Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.
Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa
Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.
Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi
From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na
Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.
Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌
This story touched me bro I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤
Huyu patronize ni version ya mbosso kabisa yani,anaimba vizuri sana dogo...
Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.
Mwanzo wa ubaya ni aibu oneni sasa moja badaa ya moja wakuu wapi maua ya shujaa wetu mwalimu mgeni🎉🎉🎉❤❤❤
The first tuwatch from Kenya in Qatar mnipe likes zangu😂😂
Nimekupa
Nimekupa like
@@oliviansondieki7473 nakuona
Mkitumia Maarifa makubwa kwenye uandishi wa script mtapata pesa sanaaaaa hii movie wengi wanaifuatilia hongereni sanaa
Baba Joan kwakwel ume-Improve kwa kiwango kikubwa sana, Hii season iko vizuri,Hongeren sana
Baba Joan anaweza sana
Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa
Kibokoo yaooo ni baba joan
Amechinja sanaa
Huyu patronise mungu amwinuwe namufatilia nikiwa saudi arabia ❤❤
🎉
Anajua kuimba
Hae ❤❤❤
Salute kwako patronize kila sik ww ndio unaefanya me niwe nafatilia hii tamthilia yenu ❤❤
Tunaomwombea dua mwalim mgen asipate shida tujuane hapa tunakikao Cha dharura❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asipo pat shd na move itakuwa imeisha
Sema mungu atamvusha
Hahahahha
Vip uyu dogo anaishi wapi
Mungu amsaidie🙏🙏🙏
MashaAllah TabarakAllah. Kumbe hii move wenye wako serious nakuifatilia n wa kenya..much love my country ❤
C❤
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
Majungu kazini
That's why Tanzania should always respect Kenyans in terms of promoting others
Majungu yapo tu kila sector
Still following this episode1 1-12 tukiwa pamoja from Kenya nawapenda sana
Mungu amzidishie huyopatronize uwezo wakukuza kipajichake zaidi nawafwatilia kutoka Kenya
Wakwanza kutoka Kenya nipeni mauwa yangu likes zikuje
Like zangu
Daaaa uliwaza sana vp ni mwalimu kweli uje shuleni kwangu ufundishe
Kwakweli hii story muandaaji katumia ubunifu mkubwa sana iko vizuri na inafundisha sana
🎉mwalimu mgeni twakuombea uishi maisha marefu ❤❤❤
Mwalim mgeni you are very intelligent to serve you problem
Kutoka Kenya mi ni msanii nipewe like zangu
Naipenda sana kazi yenu.❤❤❤❤ Utamu wa hii filamu umezidi. Nafatilia nikiwa nchini Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mamb
😇 halo
Nawapenda sana ,ktk kenya
Baba Joan nakufuatilia sana. Much love from Kenya. Unajua vizuri. Naona mwanafunzi kabudaa hapo🥱🥱😊
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.
Kweli
Kazi nzuri sana team mwalimu mgeni tujuane
Napenda iyi filamu kutoka Congo kabisa ongera🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mwalimu Mgeni fanya Makeke huyo Patronize aende Studio🎉🎉🎉🎉
Wakwanza mimi upande wa muheza- Tanga🎉🎉🎉❤
Sehem gan jamn waooo
😅😅 Me Niko Tanga mjini
Poa
Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi
Xafi xan
Napeda mwalimu mugeni sana saudia Arabia tune from kenya
From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na
Big up patronize,,bila kusahau baba joan❤❤much love from kenya
Namkubali sana mwalim mgeni
Good JOB.........MMETUSAIDIA SISI WALIMU KUWA MAKINI
Mitego migumu sana mara unazama😂😂
😢
Hata baba Joan anaweza bhana nipeni likes yangu
Mwalimu mgeni wewe nimwenyehekima Sana unanifulaisha moyoniangu ❤️ ninakupenda Sana ninakuamini tena Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
Safi tena sana oya mzee b john huwimbo itoeni
Daudi kutoka dodoma patroniz ni m2 na nus naomba like zangu na mm 💁♂️💁♂️💁♂️
11:45
11:55
Daaaah movies kali sana,patronize kipaji tz🇹🇿🇹🇿
Patronize namupenda sana na mwalimu mugeni da hasa hasa hasa patronaize toka Congo
Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
tufe wote baba john❤️🔥🔥💯💯🔥💯🔥💯
Ubarikiwe mwalimu mugeni nilikufata mwanzo wa episode 1 mupaka 12 nikonapatamafundisho mengi saanakutokakwako ukonamusimamo wakweli
Huyu patronize ni fund hasaaa! Mungu amfikishe mbali🎉
Kiukweli Mungu awabariki Sana Kwa Sanaa watanzania miye kutoka kenya
Asante twakupenda pia❤❤❤
Wom
😂😂😂😂😂 yaani nimecheka 😂😂😂😂 jaman 😂😂😂😂😂
wenye tumecheka tupowangap tujuane kwa Comet mwalim mgeni ongera😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Ule bnti aseme kweli,Mwalimu mugeni bamoteshe ko ile mugogoro.Mimi nawafwatilia kuktoka Rwanda
8:52 Simplest comedian ever😂😂
Wivu kusingizia maneno za uongo ni mbaya sana mungu atupe hekima na marifa.. mafunzo mema twashukulu..
