Tanzanian opposition MP, Tundu Lissu addresses media in Nairobi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Tanzanian opposition MP, Tundu Lissu addresses media in Nairobi after being hospitalized for 4 months
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
    std.co.ke/apps/...
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

Комментарии • 180

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 года назад +5

    Kupigwa kwa huyu jamaa ni doa kubwa kubwa mbaya zaidi watu wasiojulikana aingii akilini ila mjue Mungu yupo

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 4 года назад +2

    Zilikuwa siku mbaya sana kwangu, ilinisikitisha sana, fuatilia sauti yake Lissu hapa ilivyokuwa inatoka ikiwa chini kwa sababu ya kutobolewa vibaya tumboni. Lkn Mungu ni mkuu daima

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 4 года назад +6

    Mungu akubariki inshallah akupe afya njema inshallah

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 4 года назад +2

    Nalia nikikumbuka duh mungu nimwema
    Mungu akupe maisha marefu yenye khery
    AmeeN
    Nakupenda sana kiongozi wangu..

  • @kiangurajason793
    @kiangurajason793 3 года назад

    God is great. Ulipona Lissu. Aliyekufa ni yeye: Magufuli.

  • @adamjeidary2463
    @adamjeidary2463 4 года назад +6

    Duuuh pole Sana

  • @thelylwishi2332
    @thelylwishi2332 4 года назад +2

    Maishaa so www vi na damu.
    Maishaaa ni Mungu tuuu.

  • @godshanthomas3297
    @godshanthomas3297 3 года назад

    Nenda huko Pumbavu unajipiga lisasi alafu unasema serekali we chizi 2 moja acha ujinga wako

  • @stivngosha1063
    @stivngosha1063 4 года назад +3

    Sema kabisa usiogope mungu yupo atakupigania

  • @bathromeombusibwaconrad2546
    @bathromeombusibwaconrad2546 3 года назад

    Smg ninayoijua ungeishia risasi moja tu,,,, hapa kuna jambooo

  • @yohanabulugu466
    @yohanabulugu466 4 года назад +2

    Huyo ndie rais

  • @actionmgaya2130
    @actionmgaya2130 4 года назад +7

    Jembeeee wweeeee

  • @ellybakari6435
    @ellybakari6435 3 года назад +1

    hakuna yamkunduni

  • @rehemakweka2501
    @rehemakweka2501 5 лет назад +8

    Mungu ni mwema.

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 4 года назад +4

    Kama uko hapa kuhakikisha, kulingana na kampeni zinazo endelea. Weka like

  • @godshanthomas3297
    @godshanthomas3297 3 года назад

    Sikupendi ata bure mwenda wazimu ww sasa unawambia ndio nn ifanyike Kwenda

  • @bakariramadhani828
    @bakariramadhani828 4 года назад +3

    Tunashukulu kwakuludi ukiwa mzima mungu awenawe daima

    • @selector728
      @selector728 4 года назад

      Sema tunakushukuru siyo tunakushukulu

  • @edmundykusena9728
    @edmundykusena9728 4 года назад +1

    Niko hapa_2020 kqma nawewe upohapa tafadhali tujuane

  • @hezronshiratu4804
    @hezronshiratu4804 4 года назад +1

    Pore sana kaka mungu atakusaidia tu.

  • @musamutambuki4154
    @musamutambuki4154 6 лет назад +22

    Hakika Mungu ni MKUU na ni TABIBU wa kweli. Tunakutukuza Eeee Mungu kwa kuwa fadhili zako ni za milele maana umejibu maombi yetu kwa kumponya kiongozi wetu mpendwa Tundu Lissu.

