madin wasije ? EE Mungu ikomboe Africa! It is a shame
Taka kujua aina ya madini
Ali msumbu soon una safari na mama samia. Unatufaa . Tz tuekeze kwenye elimu alafu wakimaliza wawezeshwe sio kukaa maskini. Jamani story za shalwadu sio tija tupoeni this is smart worlds 🌎 kusoma muhimu
Africa tuna mali,lakini tuna emty brain!😢
Kiwanja pekee kilichobaki Kwa wasafiri ....ukiishi hapo umetusua ni Bora zaid ya marekani
Africa mungu ametupa kila kitu lakin bado ni masikini yaani naisi mpaka malaika wanatucheka😂😂😂
Tatzo akitokea kiongozi sisi wenyewe tunampinga mfano magufuli wananchi tulianza kumchukia kwa wazungu kupindisha ukweli
Penyemit hapanawajenz
Aisee, tulishindwa kuwa na mikakati mathubuti na sisi tungekuwaga tumepiga hatua laiti tulingewekeza ktk elimu inayoendana na rasilimali tulizo nazo. 😢😢
Wazungu ndio huweka vizingiti ukiwa na uthubutu unakutana na vikwazo kibao
Korea kusini ni marekani damu damu....hapo tumepigwa changa la jicho
Mambo safi sana❤🎉
Imagine tuna mali ila ss ndo maskini 😢Africa niyawa foreigners not for Africans 😢
Hata dhahabu ipo ambayo inakuwa yenyewe ambayo siyo nyingi sana. Dhahabu nyingi ni ile inakuwa kwenye aina nyingine ya madini hasa copper, Sulphur , silver, iron n.k so unapoitafta dhahabu ya aina hii huwa kuna chemicals maalum kwa ajili ya kuitenganisha dhahabu na madini mengine. Mfano sodium cyanide ndiyo chemical inayotumia zaidi
Haipo kasome zaidi mkuu dhahabu inaexixt kama dhahabu hzo unazozisema ww ni impurities dhahabu haihitaji extraction kama ilivyo aluminium and iron.
Africa wanakuja kushota t
N wacorea n mkono wa marekani tu n wala c mkorea mwenyewe
Sisi waafrica tunaupungufu mkubwa tumekwamia wapi akili au mbona wengine wamejikwamimua hawana madini wapo ukiangalia wanaweza Kwa watu wao eti Sisi tunasoma kivipi au ni kujifunza kusoma Tu sio kujua mambo Sisi tumekalia kuzaa tu ndio maana kila nchi zinakimbilia huku .
Tanzania Ina madini kalibia yote lkn wanaonufaika ni hao kina mama yenu mnaowasifia wanaupiga mwingi baadhi yenu madunya msiojua maana ya maendeleo
Mzee unachimba ,hadi periodic table
Naijua organic and inorganic chemistry.
Huyu mkorea kusini hana hizi fedha huyu anayefanya haya ni mmarekani ampitia mrango wa nyuma ili kupata mali gafi baada ya kugundua kuwa afrika mnaichukia marekani sasa sisi afrika hata kufili kidogo hamna ni kusifia tu acheni ujinga kila siku tunaona marekani amewekeza vitu vingi pale anashindana na korea kasikazini
Yaani África tuna resources lkn viongozi ndo hatuna kabisa kila siku kukopa wakati haohao wanaonda kukopa wanakuja kuchukua material kwetu
Mwamba sina cha kuongezea kiukweli, unafugua bongo zetu
Pamoja kaka
Yaani licha ya hayo yote lakini bado mpaka sasa hata hatushutuki hata kidogo
Kka unajua sana
Kwetu sisi Tanzania upuuz mtupu serekali hamna kitu hatufu chafu ya rushwa tamaa na roho mbaya juu
viongoz wala hata hawastuki wao kusomba pesa nakugawa madini tutaendelea kuwa maskini milele huyu mama puuu
Tatizo la viongozi wetu wa Africa hujali matunbo Yao tu,wewe ulishaona wapi viongozi wa ulaya wakatunza pesa zao Africa,viongo wa Africa tumelahaniwa na Nini hatuhulumie bas,
Africa ni gereza kuu waloliandaa watu weupe, na wakuu wa gereza hilo ni watu weupe,, wanaosimama kama manyapara ni viongozi wa africa,,, alitabili baba etu nyerere.
Sijajua Tanzania itachimba na kuwauzia malighafi au bidhaa zitokanazo na malighafi hizo JPM UNGE AMKA KDOGO TU
Wenzetu wako seriously sana hawana undugu zembe kwenye maswala ya utawala
Waatuchukue na sisi basi😂
Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 shida nini?.
