EXCLUSIVE: NABII ALIYETABIRI KIFO CHA TB JOSHUA AZUNGUMZA - "NILIONESHWA AMELALA, AKAPUNGA MKONO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • EXCLUSIVE: NABII ALIYETABIRI KIFO CHA TB JOSHUA AZUNGUMZA - "NILIONESHWA AMELALA, AKAPUNGA MKONO"
    Nabii Bendera ambaye ni mchungaji katika kanisa la Ufunuo alitoa utabiri wake juu ya kifo cha Mchungaji TB Joshua na Mzee Mzindikaya May 30 2021, ameeleza namna alivyopata maono ya vifo vya watu hao mashuhuri...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 70

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад +3

    Nakuamini sana nabii wangu Mungu akuongoze zaidi..

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 3 года назад +7

    Sio Kila anaye litaja jiana Yesu ni mtumishi Mungu, wengine ni wa shetani.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    "Ulimwengu wa roho kila siku saa tisa usiku". "Watu waliovaa nyeusi na waliovaa nyeupe". "Omba kwa ajili yao".

  • @elizabethnafunamakhanu8942
    @elizabethnafunamakhanu8942 3 года назад +1

    Mungu akupe ufunuo saidi muchungaji

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 3 года назад

    Nampenda sana uyu ni mtu wa uakika sio mbabaishaji mungu anamtumia kwel kwel niliwai kulijua kanisa lake lipo kimara bonyokwa wilaya kinondoni ,kimara mwisho.nabii bendera mungu akupe maisha marefu mm niikua muumini apo nipo mbali sana.

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 3 года назад

    MUHUBIRI 8:8

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 3 года назад +3

    MUNGU hatafanya neno bila kuwafunulia watumishi wake manabii Siri yake .Amos 3:7

  • @mwoso
    @mwoso 3 года назад +1

    Je, TB Joshua ni Babs yako wa kiroho? Na wewe hutazama Emmanuel tv?

  • @saumuali5127
    @saumuali5127 3 года назад +1

    Nabiii wa mwisho ni Nabii Muhammad(S.A.W) peke yake ambae anakitabu cha Quraan sahihi alichopewa Na Allah ,yy uyo kachaguliwa na Allah lin kashushiwa kitabu gan na Alllah ,wanaojiita mitume waharakie kutubia kabla ya adhabu ya Allah kuwafikia. Kazi zao kuzidanganya nafsi zao wenyewe ata hawajihurumii na moto wa Alllah na hali wanajijua kuwa wanasema uongo na kudangaya watu,na wenye imani dhaifu wanaamini,tujihadhari na manabii wauongo
    Vichekesho hassa wakiristo manabii wamekua wengi kila mtu nabiii akijiamulia tu khaaaa mtihan kwa kweli
    ALLAH ATUOKOE NA
    UNNAFIKI WA MANABIII WA UONGO
    ALLLAH ALIYAJUA HAYA NA AKASEMA KUA WATAKUJA MANABII WA UONGO NDIO HAO

    • @femidayahaya9293
      @femidayahaya9293 Месяц назад

      mmmmmh na nani atayayekuja kuuhukumu ulimwengu cku ya mwisho....

  • @alamnyopo9739
    @alamnyopo9739 3 года назад +3

    Mara ulifichwa jina la mwana siasa,,mara ulipewa jina lake kwamba atakuwa mzindakaya!!!!?...

  • @malaikaspriani4199
    @malaikaspriani4199 2 года назад

    Huwez kufa bira kuugua ko wote wanaokufa lazima waugue jmn

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 3 года назад +3

    Uongo mtupu, mwanzoni unasema hukupewa Jina lake, kisha tena eti oooh ulipewa kabisa Jina lake,

    • @dwangui76
      @dwangui76 3 года назад

      Wazee wa Manisa ndio walimwambia

    • @paulaminzi114
      @paulaminzi114 3 года назад

      Mi sijaelewa hapa

  • @malaikaspriani4199
    @malaikaspriani4199 2 года назад

    Huyu jamaa nilikua simjui hafanani na matendo yake kama anatumwa hv

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 2 года назад

    Huyu sio mtumishi wa MUNGU ni muhuni

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +1

    "Tuendelee kumwomba Mungu na tuendelee kuwaombea........ mpende jirani yako....... " maneno makubwa na mazuri sana. Mungu atubariki sote.

  • @djpdaprince2233
    @djpdaprince2233 3 года назад

    Mbona hakuachia kabla afe😆

  • @verityngoda268
    @verityngoda268 Год назад

    Mungu Nimkuu

  • @williammemusi7402
    @williammemusi7402 3 года назад +2

    Im really sad prophet TB Joshua i feel very sad you have gone too soon but we leave it for God RIP

  • @dianamwalongo9732
    @dianamwalongo9732 3 года назад +1

    Sigino ya jicho hiyo naomba ufafanuxi zaidi maanaa yake.asante kwa maneno mazuri ubalikiwe Sana mtumishi wa Jehovah.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +2

    Matapeli wengi sana kwa njia za dini na siyo kila asemae bwana bwana atauona ufalme wa mungu biblia agano la kale linasema kutatokea manabii wa uongo na magonjwa yasiyoponyeka kama ugonjwa wa ukimwi ebora na covid 19

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Год назад

      Ebora corona hayaponi ? Yanapona isipokuwa ukimwi hawataki kutoa dawa na mbona ukimwi ni mwingi sana Afrika ulaya haupo ?.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +1

    R.I.P man of God PROPHET Tbjoshua. Let's talk bad abt him after his death. Period!!!

