MWALIMU MGENI ❤️ /12/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #babajoan #comedy #school

Комментарии • 947

  • @ibrahimngirini8737
    @ibrahimngirini8737 11 месяцев назад +35

    Huyu patronize ni version ya mbosso kabisa yani,anaimba vizuri sana dogo...

  • @simonndungu6676
    @simonndungu6676 11 месяцев назад +16

    Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.

  • @karembo7082
    @karembo7082 11 месяцев назад +9

    Mwanzo wa ubaya ni aibu oneni sasa moja badaa ya moja wakuu wapi maua ya shujaa wetu mwalimu mgeni🎉🎉🎉❤❤❤

  • @hoseakiprotich182
    @hoseakiprotich182 11 месяцев назад +86

    The first tuwatch from Kenya in Qatar mnipe likes zangu😂😂

  • @NassoroAmir-id1jh
    @NassoroAmir-id1jh 11 месяцев назад +16

    Mkitumia Maarifa makubwa kwenye uandishi wa script mtapata pesa sanaaaaa hii movie wengi wanaifuatilia hongereni sanaa

  • @gabonmaseru2686
    @gabonmaseru2686 11 месяцев назад +41

    Baba Joan kwakwel ume-Improve kwa kiwango kikubwa sana, Hii season iko vizuri,Hongeren sana

    • @mgayahassani8377
      @mgayahassani8377 11 месяцев назад +1

      Baba Joan anaweza sana

    • @gabonmaseru2686
      @gabonmaseru2686 11 месяцев назад +1

      Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa

    • @Amal-iq1wg
      @Amal-iq1wg 11 месяцев назад

      Kibokoo yaooo ni baba joan

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 11 месяцев назад

      Amechinja sanaa

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 11 месяцев назад +20

    Huyu patronise mungu amwinuwe namufatilia nikiwa saudi arabia ❤❤

  • @MohammedSeif-m8c
    @MohammedSeif-m8c 11 месяцев назад +14

    Salute kwako patronize kila sik ww ndio unaefanya me niwe nafatilia hii tamthilia yenu ❤❤

  • @halimamtunguja5947
    @halimamtunguja5947 11 месяцев назад +84

    Tunaomwombea dua mwalim mgen asipate shida tujuane hapa tunakikao Cha dharura❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @rahmamamy4034
    @rahmamamy4034 11 месяцев назад +46

    MashaAllah TabarakAllah. Kumbe hii move wenye wako serious nakuifatilia n wa kenya..much love my country ❤

  • @Antocoolboy5361.
    @Antocoolboy5361. 11 месяцев назад +20

    Still following this episode1 1-12 tukiwa pamoja from Kenya nawapenda sana

  • @JosephBaraka-mn7qx
    @JosephBaraka-mn7qx 11 месяцев назад +1

    Mungu amzidishie huyopatronize uwezo wakukuza kipajichake zaidi nawafwatilia kutoka Kenya

  • @yunusali231
    @yunusali231 11 месяцев назад +11

    Wakwanza kutoka Kenya nipeni mauwa yangu likes zikuje

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 11 месяцев назад +1

    Daaaa uliwaza sana vp ni mwalimu kweli uje shuleni kwangu ufundishe

  • @ManyerereBico
    @ManyerereBico 11 месяцев назад +7

    Kwakweli hii story muandaaji katumia ubunifu mkubwa sana iko vizuri na inafundisha sana

  • @Rossey-iv2hk
    @Rossey-iv2hk 8 месяцев назад +2

    🎉mwalimu mgeni twakuombea uishi maisha marefu ❤❤❤

  • @-rebeth
    @-rebeth 11 месяцев назад +12

    Mwalim mgeni you are very intelligent to serve you problem

  • @wadakewake8474
    @wadakewake8474 11 месяцев назад +29

    Kutoka Kenya mi ni msanii nipewe like zangu

  • @PhylisMakena
    @PhylisMakena 11 месяцев назад +17

    Naipenda sana kazi yenu.❤❤❤❤ Utamu wa hii filamu umezidi. Nafatilia nikiwa nchini Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @karanivincent4913
    @karanivincent4913 11 месяцев назад +7

    Nawapenda sana ,ktk kenya

  • @benayahtimes
    @benayahtimes 11 месяцев назад +4

    Baba Joan nakufuatilia sana. Much love from Kenya. Unajua vizuri. Naona mwanafunzi kabudaa hapo🥱🥱😊

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 11 месяцев назад +2

    Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.

