BREAKING: Waislamu wavamia ofisi ya DC Hai, tunataka haki!!
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- BREAKING: Waislamu wavamia ofisi ya DC Hai, tunataka haki!!
Waislamu wa Misikiti ya kata tatu tofauti katika Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Wameandamana kuelekea katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya Ya Hai, Lengai ole Sabaya, kupeleka mashtaka yao ya kuporwa shule walioyoijenga kwa michango yao.
#DCSABAYA #DCHAI
SUBSCRIBE: Global TV Online: goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global
Kama unakubali Masai wanaheshimu wazee gonga like hapa kwa ole sabaya
watu wanadhulumu haq za waislamu bila ya was was subhanallahi allah yupo kwake ni hakimu wa kweli na haqi inshallahi
Destiny 4life nakuona mK'NJARO na huku upo au mpenda haki au ndo mfuatiliaji wa global imekubamba tu!
Ila vzr kuwa na ya nchi yako katk kona mbalimbali wafuatilia 👌🏿👏🏿👍🏿
Allah kareem atawasimamia innsha allah
HAO HAO WAICLAM WATAKUOMBEA DUA UTOKE KWANI UMEWAJALI NAO WAMERIDHIKA INSHAALLAH MUNGU YUPO
MashAllah Allah awasimamie ili mpate hakhi zenu In shaAllah
Poleni sana ndugu zangu.Busara na Allah atusimamie kwenye hili
waislam waskivu ssana bila fujo wallahi huu ndio uislam saf sana jazakumu llahu khayral jazaaaaa
maharabikum
Destiny 4life
mm siyo muislam,, lakini nimewapenda bure waislamu kwa unyenyekevu wao.. Mungu awabariki.
Duuuuu busara nzuriiiii saaaana big up mkuu wa wilaya
Allah akufanyie wepes
DC mstalabu sana hongela
In shaa Allah mutapata haki yenu kwa uwezo wake Allah
Malizeni wenyewe tu
devid wambura mungu anakuona ....waombe msamaha waisalamu wotee...
POWER SABAYA.
subhanna Allah david mbarua mungu akusamehe hujui ilisemalo
Mungu awajalie mpate haki ishallah
kwa serikali hii naamini Haki wataipata hapa kazi tu
Hakuna haki
Sasa hayo ndio mambo hayohayo wanayomfanyiya DC wenu sabaya kila anapo wakabili hao wanao zulumu haki zenu wanainci huwa anakabiliwa na upande mwingine wakizua mambo ya kumpakaa matope tu na kumzalilisha.lakini anacyo kifanyaDc sabaya nisahihi asaidiwe badala ya kumtengenezea mashtaki hovyo tu ya Wana siasa hongera dc sabaya usi babaike ukweli nihuu kuhudumia wanyonge. Na mungu atakulinda
Inshaallaah hii inapendeza hakuna fujo ni lakha ya kusikilizana inaleta aman zaid mungu aipe upendo wa kweli tanzania
In shaa Allah
Mungu akubari mkuuu
allah atatuongoza kwa kheri waislam,mudio ilianza kwa mikono ya waislam wa mudio,kalimani,korongoni,kware,kwa sadala,kibohehe,ajabu hao wanaotaka kuanzisha vurugu,wakati wao wana taasis zao arusha,ole sabaya homgera sana kwa kuwasikiliza waislam waliokuja kwako kwa amani
Kikubwa ni watu wapate haki yao, na wanaotaka kupora haki ya watu washughulikiwe wasiachwe hivi hivi
Waislamu wote duniani wangekuwa hivi dunia ingekuwa paradiso leo
Msiba mambo ya waislam kwa D C mtihana
Waislamu wa ukweli hawakimbilii kwa ma twaghut kuamuliwa mambo yao... Ipo wapi Qur-an na sunnah yake Rasulullah?... Inna lillahi
Nakwelewe sana lais wetu akukosea kukuchagu nimependa busala za na viongozi wengine waige mfano wako
Huyu ndio sabaya mwenye roho ya sokoine ,in Comrade sokoine's second chance
Acha kumfananisha Sokoine na jambazi
Allah Akbar
Mangi ongea kiswahili bathii!