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 года назад

    It's Father God made us with His Spirit to communicate through our Spirit to His Spirit, but many people don't hear the voice of Holy Spirit because of Sinning!, we always have the Spirit around us!.
    Thank Lord Jesus Christ
    Of Nazareth ✝️🙏

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 3 года назад

    Biblia inasema mtu akifa n hukumu tunaombeaje wafu,,Yesu atusaidie waebrania 9:27,Yesu anasema matendo yetu yatafatana nasi na Mungu n Wa walio hai sio wafu

  • @zadockmunyole
    @zadockmunyole 3 года назад +2

    I don't know more about that but what I know is God is real ,we shall knows the truth and the truth will set us Free

  • @PIODETV
    @PIODETV 3 года назад +1

    Mungu mwema katika yote

  • @everlight6
    @everlight6 3 года назад

    Mungu nisaidie kutokujua kutafsiri ndoto zangu. Mtumishi nikumbuke ktk maombi maana kuna ndoo niliota sikuweza kujua mpaka yametokea haya.

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 3 года назад +1

    Asante mchungaji kwa kunipa pole maana daahhhh!!!!

  • @michaelopiyo8760
    @michaelopiyo8760 3 года назад

    Mungu amlaze pema, mwendo ameumaliza

  • @graceleah1629
    @graceleah1629 3 года назад +3

    Mungu akubariki sana Nabii

  • @josephmukhwanawilliam9487
    @josephmukhwanawilliam9487 3 года назад

    Ole wako kama unaweza kuonyeshwa kifo cha TB Joshua katika maono!

  • @benphonerepair
    @benphonerepair 3 года назад +1

    Bongo siham

  • @Carorinecalo
    @Carorinecalo 3 года назад

    Man of God lala salama

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 3 года назад

    Jesus is lord amen 🙏🙏🙏

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    kwel

  • @annamoka2576
    @annamoka2576 3 года назад +1

    Mungu akubariki

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 года назад

    Hahaaahaaaaa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад

    Hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu. We amini tu kuwa Mungu akiamua lolote litatendeka duniani na mbinguni na kwa ukamilifu wake. Mungu ni Mungu tu. Amina.

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад +1

    Uko sawa kabisa baba angu nakukubali sana.

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 3 года назад

    mitambo veep

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 3 года назад

    Rip

  • @rehemamichael2227
    @rehemamichael2227 3 года назад

    Tunae baba🤗

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад

    Upo sawa baba hata mm nilionyeshwa kifo Cha Magufuli upo swa kabisa.

  • @Stephy_E
    @Stephy_E 3 года назад +3

    Naomba number ya huyu nabii Tafhali

    • @focuseric4109
      @focuseric4109 3 года назад

      queen nenda kimara mwisho ukishuka ulizia magari ya kwenda kwa bendera kanisa la ufunuo magar nimengi sAna sana unafika raka,na nimtu mnyenyekevu sana hana makuu unaweza kumuuona.

    • @Stephy_E
      @Stephy_E 3 года назад

      @@focuseric4109 Mimi Niko Kenya

    • @focuseric4109
      @focuseric4109 3 года назад

      @@Stephy_ENABII BENDERA ANAPATIKANA SEMA SUBIRI NITAKUTAFUTIA LKN NI VIZUR KUNTAFUTA MUONANE QUEEN.JITAIDI UMTAFUTE ANAKANISA KUBWA SANA SANA LKN ANA HURUMA SANA SANA

    • @rosekassone5510
      @rosekassone5510 3 года назад

      @@focuseric4109 nisaidie no yake plz..niko kenya

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail4488 3 года назад +1

    Ss we mjinga na ww unakufa lini hebu jitabilie na ww

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 3 года назад +1

      @Mazanza tv hata natamani namba yake mimi

    • @Stephy_E
      @Stephy_E 3 года назад

      @Mazanza tv naomba number Niko kenya

    • @edithkovary5771
      @edithkovary5771 3 года назад

      Msikufuru. Mungu yupo na anazungumza na satumishi wake. Mtawajuwa kuwa ni ukweli kutokana na matendo yao.

    • @mtumepaulochiza3723
      @mtumepaulochiza3723 3 года назад

      Vp mtumishi unasema auja pewa jina Tena unasema ukapewa jina ukiwa muhongo usiwe musalifu

    • @mamabarbarasongjunior1898
      @mamabarbarasongjunior1898 3 года назад

      Hata sheitwani anaweza tabiri kifo .swali?