tupendane waislamu,tusitete jamanini....kwa mafunzo ya hashimu,tuisome sana dini...hapo tutaifahamu,ilmu inayo thamani...damu ya muislamu,tuweni nayo makini pole sana Sheikh bahero,Allah akuzidishie subra iwe njia yako ya peponi in shaa Allah
Subhaanallah pole saana sheikh wangu Allah ni mjuzi wayote atakulipa inshaa allah Allah awaongoze waliokufanyia hayo.maa aswaba mim muswibat illa bi idhnillah
SubhanAllah Ndugu Zangu Tuchunge ndimi Zetu Wallahy Tutakuja Kuulizwa Kwa Tunayosema Bila Ushahidi Sheikh Bahero (Hafidhwahullah) Alikhtalifiana Na Sheikh Aboud Rogo (Rahimahullah) Lakini Hakufikia Haddi Yakumuua Au Kupenda Auwawe Na Wallahy Hata Sheikh Aboud Rogo (Rahimahullah) Angekua Hai Asinge Waamrisha Waje Kumpiga Sheik Bahero (Hafidhwahullah) Tuweni Na Adab! Twaalib ul Ilm Hua Na Heshma Na Masheikh. Assalam Alaikum.
Allah atakulipa kwa kusamehe na kusamehe kwa yalokufika na shukran sheikh yussuf kwa mashairi yenye mafunzo ndani yake kuna usemi wa Moto Una mafunzo ndani take Allah akulinde na kukuhifadhi uzidi kutuelimisha kwa mawaidha na mashairi ya Qasida Allah awalinde na kuwahifadhi wote wafanyayo kazi ya bwana mtume Sallawahu Allaihi wasalam kwa ujumla
Uoga huo na kuipenda Dunia. Na kwa kulipa kisasi Kuna kuishi kwenu. Sheikh anaepinga baadhi ya ibada za kidini unafananisha wewe na kifo Cha Othman bin affan radhi za mungu ziwe juu yake. Hivo ni vioja wallah.
Kenya Kuna ujinga wa ikhtlafu hoja hupingwa na hoja si kupigana na kumwagana mtume kasema kumtukana mtu ni ufasiq na kumwagadamu ya muislam ni ukafiri je hao waliotaka kumuuua tuwaitaje
Kwa kweli nyie waislam wa Kenya mnabalaa khasa, serekali yawapiga nyie, makafiri wawapiga nyie na nyie kwa nyie mwapigana!!!!! Mashekhe wenu mwawapiga halafu mwawaita wanafiki, mafisadi,mashushushu na mwawasema hawana ELIMU!!!!! Allah awaongowe na awazinduwe mumjuwe aduwi yenu na muanze kuzinduka nae.
Halijazau l,insani ilal insan malipo ya wema ni wema Allah akupe shifaa akupe sahal ila na ww ujifunze kutowa kauli nzury ktk dini ya uwiislam mheshimu yule ulohitilifiyan nae madhehebu yapo mengi ss waheshimu wanaokuheshimu ww hupo sawa na unamadhaifu hujakamilika
Allah atakulipia hapa hapa duniani,alokufanyia wao na vianzo vyao,vilivyowapelekea kufanya ubaya huu,wewe umewasamehe lakini Allah ndio atakaehukumu,hawajielewi ndio wakafanya haya,hili ni zao la chuki na ushetani,Sayyidna Othman alifanyiwa na wanafanana na hawa wanaojiita waislamu.
Pole Alla atakuafu. lakini usilalamike sana hii nikazi yamikono yenu. Maulamaawetu muliwatukana mukawaita wazushi mukafarakanisha umma. Mashekhe wetu wakokimya maskini wanaangalia Alla anavowahukumia.
