HOUSE GIRL EP 36 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @busatitv
    @busatitv  2 месяца назад +123

    Follow WhatsApp Channel yetu
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c

    • @modestazaver
      @modestazaver 2 месяца назад +7

      Ifike Hadi mia tatu

    • @Judithopondo-fn9dr
      @Judithopondo-fn9dr 2 месяца назад +1

      Pole sana kendi

    • @Saumu254
      @Saumu254 2 месяца назад +2

      @@busatitv eti watch out part 36 tena . KAZ nzuri isiishe mapema🔥

    • @GervasChitema
      @GervasChitema 2 месяца назад +1

      Puwa yakent duu

    • @AminaKavuo-gj3oc
      @AminaKavuo-gj3oc 2 месяца назад

      Kamukonde vipi Hali ya muganga,,, aaaah bibi zuu Asante San kwa mizimu ya kwenu

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 2 месяца назад +175

    Jamani tuliokuwa tunaangalia kila wakati cm kama imeingia tugonge like happy

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 2 месяца назад +201

    Ambao tulikuwa tunasubiri kuona nani kadaka mkono wa kai gonga like hata kumi 😂😂😂😂😂😂nienjoy 😂😂😂😂😂😂

  • @NuruAli-ip9wn
    @NuruAli-ip9wn 2 месяца назад +88

    Sijaomba like ilah tulio toka 1 mpaka 36 tujuane kazi nzuriii tuwape mauwa yaooo🎉🎉🎉

    • @RehemaBakari-q4d
      @RehemaBakari-q4d 2 месяца назад

      Kabisaa wanastahili mauwa yaooo ❤❤❤ hapa nilipo nataman iendeleee🎉🎉🎉

    • @ummyjux
      @ummyjux 2 месяца назад

      yan hp ushaomb 😂😂😂😂

    • @HatkaIssa
      @HatkaIssa 2 месяца назад

      🎉❤❤❤❤❤❤

  • @SalomeMlelwa
    @SalomeMlelwa 2 месяца назад +37

    Jamani waliofurahi kupona kwa zuuu naombeni like zenu nawapenda mnoo maua kwa bibi zuuu🎉🎉🎉🎉

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 2 месяца назад +162

    Tokea nianze hii movie nakuwa wa mwisho na sijawah pata like hata moja please 😢😢❤❤🎉🎉nawapenda

  • @dorcasissangya5933
    @dorcasissangya5933 2 месяца назад +133

    Wanao amini hii move ipo karibu kuisha gonga like

    • @NeemaNelson-j6j
      @NeemaNelson-j6j 2 месяца назад +2

      Sitamani hata iishe

    • @HappyFania-ry2ch
      @HappyFania-ry2ch 2 месяца назад

      Na mimi nahisi ila tungeona penz la zuu na kaii

    • @sofiakinyia2734
      @sofiakinyia2734 2 месяца назад

      Eeh inaelekea kuisha🎉🎉🎉❤

    • @AtuAtu-v9f
      @AtuAtu-v9f 2 месяца назад

      Kabisa inaisha muda wwte

    • @LaizerChionda-de6ul
      @LaizerChionda-de6ul 2 месяца назад +1

      Woyooo nimepatia nilisema uo mkono wa rafik yake kai😅

  • @ReginaAli-f3d
    @ReginaAli-f3d 2 месяца назад +270

    Ambao walikuwa wakiangalia hangalia kila mara like zenu please 😂😂

  • @mchenyaJR
    @mchenyaJR 2 месяца назад +32

    Acheni ubaguzi mbona me sipati like hata moja

  • @aminabakari607
    @aminabakari607 2 месяца назад +79

    Tunaofurahia kuona zuu anapona tujuane kwa like❤❤❤❤

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 2 месяца назад +24

    Hii ni zaidi ya jua Kali na huba ❤🎉🎉maua yenu

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 2 месяца назад +52

    Mwenye atakuja nyuma naomba like ❤🎉❤🎉🇧🇮🇧🇮

  • @OrleenTeketamphande
    @OrleenTeketamphande 2 месяца назад +7

    Yule Yule ndgu yenu toka Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 fundisho lko poa Sanaa tupigiane makofi Kwa House girl jaman... likes cjuw ndgu zangun munapataga nn hebu Leo born likes znifanyie Jambo Na mm toka Malawi 🇲🇼🇲🇼♥️🙏♥️

