"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Kaka Makonda. Jangwani kaka.. Hautuelezi mipango ikoje.. Huu ni mwezi wa July msimu wa mvua hauko mbali sana... Umetuambia kuwa uncle Magu amekupa mzigo mnene wa mapesa... Bora ungezigawa hata nusu zikajenge jangwani.. Mafuriko yanapomwagika jangwani tunakuwa hatuna hamu na Dar... Hilo halitakiwi kupoteza muda.. Lazima litazamwe kwa jicho la wepesi
Mirad ayo mambo mangene sio ya kutuonesha huomto wameukosea sana kinachofanyika hapo ni kupiga pesa tu mto wenye ukorofi kama huo auwezi kujengwa kizahifu sana tutegeemee mafuliko makubwa sana tena
Saiv munawambia mengine sio matatizo yao ni tabia ya mto muda mwengine mto hufuata nyumba sasa subiri kipindi hichi kipite utaambiwa umejengwa kwenye njia ya maji yaani tabu tuu na hii sio kampeni kweli na muda bado
Jpm alishasema maendeleo ayana chama, sas inakuaje wewe uanze kusema ccm wakati nisisi wananchi ndotunapigika kuleta maendeleo kila m2 analipa kodi akuna cha ccm au chadema
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏tanzania yetu...Mungu endelea kutufanyia wepesu,kutubariki na kutuimarisha katika maendeleo
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
KWELI MAGUFULI ANATISHA AISEE
Siasa mbaya sana ,wakufanya ni serikali kwa kushirikiana na viongozi hisika maana walipa kodi ni wananchi msitupiane mpira kwenye maisha ya watu
Hapa kazi tu
Hyu anafaa kuwa mkuu was mkoa wa dar es salaam
boti zielee kwa maji gani 😀 dah labda wasitupe taka
Ni ukweli huo anaesema anagombanisha hajielewi👇
Naona kodi za wananci zinfanya kazi,
Jukumu mama na serikali
Hapo sw lazima wanyookeee
Kaka Makonda. Jangwani kaka.. Hautuelezi mipango ikoje.. Huu ni mwezi wa July msimu wa mvua hauko mbali sana... Umetuambia kuwa uncle Magu amekupa mzigo mnene wa mapesa... Bora ungezigawa hata nusu zikajenge jangwani.. Mafuriko yanapomwagika jangwani tunakuwa hatuna hamu na Dar... Hilo halitakiwi kupoteza muda.. Lazima litazamwe kwa jicho la wepesi
Tanzania bila wapinzani akuna maendelea namjuwe nisis wananchi ndotunajenga kwa kodi zetu syo CCM kwaiyo acheni kuwaponda wezio mkikaa wenyewe bungeni mtanyooxheana kidole au mtaficha maovu
Wapinxani wetuchelewesha sana maana kila kitu ni kupinga sasa wao wanapinga maendeleo tunayaona .unasemaje bila wao hkuna maendeleo
Wapinzani wenyewe Wanakimbia bungeni Wanazira?
Mirad ayo mambo mangene sio ya kutuonesha huomto wameukosea sana kinachofanyika hapo ni kupiga pesa tu mto wenye ukorofi kama huo auwezi kujengwa kizahifu sana tutegeemee mafuliko makubwa sana tena
Saiv munawambia mengine sio matatizo yao ni tabia ya mto muda mwengine mto hufuata nyumba sasa subiri kipindi hichi kipite utaambiwa umejengwa kwenye njia ya maji yaani tabu tuu na hii sio kampeni kweli na muda bado
mtoto ujenzi design mbaya maji yametwama...mbu kila kona
taarabu kibao
Jpm alishasema maendeleo ayana chama, sas inakuaje wewe uanze kusema ccm wakati nisisi wananchi ndotunapigika kuleta maendeleo kila m2 analipa kodi akuna cha ccm au chadema
Ata trump anasema Republican..ndicho chama ambacho kipo madarakani
Sasa unataka aseme chama gani hta cdm wakiwa madarakani watasemea ccm
Acha kuchonganisha raia
Viongozi wamyakayote ni ccm ndiowanaotawala myakayote tokea uhuru wataripuka ccm
Nani kama Jpm
Is this the Coco Beach redevelopment?
No,this river ends at surrender bridge.
@@blandinamnyinga8318 thank you sir!!
@@thebossman4875 your welcome but I am female(Madame)
Kwani kampain zishaanza?
Nyie si mmesema mikutano bado?acheni usenge
Kumamako choko ushafirwa mara ngapi leo