Mbona mamorio wanaogopa Prostate Cancer test? Abel alitupa uhondo
HTML-код
- Опубликовано: 27 авг 2024
- Jahmby Wa Dago
Jahmby and Abel. We had a previous interview on Abel's channel and we had to do it again over here. It's always refreshing to chat with Abel on our experiences mtaani. Healthcare mtaani is of low quality and inaccessible.
Lakini swali ni kwa nini mamorio wanaogopa hiyo test ya Prostate Cancer? Mkuruu anatuelezea kinaga ubaga mbona yeye hiyo story haikui.
To support this channel Mpesa Number is 0721543239
Mpesa Name: Mary Njambi
Videography by @itskanyi_ Ian Kanyi
Post-Production edit by @koechdawn
Nahope imewabamba watu yangu vile inanibamba leo tumekuwa na Mkuruu. Kusupport channel yetu Mpesa number is 0721543239 Mary Njambi.
Hii iliweza mbaya. Piga story na mzee mzima Njugush....
a year later on na bado imweza kuruka....naf love african queen
R. I. P
Manze naokotwa hapa ni kama sikuwa Hapo tukishoot. Imenibamba deadly!!!
Hahahahahaha hata mimi maze najikuta nikicheka mbaya Mkuru. Much love and respect mtu yangu. God azidi kukubless tu sana.
Mkuuuruuu na jahmby the show is lit🔥🔥legends wakipatana
Mkuru tunakufuata everywhere 👊
Mkurugenzi!!!
Mkuru, situskume hii channel na Ile energy ya "we gaat thaa jyuuuuuusss."
I really hope the government revolutionaizes health care system. Rest in power Jahmby
She lived a full life and finished her race through God's amazing grace. Let us all continue ours focusing out eyes upon Jesus.
These two should have a podcast together or a radio show. Nimecheka yangu yote 😂
Such a vibe, we will surely miss you Jahmby rest in eternal peace.
I see Jahmby n I just see God. All praises to the most high
Amen and amen Esther. Thank you so much for watching. God bless you.
Your laughter Jamby😃 is addictive..
Please you n Mkuruu should do this again n agin pleeeeeeease
Hahahahaha ok Milli we'll do it again. Asante sana for watching. Mungu akubariki
Beautiful, simple & down to earth Njahmby!!
I like shows like this one. Nothing formal ni kupiga riba tu just good vibes, inspirational and fun to. Team Mkuru kujeni msubscribe uku io 20k tunaimulika na tunaipita. Jahmby 💪
I've really enjoyed the interview , such that it was difficult to know who's interviewing who , between the two legends.
Great Antony and thanks for watching. It was such a rich conversation I guess we were interviewing each other.
mnaeza anzisha show yenu juu the chemistry🔥🔥
Shine on ur way Empress
I have always known this combo is fire! I had no doubt. But seeing the title and how long it was, nikashushwa moyo kidogo nikidhani ni campaign ya prostate. So I just downloaded it and put it off.
Jana as I was working, I decided to play it. Besides, ni Jahmby na Abeli, atakama ni campaign, haiwezi kua boring.
Maze nimenice nimecheka hadi nikalia. That hour felt like 20 minutes. Kazi safi sana, sound clear, footage safi!!!
I loved every minute if it. Ati Abeli your mum left you in hospital akasema ujipange🤣🤣🤣🤣
Enyewe kulea mtoto ghetto inahitaji ukae ikumuonyesha vile pia we ni kichwa ngumu🤣🤣🤣
Ah, I've really loved this. Thankyou both for being so inspirational. Imenice sana. Mkakua na segment ya Jahmby na Abeli, inaeza nice videadly. Especially how relatable you both are to the rest of us wenye ghetto imetulea, na situations tunaface bado. Na culture shock tumepata vile tumepenya huku nje.
Bless you both sana, Mola awajalie (vile pia me nitajalia hiyo mpesa😅)
Shukran🧡
Maze mresh, thank you so much for your feedback. Pole sana about the title ntajaribu next time. Nashukuru sana hizi story zetu za mtaa zimekubamba na ukacheka maze.
Abeli ni mtu yangu sana na mi hucheka kila time nikicheki hii episode. Hizi story zetu za mtaa lazima tuzipige atleast hata sisi watoi wa ghetto tunafeel kumbe tunaweza tambulika.
Hii life nabelieve in telling our stories to empower and uplift others. Much love sister.
Jahmby ur such a blessed soul 💯may God bless and expand ur territories
If energy and positive vibes was a person,where Mkuruu goes I goo👌👌👌👍👍👍🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Mkuruu is one of a kind Lorna. Much love to you. Asante sana for watching.
