Комментарии •

  • @yassirsamir5110
    @yassirsamir5110 День назад +4

    Mdogo mdogo Bro watafika safari Ni Ndefu 💯💯💯

  • @Ali-gq3fb
    @Ali-gq3fb День назад +23

    Diamond alijifunza mengi pale alipowapeleka harmonize na rayvanny kimataifa mwisho wakaingia tamaa wakamkimbia na kumtukana kwa juu na ukiamgalia ata hao kondegang na nextlevel wanaogopa kuwapush wasanii wao coz wanajua wakiwa wakubwa watawakimbia

    • @PhillyAmbilikile
      @PhillyAmbilikile 23 часа назад +1

      Kwani alikua hanufaiki mbona unaongea vitu ambavyo havina maana wewe wale ni juhudi zao binafsi afu mboso Anaimba mziki aina Moja sana zuchu alianza kumchiti mond

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou 22 часа назад

      Basi angewacha ku sign wasanii, kushinda kufungia wenzake njia akumbuke hao vijana wamemuamini na talent zao , wako pale kukwamua familia zao , na wanakata 60% yao , hio ni dhulma na hata yeye Mungu hatomfungulia

    • @georgenzai1355
      @georgenzai1355 15 часов назад

      Acha kufikiria kama makamasi ya kondoo....hiyo ni biashara na kila mmoja anajitahidi afike mbali matako hiii

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 19 часов назад +3

    Zuchu born a superstar ...

  • @EleveneAmerco-vw8en
    @EleveneAmerco-vw8en 16 часов назад +2

    Sema Jacob ni nzuri sana kwenye recap unaweza brw🔥🔥🔥

  • @KamalAbdousaidi
    @KamalAbdousaidi День назад +2

    Wandishi wa bongo mnakariri sana na namba za youtube wengine huko wapo bize na mauzo ya Platforms zingine zinaolipa vizuri na shows kwenye nchi tafauti

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi5229 23 часа назад +5

    Mboso ni mswahili sana, halafu zuchu ni utoto sana, so hawezi kwenda kimataifa

    • @PhillyAmbilikile
      @PhillyAmbilikile 23 часа назад +3

      🎉🎉🎉🎉unaakili sana

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou 22 часа назад +2

      Zuchu Ana utoto ungewacha chuki ungeelewa movements za zuchu 😂😂😂😂, hakuna msanii Ana akili pale wcb kama zuchu

  • @pena_tz
    @pena_tz 7 часов назад

    Hanstone waliona atatoboa sana ndio mana walimuacha.. jamaa linapiga ngoma kali kinyama

  • @AsheruNajimu
    @AsheruNajimu 23 часа назад +2

    Best recap💯

  • @Sunflower001-xt3ou
    @Sunflower001-xt3ou 22 часа назад +1

    Lakini hao manager lazima wapitishwe na the main management, hawawezi fanya maamuzi wenyewe, they should give flexibility kwa managers wa wasanii wao ,

  • @Sunflower001-xt3ou
    @Sunflower001-xt3ou 22 часа назад +2

    Kwanza zuchu wanamchelewesha sana , wanataka ku.geuza kama mbosso ana hit tu east africa ,zuchu is being wasted, hata simba aliwacha kupost ngoma za zuchu kabisa ,sijui ndo anaogopa kuambiwa anapush mwanamke wake, ila wanatumia nguvu nyingi kwa mbosso, zuchu anajipambania sana kama si bidii yake ange sha shuka

  • @12345678938129
    @12345678938129 День назад +4

    Diamond ana Akili sana tena anaona jinsi akiwafikisha international wanajiona wakubwa kama yeye na kuwa wapinzane wake. Amejifunza kitu 😮😮😮😮😮😮

  • @alphoncemtahuka9938
    @alphoncemtahuka9938 День назад +3

    Kwasasa kimataifa ni ngumu kwakua akiwapeleka wanamkimbia ko wakibaki nyumban ukimkimbia huezi toboa kimataifa ko utafia hapahapa

  • @NzeyimanaJunior
    @NzeyimanaJunior 16 часов назад

    Jacob unachambuwa vizur san big up sana bro

  • @nabukyeKanefu
    @nabukyeKanefu День назад +2

    Lava lava anajuwa mpubavu

  • @SifaEmma
    @SifaEmma 23 часа назад +1

    Harmonize Mzee Popo ameroga accounts za Wasanii wa WCB kwenye youtube..eti Kimataifa !!!!!!❌❌❌❌😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mzeezidane4060
    @mzeezidane4060 День назад +1

    Giant man ameongea ukweli

  • @Insumbazose
    @Insumbazose 23 часа назад +1

    Jacob ametisha kwenye vitu hivi

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 3 часа назад

    Zuchu shida ni ba begi ana fungasana mabegi, akifunga begi naku pigiya break kwa Justin bieber si ndo mwisho wa simba Lama simba.