Alafu niambieni hao vijana waliofanya kitendo Kama hiki watakuwa na furaha gani katika maisha yao na kisasi Chao ?Allah ndiye anayejua Ila sisi hatuna haki ya. Kuhukumu
Aboud Rogo Alikuwa Ni Mpotoshaji tu Asiyejua Mafunzo ya Uislaam Kawapotosha Wengi ktk Waislamu (hasa Vijana) wasio na Maarifa ya dini yao Alichokuwa anahubiri ni Tofauti kabisa na Kauli za Ulamaa wa haki Kama Sheikh Ibn Baaz Sheikh Albaan au Ibn Uthaimin na Wengineo ktk Masheikh wa Ahlu Sunna wal Jamaa waliopo Katika Mashaariki ya Ardhi na Magharibi yake.
Laiti rogo angekuwa hair rahimatullah asingeamuru bahero kupigwa visu tuelewe maulllamaa hawatakiani mabaya sote n waislamu na kupingana ni katika kujulishana kila competition ikizidi ilmu inazidi
Assalam 3alaykum jamani haifai kuandika ugomvi msiseme maneno mabaya haifai mtu kapigwa muombeeni dua apowe msiwe na kauli chafu duniani tunapita tu jamani
Hivi sasa wamekupiga na umevunjika mkono.sio wao waliokupiga Bali ni wewe ulio yataka.sasa ni mkono badae watakumaliza.wewe pingana na wenye maulidi usiya ingiliye yasio kuhusu.na nilazima wakulipize kwa sababu mume panga njama ya kumalizwa shekh aboud rogo.mungu amtakhabaliye shahada yake.na wewe hakuna budi lazma upite hio njia
Pole sana shekhe lakini punguza tabia za kuudhi udhi watu . Na hasa usiitumiye mimbar ya Bakarani kkama stajı ya kushashif watu. pole ndugu yangu. hizi ziyana za sikuhidhi wankuwa wachukuchu sana. akili zao ni hamaki na kuleta vurumai. nawe yusuf Abdi ingekuwa vizuri uje mawlidini na mswifu mtume SAW . MashAllah sauti ndhuri sana. poleni Bahero.
unapigwa kwa kejeli na maneno yako machafu Ali. wewe una kinywa kichafu sana.kuwakufurisha na kuwaita waislam wenzio hawana akili sio wazima.mazur hayo? rekebisha kauli zako sijui akili yako iko vipi. Ila all in all pole sana
tupendane waislamu,tusitete jamanini....kwa mafunzo ya hashimu,tuisome sana dini...hapo tutaifahamu,ilmu inayo thamani...damu ya muislamu,tuweni nayo makini
pole sana Sheikh bahero,Allah akuzidishie subra iwe njia yako ya peponi in shaa Allah
Pole sana sheikh bahero umepitia mitihan pole sana allah akupe mwingi umuri
Subhaanallah pole saana sheikh wangu Allah ni mjuzi wayote atakulipa inshaa allah Allah awaongoze waliokufanyia hayo.maa aswaba mim muswibat illa bi idhnillah
Asalam Aleykum Sh Bahero Allah akujaliye pahali pema peponi na familia yako na akupe Amani hapa duniani na akhera
Allah akuhifadhi shk bahero sana akupe subra ktka hii dunniya kwasababu watu hawana msingi ya dini kbsa.....Allah akuhifadhi shk bahero
Allah akuzidishie subra akupe utulivu wa nafsi mtihani uwoo Allah kakupitisha haya Nabii alipigwa
Pole xana .Uislam hata tukikhitalifiana tunatakiwa tuheshimiane .Sote ni waislam hatutakiwi kufika huko.ALLAH akujaalie Pepo iwe makazi yako
Pole pole pole Sana Sheikh Bahero.
Allah akupe afueni inshaAllah
Shekh nambayako naiomba tafadhari
Allah atakuhifadhi uzidi kuitumikia dini ya Allah atakulinda na kukuhifadhi na maadui
Shairi lako limenikosha shekh yussuf Allah Azidi kukuhifadhi
Pole sana Mungu tujalie tuiendeleze dini yetu ya kiislam
ALLAH atakulipia in sha ALLAH
ALLAH akulipe duniani na Akhera Aamina
SubhanAllah Ndugu Zangu Tuchunge ndimi Zetu Wallahy Tutakuja Kuulizwa Kwa Tunayosema Bila Ushahidi Sheikh Bahero (Hafidhwahullah) Alikhtalifiana Na Sheikh Aboud Rogo (Rahimahullah) Lakini Hakufikia Haddi Yakumuua Au Kupenda Auwawe Na Wallahy Hata Sheikh Aboud Rogo (Rahimahullah) Angekua Hai Asinge Waamrisha Waje Kumpiga Sheik Bahero (Hafidhwahullah) Tuweni Na Adab! Twaalib ul Ilm Hua Na Heshma Na Masheikh. Assalam Alaikum.
