Bro katika Huduma Ambayo hutakiwi kuiacha na Binafsi naona Ndipo Mungu alipokuita ni KUIMBA,. Nyimbo zako zimejaa mafuta,melody nzuri,sauti nzuri,mziki mzuri,ujumbe mzuri na Utunzi mzuri .Mungu akutunze ili kusudi lake litimie kwako Hapa Duniani na Mbinguni
Mungu atusaidie, leo vyombo vya habari mara mme kaua mke, mara mke kaua mme wake, MUNGU turehemu, watumishi nina maumivu ndani......., MUNGU akukumbuke pastor JJ RWIZA akuinue utukufu hadi utukufu
Bro katika Huduma Ambayo hutakiwi kuiacha na Binafsi naona Ndipo Mungu alipokuita ni KUIMBA,.
Nyimbo zako zimejaa mafuta,melody nzuri,sauti nzuri,mziki mzuri,ujumbe mzuri na Utunzi mzuri .Mungu akutunze ili kusudi lake litimie kwako Hapa Duniani na Mbinguni
Yani kweli kabisa umesema...huwa anahubiri Na Huwa ni mc, lkn hii ya uimbaji asije kuiacha hata kidgo
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Nikweli kabisa mtumishi wa MUNGU
Napenda Sana Sana jumbe zako Mungu azidi kukupaka mafuta zaidi.Mungu tusaidie Sana
saf kaka ndoa imekuwa ndoano sasa hekima ya MUNGU inaitajika sana
Barikiwa Sana jj.
mwimbaji mwenye sauti ya hisia
Jana nilibarikiwa na ibada Sana nisifananishwe. Na mwingine na dharau hahahaha
nakupendaga bure kaka yang kazi nzuri sijui namimi nitafika
ndoa zimekuwa ndoano
Wimbo huu n fundsho kwa wanandoa pia kwa vjana wanaoelekea huko inatupasa kumtafta Mungu sana ili kuepuka ndoano.barikiwa sana Mwinjilist.
So blessed pastor🙏
Ubarikiwe sn kaka
mungu tusaidie ndoa zetu
Mungu atusaidie, leo vyombo vya habari mara mme kaua mke, mara mke kaua mme wake, MUNGU turehemu, watumishi nina maumivu ndani......., MUNGU akukumbuke pastor JJ RWIZA akuinue utukufu hadi utukufu
Nimeielewa hiyo.Kweli MUNGU tusaidie juu ya ndoa zetu
ubarikiwe sana kaka lwiza mungu atuponye na ndoa zetu shetani halali yupo macho hataki kuona watu wa mungu wakifurahia ndoa zao Yesu utuponye
nimekuelewa mchungaji
Daaah!nmeoa moto.ndoa zpone kupitia wimbo huu.ubarkiwe kaka Bwana akuinue zaid.
Mungu akulinde Kakaangu mzuri Ubarikiwe mnoo
Ni kweli kabisaa mungu atuhurumie sana
Good
Be blessed
Asantee
nice song mkubwa
Thanks friend
CHOMA MANYASI Tv Nikweli kabisa hukuna amani Ila ni wapangaji tunaokuwa tunaishi nyumba moja kwa kuwa turijenga pamoja