  • @KamalAbdousaidi
    @KamalAbdousaidi День назад +1

    Mbona kwenye interview ya pale aéroport alisema kollabo alizitafuta mwenyewe na amelipia kila kitu mwenyewe ila wakina zuch na mboso wanalinda diamond ndo alifanye kilakitu kwahio watachelewa

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 17 часов назад

    Msanii kwenda kimataifa siyo kazi rahisi aisee...we fikiria kama inafikia hatua ya kubanduliwa unadhan mchezo 🤣🤣

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 День назад +2

    Lavalava ndo mkia😂😂

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 17 часов назад

    Kwa zuchu nasubiri kuona album yake maybe Atakua na collabo nyingi zakimataifa cos anajaribu kwasasa ana collabo pia za inje y’a east Africa

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 19 часов назад +1

    VIPI KUHUSU WASANII WA KING'S MUSIC KUFIKA KI MATAIFA???

  • @ismailisuleimani6183
    @ismailisuleimani6183 12 часов назад

    Yule hanstone lait kama wangemchukua walah lazma Angevuka.kitaifa

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 День назад

    Kimataiafa😂😂 EastAfrica kufika Kimataifa bado safari Ndefu sana

  • @Sunflower001-xt3ou
    @Sunflower001-xt3ou 22 часа назад +1

    Ila mkiongea msi sahau wasanii magumu wanawapitia kwenye label kuna vikwazo Vingi, kama zuchu collabo na kina adekunle aliwatafuta mwenyewe,msilaumu sanaa wasanii.

    • @MaulidMtaji-mc5fr
      @MaulidMtaji-mc5fr 21 час назад +1

      Zuchu asilimia kubwa anajipush mwenyewe Simba yupo bize na comassva siji ingepushiwa kama commasava tungeongea mengine

  • @muslimdafatima8003
    @muslimdafatima8003 День назад

    Wakirudi utaifani wanamtukana boss

  • @Lassana755
    @Lassana755 18 часов назад +1

    Kwani sns nyie safari yenu imeishia Dear au nyie hamtaki kufika Uganda

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby 15 часов назад

    They are not going anywhere for Zuchu I had a high hope because she was almost there but because she’s concerned of what diamonds thing of her or he’s gonna be upset if she does a video with a man she lost her ability to do her music freely her life is literally now about diamond 😩 we miss the Zuchu She used to be sad I hope she wake up before it’s too late

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 16 часов назад

    Asee kinacho niuma sana nyie watngazaji mbona amuendi kimataifa ili nyie mtangaze wansanii wetu kimaifa

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 8 часов назад

    SAFARI ZAO ZA NJE ZIPO MIKONONI MWA BOSI WAO,,,,MI NISIMSIKIE MTU ANANIAMBIA WASANII WANAKUWA BONGO,,,LABDA M1 TENA MMOJA MWEMYEW ANAJIKONGOJA.

  • @glowingspirit606
    @glowingspirit606 22 часа назад

    Mmesexualize sana hii big 3 mfanye na ya wadada.

  • @veronicamccollin8212
    @veronicamccollin8212 23 часа назад

    Translate please!

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 День назад +1

    Mnaendelea Kukariri tena Unasema wakitaka Msanii yoyote akitaka Collaboration kwa Wasanii wa Africa anampata. Unajitekenya na kucheka Mwenyewe unafikia hao kina Burnboy sijui Rema wanapatikana Easy kama hivyo? alafu kama yeye Mwenyewe Mkubwa why awatafutie Collaborations na Wasanii wa Nchi nyengine? So awapeleke Mwenyewe kimataifa?😂😂

    • @ericnzaro9138
      @ericnzaro9138 День назад +1

      Wewe Basi Ni zuzu kweli. We kwa akili zako ndogo unafikiri wiz kid angefika international kwa kufanya colabo na Vybz Kartel pekee?

    • @AsheruNajimu
      @AsheruNajimu 23 часа назад

      Hauna hoja kiongozi collabo zipo sio lazima hao

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 23 часа назад

      @@ericnzaro9138 Matusi ya nini Tena hapa Zuzu wewe? Kama Boss wao mkubwa tena wasanii wengine wa nini?

    • @ericnzaro9138
      @ericnzaro9138 21 час назад

      @@zanzibarboyzanzibar509 ndio maana nakwambia wewe Ni mzuzu