أبو محمد assalamualaikum warahmatullah wabarakattuh
أبو محمد ilikuaje
أبو محمد 0687182332
subhana llah Allah yuko pamoja nawe ameen
May Allah forgive my daughter's and my family Amin yarab 😭.Allah knows what I'm through
aamin ya rabbi
Pole sana shekh bahero Allah yuko pamoja nawe atakupa shifaa yarab muepushe shekh wetu na kila la shari azid kutulingania
😢😢 Allah atakuhidhi sheikh bahero ... Allah yuko na ww
Innah Lilai wa innah Lilai raj un pole sana sheikh wangu, uku msumbiji imetugusa sana
Subhanallah
Subhana llah mungu yu pamoja nawe
Subhanallah tupe mwusho mwema 😭😭😭😭
Allah atakulipa kwa kusamehe na kusamehe kwa yalokufika na shukran sheikh yussuf kwa mashairi yenye mafunzo ndani yake kuna usemi wa Moto Una mafunzo ndani take Allah akulinde na kukuhifadhi uzidi kutuelimisha kwa mawaidha na mashairi ya Qasida Allah awalinde na kuwahifadhi wote wafanyayo kazi ya bwana mtume Sallawahu Allaihi wasalam kwa ujumla
Pole sana shekhe wetu.
Uoga huo na kuipenda Dunia. Na kwa kulipa kisasi Kuna kuishi kwenu. Sheikh anaepinga baadhi ya ibada za kidini unafananisha wewe na kifo Cha Othman bin affan radhi za mungu ziwe juu yake. Hivo ni vioja wallah.
Kenya Kuna ujinga wa ikhtlafu hoja hupingwa na hoja si kupigana na kumwagana mtume kasema kumtukana mtu ni ufasiq na kumwagadamu ya muislam ni ukafiri je hao waliotaka kumuuua tuwaitaje
😭 Subhanallah
Allah knows what I'm going through
Kwa kweli nyie waislam wa Kenya mnabalaa khasa, serekali yawapiga nyie, makafiri wawapiga nyie na nyie kwa nyie mwapigana!!!!!
Mashekhe wenu mwawapiga halafu mwawaita wanafiki, mafisadi,mashushushu na mwawasema hawana ELIMU!!!!!
Allah awaongowe na awazinduwe mumjuwe aduwi yenu na muanze kuzinduka nae.
Halijazau l,insani ilal insan malipo ya wema ni wema Allah akupe shifaa akupe sahal ila na ww ujifunze kutowa kauli nzury ktk dini ya uwiislam mheshimu yule ulohitilifiyan nae madhehebu yapo mengi ss waheshimu wanaokuheshimu ww hupo sawa na unamadhaifu hujakamilika
mungu atawalipa hapahapa kutokana na kazi yao mshahara wao upo
pole sana sheikh
alah akufanyie wepes sheikh wetu
mungu akupe subira naemani insaallah
Amiin amiin amiin ya rabi 🤲🤲😥
Hawa ndio walio sababisha logo cha Sheikh Allah atawalipeni moja baada ya mwengin
Allah atakulipia hapa hapa duniani,alokufanyia wao na vianzo vyao,vilivyowapelekea kufanya ubaya huu,wewe umewasamehe lakini Allah ndio atakaehukumu,hawajielewi ndio wakafanya haya,hili ni zao la chuki na ushetani,Sayyidna Othman alifanyiwa na wanafanana na hawa wanaojiita waislamu.
