Diamond alijifunza mengi pale alipowapeleka harmonize na rayvanny kimataifa mwisho wakaingia tamaa wakamkimbia na kumtukana kwa juu na ukiamgalia ata hao kondegang na nextlevel wanaogopa kuwapush wasanii wao coz wanajua wakiwa wakubwa watawakimbia
Kwani alikua hanufaiki mbona unaongea vitu ambavyo havina maana wewe wale ni juhudi zao binafsi afu mboso Anaimba mziki aina Moja sana zuchu alianza kumchiti mond
Basi angewacha ku sign wasanii, kushinda kufungia wenzake njia akumbuke hao vijana wamemuamini na talent zao , wako pale kukwamua familia zao , na wanakata 60% yao , hio ni dhulma na hata yeye Mungu hatomfungulia
Wandishi wa bongo mnakariri sana na namba za youtube wengine huko wapo bize na mauzo ya Platforms zingine zinaolipa vizuri na shows kwenye nchi tafauti
Lakini hao manager lazima wapitishwe na the main management, hawawezi fanya maamuzi wenyewe, they should give flexibility kwa managers wa wasanii wao ,
Kwanza zuchu wanamchelewesha sana , wanataka ku.geuza kama mbosso ana hit tu east africa ,zuchu is being wasted, hata simba aliwacha kupost ngoma za zuchu kabisa ,sijui ndo anaogopa kuambiwa anapush mwanamke wake, ila wanatumia nguvu nyingi kwa mbosso, zuchu anajipambania sana kama si bidii yake ange sha shuka
Mbona kwenye interview ya pale aéroport alisema kollabo alizitafuta mwenyewe na amelipia kila kitu mwenyewe ila wakina zuch na mboso wanalinda diamond ndo alifanye kilakitu kwahio watachelewa
Ila mkiongea msi sahau wasanii magumu wanawapitia kwenye label kuna vikwazo Vingi, kama zuchu collabo na kina adekunle aliwatafuta mwenyewe,msilaumu sanaa wasanii.
They are not going anywhere for Zuchu I had a high hope because she was almost there but because she’s concerned of what diamonds thing of her or he’s gonna be upset if she does a video with a man she lost her ability to do her music freely her life is literally now about diamond 😩 we miss the Zuchu She used to be sad I hope she wake up before it’s too late
Mnaendelea Kukariri tena Unasema wakitaka Msanii yoyote akitaka Collaboration kwa Wasanii wa Africa anampata. Unajitekenya na kucheka Mwenyewe unafikia hao kina Burnboy sijui Rema wanapatikana Easy kama hivyo? alafu kama yeye Mwenyewe Mkubwa why awatafutie Collaborations na Wasanii wa Nchi nyengine? So awapeleke Mwenyewe kimataifa?😂😂
Mdogo mdogo Bro watafika safari Ni Ndefu 💯💯💯
Diamond alijifunza mengi pale alipowapeleka harmonize na rayvanny kimataifa mwisho wakaingia tamaa wakamkimbia na kumtukana kwa juu na ukiamgalia ata hao kondegang na nextlevel wanaogopa kuwapush wasanii wao coz wanajua wakiwa wakubwa watawakimbia
Kwani alikua hanufaiki mbona unaongea vitu ambavyo havina maana wewe wale ni juhudi zao binafsi afu mboso Anaimba mziki aina Moja sana zuchu alianza kumchiti mond
Basi angewacha ku sign wasanii, kushinda kufungia wenzake njia akumbuke hao vijana wamemuamini na talent zao , wako pale kukwamua familia zao , na wanakata 60% yao , hio ni dhulma na hata yeye Mungu hatomfungulia
Acha kufikiria kama makamasi ya kondoo....hiyo ni biashara na kila mmoja anajitahidi afike mbali matako hiii
Zuchu born a superstar ...