Mbona Sabaya alikuwa saw
safi kabsa
ila vijana hawapo weng n wazee tu kweli wazee pia wakiamuaa wanawezaaa
IN SHAA ALLAH
ALLAH.atajua chakuwafanya wanaodhurum.haq.zawaislam
huo ndio uislam Amani manshala Allah azidi kutupa subra ndio silaha yetu Alsamir jamilll manshala
Duuu eti Leo yupo mahabusu😂😅😂 so sad
kumbe Shekh wangu Tauratha mwafanyiwa hivyo Allah yu pamoja nanyi atawafanyia wepes
SubhanahAllah
devidi pole sana hujijui ila mungu atakuonyesha jambo usilolijua
wallah sabaya utafika mbali sana anahekima sana na anaujua uongozi raisi huyu jamaa anastahili kuwa rc
Sasa c unaona muislamu mwenzenu amemtoa, nyie waislamu nchi hamuwezi kuiongoza
Huyu kaka nimempenda mstaarabu sana
Huyu haoni haya ndoomaana hata magufuli anatukanwa bila kujari watanzania ametufanyia nn? Binadam bwana hovyo ndoo sababu mungu alijificha mpooo
Mheshimiwa Ole ulichelewa kuwepo upande huu hakika ni kiongozi muadilifu tena mwenye hekima
Mm mwenyewe lichanilikuwa na umri wa miaka 14 watu walijitole kwa nguvu na mali kujengashule ya kiislam modio wengine walitoa hatampaka ng'ombe za ndani
Global TV kuweni na makini mnapotoa vichwa vya habar ...wamevamia Kwan hao majambaz ?
nashanga kaz kupak tope waisilam2 waonekane wabay sijuw haw wandishi wapoje mavi yao bhan wameniudhi
Inshallah
Ooh my gaaaaad naona watu wa hom live home 😂😂😃😃😃😃
Tujuaneeeee😁 na mimi nawaona, wa modio wamechoka. Mmbatiri fayda na shule foooo.
Allah awape wepes
Allah awasimamie
Allah awasimamie ndugu zangu
Mbona heading ni tofauti na tuliyoyaona hapa hai Waislamu hatuna tabia ya uvamizi
Mashallah
wakrstu ni watu wa hekima na siwez dharau dini ya mwezang
Kwahyo leo hawayakumbuki mema yake duuuh Tanzania ni Giza kwel
Yan watu wa home nayajua hapo namwona baba chuwa baba twaa
Kama unaamini waislam wote ni viraza gonga like twende sawa.
David Wambura mamaako ni kilaza, kichwamaji,mbulula ndio maana alikuzaa ww fala
Baba yako na mama yako ndo vilaza mbwa wewe
Sio adabu Wala ustaarabu kutusi dini ya mwenzio na Wala usijione kuwa uko sahihi saana kuwa katka dini uliyopo Lau Kama ungetambua uko katika hasara ungetoka ulipo kabla juahalijabadili mwelekeo kutoka magharib na kuelekea mashariki..... think twice about it then chukua hatua
@@kassimjuma8713 ukimtusi hujamfundisha Kaka...uislam Ni mzuri💋💋💋hamna kitu umeacha hata kimoja hvyo siyo sifa ya muumin kutukana tumuogope Allah na kumcha ukwel wakumcha...by the way hukufanya vyema ndg yangu katika iman Rudi kwa Allah ukaombe radhi
@@saydbarakismailiya1515 hapana Lau mtume Wetu Muhammad (s.a.w) angekuwa anafanya hivi hakika hii dini ya haki isingetufikia tuweni wachamungu jaman usisahau dunia mapito... NAKUPENDA kwa ajili ya Allah
ingekuwa zamani wazee hawa wangepigwa nakupewa kesi ya ugaidi ongera relikali sikivu
Uongozi huu ndio tunaoutaka, watu wanapoandamana yapàswa kusikilizwa namna hii, sio kuwapiga mabomu
awa ndio viongozi wenye hekma .mungu akupe madaraka zaidi .mkuu wa wilaya
jumatano ipi leo nimesubili weeee hakuna kitu
Kwa.serikali.hii.lazima mpate haki
Ata shikamoo hamna siku hizi
😌😌😌
hakuna ustaarabu hapo
pole waislam WA Modio alikuwa WAP mkiporwaa shule kuweni na kauli za kislam ayo ni mambo ya kukaa chini nakuzungumza so mambo ya kuanika
nilichogundua rafudhi haina dini..
