Njia Rahisi Ya Kuondoa Password/Pattern Uliyosahau Kwenye Simu Yako Ya Smartphone

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • ajakaiict.net/i...
    Je! Smartphone yako iko taratibu, inaganda, haipokei taarifa mapema, inajibu/kufunguka vibaya, au huwezi kukumbuka neon la siri la kufungua simu? Una bahati!
    Bado kuna chaguo nzuri sana inayopatikana, na hiyo ni kuweka upya setting zote za simu yako, pia inajulikana kama alternate reset, kwenye kifaa.
    Ikiwa unapata shida kufikia chaguo zako za kuweka upya kupitia setting, basi bado unaweza kurekebisha simu yako ya Smartphone kupitia video hii itakuonyesha jinsi ya kufanya. Hili ndilo suluhisho bora ikiwa una shida na skrini yako ya kugusa (touchscreen), au huwezi kutumia kwa usahihi simu yako.
    → Jiunge kwa kubonyeza Subscribe ili kupata mafunzo mengi zaidi tuliokuandalia kwa kiswahili
    ➭ AJAKAI ICT TRICK [English Channel]: / @ajakaiict5231
    ➭ ICT YETU [Swahili Channel]: / @ictyetu
    → Instagram: @ajakaiict
    → Facebook Page: / awadhjamali
    → Website: www.ajakaiict.net
    → Online Computer Course: / channel ••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• ➭ MSAADA MTANDAONI: support@ajakaiict.net OR WhatsApp: +255 678 920 112
    ➭ KWA KIBIASHARA: ajakaiict@gmail.com #kudukua #vidokezo #simu #mbinu #meseji #maujanja #facebook #instagram #twitter #linkedIn #whatsapp #email

Комментарии • 14

  • @danielmhagama9841
    @danielmhagama9841 Год назад +2

    Asante sana broo nimefanikiwa

    • @EmanuelMgaya-it8dh
      @EmanuelMgaya-it8dh 9 месяцев назад

      5:00 nielekeze Infinix smart7 nagusa Kam ivyo inasumbua😢msaadaa

  • @PhilipoMussa-x7m
    @PhilipoMussa-x7m 28 дней назад

    Naomba NIWE mwanafunzi wako ata ukinifundisha maujuzi online kaka ntalipia ada bro

  • @jeffchelsea3035
    @jeffchelsea3035 6 месяцев назад

    Umetisha mwamba

  • @AbasiNgande
    @AbasiNgande Месяц назад

    Ndo kwanza naletewa maneno ya kichina 😂😂

  • @AgustinoEmanuel-mv4ku
    @AgustinoEmanuel-mv4ku 3 месяца назад

    Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo

  • @QboyDaniel
    @QboyDaniel 23 дня назад

    Hello

  • @AgustinoEmanuel-mv4ku
    @AgustinoEmanuel-mv4ku 3 месяца назад

    Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa

  • @AgustinoEmanuel-mv4ku
    @AgustinoEmanuel-mv4ku 3 месяца назад

    Hello habar Nina swali

  • @SnoopDog-yd9kd
    @SnoopDog-yd9kd 3 месяца назад

    😮😮😮

  • @edudidas-tf8wv
    @edudidas-tf8wv 3 месяца назад

    Sijafanikiwa mbona

  • @AgustinoEmanuel-mv4ku
    @AgustinoEmanuel-mv4ku 3 месяца назад

    Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa

  • @AgustinoEmanuel-mv4ku
    @AgustinoEmanuel-mv4ku 3 месяца назад

    Kwenye simu yangu kuna kama duala jeupe uki lenye kuji tachi lenyewe una liondowaje hilo mana ime kuwa iki nisumbuwa