    • @hawamshamu303
      @hawamshamu303 4 года назад

      Loma mkatgolik

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Kwahi ulitaka tukupe kura zetu kisa risasi awapi

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Walikuchapa mabeberu wako huna adabu unatukana mpaka raisi wako

  • @kibwanambegu9572
    @kibwanambegu9572 3 года назад

    Yaani kweli hajui maana ya intenal medicine kwa kiswahili au mbwembwe

  • @jimmy24276
    @jimmy24276 6 лет назад +9

    Inauma sana kwa waliohusika na kama wanasikia ujumbe huu waanze kutubu, siku zao zaja na watauona uwepo wa MUNGU

  • @arexmarandu686
    @arexmarandu686 4 года назад +1

    Tundu lisu

  • @mamadfranc2371
    @mamadfranc2371 6 лет назад +5

    Tumuachie Mungu! Maana yy huhukumu kwa haki. Tuendelee kuomba

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 года назад +1

    Ila mliompiga mjue maalipo ni hapa dunia

  • @kiangurajason1183
    @kiangurajason1183 2 года назад

    Jehovah is God. Your tormentor died like the fool he was. Eti hakuna corona and the same corona despatched him to where he belonged: hell. Big up Tundu Lissu.

  • @yondanhasani3806
    @yondanhasani3806 4 года назад +1

    Daa pole Sana

  • @ellybakari6435
    @ellybakari6435 3 года назад

    kwanini hukufa wembweha

  • @ellybakari6435
    @ellybakari6435 3 года назад

    kakako anatu husunini mafalNyinyi

  • @marykawira9266
    @marykawira9266 6 лет назад +6

    God is great, you will live to testify goodness of God,God loves you, muheshimiwa, devil is alier and loser

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Ukitaka kuamini ww nimsenge vidole hivyo vp

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Huna jimpya ww

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 4 года назад

    JPM: nimekueteni hapa ili tupange mikakati mingine ya kushinda uchaguzi. Nawaoneni hamtumiki kama nilivyowaagiza. Nataka kujua tatizo lipo wapi?
    ALI BASHIRU :
    Mheshimiwa Mwenyekiti ; mbona tunafanya juhudi kubwa ata tunakosa kulala. ivi tunawabeba Wananchi kutoka vitongoji mbalimbali kuja kwenye kampeni zako; kwa mfano kule Mwanza tulikosa watu kabisa ikabidi tuwagalimikie watu kutoka Mikoa ya Geita / shinyaga na kuwaokota okota humo vijijini hadi Mwanza ili tuongeze idadi ya watu. Mheshimiwa.
    Bila ya ivo. Tutakuwa sisi tunaobaki kukusikiliza.
    POLEPOLE: Mheshimiwa M/Kiti nikiongezea hilo. Tumekuwa tukiwafata Wasanii. Na tunashukulu. Wametupa ushilikiano mzuri. ila tu malipo yao Bilioni 200 bado hawajalipwa. Mheshimiwa Kinana anasema tuwaalike pia waimbaji kutoka Congo. Tutapata washabiki wengi. Au unasemaje ?
    JPM : embu Kwanza naona kuna simu ya Rostam ananipigia kutoka Dubai. ..hallo!
    **************
    ROSTAM : halloh! Mheshimiwa M/Kiti habali za tokea jana. Nakualifu huku mambo nimeshayasuka. Tumeelewana na Mheshimiwa Membe. Na hela zake kasema zibaki kwenye akaunti yake ya nje. Anasema atatekeleza yale maagizo yetu akitua tu huko Bongo. CCM oyeee .
    JPM : Asante sana Rostam. Uko vizuli. Nataka uyo Membe asaidiane na Lipumba .kuzichafua ATC na CUF , ila mambo mengine yanakuwa magumu kwa vile yule kamanda wetu Mzee Mkapa hatunae tena. Mzee Mwinyi anasinzia ovyo. Mzee kikwete na Mzee makamba wamenisusa. Sijui ataniokoa nani!
    IGP SIRRO:
    Mheshimiwa Laisi. Vijana wangu wapo tayali kwa lolote. Wanasubili amri yako tu. Kama nikutumia lisasi au mabomu tutazitumia kwa Ajili yako. Mheshimiwa.
    JPM:
    Ni kweli. Embu nikusikilize Jaji Kaijage. Unasemaje? Naona unakuna kichwa.
    JAJI KAIJAGE : Mimi naona kuna ugumu wa kuiba kula kwa kipindi hichi. Maana kuna madai hadi muda huu tumeshindwa kuwapa majibu. Wanadai kwanini Ni wao tu watenguliwe kuanzia Udiwani hadi ubunge. Na kwa upande wetu hakuna ata mmoja tuliemtengua. ??
    JPM : Acha iwe ivo ivo. Watanielewa tu! wanalalamika kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwangu chato. Mimi si nimefata nyayo za walionitangulia?
    Mzee Mkapa ameekeza hadi Afrika kusini ana maHoteli yake kule. Mzee kikwete nae Amejenga sana Kwao Msata. Na Majumba kibao kwa jina la mtoto wake Rizwani. ivi trilioni 1.5 nikichukua kuna ubaya gani?
    Naomba tu haya mambo tusiyafikishe huko nje. Yule Jamaa akifahamu atatushambulia kwa mikuki ya chuma!
    CHANNEL TEN : Mheshimiwa Laisi. Lakini hicho kimbunga si chakawaida. Huko Tunduma. Mbeya. Mwanza. Njombe. .Japo umetukataza tusikalibie kwenye Kampeni zao wala kuzilusha, lakini hicho kimbunga cha Lissu kinasikika hadi ulaya. Hadi Marekani. .Sisi wote tunatekeleza agizo lako kwamba tusilushe kampeni zao. Tatizo wanachukuaga kwenye simu zao.
    JPM : Embu nisubilini kidogo. Naenda kujisaidia.
    **************************