Tunamuomba pia mueshimiwa rais wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kwa ujumla watusaidie kuangalia na waislam wasiokua na hatia walioekwa magerezan
Aisha Mambo wawekwe ty.. kwenye sheria Hakuna cha dini... we Kama ni mvunja sheria za nchi.. uozee tu huko huko Mbona waache wafundishwe adabu... Mbona kuna waislam wengi tu ni watu wema.... Wale wajifunze.. waache ujinga ujinga
Mashekhe watoweni ndani pia nao ni binaadamu.pia wanahaki
Sabaya ametengeneza igizo
Nasikia majina ya yahaya ndo yamewanyang'anya shule
KAJAMAA KANAVYO JIONA KANA KWAMBA NI KA MUNGU KADOGO HAI,KAPUMBAVU UKIKUTANANAKO PEPONI UNA KASUKUMIA KUZIM KAJINGA HAKA
ww zacharia hujui tyu juzi kati ulipo tokea msiba wa Pancho Kuna mdada wa kiisilamu aliponda xana juu ya wakirstu tena bora angekuwa msitaarabu lkn alitumia mikiristu makafiri kwel sisi ni Binaadamu wote watoto wa mungu huyo huyo mmoja
Ok
Before you start complaining. .by the fact of being called a Kafiir you should go and do your homework , my dear. .the true definition of Kafiir is a Disbeliever,, since We Muslims have different points of view with other faiths including Christianity, Hinduism, Buddhism etc
when it comes to belief we have the right to call you Kafiirs simply because you do not believe what we believe. .same goes for you if you like you could call us Kafiirs too since hatuamini mnachoamini. .Just Clearing The Air,, No Offense.. May Allah Almighty Bless You😊
@@sharifahsalum8304 Maasha Allah be blessed alot my dear.....yeah that's definition of a kafiir😘😘😘
Aisee raisi akiwa imala bas serikali yake itakuwa imala kote ongera magu
Muslims are so divided among themselves ad mnadhurumiana
Mtapotezwa nawatu wasiojurikana kama tundu lissu nyiie masheehee
wewe unajua eti unachongea mbona kama umejaa sumu yahasila ndomaana nkasema niwatu washari tayali umeanza ayabana ngoja nifunge mdomo ukweli ndo huo baybay
Halafu nyie global kusoma kwenu mnashindwa kuchagua maneno ya kutumia, eti "waislamu wavamia " mnataka waonekane wakorofi. Fanyeni kazi kwa weledi mkishindwa ulizeni
Waliozurumu ni waislamu wenzao ama vipi mbona vuchwa vya habari vinajenga wananchi na madhehebu yake kujenga chuki kana kwamba wasiowasomea mapato na matumuzi kwani ni Wakristo ama wapi?
davidi wewe nimpuuzi Tu achaujinga kijana ukiulizwa ukilaza wao utawajibu kuwa nabusara huu mtandao niwakijamii ongea maneno mazuri yasije yakakugarim
Mussa Mbilu Nyi mnavyowaita wenzenu makafir ni ustaarabu.... Nyi basi Nyi ni makafirwa
Ayo mambo malizeni kwa taratibu za kidini .na makanisa yakianza kupeleka shida zao Kwa wakuu wa wilaya itakuwaje.
Kwani Waona hapo Kuna Fujo?
Wacha Kubobokwa Kijana
Pengine labda umeona fujo hpo jirani au una shida ya macho
Wewe anta usionge nyamaza
Kwan hapo wamekuja kugombana
Wakristo taifa kubwa wewe HAKUNA wa kutubabaisha duniani
nilitarajia hayo kutoka kwa watu kama wewe sishangai Mimi sinachuki ndugu namimi siyo mpumbavu kama unavo zani wewe unavo onekana tu we we hapo ulipo umejaa chuki dhidi yawatu walio tofauti na imani yako ndomaana umeonyesha kujaa kifua mapema pole sana
Angekuwa mkiristo mitusi kibao ira wanaoponda ukristo na kutukana mungu yu awaona
Nice التوبي Sasa wewe wakristu wamefuata nini hapo Mbona unakosa hadabu Ndio mana tunahambiwaga kazi Kupenda dini za wenzetu Ivi umewai kusikia mkristu kamponda muislamu
Allha awe nanyi
Nyie n mawahabi tu
Nini kisa?