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 2 месяца назад +20

    Hii move hata kama nyengine haijatoka uwa naangalia za nyuma wallah aiboeshi napenda sana hii move 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @TrinityMyula
    @TrinityMyula 2 месяца назад +62

    Jamn kam unamin shog anamumbua candy gong lik 10

  • @aimanmuhammed5486
    @aimanmuhammed5486 2 месяца назад +63

    Wankwanza mimi apaa nipeni like zangu

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 месяца назад +19

    Leo siombi lake kama umependezwa na bibi zuuu gonga lake yako apa❤❤❤❤

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 2 месяца назад +10

    Ohiiiii mchezo unakwenda kuishaa jamani ky tuletee kitu kama hiki tena tuna kukubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 месяца назад +19

    Move tamu kama hii msipende kuweka watu wanao jichetua kama hao vijana ona wamemvua bibi kitambaa

    • @husnabilali3099
      @husnabilali3099 2 месяца назад +1

      Kwahy we ujapenda kuona wigi jeupe😂😂😂😂

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 2 месяца назад +52

    Wachoyo kaa nn hamtaki kunipea like mungu anawaona

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 2 месяца назад +9

    Reeo asubuhi nikua zangu safalini naerekea zangu Tukuyu nipocheki kwenye Simu nikajikita Busati Tv imevunja leckodi Aisee watu kwenye gali wakawa wanani ulizia njee wemdada nikipi kinaku fulahisha mbona wacheka mwenyee! bana iribidi niwasumulie hakiya Mungu kiramtu arikua akicheki kwenye simu yake na kufulahishwa nakile ambacho arikikuta kwenye House GiRL ya Busati TV . njee niwangapi waloweza kujifunza kitu kupita Movie hii wagonge Lik☝️

  • @AmocFabian
    @AmocFabian 2 месяца назад +42

    wanaosema hii move ichukue tuzo naomba like zangu.. please,🙏

  • @MaryMkoma
    @MaryMkoma 2 месяца назад +47

    Nan anahisi kibindu na candy ni ndugu kama unahisi hivyo gonga like apa

    • @SaumuJumwa-u4v
      @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад

      Yule alikuwa anatak kumbaka zuu 🤣🤣mm nahis yule rafiki yake

  • @HalimaBakari-hg5py
    @HalimaBakari-hg5py 2 месяца назад +8

    Na maputo kaweka lakn bado kanaswa kibao 😊 wap team zuuuh usisahau kuwek net ❤

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo 2 месяца назад +11

    Weee mambo yatazidi kuchemka upande wa Candy😂😂😂

  • @RachealMashamba
    @RachealMashamba 2 месяца назад +21

    Wangapi wamefrai kumuona Sania kumuelezea Kai mabaya yote ya Candy...tujuane 😅....Kai naye kufkuzwa kazi nayoooo....

  • @fatumamdoe-vv9xk
    @fatumamdoe-vv9xk 2 месяца назад +4

    Jamani mbn xielewi mwendelezo up au inakuwaje

  • @Nurujulius-s1x
    @Nurujulius-s1x 2 месяца назад +65

    Naomba like hata kumi tu nifurahi😢😢😢😢😢

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 2 месяца назад +10

    Sija wai kucomment chochote leo naomba like zenu 🥰

  • @KiboxMedia
    @KiboxMedia 2 месяца назад +41

    Wa pili 😂 Nipo Team Candy nataka Kiendelee Kumramba Ajute

    • @Saumu254
      @Saumu254 2 месяца назад +4

      Mkono WA rafiki Ake kai😅😅😅😅 nmeweza😂

    • @KiboxMedia
      @KiboxMedia 2 месяца назад +3

      ​@@Saumu254We kachawi 😂😂🙌🙌💪✌️

    • @Miriam-kk6lr
      @Miriam-kk6lr 2 месяца назад +1

      Namchukia candy tangu tuanze kipindii 😂😂,, nampenda zuuu mbaya sana 😂

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 2 месяца назад +1

      ​@@Saumu254,😂😂😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 2 месяца назад +1

