GWARIDE LA KIJESHI LA MAZISHI YA HAYATI EDWARD LOWASSA AKIPIGIWA MIZINGA 17

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 42

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 8 месяцев назад +2

    Hayo mazishi ni ya kiheshima sana yamenifurahisha kwa kweli toka mwanzo mwisho mmemtendea haki sana bc ukapumnzike kwa amani mzee wetu lowasa

  • @seliankibasisi5047
    @seliankibasisi5047 8 месяцев назад +1

    Pole sana kwa familia na taifa kwa ujumla

  • @QueenMbise-qj4oz
    @QueenMbise-qj4oz 8 месяцев назад +1

    R I P
    Baba yetu wa taifa Mungu akulaze Mahalia pena peponi 😢😢😢😢

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 8 месяцев назад

    Majeshi noma ..RIP legend

  • @JayLove-o4g
    @JayLove-o4g 8 месяцев назад

    Respect

  • @JacobAkonaay
    @JacobAkonaay 8 месяцев назад

    Pole sana Babu lala Salam upunzike Kwa amani

  • @JosephatChristopher-y5v
    @JosephatChristopher-y5v 8 месяцев назад

    Legend not die😭😭rest in peace

  • @PauloSayanga
    @PauloSayanga 8 месяцев назад +1

    Pole sana Babu lala salama

  • @MwitaWashintoni
    @MwitaWashintoni 8 месяцев назад

    RIP mzee lowasa ww mbele yetu ss nyuma yako

  • @bakarichina9948
    @bakarichina9948 8 месяцев назад

    Pumzika kwa Amani mzee wetu

  • @andrewkwayu2797
    @andrewkwayu2797 8 месяцев назад +1

    Kiongozi kaanguka! Lakini (umaarufu? wake) legacy yake itaendelea kuwepo!

  • @JustusMwania
    @JustusMwania 8 месяцев назад

    Lala salama waziri..

  • @SaidAlly-z7e
    @SaidAlly-z7e 8 месяцев назад +1

    Pole xana mamy tunakupend bb wa wananchi

  • @KuruthumMsumi
    @KuruthumMsumi 8 месяцев назад

    Polen sana familia

  • @Agnesenock-uf9ri
    @Agnesenock-uf9ri 8 месяцев назад

    Pole sana

  • @SaidAlly-z7e
    @SaidAlly-z7e 8 месяцев назад

    Pole xana mamy tunakupend bb wa wananchi😢😢😢😢😢😢

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy2643 8 месяцев назад

    Innalillah wainna illaihi rajiu'un

  • @HappinessDustan
    @HappinessDustan 8 месяцев назад

    Poleni sana wana familia

  • @zachariamajani4880
    @zachariamajani4880 8 месяцев назад

    RIP mzee wa maamzi magumu 💔

  • @NestaChigego
    @NestaChigego 8 месяцев назад

    Pumzika kwaamani baba yetu

  • @IsayaMoses-t3b
    @IsayaMoses-t3b 8 месяцев назад

    Lala salama baba wetu pumzika kwa aman baba wetu

  • @bubinza3939
    @bubinza3939 8 месяцев назад

    Polen

  • @ErnestJames-vv1dn
    @ErnestJames-vv1dn 8 месяцев назад

    Kifo shikamooo

  • @JUSTAELIZEUS
    @JUSTAELIZEUS 8 месяцев назад

    Maombi ya suguye

  • @josephosteny157
    @josephosteny157 8 месяцев назад

    mbele yako nyuma yetu

  • @MuhammadMaulana-p2l
    @MuhammadMaulana-p2l 8 месяцев назад

    Mambomnayoyafanya apo mwezenu mnampa tabu ukochini

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 8 месяцев назад +1

    Wale wasioelewa Lowasa hapewi heshima kama hisani ya ccm.Hapana ni kwa mjibu wa.katiba hata kama angekuwa cuf,act nk

    • @WitnessChristian-t7i
      @WitnessChristian-t7i 8 месяцев назад

      Ni kweli kabisa

    • @aaronswai3092
      @aaronswai3092 8 месяцев назад

      Nchi hii ina watu wa ovyo wengi sana pasipo kujali wana vyeo gani Serikalini!

  • @JumaSafari-x5l
    @JumaSafari-x5l 8 месяцев назад

    Mbere ya raisi waziri mkuu mnaruka ukweli wa histolia ya rowasa kugombea uraisi chadema duuuuh ccm

  • @MusaMgaya-j6m
    @MusaMgaya-j6m 8 месяцев назад

    By.luwasa.mungu,akutangulie

  • @LemsiKagube
    @LemsiKagube 8 месяцев назад

    Rip

  • @MussaNyenje-gl2sv
    @MussaNyenje-gl2sv 8 месяцев назад

    Pumuzika Kwa aman baba

  • @JenniferLwoga
    @JenniferLwoga 8 месяцев назад

    Pumzika kwaamani

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 8 месяцев назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @MussaNyenje-gl2sv
    @MussaNyenje-gl2sv 8 месяцев назад

    Pumuzika baba umeumaliza mwendo

  • @StephanoHayshi
    @StephanoHayshi 8 месяцев назад

    Punzika Kwa amani baba

  • @EvelyneMsaki-y4w
    @EvelyneMsaki-y4w 8 месяцев назад

    Ndiyo maana alishauriwa kurudi ccm ili Kuja kupatA heshima hii

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 8 месяцев назад +1

      Hata asingerudi!!!
      Angeipata

    • @stephanomaduhu5426
      @stephanomaduhu5426 8 месяцев назад

      hata asingerudi heshima palepale

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 месяцев назад

      ​@@abdallahmakombo3866mmmh

    • @EvelyneMsaki-y4w
      @EvelyneMsaki-y4w 8 месяцев назад

      @@stephanomaduhu5426 kingunge alipataa heshima gani sana angezikwa namaAndamanoo maana chadema ndiyo slogans yao