Alhabsiya Zuweina walitoa ushilikiano wakujenga shule yapamoja namafunzo yakislam lakn wanashangaaa haijajengwa Co hawajui pasa zlienda wap ndomaana wanaulizaa.
@@adamyohana5749 aha OK 🆗. Asante kunifahamisha kaka
Watu wamejenga shule kwa nguvu zao vibaka wa nataka kiulaini
Hao na kapelo zao waweza kuwa magaidi.
Gaid ww mwenyeo pimbi weee
Malalamiko kwani ww ni jaji
Sasa kama mtu kala kazulum pigeni dua kwa mungu mana yeye ndie mtaka aki kwa wote kwa waja wake mana sasaivi bwana mungu alisema mtu usiuwe mtu rakini utakuta muislam anashiliki kuuwa eti mwizi mwizi kata mkono kuua raana watu turudi kwa mungu
JPM NI MJUZI NA HODARI KATIKA TEUZI ZAKE...........GOD BLESS YOU DC
Petro machanga we ni kafir utachomwa jahanamu milele
Kafir ni Allah namhammad
eti MTU unaitwa teja Wa mapenzi hatajina lako linaonyesha huna maadili hata hofu yamungu huna siwezi kurumbana nawewe kwani we we siyo type yangu ninahitaji kuongea na mtumtu mwenye uwezo Wa kujenga hoja nasiyo matusi we we tafta mateja wenzio Wa mapenzi maana hao ndo type yako kwaheli
Murtadini nyie haq ya waislam mnaenda kuiomba kwa makafiri wawashirikina, haq ya waislam ipo kwenye Quran na Sunna
Mwislamu in a Chagga accent , sikuwahi isikia hahahahahaa
Aika mmbee
Wako wengi tena waislam wazuri unaishi wapi?
Mimi mwenyewe nimeshangaa
Kama ulaya wapo wazungu mashehe unashangaa Bwasheee kuwa Shehe ...kwenye internet mnaangalia vitu gani? Unaweza ku Google Islam in Europe ni dini inayokua kwa kasi yuropa nadhani inashika na 1
@@selemanichambo2944 Kibosho wamachame Moshi Mjini ndio kumejaa Uislam. Masha Allah. Allah azidi kuiimarisha dini yake. Ukija Holili ndio usiseme Uislam ulivyoenea
watuhao sio wapole sema tu nimadai yao kudaina wao kwa wao ingekua nimkristo wanae mdai wangekuja na panga made namatusi juu yakusrma makafili hawa kwaiyo sijaona ustaraba hapo
Wacha chuki kwa waislamu ww
@@mohassan1978 c fitna ila kunao wenye mawazo potovu na wenye itikadi za kujinga, mbona kusiwe na alkaida ya kundi la kikristu? Mbona alshababu wasiwe wakristu? Mwogopeni aliye waumba sbb yeye ndie mwenye adhabu kali
Japhet Leonard ....Wewe hunaga akili, mpumbavu, peleka chuki zako kwa wenye akil pumba km zako
Hello Brother. . Just to make everything clear being referred to as a Kafiir it does not represent anything that's abusive,, i always wonder as to why Christians complain sooo much regarding this matter🙄. .before you guys start spitting out non sense go and do your homework and researches well,, just to help you Kafiir means a Disbieliver. . as Muslims we can also be Kafiirs to Christians since we do not believe what you guys believe,, it is as simple as that. . May Allah Guide You Towards a Straight Path In Shaa Allah,, welcome to the Religion of Peace😊
@@flornce123oganda8 Stop uttering non sense,, if Al Shabab and Al Qaeda represents Islam. .then ni rahisi KKK and LRA inapresent Christianity au sio? Acheni kumezeshwa stupidity,, go and do your homework properly. .no wonder your minds are exploited,, if you have no idea in what you are saying you better shut up🤦♀️😓
ndio maana Roma aliwaita ni waislam uchwara.. unamuheshim ramathani unadhin mbele ya Shaban
Wamevamia hawa ni magaid tena wakolofi