      ​@@KiboxMediaten akishirikian na muzim ya bibi zuu😅

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 месяца назад +18

    Kutoka Cameroun
    Naomba like jameni
    Busati TV Leo mko fresh 🎉🎉🎉🎉

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 2 месяца назад +12

    Leo jamani siku nzima nawangoja Ila basi2 nipeni like zangu

  • @NellyRandu
    @NellyRandu 2 месяца назад +4

    Waah😂 jamani mm niwamwisho pia naomba mugonge Ata tano tuko pamoja

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 2 месяца назад +9

    Walio tamani kuona candy kibao kinge mpata vizur gonga like ap

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 2 месяца назад +14

    Ndoa tunayo hatuna ❤😂😂 like naomba namimi🎉🎉🎉

  • @musasaganda4597
    @musasaganda4597 2 месяца назад +3

    Asee hii movie ni nzuri sana hongereni Kwa content nzuri

  • @ngendakuriyosolange751
    @ngendakuriyosolange751 2 месяца назад +17

    Jameni mbona kazi nzuli team zu tujuane munipe like jameni kutoka burundi hongela sana kai kwa kazi nzuli munafanya

  • @JoyceJackson-sk7lu
    @JoyceJackson-sk7lu 2 месяца назад +16

    Jamn namimi like 10 tyu znanitosha tim zuuu tujuane

  • @Emanuel-kz4tt
    @Emanuel-kz4tt 2 месяца назад +4

    Sijawai kuomba laik atamara Moja ebunipen Leo namimi nione watu wanacho ombaga Mimi nawapa ila sielewi

  • @JaneOnyango-fb7li
    @JaneOnyango-fb7li 2 месяца назад +4

    Tunaoamin kuwa candy na kibendu ni mtu na ndugu yake tugonge like hapa

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 2 месяца назад +37

    Mnao angalia movie mnajifunza au mnaomba like tu

    • @BINTIHAMISI-c9p
      @BINTIHAMISI-c9p 2 месяца назад +1

      Swali zuri 😅😅😅

    • @Swabrina-
      @Swabrina- 2 месяца назад

      Tunajifunza sana..

    • @Agyy628
      @Agyy628 2 месяца назад +1

      Kwangu najifunza 😂😂😂😂swala la like nawaachia wengine tangu nianze kuangalia

    • @فاطمهالبلوشي-ج4غ
      @فاطمهالبلوشي-ج4غ 2 месяца назад

      Tunaangalia like tu 😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 2 месяца назад

      Kwa mm najifunza San Kil siku nikitazam natok na kitu❤

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng 2 месяца назад +13

    Candi round hii tunakufinishi.shida mnachelewesha sana

  • @Mildred-rb2wr
    @Mildred-rb2wr 2 месяца назад +8

    Ndoto kutimia,,sema Mrs Kai kuzabwa Kofi,,zuu is on the way naamini lazima zuu atamwota Kai leo❤️❤️

  • @Alinekwizerimana-sg1th
    @Alinekwizerimana-sg1th 2 месяца назад +15

    Candy kwisha😂😂😂Like zangu from Burundi

    • @NaomiDiokres
      @NaomiDiokres 2 месяца назад +1

      ❤atari❤❤ 4:56 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 2 месяца назад +15

    Aky jameni zuuuh aky acting ww hd nywele imechakaa weeeh bt good job bidii siku zote enjoying from 🇰🇪🇰🇪

  • @maikohaule5571
    @maikohaule5571 2 месяца назад +25

    Bonge la Move naombeni like jamani

  • @AishaSalum-j4e
    @AishaSalum-j4e 2 месяца назад +7

    Tm zuuu leo tunalala nafuraha ❤️❤️❤️❤️

  • @IL-HAMFAKI
    @IL-HAMFAKI 2 месяца назад +27

    Wale wanaofurahia kupon Kwa zuuh mk wapi jaman mbn gemu linakuw tamu ili tijuwane basi🥰🥰♥️♥️♥️♥️😘😘😘😘

