Muko vzr san Mashallah sema badilisheni stor sio kila mamb y uchaw mtatuhamasisha nn watazamaj mbn ctor zipo nying t ss ndo mashabk wenyewe fanyieni kaz
Sawia na mpangaji naomba mbwela awe ndio master w uchawi lakini ameficha kucha kw sababu y mafunzo aliyo pewa ..itapendeza sana mbwela akiwashenyenta wachawi wote kama master aliye kuwa underated...hii n ubunifu nimewapa free of charge
Mwasi na kakoso heshima kwenu from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hongera sana dada mwasi jukua maua 🌹🌹 nawapenda sana Dada zangu keep it up good work ❤️
Mwasi napenda saana kazi zako, naomba muongeze sauti kwenye hii movie,asanta🇧🇮
Mmmh hili goma mbna Kali kumeanza kuchangamka ssa 😊😊😊
Jaman Mzidole msiwai muach nyuma ndo anafany kazi zenu ziwe juu zaidi
Mzidole kaja tena kazi inakua ya moto sasa
Watu kecha watu kocho mzidoleeeee penda sana we jamaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe jiniii tuliyaaa mapenziii ya meumbiwaa watu n majini😂😂😂😂
Mwasi hii lazima uze mama Kali sana
Nice work mwasi🎉🎉❤❤
❤❤❤❤ mzidole uko vzr mpoa❤❤❤🎉🎉🎉
Safi san mzidole ❤
Kazi inazidi kua nzuri endelea kupambana da mwasi💪🙌❤️❤️🔥
Mzidole ni balaaa 💯
Kazi nzuri da mwasi butembo Congo tunakupenda Sana
Napenda kazi zenu mpovizur nafuatia sn kazi zenu hongereni sn
Safi Mzidole washenyente aoooòò
Mzidole 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unyamaaa nimwingi
Kakoso hunielew c nimekuambia ninamatako nataka kuigiza bana😅
Nampenda mzidole ♥️♥️
Ila mzidole ❤❤❤❤❤
Mzidole Mzidole watu kechaa😂🔥🎉
Umeyatimba Mzee wa misenyetto Mr senko 😂😂😂but mzidole jmniiii I'm waiting for you 🙏
Hapo sasa mzidole 🎉🎉🎉🎉KAZI nzuri Sana mwasi
Mzidole Kenya twakupenda sana
Hamna mbambambaaaa, congratulation 🎉🎉🎉🎉🎉❤for all❤❤❤
Jameni, mzidole noma
Term mzidole tufanye mchango tumununulie nguo maana anatufurahisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂 haya nasubr mchango Sasa 🎉🎉 ila zawad
@Mzidole nimefanya nn tena 🤣🤣🤣🤣🤣
@@Mzidoletunakukubali mwamba
@@Mzidolewatu kecha nawasha gari akateleza nakufatilia sana man #Pl🇵🇱
Kazi nzuri sn shukran🎉
Eeebwanaeeee mzidole kiboko😂😂😂😂😂😂kiboko ya wanga na majinu pia????
Kazi zenu ni nzuri sana
Jamani watu wananiuga mukono mzidole nayeye ahagarie atupe kitu kikali kwenye Chanel yake twende kwenye like mzidole nakupenda sana from Burundi 🇧🇮
Mzidole hiyo scene unayoigiza inakufaa sana unajua
Mzidole mzidole 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤nawote mauwa yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Nice work keep 👌 the good work 👏 🙌
Mwasi niongezee sauti yenu Tu basi...kwingineko umeus nzuri Sana
More love from kenya
Mzidole huu uhusika unakufaa sana 💐 🌹
Mzidole.noma😅😅
Mchezo mzr sana
Hii tam sana mzidole msaidie mwasi nimeipenda😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤
Chezea mzidole ww utanasa😂😂😂 nakupenda mzidole yan unankosha wallah
Kazi nzuri🎉🎉🎉
Mauwa yenu kazi nzur sana na inadakika nzuri unarizika kidogo 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mzidole mzidole kazi nzuri
Mzidole oyeeeeee ❤❤
Waoo mwasi umenyoa umepemdezaaaaa
Sawa kazi nzur
nakupenda sana mzidole 🥰🥰🥰had napagawa
