Huwa ninabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi Mwahingila.Naomba kuzungumza nawe.Tafadhali mtumishi mwombee mama yangu anaugua sana yuko bedridden na analishwa kama mtoto hajiwezi hata hatembei tangu last month.Jina lake ni Teresia Moraa from Kenya.Nimechukua hatua ya imani kwa niaba yake.I know we serve a living God who is a miracle worker.
Mungu akubaliki sana mtumishi wa Mungu aliye hai
Nashukulu kwa testimony yako pastor kumbe vizazi vya wazazi wetu vinatupata bu sana kama hujamupokea yesu
Yesu akuinue mtumishi umekua wa nataka sana kwangu
Asante mtumishi kwa huduma nzito Mungu akubariki
Huwa ninabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi Mwahingila.Naomba kuzungumza nawe.Tafadhali mtumishi mwombee mama yangu anaugua sana yuko bedridden na analishwa kama mtoto hajiwezi hata hatembei tangu last month.Jina lake ni Teresia Moraa from Kenya.Nimechukua hatua ya imani kwa niaba yake.I know we serve a living God who is a miracle worker.
Hongreni sana watumishi Wa Mungu
Amen mchungaji, kwa kweli Mungu anakutumia kwa viwango vya juu
Amen mutumishi wa mungu nimebarikiwa sana 🙏
Mpaka mvi ziote kweli kabisa kitaeleweka Pastor Nicodemu💪💪💪💪
Amen amen Mungu ni mwema ,vita ya Mizimu ni kali Sana lakini hakuna aliye juu kuliko yesu
Amina
Mungu ni mwema
Mungu akubariki sana mtumishi.Nabarikiwa saana na Mahubiri yako.
Mungu ni mungu waajabu afanya mambo makubwa mno
Karibu Kenya 🇰🇪Mwahangila
Amina kaka Niko
Namimi muchungaji naomba namba yako
Amina
Jameni huyu mchungaji anapatikana maeneo yapi namuhitaji sana huyu Mtumishi wa Mungu..
Naomba namba ya huyu mtumishi jaemen
Ni kweli wengi wamenaswa na mathabau ya ukoo
Nahomba uweke number za mtumishi wa Mungu pls tunahitaji
Angali vizuri vudeo zake usiwe ba haraka namba zake zipo
@@nytv8472 naomba no ya mchungaji
Wacha mungu akubariki kwa huduma nzuri naomba number ako ya what ssap tuongee hpo