  • @AngelAgai-x3c
    @AngelAgai-x3c 2 месяца назад +3

    Wanao Amin candy kishamramba msipite bila like zenu

  • @MeMere-u1y
    @MeMere-u1y 2 месяца назад +15

    Masha Allah leo nawai🎉🎉🎉🎉

  • @zainabmwaka9944
    @zainabmwaka9944 2 месяца назад +7

    Kai hilo jicho waah hata mm nimuogopa 😂😂😂

  • @GyslaineNiyomwungere
    @GyslaineNiyomwungere 2 месяца назад +33

    Zuuu wetu emepona tunae furahi munipe like bas

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr 2 месяца назад

      Nenda zanzibar watakupatia like za kutosha saw e

    • @salamarajab5538
      @salamarajab5538 2 месяца назад

      Umepat

  • @FarajastevetzMpulila
    @FarajastevetzMpulila 2 месяца назад +3

    Haha m kutoka kigoma naombeni like 3

  • @MaryWachira-m5y
    @MaryWachira-m5y 2 месяца назад +40

    Wakwanza leo nipewe like

  • @RosemaryMurefu
    @RosemaryMurefu 2 месяца назад +12

    Jamani mm wa pili naombeni like hata moja2

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi 2 месяца назад +21

    Leo nimewai naombeni like angalaukumi nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SelinaKadzo-ck3rb
    @SelinaKadzo-ck3rb 2 месяца назад +16

    Jamani naomba like namimi leo Kila siku nalike but hamlike kwangu

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 2 месяца назад +12

    Harusi tunayo hatuna like hapa mashabiki😂😂😂

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 2 месяца назад +15

    Misikuiz si comment kila siku mwasema niwamwisho😢😢😢

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 2 месяца назад +19

    😂😂😂😂 ked,mwisho wa ubaya niaibu,suburi uabike ,kai amerud sawa,

  • @IsmaelOkongo13
    @IsmaelOkongo13 2 месяца назад +38

    Team Zuuu niliwambiaje Zuuu kapona🙏🙏🙏🙏🙏

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 2 месяца назад +18

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @RehemaNgumbao-f1s
    @RehemaNgumbao-f1s 2 месяца назад +15

    Sjawah kosa team zuu mikono juu

  • @grasygrasy1701
    @grasygrasy1701 2 месяца назад +7

    Bora zuu kapona tusubiri harusi ya kai na zuu❤🎉🎉🎉

  • @LexoG-nf6sx
    @LexoG-nf6sx 2 месяца назад +8

    Safi sn nimefurahi na tabasamu lako Kisha Kofi Kai funzo nzt

  • @SofiaKazungu
    @SofiaKazungu 2 месяца назад +47

    Jamani toka niaze sija pata ata like naomba like japo moja wale mafasi wa zuu na kai❤❤❤🎉🎉

  • @edna-jb8vx
    @edna-jb8vx 2 месяца назад +11

    Wakwanza leo npea likes tatu jamani❤❤❤

  • @PatriciaPatrick-ye7ov
    @PatriciaPatrick-ye7ov 2 месяца назад +21

    Sania apewe mauwa yak🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 2 месяца назад +49

    Leo kitaeleka kma unapinga usinigaiye like 😂 from Oman 🇴🇲 nawapenda wte

  • @mwanakombo8008
    @mwanakombo8008 2 месяца назад +5

    Zuu leo umenitowa machoz nakupenda sana ❤❤

  • @PriskaKapinga
    @PriskaKapinga 2 месяца назад +10

    Kwani izo like zimakazi gani mnazo omba toeni maoni yenu ❤

  • @FaidhatyGuga
    @FaidhatyGuga 2 месяца назад +15

    Nilikua nachungulia mda wot nyie😅😅😅

  • @MussaMajengo
    @MussaMajengo 2 месяца назад +5

    Jam an Leo nimekuwa wa kwanz jamn ❤❤❤❤nimeisubir kwa hamu san🥰🥰🥰

  • @dinalesmwakolo2131
    @dinalesmwakolo2131 2 месяца назад +11

    Mko fasta watu wa comment 😀

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 2 месяца назад +7

    Leo ndotunagundua kaka mbkaji Ndo Ndo mdogo wke kendi daaaa😂 hii movie umeactiwa kwa unazid mkubwa hongera yenu

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri Sana nimefurahi kuona zuu amepona good work Kai 🎉🎉🎉🎉

