EXCLUSIVE: NABII ALIYETABIRI KIFO CHA TB JOSHUA AZUNGUMZA - "NILIONESHWA AMELALA, AKAPUNGA MKONO"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- EXCLUSIVE: NABII ALIYETABIRI KIFO CHA TB JOSHUA AZUNGUMZA - "NILIONESHWA AMELALA, AKAPUNGA MKONO"
Nabii Bendera ambaye ni mchungaji katika kanisa la Ufunuo alitoa utabiri wake juu ya kifo cha Mchungaji TB Joshua na Mzee Mzindikaya May 30 2021, ameeleza namna alivyopata maono ya vifo vya watu hao mashuhuri...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nakuamini sana nabii wangu Mungu akuongoze zaidi..
Sio Kila anaye litaja jiana Yesu ni mtumishi Mungu, wengine ni wa shetani.
"Ulimwengu wa roho kila siku saa tisa usiku". "Watu waliovaa nyeusi na waliovaa nyeupe". "Omba kwa ajili yao".
Mungu akupe ufunuo saidi muchungaji
Nampenda sana uyu ni mtu wa uakika sio mbabaishaji mungu anamtumia kwel kwel niliwai kulijua kanisa lake lipo kimara bonyokwa wilaya kinondoni ,kimara mwisho.nabii bendera mungu akupe maisha marefu mm niikua muumini apo nipo mbali sana.
Muongo wewe na huyo
MUHUBIRI 8:8
MUNGU hatafanya neno bila kuwafunulia watumishi wake manabii Siri yake .Amos 3:7
Je, TB Joshua ni Babs yako wa kiroho? Na wewe hutazama Emmanuel tv?
Nabiii wa mwisho ni Nabii Muhammad(S.A.W) peke yake ambae anakitabu cha Quraan sahihi alichopewa Na Allah ,yy uyo kachaguliwa na Allah lin kashushiwa kitabu gan na Alllah ,wanaojiita mitume waharakie kutubia kabla ya adhabu ya Allah kuwafikia. Kazi zao kuzidanganya nafsi zao wenyewe ata hawajihurumii na moto wa Alllah na hali wanajijua kuwa wanasema uongo na kudangaya watu,na wenye imani dhaifu wanaamini,tujihadhari na manabii wauongo
Vichekesho hassa wakiristo manabii wamekua wengi kila mtu nabiii akijiamulia tu khaaaa mtihan kwa kweli
ALLAH ATUOKOE NA
UNNAFIKI WA MANABIII WA UONGO
ALLLAH ALIYAJUA HAYA NA AKASEMA KUA WATAKUJA MANABII WA UONGO NDIO HAO
mmmmmh na nani atayayekuja kuuhukumu ulimwengu cku ya mwisho....
Mara ulifichwa jina la mwana siasa,,mara ulipewa jina lake kwamba atakuwa mzindakaya!!!!?...
ata mimi nauliza ilo swali
Huwez kufa bira kuugua ko wote wanaokufa lazima waugue jmn
Uongo mtupu, mwanzoni unasema hukupewa Jina lake, kisha tena eti oooh ulipewa kabisa Jina lake,
Wazee wa Manisa ndio walimwambia
Mi sijaelewa hapa
Huyu jamaa nilikua simjui hafanani na matendo yake kama anatumwa hv
Huyu sio mtumishi wa MUNGU ni muhuni
"Tuendelee kumwomba Mungu na tuendelee kuwaombea........ mpende jirani yako....... " maneno makubwa na mazuri sana. Mungu atubariki sote.
Mbona hakuachia kabla afe😆
Mungu Nimkuu
Im really sad prophet TB Joshua i feel very sad you have gone too soon but we leave it for God RIP
Sigino ya jicho hiyo naomba ufafanuxi zaidi maanaa yake.asante kwa maneno mazuri ubalikiwe Sana mtumishi wa Jehovah.
Matapeli wengi sana kwa njia za dini na siyo kila asemae bwana bwana atauona ufalme wa mungu biblia agano la kale linasema kutatokea manabii wa uongo na magonjwa yasiyoponyeka kama ugonjwa wa ukimwi ebora na covid 19
Ebora corona hayaponi ? Yanapona isipokuwa ukimwi hawataki kutoa dawa na mbona ukimwi ni mwingi sana Afrika ulaya haupo ?.
R.I.P man of God PROPHET Tbjoshua. Let's talk bad abt him after his death. Period!!!
It's Father God made us with His Spirit to communicate through our Spirit to His Spirit, but many people don't hear the voice of Holy Spirit because of Sinning!, we always have the Spirit around us!.
Thank Lord Jesus Christ
Of Nazareth ✝️🙏
Biblia inasema mtu akifa n hukumu tunaombeaje wafu,,Yesu atusaidie waebrania 9:27,Yesu anasema matendo yetu yatafatana nasi na Mungu n Wa walio hai sio wafu
I don't know more about that but what I know is God is real ,we shall knows the truth and the truth will set us Free
I agree
Mungu mwema katika yote
Mungu nisaidie kutokujua kutafsiri ndoto zangu. Mtumishi nikumbuke ktk maombi maana kuna ndoo niliota sikuweza kujua mpaka yametokea haya.
Asante mchungaji kwa kunipa pole maana daahhhh!!!!
Mungu amlaze pema, mwendo ameumaliza
Mungu akubariki sana Nabii
Ole wako kama unaweza kuonyeshwa kifo cha TB Joshua katika maono!
Dominic Mukhwana Odinga kwanini ole wake?
Bongo siham
Man of God lala salama
Jesus is lord amen 🙏🙏🙏
kwel
Mungu akubariki
Hahaaahaaaaa
Hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu. We amini tu kuwa Mungu akiamua lolote litatendeka duniani na mbinguni na kwa ukamilifu wake. Mungu ni Mungu tu. Amina.
Uko sawa kabisa baba angu nakukubali sana.
mitambo veep
Rip
Tunae baba🤗
Upo sawa baba hata mm nilionyeshwa kifo Cha Magufuli upo swa kabisa.
Naomba number ya huyu nabii Tafhali
queen nenda kimara mwisho ukishuka ulizia magari ya kwenda kwa bendera kanisa la ufunuo magar nimengi sAna sana unafika raka,na nimtu mnyenyekevu sana hana makuu unaweza kumuuona.
@@focuseric4109 Mimi Niko Kenya
@@Stephy_ENABII BENDERA ANAPATIKANA SEMA SUBIRI NITAKUTAFUTIA LKN NI VIZUR KUNTAFUTA MUONANE QUEEN.JITAIDI UMTAFUTE ANAKANISA KUBWA SANA SANA LKN ANA HURUMA SANA SANA
@@focuseric4109 nisaidie no yake plz..niko kenya
Ss we mjinga na ww unakufa lini hebu jitabilie na ww
@Mazanza tv hata natamani namba yake mimi
@Mazanza tv naomba number Niko kenya
Msikufuru. Mungu yupo na anazungumza na satumishi wake. Mtawajuwa kuwa ni ukweli kutokana na matendo yao.
Vp mtumishi unasema auja pewa jina Tena unasema ukapewa jina ukiwa muhongo usiwe musalifu
Hata sheitwani anaweza tabiri kifo .swali?