2 of my biggest and favorite Kenyan people, been a fan and a follower since reggae na selekta technics , and a huge fan of Mkurugenzi. Big up both for what u doing to change the industry and include the Youtman mtaani. 👏🏿👏🏿👊🏾👊🏾🔥🔥🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️
Fyah mummah na mkurugenzi we need more of this conversations
This is a conversation not an interview. Great job guys.
Yes Greg. Thanks for watching. God bless you abundantly.
Mkurugenzi mkurugenzi.
Is always my number 1
Shout out to Ngara Girls alumni here... Wuwiiiiii nyonga was awesome unaongeza tomato sauce na crisps na avocado basss! I dint know the back story... Love the interview
Hahahahaha yes shout out to Ngara Girls. That nyonga rice walai mimi singemanage. Thanks for watching girl na God akubless. Much love.
This duo is a whole vibe....
Makosa ni yangu,bana mbona sijainject kwa njambii
Mimi huyu niko hapa na sitoki ng'o ..show imeweza kuruka 💯❤️❤️❤️❤️🥰🥰
Aah..you guys should host a show together 😂😂
Shaka!!
Hahahaha that would be pure laughter
@@JahmbyKoikaithis should be happening jahmby❤
Hii channel tunaiskuma to the hundreds of thousands quick fast. Sisi gang ya mkuru we gatch you.
Thank you Lucy and be blessed. Nashukuru sana mresh.
Your turbans are always on fleek 👌👌👌🔥🔥
Mama ulikua unapenda raha but mungu amekupenda saidi Rip mama
Mkuru na Jahmby wakipatana trust the convo to be lit.....
Kabisa Mercy. Much love and God bless you abundantly.
Thank you for this, imeninice sana. I'm highly motivated. Thank you for this.
Mkurugenzi anytime.Show imeweza sana.
Mkuruu kabisa. Shukran sana na ubarikiwe zaidi Achika Tv, thanks for watching.
The chemistry here is just on another level🔥🔥🔥
Thank you Benard. Asante sana for watching. Baraka tele.
@@JahmbyKoikai Amen, na tukutane pale live recording insha'Allah🔥🔥🔥
Kabisa mtu yangu insha'Allah ntakuja soon
Best combination ever nyi wasee maaan we need more from you two.....
This one should have a million views. I've laughed so much at some points, that I was out breath. Hadi nikasahau Jahmby ametoka kidogo
Rest well legend wetu wa Setty.❤❤
🤣🤣🤣💦🤣🤣💦this is awesome ❤🌹kucheka nimecheka kweli🤣🤣🤣💦thank you
Really hilarious. Too bad I saw this posthumously Njambi.
She never acknowledged her father once, but still enjoyed a prevalaged lifestyle, RIP but was not ok
Due to the father's absence,
He was an absentee dad.
waah jahmby you are a living testmony if you are the one shouting like thing with energy big up
Nikikuona Jahmby naona Mungu na Macho
Mazee hii show imeninwaice videadly. Too funny😂😂😂. Nyi wasee mko true👊🏽
kabisa mkuru mwenyewe 🤗🤗🤗🔥🔥 "Hii kitu" 🏃♂️😅🏃♂️teke teke
Kabisa Henry. Hii kitu lazima tuichape lol
Yoo cute Fahya Momaa❤🥵continue shining ✨
You guys needs to do a radio show together
Awesome stuff..so natural.more of this..
Actually most of the big big legends in soccer, american football and rappers/R&B also in other countries like Brazil, France, American etc are from the Ghetto, Ghettoes are overlook in most case but it has raw talents that can go far if cared for or given more attention. She is a vibe may her soul rest in perfect peace and condolences to family and friends.
She was a powerful woman, power house!
Continue resting well jambi😭😭😭
Mkurugenziii umeweza mbaya....like the way you are doing it. Let koikai soul rest in peace
Best of ghetto fabulous, Kibera meets Dagoretti
Straight mtu yangu. Ghetto superstars Kimani. Much love na God akubless sana. Thanks for watching.
I can feel your pain.& loss! I can shed your tears @AbelMutua😢
Camping here waiting for subtitles 🤦🤦.It's so interesting though,stories naweza relate with.
Tutakuwekea a special episode with translations Joy. Much love.
I love this gal! Rest in Paradise Jahmby❤
Your chemistry is just amazing
Usijali Abeli,Lost my mom January 5th this year,July 13th tukabarikiwa na katoto kadame...named her after Mathe...
Pole sana Joshua may God give you strength and comfort and may your little daughter be blessed, gifted, favored and anointed.
What a refreshing conversation!! real talk!
