KILIMO CHA MAHINDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Mahindi ni chakula kikuu katika nchi nyingi Africa ikiwemo Tanzania, mahindi ni lishe kuu kwa zaidi ya asilimia 50 ya watu, mahindi yana virutubisho vingi sana ikiwemo wanga, vitamin B, protini na madini, ambapo ni muhimu sana kwa afya zetu, mahindi huliwa kama ugali, japo wengine pia hupenedelea kula kama mahindi ya kuchoma
    Mradi wa kuboresha myororo wa thamani katika zao la mahindi Tanzania unatekelezwa na shirika la AMDT

Комментарии • 14

  • @yusuframadhan7977
    @yusuframadhan7977 5 лет назад +8

    ndugu maelezo yako ni uongo mtupu. hecta sio heka.
    2.miche ya mahindi ni zaidi ya 22,000kwa hekari moja.
    3.Acheni kupotosha wakulima.Nimesikitika saanaa.

    • @magangakiyabo3429
      @magangakiyabo3429 5 лет назад +1

      Yusuf Ramadhan tueleweshe basi ndugu yangu kama kuna uwezekano hata namba y’a cm

    • @simeomataluma1263
      @simeomataluma1263 4 года назад +1

      kuna ekari na hekta... ekari moja ni sawa na mita za mraba 4047 na hekta moja ni mita za mraba 10,000.Hekta ni kubwa kuliko ekari

    • @danielx8
      @danielx8 3 года назад

      🤣🤣

  • @barakakwanjula7634
    @barakakwanjula7634 4 года назад +2

    Siku moja na mimi ntalima mahind

  • @michaelflorence2543
    @michaelflorence2543 2 года назад +1

    mykoo

  • @MaryWaithanga
    @MaryWaithanga Год назад

    wapi naweza pata mbegu hii

  • @yusuframadhan7977
    @yusuframadhan7977 5 лет назад +1

    unadanganya eti hekta miche 3000?.umesomea kiswahili au sanaa.

  • @paulonkusayoutubepaulonkus8437
    @paulonkusayoutubepaulonkus8437 4 года назад

    ninzur

  • @alexnikole-qz7kp
    @alexnikole-qz7kp Год назад

    Hekari moja inatoa kiasi gani cha maindi

  • @solomonmwakitosi8197
    @solomonmwakitosi8197 3 года назад +1

    Kipindi kilikua kizuru sasa hakipo tena tuna kiiitaji tena

  • @williammyamba7655
    @williammyamba7655 4 года назад +1

    Naomba namba zako za cm nataka kulima msimu huu wa kiangazi mm 0766228285