Umoja TV
Umoja TV
  • Видео 1 376
  • Просмотров 1 398 621

Видео

UKATILI WA KUTISHA MBEYA, BABA NA MAMA WAUA MTOTO WA KAMBO
Просмотров 1712 месяца назад
UKATILI WA KUTISHA MBEYA, BABA NA MAMA WAUA MTOTO WA KAMBO
JINAMIZI GHOROFA LILILOPOROMOKA KARIAKOO LAUA NA KUJERUHI MBEYA WAKIELEKEA KUZIKA
Просмотров 2282 месяца назад
JINAMIZI GHOROFA LILILOPOROMOKA KARIAKOO LAUA NA KUJERUHI MBEYA WAKIELEKEA KUZIKA
CCM MBEYA KWAWAKA MOTO, VIGOGO WAAHIDI MAKUBWA WAKIZINDUA KAMPENI.
Просмотров 2822 месяца назад
CCM MBEYA KWAWAKA MOTO, VIGOGO WAAHIDI MAKUBWA WAKIZINDUA KAMPENI.
MCHUNGAJI MBEYA AKUMBWA NA KASHFA YA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAE
Просмотров 4692 месяца назад
MCHUNGAJI MBEYA AKUMBWA NA KASHFA YA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAE
ALIYEUA MKE KWA WIVU WA MAPENZI ANASWA AKITOROKEA ZAMBIA
Просмотров 1963 месяца назад
ALIYEUA MKE KWA WIVU WA MAPENZI ANASWA AKITOROKEA ZAMBIA
TANAPA WAJA JUU MIFUGO KUINGIZWA IHEFU, WAPOTOSHAJI WAONYWA
Просмотров 4093 месяца назад
TANAPA WAJA JUU MIFUGO KUINGIZWA IHEFU, WAPOTOSHAJI WAONYWA
HUUMA MBOVU HOSPITALI ZAWAKERA WANANCHI CHUNYA, RC ATOA MAAGIZO.
Просмотров 2513 месяца назад
HUUMA MBOVU HOSPITALI ZAWAKERA WANANCHI CHUNYA, RC ATOA MAAGIZO.
PROF KABUDI AAGIZA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU KUBORESHEA MAZINGIRA
Просмотров 524 месяца назад
PROF KABUDI AAGIZA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU KUBORESHEA MAZINGIRA
PROF. KABUDI ATOA MAAGIZO KITUO CHA AFYA MASOKO, WANANCHI WANENA MAZITO
Просмотров 1494 месяца назад
PROF. KABUDI ATOA MAAGIZO KITUO CHA AFYA MASOKO, WANANCHI WANENA MAZITO
BASI LILILOUA 12 WALING'OA KIDHIBITI MWENDO, LATRA WANYOOSHEWA KIDOLE
Просмотров 5824 месяца назад
BASI LILILOUA 12 WALING'OA KIDHIBITI MWENDO, LATRA WANYOOSHEWA KIDOLE
AJALI YA BASI YAUA 12 KUJERUHI 33 MBEYA, MAJERUHI WAELEZA KILICHOTOKEA
Просмотров 5384 месяца назад
AJALI YA BASI YAUA 12 KUJERUHI 33 MBEYA, MAJERUHI WAELEZA KILICHOTOKEA
MNEC MWASELALA AWAPONGEZA WAWEKEZAJI WAZAWA, ATOA MAAGIZO
Просмотров 425 месяцев назад
MNEC MWASELALA AWAPONGEZA WAWEKEZAJI WAZAWA, ATOA MAAGIZO
CHUNYA KINARA UKUSANYAJI MAPATO, YAFIKIA ASILIMIA 150
Просмотров 675 месяцев назад
CHUNYA KINARA UKUSANYAJI MAPATO, YAFIKIA ASILIMIA 150
JANGA LA MOTO MBEYA, WANAFUNZI WANUSURIKA BWENI LIKITEKETEA.
Просмотров 2045 месяцев назад
JANGA LA MOTO MBEYA, WANAFUNZI WANUSURIKA BWENI LIKITEKETEA.
