DAR ES SALAAM INAZIDI KUNOGA MTO N'GOMBE BOTI ZITAELEA JUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 34

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏tanzania yetu...Mungu endelea kutufanyia wepesu,kutubariki na kutuimarisha katika maendeleo

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 года назад +18

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 года назад +9

    KWELI MAGUFULI ANATISHA AISEE

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 4 года назад +5

    Siasa mbaya sana ,wakufanya ni serikali kwa kushirikiana na viongozi hisika maana walipa kodi ni wananchi msitupiane mpira kwenye maisha ya watu

  • @jackyroy2985
    @jackyroy2985 4 года назад +4

    Hapa kazi tu

  • @isayaezekiel2867
    @isayaezekiel2867 4 года назад

    Hyu anafaa kuwa mkuu was mkoa wa dar es salaam

  • @mcshondelive
    @mcshondelive 4 года назад +3

    boti zielee kwa maji gani 😀 dah labda wasitupe taka

  • @zulekhaally3524
    @zulekhaally3524 4 года назад +7

    Ni ukweli huo anaesema anagombanisha hajielewi👇

  • @ambrosdavid4484
    @ambrosdavid4484 4 года назад +2

    Naona kodi za wananci zinfanya kazi,

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 года назад +1

    Jukumu mama na serikali

  • @athumanidaudi1115
    @athumanidaudi1115 4 года назад +5

    Hapo sw lazima wanyookeee

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад

    Kaka Makonda. Jangwani kaka.. Hautuelezi mipango ikoje.. Huu ni mwezi wa July msimu wa mvua hauko mbali sana... Umetuambia kuwa uncle Magu amekupa mzigo mnene wa mapesa... Bora ungezigawa hata nusu zikajenge jangwani.. Mafuriko yanapomwagika jangwani tunakuwa hatuna hamu na Dar... Hilo halitakiwi kupoteza muda.. Lazima litazamwe kwa jicho la wepesi

  • @elisante6838
    @elisante6838 4 года назад +2

    Tanzania bila wapinzani akuna maendelea namjuwe nisis wananchi ndotunajenga kwa kodi zetu syo CCM kwaiyo acheni kuwaponda wezio mkikaa wenyewe bungeni mtanyooxheana kidole au mtaficha maovu

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 года назад

      Wapinxani wetuchelewesha sana maana kila kitu ni kupinga sasa wao wanapinga maendeleo tunayaona .unasemaje bila wao hkuna maendeleo

    • @shedadiabdul6585
      @shedadiabdul6585 4 года назад

      Wapinzani wenyewe Wanakimbia bungeni Wanazira?

  • @husseinjuma8127
    @husseinjuma8127 4 года назад

    Mirad ayo mambo mangene sio ya kutuonesha huomto wameukosea sana kinachofanyika hapo ni kupiga pesa tu mto wenye ukorofi kama huo auwezi kujengwa kizahifu sana tutegeemee mafuliko makubwa sana tena

  • @ahmadjuma3816
    @ahmadjuma3816 4 года назад +4

    Saiv munawambia mengine sio matatizo yao ni tabia ya mto muda mwengine mto hufuata nyumba sasa subiri kipindi hichi kipite utaambiwa umejengwa kwenye njia ya maji yaani tabu tuu na hii sio kampeni kweli na muda bado

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 года назад

    mtoto ujenzi design mbaya maji yametwama...mbu kila kona

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 4 года назад

    taarabu kibao

  • @elisante6838
    @elisante6838 4 года назад +2

    Jpm alishasema maendeleo ayana chama, sas inakuaje wewe uanze kusema ccm wakati nisisi wananchi ndotunapigika kuleta maendeleo kila m2 analipa kodi akuna cha ccm au chadema

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 года назад +1

      Ata trump anasema Republican..ndicho chama ambacho kipo madarakani

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 года назад

      Sasa unataka aseme chama gani hta cdm wakiwa madarakani watasemea ccm

  • @hpp3729
    @hpp3729 4 года назад +1

    Acha kuchonganisha raia

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 года назад

    Viongozi wamyakayote ni ccm ndiowanaotawala myakayote tokea uhuru wataripuka ccm

  • @dennisstafford450
    @dennisstafford450 4 года назад

    Nani kama Jpm

  • @thebossman4875
    @thebossman4875 4 года назад

    Is this the Coco Beach redevelopment?

  • @mateomasana9145
    @mateomasana9145 4 года назад +1

    Kwani kampain zishaanza?

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 года назад +2

    Nyie si mmesema mikutano bado?acheni usenge