  • @thelylwishi2332
    @thelylwishi2332 4 года назад

    Na ku ona kama yesu Christ.....ume pigwa kama yesu Christu na Mungu Baba yako,ame kurudisha duniyani ku okowa wa tanzania.
    Be strong President,Mdaa so mlefu.

  • @paschalmichael7822
    @paschalmichael7822 3 года назад

    Mbowe .

  • @fredrickwanjala741
    @fredrickwanjala741 4 года назад +1

    Hi that's astupid way of political assassination

    • @fredrickwanjala741
      @fredrickwanjala741 4 года назад +2

      Magufuli n mnyama kiasi gani jamani mbona rais magufuli awe mnyama🙉, mm n mkenya bt nimekuwa nampenda Sana magufuli akizuru sehemu mbalimbali akiongea na wananchi wa tz ,kumbe n bure bilash na ni uongo mtupu

  • @evancemuhenga5696
    @evancemuhenga5696 6 лет назад +6

    Tanzania is really becoming a terror and bloody nation.. Kidnapping of opposition individuals, Notable People dissapearing, more than 1000 children at kibiti dissaperaed, dead bodies found in the rivers, press and media centers getting oppressed by the feds, the increasing rate of unemployment, .... Tusikate tamaa #PRAYFORTANZANIA #PRAYFORBONGO

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 года назад

    Watanzania tusikubali kuburuzwa hawa CCM wana njama gani wanataka kuifanya ndani na nje ya bunge hawataki viongozi wa upinzani tunaowapenda. Hata kama CCM hawataki Lissu awe Rais iweje hata Madiwani na Wabunge wa upinzani hawatakiwi na vipenzi vya watu kwenye maeneo yao. Kuna jambo gani limejificha wanataka kutufanyia Watanzania. Tusikubali kuchaguliwa viongozi kabisa. Wanataka Tanzania liwe koloni lao alafu mbaya kabisa Magufuli anatukosanisha na Majirani makusudi wasijue tunachofanyiwa ndani ya Tanzania. (ruclips.net/video/u5pLZk3C4ws/видео.html).

  • @judithwirth2256
    @judithwirth2256 4 года назад +2

    God bless you. MISSION IMPOSSIBLE.

  • @lonsmanempire9627
    @lonsmanempire9627 5 лет назад +6

    God is Great 🙏🙏

  • @kingfahdsaid1967
    @kingfahdsaid1967 6 лет назад +7

    Pole lissu mungu akueke.. # usiwache kusema kweli .