Sema Jacob ni nzuri sana kwenye recap unaweza brw🔥🔥🔥
Wandishi wa bongo mnakariri sana na namba za youtube wengine huko wapo bize na mauzo ya Platforms zingine zinaolipa vizuri na shows kwenye nchi tafauti
Mboso ni mswahili sana, halafu zuchu ni utoto sana, so hawezi kwenda kimataifa
🎉🎉🎉🎉unaakili sana
Zuchu Ana utoto ungewacha chuki ungeelewa movements za zuchu 😂😂😂😂, hakuna msanii Ana akili pale wcb kama zuchu
Hanstone waliona atatoboa sana ndio mana walimuacha.. jamaa linapiga ngoma kali kinyama
Best recap💯
Lakini hao manager lazima wapitishwe na the main management, hawawezi fanya maamuzi wenyewe, they should give flexibility kwa managers wa wasanii wao ,
Kwanza zuchu wanamchelewesha sana , wanataka ku.geuza kama mbosso ana hit tu east africa ,zuchu is being wasted, hata simba aliwacha kupost ngoma za zuchu kabisa ,sijui ndo anaogopa kuambiwa anapush mwanamke wake, ila wanatumia nguvu nyingi kwa mbosso, zuchu anajipambania sana kama si bidii yake ange sha shuka
Diamond ana Akili sana tena anaona jinsi akiwafikisha international wanajiona wakubwa kama yeye na kuwa wapinzane wake. Amejifunza kitu 😮😮😮😮😮😮
Kwasasa kimataifa ni ngumu kwakua akiwapeleka wanamkimbia ko wakibaki nyumban ukimkimbia huezi toboa kimataifa ko utafia hapahapa
Jacob unachambuwa vizur san big up sana bro
Lava lava anajuwa mpubavu
Harmonize Mzee Popo ameroga accounts za Wasanii wa WCB kwenye youtube..eti Kimataifa !!!!!!❌❌❌❌😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Giant man ameongea ukweli
Jacob ametisha kwenye vitu hivi
Zuchu shida ni ba begi ana fungasana mabegi, akifunga begi naku pigiya break kwa Justin bieber si ndo mwisho wa simba Lama simba.
Mbona kwenye interview ya pale aéroport alisema kollabo alizitafuta mwenyewe na amelipia kila kitu mwenyewe ila wakina zuch na mboso wanalinda diamond ndo alifanye kilakitu kwahio watachelewa
🎉🎉🎉🎉🎉konde jitihada binafsi
Y@@PhillyAmbilikilesana
Msanii kwenda kimataifa siyo kazi rahisi aisee...we fikiria kama inafikia hatua ya kubanduliwa unadhan mchezo 🤣🤣
Lavalava ndo mkia😂😂
Kwa zuchu nasubiri kuona album yake maybe Atakua na collabo nyingi zakimataifa cos anajaribu kwasasa ana collabo pia za inje y’a east Africa
VIPI KUHUSU WASANII WA KING'S MUSIC KUFIKA KI MATAIFA???
Yule hanstone lait kama wangemchukua walah lazma Angevuka.kitaifa
Kimataiafa😂😂 EastAfrica kufika Kimataifa bado safari Ndefu sana
Ila mkiongea msi sahau wasanii magumu wanawapitia kwenye label kuna vikwazo Vingi, kama zuchu collabo na kina adekunle aliwatafuta mwenyewe,msilaumu sanaa wasanii.
Zuchu asilimia kubwa anajipush mwenyewe Simba yupo bize na comassva siji ingepushiwa kama commasava tungeongea mengine
Wakirudi utaifani wanamtukana boss
Kwani sns nyie safari yenu imeishia Dear au nyie hamtaki kufika Uganda
They are not going anywhere for Zuchu I had a high hope because she was almost there but because she’s concerned of what diamonds thing of her or he’s gonna be upset if she does a video with a man she lost her ability to do her music freely her life is literally now about diamond 😩 we miss the Zuchu She used to be sad I hope she wake up before it’s too late
Asee kinacho niuma sana nyie watngazaji mbona amuendi kimataifa ili nyie mtangaze wansanii wetu kimaifa
SAFARI ZAO ZA NJE ZIPO MIKONONI MWA BOSI WAO,,,,MI NISIMSIKIE MTU ANANIAMBIA WASANII WANAKUWA BONGO,,,LABDA M1 TENA MMOJA MWEMYEW ANAJIKONGOJA.
Mmesexualize sana hii big 3 mfanye na ya wadada.
Translate please!
Mnaendelea Kukariri tena Unasema wakitaka Msanii yoyote akitaka Collaboration kwa Wasanii wa Africa anampata. Unajitekenya na kucheka Mwenyewe unafikia hao kina Burnboy sijui Rema wanapatikana Easy kama hivyo? alafu kama yeye Mwenyewe Mkubwa why awatafutie Collaborations na Wasanii wa Nchi nyengine? So awapeleke Mwenyewe kimataifa?😂😂
Wewe Basi Ni zuzu kweli. We kwa akili zako ndogo unafikiri wiz kid angefika international kwa kufanya colabo na Vybz Kartel pekee?
Hauna hoja kiongozi collabo zipo sio lazima hao
@@ericnzaro9138 Matusi ya nini Tena hapa Zuzu wewe? Kama Boss wao mkubwa tena wasanii wengine wa nini?
@@zanzibarboyzanzibar509 ndio maana nakwambia wewe Ni mzuzu