  • @mrikongosi3151
    @mrikongosi3151 11 месяцев назад +8

    Kazi nzuri sana team mwalimu mgeni tujuane

  • @futuremilionnaire3136
    @futuremilionnaire3136 11 месяцев назад +8

    Napenda iyi filamu kutoka Congo kabisa ongera🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 11 месяцев назад +8

    Mwalimu Mgeni fanya Makeke huyo Patronize aende Studio🎉🎉🎉🎉

  • @hassanhassancymon8960
    @hassanhassancymon8960 11 месяцев назад +18

    Wakwanza mimi upande wa muheza- Tanga🎉🎉🎉❤

  • @ndegejr09
    @ndegejr09 11 месяцев назад +9

    Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 11 месяцев назад +6

    Napeda mwalimu mugeni sana saudia Arabia tune from kenya

  • @sadikibertin1727
    @sadikibertin1727 11 месяцев назад +3

    From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na

  • @africanjuju8827
    @africanjuju8827 11 месяцев назад +14

    Big up patronize,,bila kusahau baba joan❤❤much love from kenya

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 11 месяцев назад +10

    Namkubali sana mwalim mgeni

  • @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
    @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT 11 месяцев назад +27

    Good JOB.........MMETUSAIDIA SISI WALIMU KUWA MAKINI

  • @mgayahassani8377
    @mgayahassani8377 11 месяцев назад +5

    Hata baba Joan anaweza bhana nipeni likes yangu

  • @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o
    @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o 11 месяцев назад +6

    Mwalimu mgeni wewe nimwenyehekima Sana unanifulaisha moyoniangu ❤️ ninakupenda Sana ninakuamini tena Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 11 месяцев назад +3

    Safi tena sana oya mzee b john huwimbo itoeni

  • @Marejehe-yg1qt
    @Marejehe-yg1qt 11 месяцев назад +4

    Daudi kutoka dodoma patroniz ni m2 na nus naomba like zangu na mm 💁‍♂️💁‍♂️💁‍♂️

  • @yohanacharles872
    @yohanacharles872 11 месяцев назад +5

    Daaaah movies kali sana,patronize kipaji tz🇹🇿🇹🇿

  • @Clemenceamisi-zy1oy
    @Clemenceamisi-zy1oy 11 месяцев назад +2

    Patronize namupenda sana na mwalimu mugeni da hasa hasa hasa patronaize toka Congo

  • @barazamatibila8412
    @barazamatibila8412 11 месяцев назад +5

    Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.

  • @Alutacontinue75
    @Alutacontinue75 11 месяцев назад +5

    tufe wote baba john❤️🔥🔥💯💯🔥💯🔥💯

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 11 месяцев назад +4

    Ubarikiwe mwalimu mugeni nilikufata mwanzo wa episode 1 mupaka 12 nikonapatamafundisho mengi saanakutokakwako ukonamusimamo wakweli

  • @BelinaTimanywa
    @BelinaTimanywa 11 месяцев назад +5

    Huyu patronize ni fund hasaaa! Mungu amfikishe mbali🎉

  • @chrisshikoli2852
    @chrisshikoli2852 11 месяцев назад +8

    Kiukweli Mungu awabariki Sana Kwa Sanaa watanzania miye kutoka kenya

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 11 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂 yaani nimecheka 😂😂😂😂 jaman 😂😂😂😂😂

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 11 месяцев назад +6

    wenye tumecheka tupowangap tujuane kwa Comet mwalim mgeni ongera😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @MUTEBUTSIEgide-iu5pj
    @MUTEBUTSIEgide-iu5pj 10 месяцев назад +1

    Ule bnti aseme kweli,Mwalimu mugeni bamoteshe ko ile mugogoro.Mimi nawafwatilia kuktoka Rwanda

  • @daizanfx
    @daizanfx 11 месяцев назад +22

    8:52 Simplest comedian ever😂😂

  • @maryndirangu7056
    @maryndirangu7056 11 месяцев назад +1

    Wivu kusingizia maneno za uongo ni mbaya sana mungu atupe hekima na marifa.. mafunzo mema twashukulu..