Allah akupe shufaa ya harak san in shaa Allah 🙏🏾 🙏🏾 🙏🏾 akizidishie subila..
pole sheghe allah atakulipa cha msing ni subra tu
Mungu ndie hakim
allah akuhifadhi
Pole Alla atakuafu. lakini usilalamike sana hii nikazi yamikono yenu. Maulamaawetu muliwatukana mukawaita wazushi mukafarakanisha umma. Mashekhe wetu wakokimya maskini wanaangalia Alla anavowahukumia.
Allah akuhifadhi
Pole sana shekh mm ni tarika lkn walichokifanya Allah atawalipa
Na baado tunafurahia kuwa dariqa?? Fear Allah akhui
Malipo dunian ya darunnadwa zenu kwa sheikh aboud rogo had mkamuulisha kwa dhulma tunamuomba mola aitakabali shahada yke
😢😥😭 ASTAGHAFIRULLAH
Pole sana sheh
Pole bahero
Pole sana sheikh, Malipo n hapa hapa
Subhaallah 😭 😭 😭
Alafu niambieni hao vijana waliofanya kitendo Kama hiki watakuwa na furaha gani katika maisha yao na kisasi Chao ?Allah ndiye anayejua Ila sisi hatuna haki ya. Kuhukumu
Tujifunze kuhifadhi damu za wanadamu.
Subhanallah hii sijawai kuona sheikh mkubwa kama ww anapigwa tatizo nini?
Maskin subhanalliah aallah akuhifadhi kaka allah atakulipiya ishalah uchungu 😭😭😭😭
Yaa Allah kubali Shahad ya sheikh abdu rogo, tutazidi kumuombea Dua na maaduwizake roha zitawauma siku zote. Shuja ni sheikh abdu rogo
khadija Assalam alaikum uko wap nicheki 0757191383 nipo Tanzania
Aboud Rogo Alikuwa Ni Mpotoshaji tu Asiyejua Mafunzo ya Uislaam
Kawapotosha Wengi ktk Waislamu (hasa Vijana) wasio na Maarifa ya dini
yao Alichokuwa anahubiri ni Tofauti kabisa na Kauli za Ulamaa wa haki
Kama Sheikh Ibn Baaz
Sheikh Albaan au Ibn Uthaimin na Wengineo ktk Masheikh wa Ahlu Sunna wal Jamaa waliopo Katika Mashaariki ya Ardhi na Magharibi yake.
@@ramamtetu2327 kafa shahidi lakin
Kumuhuku mtu ni kazi ya Allah lkn huyo sheikh wako alikuwa anaendana na Quran na suuna au mihemko tu
Amen yarab
Duh yote haya ni sawa ısipokuwa qaswida za kumsifu mtume SAW ndo hazifayi? mashaAllah sauti nzuri shaikh Yusuf. Basi Tusomee Barzanji!
huyu ni miongoni mwa walewalio kuwa wakimpinga shekhe Aboad rogo,huyu nae ni mnafiki
Shuweha Haruna Omari Ikwena kumbe alimpinga rogo
Shuweha Haruna Omari Ikwena hu apigwa kisu kwanini
Laiti rogo angekuwa hair rahimatullah asingeamuru bahero kupigwa visu tuelewe maulllamaa hawatakiani mabaya sote n waislamu na kupingana ni katika kujulishana kila competition ikizidi ilmu inazidi
Dalilizakiama tayari kilamtu ajiandana kujibu maswali mbeleyauanja wa allah
shukran kwa apload
Wangemuua mnafiki amepinga shehe rogo mpuuzi huyu
kumbe wamefanyavizuri vijana
Samia Mtanga uko wapi wewe nikufuate sasa hivi
Mudathir Abdi dar
Allah akupe msimamo hvo hvo wape ukwel walokupiga Allah atawadhalilisha
hawajui maskini lkn wao hufuata wakielekezwa
Kama hivi ndivyo tutakavyotafautiana tunaelekea Wapi kama umma wakiislamu
Tima Bwengo asalam aleykum, coment yako nzuri, mashaallah
Pole sheikh wetu😭😭😭
Waliompiga shekhe wetu Allah awaadhibu in shaa allah
Pole san ila elewa iyo nii neema kwan ata mtume sallawah alaih wa salam alipigwa kwa kuzungumza haki