MRADI WA MAJI WAIBUA SHANGWE KWA WANANCHI
Просмотров 225 месяцев назад
MRADI WA MAJI WAIBUA SHANGWE KWA WANANCHI
WANAFUNZI PARADISE WALIVYOGAWA ZAWADI DK. SAMIA MSHIKAMANO CUP
Просмотров 835 месяцев назад
WANAFUNZI PARADISE WALIVYOGAWA ZAWADI DK. SAMIA MSHIKAMANO CUP
WAANGUA KILIO UWANJA WA NDEGE WAKIMSHUKURU DK. TULIA
Просмотров 1615 месяцев назад
WAANGUA KILIO UWANJA WA NDEGE WAKIMSHUKURU DK. TULIA
SINEMA YA CHADEMA NA POLISI MBEYA YAITIMISHWA KIBABE
Просмотров 1,4 тыс.5 месяцев назад
SINEMA YA CHADEMA NA POLISI MBEYA YAITIMISHWA KIBABE
MAANDAMANO YA CHADEMA YAPIGWA STOP MBEYA, POLISI WATISHIA KUWASHUGHULIKIA
Просмотров 3025 месяцев назад
MAANDAMANO YA CHADEMA YAPIGWA STOP MBEYA, POLISI WATISHIA KUWASHUGHULIKIA
DK SAMIA MBEYA DC MSHIKAMANO CUP BINGWA KULAMBA MILIONI 10
Просмотров 895 месяцев назад
DK SAMIA MBEYA DC MSHIKAMANO CUP BINGWA KULAMBA MILIONI 10
MBEYA UWSA KIBOKO KWA USAMBAZAJI WA MAJI, WAFIKIA ASILIMIA 90 MIAKA MITATU
Просмотров 1465 месяцев назад
MBEYA UWSA KIBOKO KWA USAMBAZAJI WA MAJI, WAFIKIA ASILIMIA 90 MIAKA MITATU
JKT TANZANIA WAPIGA MKWARA LIGI KUU, WAICHAPA KEN GOLD 2 1, WABEBA KOMBE
Просмотров 4855 месяцев назад
JKT TANZANIA WAPIGA MKWARA LIGI KUU, WAICHAPA KEN GOLD 2 1, WABEBA KOMBE
WANASWA NA BUNDUKI YA KIVITA KWENYE BASI LA ABIRIA
Просмотров 1,7 тыс.5 месяцев назад
WANASWA NA BUNDUKI YA KIVITA KWENYE BASI LA ABIRIA
TAKUKURU KUSHUGHULIKA NA WATAKAOTOA RUSHWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
Просмотров 2685 месяцев назад
TAKUKURU KUSHUGHULIKA NA WATAKAOTOA RUSHWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
TFRA YAJA KIVINGINE KUHAMASISHA MATUMIZI YA MBOLEA MIKOA 14
Просмотров 1106 месяцев назад
TFRA YAJA KIVINGINE KUHAMASISHA MATUMIZI YA MBOLEA MIKOA 14
ANASWA NA UHAMIAJI AKIGHUSHI VYETI VYA JKT, KUZALIWA LESENI ZA KUFUNGISHA NDOA
Просмотров 8696 месяцев назад
ANASWA NA UHAMIAJI AKIGHUSHI VYETI VYA JKT, KUZALIWA LESENI ZA KUFUNGISHA NDOA
SAMIA CUP YAPAMBA MOTO MBEYA, MNEC MWASELELA AMWAGA JEZI NA MIPIRA
Просмотров 606 месяцев назад
SAMIA CUP YAPAMBA MOTO MBEYA, MNEC MWASELELA AMWAGA JEZI NA MIPIRA
FILAMU YA THE ROYAL TOUR YALETA NEEMA HIFADHI YA RUAHA
Просмотров 537 месяцев назад
FILAMU YA THE ROYAL TOUR YALETA NEEMA HIFADHI YA RUAHA
DC MBARALI APIGILIA MSUMARI WA MOTO USHURU WA MAZAO
Просмотров 927 месяцев назад
DC MBARALI APIGILIA MSUMARI WA MOTO USHURU WA MAZAO