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      In Shaa Allah aimiin .
      Maneno ya uongo

  • @mosessimiyu6954
    @mosessimiyu6954 11 месяцев назад +21

    waiting for episode 13, sijui itakuaje much creativity from kenya❤❤❤💛🧡

  • @anthonylukala3637
    @anthonylukala3637 11 месяцев назад +1

    Nakubal sana show zko

  • @ramadhaniyahya-cm3yo
    @ramadhaniyahya-cm3yo 11 месяцев назад +4

    We jamaa unajua sana

  • @officialhamiboykenya674
    @officialhamiboykenya674 11 месяцев назад +2

    Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌

  • @Lukman-r3h
    @Lukman-r3h 11 месяцев назад +5

    Jamani wadau muwe mnatuwahishia vedeo zeni tunazipenda

  • @ANKOZUBERI881
    @ANKOZUBERI881 11 месяцев назад +6

    @babajoan nakupata vyema sana nikiwa hapa mpanda Katavi town

  • @sarahnakhanu
    @sarahnakhanu 11 месяцев назад +14

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦

  • @ShadrackMidenyo
    @ShadrackMidenyo 11 месяцев назад +18

    Just loving the script big up, following from Kenya

  • @irene3abi123
    @irene3abi123 11 месяцев назад +4

    Pale kwa kucheka nilidhani itakuwa ni upuuuzi,,,likini mwenzenu hapa nimecheka haki vitunguu vikaungua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NdeleSolo-zy8ol
    @NdeleSolo-zy8ol 2 месяца назад +1

    Hii ngomaaa ni kaliii sanaaa huyu patronizee anajua mpk anajua tenaaa

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 11 месяцев назад +4

    Nan kamuona kibonge mayele🤣🤣🤣😂😂😂

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 11 месяцев назад +6

    Patronize the upcoming singer and super star 🌟

  • @SamwellubigisaLubigisa
    @SamwellubigisaLubigisa 11 месяцев назад +4

    Nyie watoto adi me nimecheka mamaae 🔥🔥🔥

  • @deniskingangleyofficial
    @deniskingangleyofficial 11 месяцев назад +9

    Love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from Denis-King Angley Official Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 11 месяцев назад +6

    Salute Kwa Mwalimu Mgeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JuliethDaud-nw1jg
    @JuliethDaud-nw1jg 11 месяцев назад +3

    Naipenda Sana kazi yenu Mungu azidi kuwainua naifatilia saba

  • @bonheurNimbeshaho-qy7sy
    @bonheurNimbeshaho-qy7sy 11 месяцев назад +3

    Huo mwalim mgeni bbhana anaenda polepole hadi misho

  • @FridahOnkangi
    @FridahOnkangi 11 месяцев назад +10

    ❤❤from Mombasa Kenya atleat nipate likes tatu.

    • @apostlejohnsifa2023
      @apostlejohnsifa2023 11 месяцев назад

      ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 10 месяцев назад +1

      Nimekupa like ya kumi jirani

    • @FridahOnkangi
      @FridahOnkangi 10 месяцев назад

      @@josephstephen2047 Asante Sana kaka. Much love

  • @irenefuraha
    @irenefuraha 11 месяцев назад +3

    Mbona munachelewa jamani tamueeeee❤❤❤❤❤

  • @PeterMwaura-y7x
    @PeterMwaura-y7x 11 месяцев назад +3

    Kutoka kenya but nko Qatar. Big up.

  • @goodluckmsuya115
    @goodluckmsuya115 11 месяцев назад +4

    Unajua sanaa hongera sanaa

  • @MtoxAssa-if1qs
    @MtoxAssa-if1qs 11 месяцев назад +2

    Jamani hii filamu iko sawa zaidi naipenda sana. Mwalimu mgeni ukopowa sana

  • @wilsonernest6046
    @wilsonernest6046 11 месяцев назад +6

    Namba8❤ 🎉 mi ndo mtazamaji mgeni

  • @raelvuyeshe1509
    @raelvuyeshe1509 11 месяцев назад +17

    Wow much love from Kenya ❤❤❤

  • @prince001tv5
    @prince001tv5 11 месяцев назад +5

    Baba Joan my best Kenya

  • @AniziaKamanzi
    @AniziaKamanzi 8 месяцев назад +1

    Mungu asimame upande wa mwalimu mgeni 🙏🙏

  • @marymwendia5012
    @marymwendia5012 11 месяцев назад +3

    Mko sawa ❤mary mwendia from Nairobi Kenya

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 11 месяцев назад +3

    Episode ifuatayo mjitahidi kuwahisha mwendelezo jamani 🎉❤❤❤ ni nzuri sana

  • @MerlinamerlinasPhalikia
    @MerlinamerlinasPhalikia 11 месяцев назад +38

    Much love from Mombasa Kenya ❤❤❤❤❤

  • @MahafudhiAbdallah
    @MahafudhiAbdallah 11 месяцев назад +2

    Nawakubali kusema ukweli nawafuwatia Sana jitahidini zaidi mambo mazuri muposawa sana nipo Zanzibar 🥀🌹✨