Tumesamehe Mungu awasamehe na wao
Assalam 3alaykum jamani haifai kuandika ugomvi msiseme maneno mabaya haifai mtu kapigwa muombeeni dua apowe msiwe na kauli chafu duniani tunapita tu jamani
Kama wanajiona ni kutetea dini kwann wasiende kwa hao makafiri wanaonyanyasa waislam
Laa baasa tahuran insha allah
shekh Yusuf abdi
Allah atunusuru
hasbiyallahu waniima lliwakili
Kweli kabisa😭😭
Maskini pole saana
Allah yup pamoj naa wanyonge
ali bahero ndio chanzo cha kuuliwa shekhe abdulirogo vijana wamefanya safi sana kumpiga ali bahero bora wangemuuwa kabisa
hee kumbe Ali bahero ndie chanzo hem nieleze undan wake
unauhakika gani
Hamza Daud30 uko wapi ww nikufuate sasa hivi
Hamza Daud30
yusuf abdi
Mhm🤔
Hawa ndiyo maduaat waloileta sunnah. Sio hivi vimolo vijitavyo vijisalafi
Pole shekhe lkn kumbuka mlinganiaji sio wa kupigiwa makofi lkn ni wamitihani huo ni miongoni mwa mtihan
jikaze sasa kibingwa unalia nini
Hivi sasa wamekupiga na umevunjika mkono.sio wao waliokupiga Bali ni wewe ulio yataka.sasa ni mkono badae watakumaliza.wewe pingana na wenye maulidi usiya ingiliye yasio kuhusu.na nilazima wakulipize kwa sababu mume panga njama ya kumalizwa shekh aboud rogo.mungu amtakhabaliye shahada yake.na wewe hakuna budi lazma upite hio njia
Pole San aliy atakulipa
Na huyo abu qatada ati analia na yy ama amesahau kabadilisha msimamo wake alivokuwa akifanya
I never saq this early..but am not happy with how muslims behave in their own docket.
Pole sana shekhe lakini punguza tabia za kuudhi udhi watu . Na hasa usiitumiye mimbar ya Bakarani kkama stajı ya kushashif watu. pole ndugu yangu. hizi ziyana za sikuhidhi wankuwa wachukuchu sana. akili zao ni hamaki na kuleta vurumai. nawe yusuf Abdi ingekuwa vizuri uje mawlidini na mswifu mtume SAW . MashAllah sauti ndhuri sana. poleni Bahero.
😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲
Ivi awavijana kwanini lakini
bahero hatukusahau umemchonganisha simba abuud rogo ww NA wanafiki wenzio had I makafiri wakatuulia simba wetubadilika
Bwana Hamad Soma Dini ilmu ni Bahari muelewe Mtume wako na ALLAH
kupigwa amepigwa mtume SAW Allah akupe subra
Hasbuna llwa wanmall wakil
Kweli😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
kosa nini?
Unaujaribu uislam kwa uwahab wako
😭😭😭😭😭😭😭😭
5.52
Waislam mnampiga shehe wenu du
Allah yupo pamoja na wewe
Kwann walimpigaa
bora ulivyopigwa huna adabu
Mreshi si alikua akipinga rogo na bado mongo akuoneshe
unapigwa kwa kejeli na maneno yako machafu Ali. wewe una kinywa kichafu sana.kuwakufurisha na kuwaita waislam wenzio hawana akili sio wazima.mazur hayo?
rekebisha kauli zako
sijui akili yako iko vipi.
Ila all in all pole sana
adabu yako mnafiq ww wendio ulim uza shekh abud rogo rahimahullah
chunga ulimi sana
Fatma Mohamud suhanallah sheikh bahero yuko sawa
Wallahi nakupenda kwajili ya allah
Allah akuhifadhi ya rabb
Wewe ambae hukumuuza umekaa wauza mabuyu nyumbani
Sauti ya mshairi si ni shekh yusuf abdi ama,,,
Naam ni sheikh yusuf
inakuhusu vipi