Wewe ulimtukuza sana shetani,kila mtu anae mwinua shetani hakika ni chukizo kwa ufalme wa Mungu,umaarufu na pesa zinawapoteza watu ,Wengi wanamtukuza shetani katika umaarufu wao na kugeuzwa kuwa chombo cha shetani badala ya Mungu.Hongera kwa kumfuata Yesu ,na kuachana na maigizo ya kutisha yaliyo kuwa yanamwinua shetani sasa umwinue Yesu na ufalme wa Mbinguni Amina.
Yesu hajakuponya mana kanisani hakuna Yesu wala Wachungaji hawamfuati Yesu. Umeponywa na majini wa Wachungaji mana wachungaji wanaongoza kwa ushirikina na wanatumia majini wakubwa wakubwa makanisani.
Saradini ulishawai kuolewa kwa mkataba pale tunduma na jamaa anaitwa Sompora alishaakufa yule tajili alikuaga na pesa za mikataba nakumbuka mlikua mnakaa nyumba ya kule juu ya tunduma panaitwa mwaka uwanjani pale ila nyie watu bana tuu cjui kama unajua yule Tajili Sompora alishaakufa .
Halellujah hongera sana sara kwa kuchagua fungu bora Mungu azidi kukuongoza katika wokovu wako AMEN 🙏
Wewe ulimtukuza sana shetani,kila mtu anae mwinua shetani hakika ni chukizo kwa ufalme wa Mungu,umaarufu na pesa zinawapoteza watu ,Wengi wanamtukuza shetani katika umaarufu wao na kugeuzwa kuwa chombo cha shetani badala ya Mungu.Hongera kwa kumfuata Yesu ,na kuachana na maigizo ya kutisha yaliyo kuwa yanamwinua shetani sasa umwinue Yesu na ufalme wa Mbinguni Amina.
Dada Saraaaaaaa Nafurahi Kuona Unamtumikia Mungu.
Asante kwa kututishaa utotoni mwetu 😂😂😂😂😂😂
saradiñi dada umenikumbusha mbali sana rudi kazini tumemixi kazi zako
Mungu akubariki dada yetu
Aiseee asante dada nakupenda sana wajina
Hogera sana dadangu na Mungu akutiye ngufu ni BM kutoka Congo
Its woderful! Pole sana dada ake.
Ulishakuwa ingizwa kwenye hayo mambo ya mapepo mungu akusaidie.
Yesu hajakuponya mana kanisani hakuna Yesu wala Wachungaji hawamfuati Yesu. Umeponywa na majini wa Wachungaji mana wachungaji wanaongoza kwa ushirikina na wanatumia majini wakubwa wakubwa makanisani.
❤sara nakubali sana
Movies nzr na yeye mzr hakika mungu ni mwema
Mmmmh ila ulikua unatutisha jamani yani usiku kulala ilikua ni shida...duuuh
Saradini ulishawai kuolewa kwa mkataba pale tunduma na jamaa anaitwa Sompora alishaakufa yule tajili alikuaga na pesa za mikataba nakumbuka mlikua mnakaa nyumba ya kule juu ya tunduma panaitwa mwaka uwanjani pale ila nyie watu bana tuu cjui kama unajua yule Tajili Sompora alishaakufa .
Hongera sana dada
God bless you sister Sara
Kazi nzur kijana
Nakumbuka hiyo movie yasaladine uliigiza na h.baba.
Hongera sana, ubarikiwe sana
Eu gosto de vc
Naile muvi uliietendea kazi acha uumwe dada
Tuwekeen ile move kitambo sana
Ulisababisha nilale nakuote myaka ile
Pole Sana dada hata jini kabula nae aliigiza Kama jini hatimae majini yakamwingia akaanza kuchanganyikiwa
Ulianza kusali siyo kuokoka Sara,
Woooga huooo
Duuh 2mekuelewa saladini
Duniani kuna kuokoka kweli nachojua kuokoka ni kufauli siku ya mwisho
Haaaaaaaaa subir sasa wew mpka SKU ya mwisho
Uongo
namuogopa uyu dada
Nasema hatarii ile muvi alijua kuicheza
sana
saradini alikunywa damu
Hello