  • @mtendakaziwabwana845
    @mtendakaziwabwana845 6 лет назад +2

    Itapendeza mkiupload video ya muendelezo wa kipindi cha maswali na majibu kwenye hii press

  • @johnlupimo1024
    @johnlupimo1024 4 года назад

    Pambana Lissu tunakupa URAIS

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 3 года назад

    Ni yeye 2020

  • @johnmasunzu1051
    @johnmasunzu1051 3 года назад

    Rrtt

  • @jacksondaud4957
    @jacksondaud4957 4 года назад

    Sema baba sema usiogope,Nibola ukweli unaoumiza kuliko uongo unao flahisha,maana nisumu nainaua

  • @gilbertjuma7294
    @gilbertjuma7294 6 лет назад +3

    Tunakuombea upone kabisa urudi upige kazi Tz. Tunakuhitaji sana

  • @lgf7297
    @lgf7297 4 года назад

    What is Kaka Mkubwa? This fellow harbours disdain for everyone and everything except himself. There he goes, a harangue!

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 4 года назад

    Madiwani wako wameuwa lazima utalipa mmbwa wewe

  • @manungda9955
    @manungda9955 4 года назад

    Chedema mnatengeneza senema yenu ili Tanzania ionekane haina amani mbele ya Dunia, toa tu shukurani kwa hao Wakenya wenzako mambo mengine ya Tanzania haiwahusu hao Wakenya wako

  • @fatumayusuf5929
    @fatumayusuf5929 6 лет назад +7

    Weka security kali bcoz watakurudia tena they willi not stop

  • @lucaskabadi8519
    @lucaskabadi8519 4 года назад +2

    Wewe jamaaa unapoelekea unaenda kuwa chizi sion point hata kidoti

  • @ajaymwakalambile9500
    @ajaymwakalambile9500 4 года назад +1

    Nice

  • @deodbenngowi2039
    @deodbenngowi2039 4 года назад

    This man if he did not know who attacked him he will not have allowed him to hide from being questined by the authorises he declared by saying him with the driver were the only witnesses. His driver has never gone to any authorises person to let us know what he knows about the issue.

  • @fidelialucassamkhumbi2476
    @fidelialucassamkhumbi2476 4 года назад +2

    My veto is for you, lissu

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 6 лет назад +7

    Tanzania is going down the drain,it's no longer a safe place to be. Sad

  • @peterrange6342
    @peterrange6342 4 года назад

    Nyimbo kamba

  • @johnfrancis6890
    @johnfrancis6890 4 года назад +1

    Kwann usingekufa tu maana ckupend hata kdg

    • @nicholousmukono7244
      @nicholousmukono7244 4 года назад

      Mkristo jina 🤔humpendi ulimuumba? Kumbuka aliyekuumba, ndiye aliyekuumba, hivyo tafakari, utatoa hesabu siku ya mwisho usipotubu 😭

  • @syadallamwinuka7661
    @syadallamwinuka7661 4 года назад

    Let us stop humillation

  • @fatumayusuf5929
    @fatumayusuf5929 6 лет назад +3

    Fatubensuda please go to Tanzania magufuli anafaa afungwe

  • @damasdugan9663
    @damasdugan9663 4 года назад

    8

  • @teznamaow7842
    @teznamaow7842 6 лет назад +4

    Waah God is great

  • @samwelmtewele7382
    @samwelmtewele7382 4 года назад

    Kampeni

  • @zakayokanuda7539
    @zakayokanuda7539 4 года назад

    Masanja

  • @jarednyakomitta6570
    @jarednyakomitta6570 6 лет назад +1

    It were better if he was criticizing him from his country.Here too,we have had assassinations but we dont address the issues from Tanzania!

  • @sureyabhaloo1682
    @sureyabhaloo1682 4 года назад

    7
    ?

    • @happinesssimon4476
      @happinesssimon4476 4 года назад

      Pole lisu MUNGU wahaki yako hatanyamaza na kila aliehusika na unyama huu mungu hatamnyamazia ni yeye aliekutoa katika kinywa cha mauti hivyo atakuvusha kwakila Jambo na hao maadui zako hautawaona tena songa mbele yupo mwenyekukupigania huyo Harman alietaka ukauwawe mungu atapigana nae kwani uzima anatoa mungu tuu waliokufanyia hayo na leo unatembea tena ukiwa mzima Hakika wameaibishwa na mungu wa haki yako