  • @light_immortel_Official
    @light_immortel_Official 11 месяцев назад +4

    Niko wa kwanza kutoka DRCongo. Nataka ❤ zenu🎉

    • @AnnieUtenga-cr1rp
      @AnnieUtenga-cr1rp 11 месяцев назад

      Hahaha uliweka WAP hzo like rafik Ang😅😅😅😅😅

  • @AndersonMaundu
    @AndersonMaundu 2 месяца назад

    Napenda Mwalimu mgeni Kwa kazi zuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 11 месяцев назад +29

    Much love from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnkalela2810
    @johnkalela2810 11 месяцев назад +2

    😂😂😂😂mimi nimesheka kabla bado uyo mwanafuzi ajaanza atakushekesha😅😅😅

  • @suleimanmwanga3310
    @suleimanmwanga3310 11 месяцев назад +5

    Nawapenda sana

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 11 месяцев назад +2

    Mwalim ntusibile Kandi bileke bigende ibindi biloza muha kweli 😂😂😂😂😂 ila twasubili 13 kwa kishindo Cha kisuli suli more love

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 11 месяцев назад +57

    This story touched me bro
    I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤

    • @msambi1251
      @msambi1251 11 месяцев назад +1

      Pole sana

    • @Phoebe-b2l
      @Phoebe-b2l 11 месяцев назад +1

      Sorry everything is gonna be okay 😢

    • @hafsahmassemoh3598
      @hafsahmassemoh3598 11 месяцев назад +2

      Pole sana na kama alivyo sema mwalim mgen kwamba dawa ya Nuqs ni ALLAH pekee
      Nakuombea Mungu Akuondolee mtihan in sha ALLAH ❤❤❤

    • @JonasKiswaga
      @JonasKiswaga 11 месяцев назад

      ​@@msambi1251😅😊🎉🎉😊😢

    • @apostlejohnsifa2023
      @apostlejohnsifa2023 11 месяцев назад

      ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html

  • @NivenChilwalo
    @NivenChilwalo 8 месяцев назад +1

    THIS IS ABSOLUTELY PERFECT AND TOUCHING..THERE IS MORE TO LEARN IN THIS MOVIE.GOD BLESS TANZANIA ......🇿🇲from Zambia on the map

  • @eliasimoni4851
    @eliasimoni4851 11 месяцев назад +5

    Nipen like zangu

  • @SaidiFondo-h6c
    @SaidiFondo-h6c 11 месяцев назад +2

    Nimejifunza kuwa hekima inafaida nmependa sana busara za mwalimu mgeni ❤❤❤

  • @mgayahassani8377
    @mgayahassani8377 11 месяцев назад +4

    Lakini kwanini season inachelewa kutoka kuna shida gani baba joan

  • @josephatkeengwe91
    @josephatkeengwe91 8 месяцев назад +1

    Nimetoka Kenya nitua huku napendeswa na mwalimu ❤❤huyu

  • @vonpizzoychapuu6
    @vonpizzoychapuu6 11 месяцев назад +3

    Wanangu wa Kenya mnatisha xna kutoka mwnza mwanza Tanzania ❤❤

  • @faridhoannet8297
    @faridhoannet8297 11 месяцев назад +2

    I have liked it from part one up to twelve

  • @thestar_tz
    @thestar_tz 11 месяцев назад +3

    Kwanini sasa mnatuwekea kidogo kidogo.wekeni yote

  • @VictorMurunda
    @VictorMurunda 11 месяцев назад +2

    nmefurahia sana victor from kenya

  • @leviorono
    @leviorono 11 месяцев назад +10

    Much 💕 she made me to lough

  • @sagendajames5054
    @sagendajames5054 11 месяцев назад +1

    Sir magesa bado ujasema na utasema yan bado apo badooo😂

  • @WilkisterOgolla
    @WilkisterOgolla 11 месяцев назад +94

    Napenda jinsi Patronize anavyoimba Mwenyezi Mungu amzidishie nina imani atafika mbali🙏Nawafwatilia kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @patrickkalahuka6340
    @patrickkalahuka6340 11 месяцев назад +1

    Napenda wote wa nasogeleya mwalimu mugeni na wapenda ila mwelimu mugeni ana kipaja ana juwa fundisha sana.

  • @MugendiCharles
    @MugendiCharles 11 месяцев назад +3

    Pongezi kwako baba joan

  • @Yahyaazizi-b7f
    @Yahyaazizi-b7f 11 месяцев назад +1

    Mungu abariki kipaji chako baba joan utafika mbalii