ALIKIBA sio TYPE YANGU/Sijavunja NDOA yake/MIMI MZURI/Lazima WADATE, Afunguka BABI SHERRIE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mrembo anayetajwa kutoka Kimapenzi na Mwanamuziki Alikiba Babi Sherrie afunguka kuhusu ukweli wa tetesi hizo. Sherrie amefunguka kuwa yeye na Alikiba walikuwa wanabiashara ya Siri
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Alikiba #BabiSherrie
Kukujua Ndo Hivi sasa Bila Kiba Ungejulikana Kweli Acha Mambo Mengi
Umepanik mrembo ubaya wa kiba ni eat and run😂😂😂😂
Hit and Run
Babi Sherie nakujua 😂😂 ulitaka kunywa adi sum nadhani ulikunywa kabisa Ali alivokutema
Nashangaa alikuwa km chizi 😊😊😊😊
@@zainabuabdul7852 😂😂 story yake naijua full Kila kitu nashangaa apa anajikuta kujikatalisha
Nyinyi kira mwanaume sio taipu yenu mugejijua msinge kuwa mnasema ayo maneno bora kukaa kimya mana mnakasoro kibao sisi wanume tuna siri kibao ndomana tuna waacha kimyakimya
Maringo mengi mbona wa kawaida tu, yani kama sio Kiba nani angemfahamu huyu kiumbe
Na yy sio type yake
Hajielewi uyu😏
Ila king kashawekaa tayar
Maringo iko juuuuuuu😂😂😂😂😂
Yn c mbaya ila anainekanaga mzuriiiii insta... Kujiedit moto😂
Muhimu king kaweka kashapa napiga kapita katembea
Anajichanganya 😄😄😄
Kwishaaaaa
ALI KAKUTEMA KARIBU UNYWE SUMU SASA UNASEMA ALI SIO TYPE YAKO SHAME ON YOU MOVE ON WACHA HASIRA
kwa ustar huna kiukukweli
Hahha sher muongo
𝑓𝑎𝑙𝑎 𝑤𝑒𝑤 𝑢𝑧𝑢𝑙 𝑔𝑎𝑛 𝑢𝑛𝑎𝑜