Njia Rahisi Ya Kuondoa Password/Pattern Uliyosahau Kwenye Simu Yako Ya Smartphone
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- ajakaiict.net/i...
Je! Smartphone yako iko taratibu, inaganda, haipokei taarifa mapema, inajibu/kufunguka vibaya, au huwezi kukumbuka neon la siri la kufungua simu? Una bahati!
Bado kuna chaguo nzuri sana inayopatikana, na hiyo ni kuweka upya setting zote za simu yako, pia inajulikana kama alternate reset, kwenye kifaa.
Ikiwa unapata shida kufikia chaguo zako za kuweka upya kupitia setting, basi bado unaweza kurekebisha simu yako ya Smartphone kupitia video hii itakuonyesha jinsi ya kufanya. Hili ndilo suluhisho bora ikiwa una shida na skrini yako ya kugusa (touchscreen), au huwezi kutumia kwa usahihi simu yako.
→ Jiunge kwa kubonyeza Subscribe ili kupata mafunzo mengi zaidi tuliokuandalia kwa kiswahili
➭ AJAKAI ICT TRICK [English Channel]: / @ajakaiict5231
➭ ICT YETU [Swahili Channel]: / @ictyetu
→ Instagram: @ajakaiict
→ Facebook Page: / awadhjamali
→ Website: www.ajakaiict.net
→ Online Computer Course: / channel ••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• ➭ MSAADA MTANDAONI: support@ajakaiict.net OR WhatsApp: +255 678 920 112
➭ KWA KIBIASHARA: ajakaiict@gmail.com #kudukua #vidokezo #simu #mbinu #meseji #maujanja #facebook #instagram #twitter #linkedIn #whatsapp #email
Asante sana broo nimefanikiwa
5:00 nielekeze Infinix smart7 nagusa Kam ivyo inasumbua😢msaadaa
Naomba NIWE mwanafunzi wako ata ukinifundisha maujuzi online kaka ntalipia ada bro
Umetisha mwamba
Ndo kwanza naletewa maneno ya kichina 😂😂
Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo
Hello
Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa
Hello habar Nina swali
😮😮😮
Sijafanikiwa mbona
Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa
Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa
Zima simu afu washa inajiondoa