  • @scholatitus4963
    @scholatitus4963 6 лет назад

    Rais Magufuli hana haja ya kukushambulia. Umezungumza ujinga mwingi sana. Wachunguzi walioletwa Kenya kuchunguza kifo cha Ouko tuelezee, baada ya uchunguzi huo kuna mtu alishitakiwa? Wewe unaongelea mambo haya Kenya ukitegemea suport, unataka nikuhesabie wanasiasa waliopoteza maisha yao Kenya na mpaka leo hakuna mtu aliyeshitakiwa wala uchunguzi wowote? Hata nashindwa kwa nini serikali ikulipie matibabu yako Kwani wewe ni traitor you do not deserve. Muongo mkubwa. Nyinyi mnapigana risasi wenyewe kwa wenyewe Chadema munaisingizia serikali, na ushindwe.

    • @ernestlaiza9489
      @ernestlaiza9489 5 лет назад

      scholars Titus we no kuma tu mfata upepo fala we ujielewi wacha kumshambulia lisu

    • @maryamsaid5990
      @maryamsaid5990 5 лет назад

      wewe ni chizi!

    • @lonsmanempire9627
      @lonsmanempire9627 5 лет назад

      Mpumbavu you

    • @switdeus2350
      @switdeus2350 4 года назад

      koment zingine hazifai hatakusoma waswahili wanasema msiba usikie kwa jirani ila siku msiba ukikukuta ndomuda wakujua uchungu halisi wa msiba usiombe yaliyomkuta lisu yakakukuta

    • @amirikhatibu1989
      @amirikhatibu1989 4 года назад

      Pole kaka Mwenyezi mungu Atakulipia na atawaangamiza ishaallah

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 4 года назад +1

    GOD IS AT WORK,🙏

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 6 лет назад +2

    So sad!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @dizzimtz5187
    @dizzimtz5187 4 года назад +2

    CCM OYEEE

  • @mikidadimkweche6939
    @mikidadimkweche6939 3 года назад

    leo lisu atakua wapi

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 4 года назад

    Na yule uvccm mliomua c mtu ata wewe ungekufa tu unafaida shertani

  • @cidewashington467
    @cidewashington467 4 года назад

    Msalitiii

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 4 года назад

    Wataje hao watu,acha upumbavu wew.Cheki unavoweka vidole,kama shoga.

    • @victormneney1475
      @victormneney1475 4 года назад

      Matusi yann utadhani wewe utaishi Milele Ngombe jike ww

    • @kichenjekichenje2072
      @kichenjekichenje2072 4 года назад

      @@victormneney1475 sawa shoga ake lisu.

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Sio kama shoga hilo nishaka lililo kubuhu

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад

      Naanaye msapot ni basha wake

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 4 года назад +1

    Mnapigana risasi wenyewe unasingizia serikali.... Nyambafu.

  • @gracetitus9963
    @gracetitus9963 5 лет назад +1

    The gun man is standing near him dressed in black.

  • @lucaskabadi8519
    @lucaskabadi8519 4 года назад

    Watanzania hawakutaki hata kidogo kibaraka mkubwa na kwanini upande ulioumia ni mguu wa kulia na hapo hapo dereva hajaumia hata kidogo inakuwaje hapo wewe ni zuzu kabisa hupati kula hata moja mzee hizo ni kelele la chula

    • @nicholousmukono7244
      @nicholousmukono7244 4 года назад

      Jisemee mwenyewe rafiki; humpendi usiseme wtz, mmeona hana kashifa, sasa mnatunga yenu Mungu atakuahibisha weka akiba ya maneno, mengine muachie Mungu kama unamjua Mungu 😳🤔

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 4 года назад

    Kuna wakati Kama kuna mtu anataka kua malaya dawa yake inajulikana.....huyu jamaa hajavujwa kiuno kwa risasi,lakini tunajua umefanywa nini ubelgiji 💩

  • @abubakarishoo3173
    @abubakarishoo3173 4 года назад

    Shoga hilo mbwaa wewe

  • @yassiniferuzi2867
    @yassiniferuzi2867 4 года назад

    Rais wa Makuwadi na Mabeberu na Ushoga

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 4 года назад

    Tatizo ni kwamba walikosea saaaaana,wangepiga hilo domo,risasi 38na mtu yupo hai! naaaaaa

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 4 года назад

    Zezetaa!