  • @BetiemillyEmanuelBetiemi-sl9ch
    @BetiemillyEmanuelBetiemi-sl9ch 2 месяца назад +4

    Ingekuwa bora zaidi mngepost ya 37 sahv

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 2 месяца назад +11

    Hatimae zuuu kapona 😊team strong 💪 tuko yaan ona ww apo badala uandike comment yko we wasoma za watu 😂😂😂😂❤

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +1

      🙏🙏🙏

    • @ASAS-q9u9e
      @ASAS-q9u9e 2 месяца назад +1

      Tupoooo❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman 2 месяца назад

      🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 2 месяца назад +6

    Next plz yaleo nkali sana

  • @MarieMilly-oz1ky
    @MarieMilly-oz1ky 2 месяца назад +13

    Mapema ndio best as team zuu

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 2 месяца назад +4

    Nzuri sana hongereni🎉🎉🎉❤❤❤ naenjoy mpka raha n raha tena nmpe hi candy

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana na inamafunzo mengi sana

  • @ElizabethOsimba-x6u
    @ElizabethOsimba-x6u 2 месяца назад +2

    Hata mm hapa cjawahi pata like hata moja😮

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 2 месяца назад +7

    Jameni zuu kapona asante mungu sasa candy chake kiko motoni

  • @Barackha
    @Barackha 2 месяца назад +1

    Nimeungana nanyi saiv naomba like zangu

  • @RadjaInnocent
    @RadjaInnocent 2 месяца назад +9

    Ongela sana nawapenda sana like 👍 👌 hapo

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 2 месяца назад +2

    Asante sna kwa movie yenu nzuri twaomba 37 bc

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina 2 месяца назад +10

    Nimewaiiiii nipeeni likes 👍 👌 jamani

  • @OfficialAggy-p1k
    @OfficialAggy-p1k 2 месяца назад +5

    Wale tuliowah woyooo zuuh anaenda kupona

  • @Judie_2022
    @Judie_2022 2 месяца назад +30

    Leo nimewahi pia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wapi likes za genz ❤❤

    • @Korinogalmoney1
      @Korinogalmoney1 2 месяца назад +2

      𝑬𝒃𝒖 𝒏𝒊𝒑𝒊𝒕𝒊𝒆 𝒑𝒊𝒂

    • @Judie_2022
      @Judie_2022 2 месяца назад

      @@Korinogalmoney1 sawa

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr 2 месяца назад

      Nenda zanzibar watakupatia hizo like za kutosha sawa e

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx 2 месяца назад +5

    Jamaan ongezeni ata dakika bas angalau zifike 30

  • @Aisha-qg5mj
    @Aisha-qg5mj 2 месяца назад +6

    🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲👍

  • @positivethinkingtv6338
    @positivethinkingtv6338 2 месяца назад +5

    ❤❤❤❤❤jmn mm hii movie itanitoa roho🎉

  • @IL-HAMFAKI
    @IL-HAMFAKI 2 месяца назад +6

    Sasa jamn huyu bib zuu amechorwa km nan mganga au mchaw mbn sielew hem nijibun basi nielewe mchez

  • @MohamedMohamed-wc8im
    @MohamedMohamed-wc8im 2 месяца назад +2

    😂😂nilitaka kuuliza vp mbona Kai kachekelea tena hilo suala la mimba kidg niache kuangalia kumbe mtego aya asante

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +5

    Candy kwisha abar yako😢😢😢😢

  • @Giftbugalama
    @Giftbugalama 2 месяца назад +1

    naona tunakaribiya fainali, big up sana wana busati tv, kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho, shabiki wenu hapa nikiwa south africa❤🙏👍💪💪

  • @husnahusna1544
    @husnahusna1544 2 месяца назад +1

    Waooo nice zuu kapona na kend jua linamuwakia safi sana malipo ni hapa duniani 🎉

  • @JumaChiryauta-zf6uc
    @JumaChiryauta-zf6uc 2 месяца назад +13

    Wadau ndio hiyoo ssss

  • @nurumgaya1620
    @nurumgaya1620 2 месяца назад +1

    Jamani sijachelewa sana naifwatilia sana house girl team zuuu mko wapi jamani ! Nampenda kai