Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
PRESIDENT RUTO LEFT SPEECHLESS AS GEN Z GIVE HIM CONDITIONS OF HIRING NEW CS
HTML-код
- Опубликовано: 14 авг 2024
- president ruto left speechless after gen z give him new conditions of hiring new cabinet secretaries who were sacked
And they must not be having business in kenya or abroad
Hongera🎉
Comrades power
Hapo mmecheza wakenya na mtafanikiwa mmewatowa khofu waliodhulumu na kujikusanyia mamilioni ya mapesa. Inauma lakini upande mmoja itajenga kitu kimoja kikubwa sana sana kwani hawatatorosha pesa nje ya nchi na wataimarisha miradi hapo hapo Kenya na ndio kitu kizuri. Nyerere Tanzani alipata mtihani kama huwo na akafeli vibaya sana sana mpaka leo hii nchi hakuja juu tena. Nini alifanya, aliwanyanganya matajiri mali zao na kuwapa jina baya wahujumu uchumi. Matokeo yake kutokea muda huwo wafanya biashara na washika pesa kwa wingi wakawa wanaodoa pesa zao wanazo pata nchini Tanzania iwe za halali au haramu hawakuwekeza kwa kujenga magorofa wala viwanda asimia kubwa zilienda nje ya nchi na asilimia ndogo sana ndio inabaki nchini na hilo ndio pigo kubwa kwa vijana hakuna maendeleo makubwa mpaka leo hii
Ruto una hii.....
Watoto wetu wako qualified kuongoza. Huyu hapa mpe kazi pls aongoze education