Mbona tuna kila kitu?😮💨
Daah Mwenyezi Mungu ametuachaniza kabisa🤔🤔
Duhh apa tatizo ni mfumo wetu wa elimu, yaan chemistry yetu na physics yetu kuanzia form 1 hadi six inakufundisha story tu za hivi vitu ..je unavipataje, unachimbaje utatumiaje kutengeza hizi kuwa katik usable product , hamna 😂unajkuta unajua element zote 128 kwa majina tuh na story
Allah aqibaru
Sema Kuna mtu watu awamjui mtuambie adani ni nani maana anatajwa na bandari yetu
Waafrica tumelogwa hatujui tunaenda wapi
Ndomana raisi wa Congo alikataa kwenda huko kwenye huo mkutano
Shida ya Africa tumehasi asili yetu hatuwezi kuwa na maendeleo kama tuko busy na bible ukikuta mtu ana hogea na mababu mnamuhita mchawi siku mtastuka basi Africa tutakuwa matajiri
Why
Saudi Arabia to Africa summit
USA to Africa summit
Russia to Africa summit
Korea to Africa summit
China to Africa summit
Why why
Ni aibu KWA kweli
Mwanetuu MASUBII una umechukuaa degree gani chuo ...???? Maan unashushaa mamboo ambayo nilikuwa nayaona onaa tuu shuleee aisee 🤣🙌 extraction of metal yotee imelalaa hapaa leo 🤣🙌
Metallugy my brother.😂
Nimeisikia Tunduru hapo Ruvuma hiyo.
Hayo yote nikuwa na li katiba libovu na laovyo
South Korea ni Miongoni mwa nchi za kuigwa duniani maan kwa sie tuliokua huku Korea tunajionea jamaa wanavyofanya kazi., pili siasa zao ni tofaut na siasa za Africa huku mpk raisi anapelekwa jela akifanya ufisadi is shot no one is above the law
Mtu mweny PhD hapa hana tofaut na mtu wa darasa la 7 na Ile sera ya Magufuli hapa kazi tu kaitoa huku jamaa wanafanya kazi zaid ya Punda
Sana usisahau walikuwa na miaka ya kiza iliyojaa ufisadi mwingi baada ya ile vita ya korea hapo ndo wakajifunza kujitegemea.
kwaiyo we kwa awa viongozi wa africa unataka uwe kama south korea 😁😁🤣🤣
😂😂😂😂
Kaka tueleezeee pia kuuusu mekiuri .
Africa tukiamka sisi ndiomabilionea wamilele😅
viongonzi wetu wanatufanya tujutia kuzaliwa huku Africa asee
ule msemo wajinga ndo waliwao ndo huu. Unatoa madini yako unapewa karatasi zao.(Pesa). watu wa korea watakuwa na ajira za kutosha, Watu wa Afrika hatutokua na ajira bali tutanunua bidha za wakorea zinazo tokana na madini yetu,kwa kutumia makaratasi yao (pesa) walizotupa, mchezo ni ule ule faida itakua korea na africa tutabaki na Mashimo ya madini na Umaskini. ni Maoni yangu tu😂😂😂
SNS❌ CNN✅. 🔥🙌🫡
Viongozi wa Africa hawajielewi maana wenye shida ni hao lakini yanakusanywa kama mazao kuwafuata hao wenye shida kukopeshwa makaratasi wao wanachukuwa mali zetu....Mama yeye ni kukopa wala sio kusomesha watu ili waje kutusaidia kuunda viwanda lkn mikopo tu 😂😂😂
Hata sisi tutabadilika soon mbele ya mama kiz mkazi tutaanza kukopesha nchi jirani
😂😂😂😂 KWA hali hii mnavyokwepa kulipa kodi
Viongozi wa afrika kazi yao kuitwa njee wakishaoneshwa mataa ya mjini na miji olivyo jengwa,halafu nakupewa Kula basi
Washamba sana viongozi wetu wanatamaa sana
Sio magari na simu vifaa vingi Sanaa vya electronic wao Wana maono makubwa sio wajinga
Braza, Mbona umetudanganya 😮 kweli south Korea ikaizidi saudia kiuchumi.?
Unajua uchumi nn kwanza na unajua uchumi unapimwa kwa vitu gani sikiliza kwa makini utajijibu
Saudi arabia gdp ni 1.109 trillion USD 2022
Korea kusini gdp ni 1.674 trillion USD 2022
kusoma physics + chemistry safi sana
Daaaaa