I'm glad you enjoyed it Min Krasi. More to come. Much love and God bless you abundantly.
Can't believe this queen is gone..😢😢
Nyinyi ndio wenyeji Nairobi jamani…. Some of us just stopped by Nairobi, I barely know anything about it. Thanks for the history lessons
Blessed Love #Fayamummah 👊🏽
Mkuru in the show👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
Imagine mumefanya 3hrs... BI Mkuru's voice
Aah hio Sheng, nimenwaice. Nimegrow na hio sheng oyole, memories ❤️
Hapo sawa mresh. Oyole 1960 kwa watu wa nguvu sana
The way l love you jahmby, the first thing nimefanya in unsubscribe before watching
Am here jahmbi from tuko Leo ndo nmeona stori yako and I was inspired
Eiiish Ulipitia Ngara Girls High School!!! Nyonga rice na avocado with mkarangoo ilikua inawezaaa
Hahahaha yeah nilikuwa huko time nyonga ilikuwa nyonga weeeeh
@Jahmby nakutambua sanah.. next time vaa zile boots ulikuwa unavaa show ya reggae...😂😂😂 Vibe jooh yenyu na mkuru ni nomareee man.. #combi Kali
#team ya wanyanya...
Wangwan..👊👊👊
Nlianza kucheka dakika za kwanza kwanza😂😂iyo combination ni nomaa🔥🔥leo nmefurahiii💯
Hahahahaha maze hata mimi nilijikuta nimeisha mbaya jo. Hapo sawa mtu yangu nafurahi kuskia umefurahi. Shukran sana na God akubless zaidi na zaidi haki.
@@JahmbyKoikai Asanti manze🙏....Kazi safii mnafanya💯💯God aku bless,a bless Mkuru na mbogi yote pia...keep going🔥🔥
Role model wangu na favourite MC wangu♥️♥️
Microphone haikuwa sawa🎤... nice show wazito
This one is on rewind. Hii sasa ndio hangout. It's so sweet I couldn't stop laughing 🤣. I love love love it.
Good vibes ,an encouragement to the generation
Manze jahmby ww n wa power am totally inspired
Jahmby... kizungu yako wewe...Karibu nichonge email maze... Big fan, tunakeep strong mbaya sana...
Very nice conversation. Arudi tena na tena!
Hahahahah my girl. Hapo sawa thanks for watching. Tutamleta tena na tena.
Walaaaaiiii umeninice njambi...kazi safi🙏🏾🙏🏾❤❤❤❤
Hapo sawa mresh Elizabeth. God akubless sana
Njambi much love from Boston 💕
RIP Jahmby Koikai 😢😢😢
Fly FAYAH mama Fly rest easy🕊🕊
Big up, Mr. MUTUA ...R.I.P
RIP faya mama💚💛❤
mkuru in the building.amazing conversation guys
Thank you so much for watching Pauline. Ubarikiwe zaidi na a blessed weekend ahead.
Aaaaaah JAHMBY May you rest in peace....
Walai nyinyi wawili mnaweza tambariza show moto sana kwa radio
Broo uko kama mimi..I did that mistake ya kuingia huko ndani ..that's the biggest mistake a man can do..never go inside a delivery room as a man..it mess es you as a man
Haki i can only understand half the sheng but u guys' humour is on another level am just laughing alone like crazy! You two are just a vibe 🤣🤣🤣
I love watching you two guys. Nawapenda sana. God bless you.
Be blessed beautiful one
just love this duo the msanii ''shakka''🤣🤣and the Fyah mama...nice one guys 05/06/2024
God bless you njambi. Your story is inspiring
Wah,hii Dunia haina huruma manze.R.I.P Jahmby...
Where mkurugenzi goes we go.
Show Moja Kali sana🔥🔥🔥🔥
Manze si vako me nimegrow karibu na Kitengela. Manze mornig ukienda shule unapatana na buffalos, zebra, na ostrich. Jioni unarudi home mapema usipatane na fisi na chui
Rip jambi..full of life but God loved you more rest well
Si tufungue Ka redio ste-sheen....tuite hajphill radio @Abel mutua
INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAJI'UN REST EASY JAHMBY WE IO STORY KYANGULI ABELOH CHOREA JO😢😢
Mkuruu big up show iko Moto kama pasi
Real talk💥
Real and proper Guzman
Hiyo intro..fire
Njambi mungu Akubariki Sana, healing is your portion 🙏🙏💕
Subscribing lazima 💕💕💕💕
Well done very interesting and engaging to watch ♥️♥️♥️
Thank you my girl. I'm glad this put a smile on your face. Barikiwa sana Wazurii