😂😂😂😂😂mzidole mzidole 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mzidole siwez ishi bila wew nishakupenda ❤😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Wow mzidole pia huku upoo 😂😂nitafuatili hii movie hadi mwisho.... nakupenda bure mzidole chukua maua yako ❤❤❤❤
Hongereni kwa kazi nzuri, Mimi ni shabiki yenu wa muda mrefu
Mzidole badili nguo tumechoka😂ila kazi nzuri🎉🎉🎉
Usilivue babaa endelea nalo hadi mwaka uishe😂😂😂😂
😂😂
@@Mzidole mpaka profil pic ni ile ile nguo😂😂❤️❤️❤️
@@sheilm819 haaaah jmniiiiii hili lingine bhan 🥹
@@Mzidole 😂😂😂
Hongera Kwa anae isoma message hii kaz Bora waingizaj wetu, mungu atusaidie tuvuke mwaka salama, 2025 uwe mwaka wa mafanikio😊🙏
Mzidole nakupenda bure❤❤❤
Sawa imeenda hiyoooo
Mafans wa mwasi tulitiane tugrow pamoja 🎉🎉
Mzidole mzidole😅
Weee mzidole hongera zenu😂😂😂😂
Mzidole Mzidole Mzidole safi sana kaz nzuri
Mwasi na wenzako hongereni kwa kazi nzuri ❤
Ila mzidole 😂🙌
Mzidole uyooooooooo watu kecha ✌️😂😂😂😂😂😂
As long as kuna mzidole, basi moto uwake 🔥🔥 😅😅
Muko vzr san Mashallah sema badilisheni stor sio kila mamb y uchaw mtatuhamasisha nn watazamaj mbn ctor zipo nying t ss ndo mashabk wenyewe fanyieni kaz
Hongera xna nkiona mbwela sengo na mwasi najua kazi ni poa🎉🎉
Félicitations la dada 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Yaaaaan movie zetu zimekuwa Bora sana
Sana
Jamani ii team mates sana ,,filamu zenu nzuri🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Mzidole raise wawanyonge😂😂😂😂
Mzidole Hilo shati tosha baba😂
😂😂😂😂😂😂
Sio vizur
Bado hamjasemaa😂😂😂usilivue baba mpaka mwaka uishe mzee😂😂😂
Safi sana kwa kazi yenu nzuri sana 🎉🎉❤❤
🎉🎉🎉❤❤❤❤ no 1
mzidole hongela kakaangu kwakujituma
Ila mzindolee😂😂
Duuuh hii movie nikali kama Ile ya mpangaji😅
Kazi zuri
Mzidole unajuwa sana bro nilianza kukukubali kweny KUFULI
Mwasi,short hair looks good on u❤❤❤ unapendeza sana na nywele fupi
Kaz nzur ila mjitahid inapo ishia yianzie hapo hapo ❤❤🇰🇪
Muzidole muzidole muzidole naipenda iyi
Mzidole badilisha nguo basi😂
mzidole unajua sana brother
😂😂😂😂umeona hawaa nguvu alizo nazo mzidole humuez hata kwa daw😂😂😂😂
Mdada akigusa hii comment namtongozah❤😂
😂😂😂Huyo
@KhadijaNyawa siwez ish bila ww
Sema ulikua wataka iguswe haya nitngoze nimefika😂😂😂
@MwanalimaMwalimu-c4m nakupenda siwez ish bila ww
@@KevooMpl saii unaishi na nani kama kutongozwa nihivyo acha ikae😂😂😂😂
Sawia na mpangaji naomba mbwela awe ndio master w uchawi lakini ameficha kucha kw sababu y mafunzo aliyo pewa ..itapendeza sana mbwela akiwashenyenta wachawi wote kama master aliye kuwa underated...hii n ubunifu nimewapa free of charge
Lkn mwasi ni cute gal mashallah 💖 😍
Mzidole hongera🎉🎉🎉❤
Mzidole kiboko za wachawi na majini
Hongereni Sanaa Kaz nzur team kakoso Og❤❤❤🎉
Ila Mzidole bana,unaeza bba keep the 🔥 burning
Mzidole kipaji unacho kaka wakati nliona team mbwela nkajuwa filamu itanoga mauwa nishawapea🎉254🇰🇪🙏
😂😂😂ivi hii shati ya mzidole mbona anaipenda ivi au ndo inampa nguvu za kichawi naulizia jirani yangu
Kazi nzur jaaman nawapenda wote
Ndani ya dakika 7 niko pamoja nanyi, From Mozambique Terra de Boa g3nte
Siku hizi imekuwa bongo wizad sio bongo movie tena 😅😅
🇧🇮mambo 🔥🔥
mzidole mzidole 🎉🎉❤❤❤
mmmmm mzidole mzidole mzidole watu kecha wakasafi 😂😂😂😂😂😂😂👋👋👋👋👋
🎉🎉🎉🎉maua ya mzidoleee mpe Hawa anachotaka