In Shaa Allah aimiin .
Maneno ya uongo
waiting for episode 13, sijui itakuaje much creativity from kenya❤❤❤💛🧡
🎉
🎉
Nakubal sana show zko
We jamaa unajua sana
Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌
Jamani wadau muwe mnatuwahishia vedeo zeni tunazipenda
@babajoan nakupata vyema sana nikiwa hapa mpanda Katavi town
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Just loving the script big up, following from Kenya
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
Pale kwa kucheka nilidhani itakuwa ni upuuuzi,,,likini mwenzenu hapa nimecheka haki vitunguu vikaungua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na mimi umenichekesha😂
Hii ngomaaa ni kaliii sanaaa huyu patronizee anajua mpk anajua tenaaa
Nan kamuona kibonge mayele🤣🤣🤣😂😂😂
Patronize the upcoming singer and super star 🌟
Nyie watoto adi me nimecheka mamaae 🔥🔥🔥
Love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from Denis-King Angley Official Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Salute Kwa Mwalimu Mgeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Naipenda Sana kazi yenu Mungu azidi kuwainua naifatilia saba
Huo mwalim mgeni bbhana anaenda polepole hadi misho
❤❤from Mombasa Kenya atleat nipate likes tatu.
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
Nimekupa like ya kumi jirani
@@josephstephen2047 Asante Sana kaka. Much love
Mbona munachelewa jamani tamueeeee❤❤❤❤❤
Kutoka kenya but nko Qatar. Big up.
Unajua sanaa hongera sanaa
Jamani hii filamu iko sawa zaidi naipenda sana. Mwalimu mgeni ukopowa sana
Namba8❤ 🎉 mi ndo mtazamaji mgeni
Wow much love from Kenya ❤❤❤
Baba Joan my best Kenya
Mungu asimame upande wa mwalimu mgeni 🙏🙏
Mko sawa ❤mary mwendia from Nairobi Kenya
Episode ifuatayo mjitahidi kuwahisha mwendelezo jamani 🎉❤❤❤ ni nzuri sana
Much love from Mombasa Kenya ❤❤❤❤❤
Bungoma kenya
Nawakubali kusema ukweli nawafuwatia Sana jitahidini zaidi mambo mazuri muposawa sana nipo Zanzibar 🥀🌹✨
Niko wa kwanza kutoka DRCongo. Nataka ❤ zenu🎉
Hahaha uliweka WAP hzo like rafik Ang😅😅😅😅😅
Napenda Mwalimu mgeni Kwa kazi zuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂mimi nimesheka kabla bado uyo mwanafuzi ajaanza atakushekesha😅😅😅
Lyk ua show from Embu Kenya
Nawapenda sana
Mwalim ntusibile Kandi bileke bigende ibindi biloza muha kweli 😂😂😂😂😂 ila twasubili 13 kwa kishindo Cha kisuli suli more love
This story touched me bro
I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤
Pole sana
Sorry everything is gonna be okay 😢
Pole sana na kama alivyo sema mwalim mgen kwamba dawa ya Nuqs ni ALLAH pekee
Nakuombea Mungu Akuondolee mtihan in sha ALLAH ❤❤❤
@@msambi1251😅😊🎉🎉😊😢
ruclips.net/video/YzptPl9g7QI/видео.html
THIS IS ABSOLUTELY PERFECT AND TOUCHING..THERE IS MORE TO LEARN IN THIS MOVIE.GOD BLESS TANZANIA ......🇿🇲from Zambia on the map
Nipen like zangu
Nimejifunza kuwa hekima inafaida nmependa sana busara za mwalimu mgeni ❤❤❤
Lakini kwanini season inachelewa kutoka kuna shida gani baba joan
Nimetoka Kenya nitua huku napendeswa na mwalimu ❤❤huyu
Wanangu wa Kenya mnatisha xna kutoka mwnza mwanza Tanzania ❤❤
I have liked it from part one up to twelve
Kwanini sasa mnatuwekea kidogo kidogo.wekeni yote
Unataka yote🤣🤣🤣
Watakuwekea tu yote cio kidogo tena
@@frankhoffa8356😂😂daah
nmefurahia sana victor from kenya
Much 💕 she made me to lough
Sir magesa bado ujasema na utasema yan bado apo badooo😂
Napenda jinsi Patronize anavyoimba Mwenyezi Mungu amzidishie nina imani atafika mbali🙏Nawafwatilia kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤
a.
❤,penda sana
Patronize ataenda mbali
Unaitwa na Anti
Napenda wote wa nasogeleya mwalimu mugeni na wapenda ila mwelimu mugeni ana kipaja ana juwa fundisha sana.
Pongezi kwako baba joan
Mungu abariki kipaji chako baba joan utafika mbalii