Комментарии

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 Месяц назад

    Mama shiko you and husband sale house and buy pengine damu ya family ya Wachira ni baya sana

  • @MdegaLongibo
    @MdegaLongibo Месяц назад

    Amini

  • @JumaaKibungo
    @JumaaKibungo 2 месяца назад

    Mmhhhh InaIiIah wa inaIiIah Iazim mungu aiIaze Ioho za maIem mahaI pema pepon amin

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 2 месяца назад

    Hii!!!!!!!! Mungu wangu

  • @MosesMuyamba
    @MosesMuyamba 3 месяца назад

    Maagizo yao tmeyakataaa naludia tena maagizo yao tumeyakataaaaaaa

  • @rizikiandrew4203
    @rizikiandrew4203 3 месяца назад

    Hayati Mkapa alikuwa kichwa haswaa, na hotuba zake zilikuwa zimenyooka kweli kweli

  • @nolascozumo5251
    @nolascozumo5251 3 месяца назад

    Huuma mbovu ndio nn hapo hatuja kusom

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 3 месяца назад

    Wale wale Dawa ya ukimwinyapatikana, utaperi mtupu

  • @dimasmwasile2304
    @dimasmwasile2304 5 месяцев назад

    Maji ni uhai

  • @dimasmwasile2304
    @dimasmwasile2304 5 месяцев назад

    ulipotea

  • @0maryMuna
    @0maryMuna 5 месяцев назад

    Magu ulikuwaga na majembe ya kazi Mzee wangu hongera sana

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 5 месяцев назад

    Unasema kama chizi hao mliowakamata wanatoka inchi gani? Na escorted Du! Hatuna uongozi Tanganyika 😢😢😢

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko 5 месяцев назад

    Mwaipaya mtu mdogo sana kwenye chama katibu mwenez kasema neno mkapagawa hivyo!!! Je angesema Mbowe!? Au lisu? Si wangetumia na vifaru duu

  • @SDM2024-z4s
    @SDM2024-z4s 5 месяцев назад

    Kama tuu hao Afande,wanataka leta vurugu Tanzania

  • @husseinally6699
    @husseinally6699 6 месяцев назад

    Akigushi au amegushi ,yaani akigushi yaani unamaanisha wamemkamata wakati akiwa anafanya kitendo cha kugushi hivyo vyeti. Amegushi, tayar ameshafanya hicho kitendo sasa ndugu mwandishi umekusudia nn? Amegushi au akigushi?

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 6 месяцев назад

    Labda mkataze hizo stationary zilifanye hiyo kazi walizopewa na serikali

  • @RazackndaliNyenje
    @RazackndaliNyenje 7 месяцев назад

    Uzalendo 😂😂😂😂

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 7 месяцев назад

    Huna sera nyinyi darasa la 7 mlifeli kihalali

  • @noelemmanuel7731
    @noelemmanuel7731 8 месяцев назад

    Legacy za huduma na madaraka ....

  • @josephpwiti2478
    @josephpwiti2478 8 месяцев назад

    Mbona mwaisabila mwenyewe haimbi??🤣🤣🤣

  • @pascaladloph4719
    @pascaladloph4719 8 месяцев назад

    1. Haya ni matokeo ya kutokukubali kweli na neema ya Kristo kuhubiriwa badala yake mmechanganya Torati na neema na kweli. 2. Kuhubiri matakwa ya wanadamu badala ya kuhubiri kweli ya Kristo. 3. Tamaa, madaraka , vinaendelea kuwaumbua. Mtaendelea kugawanyika hivyo hivyo. Maana walianza waanzilishi wenu akina Moses Kolola. Kile kilochowaganwanyisha kitaendelea kuwagawanyisha maana mmekataa kuwa na Kristo Mnanena makufuru et kanisa langu mlilinunua kwa damu ipi? Tubuni na kuirejea injili ya neema na kweli

  • @pascaladloph4719
    @pascaladloph4719 8 месяцев назад

    1. Haya ni matokeo ya kutokukubali kweli na neema ya Kristo kuhubiriwa badala yake mmechanganya Torati na neema na kweli. 2. Kuhubiri matakwa ya wanadamu badala ya kuhubiri kweli ya Kristo. 3. Tamaa, madaraka , vinaendelea kuwaumbua. Mtaendelea kugawanyika hivyo hivyo. Maana walianza waanzilishi wenu akina Moses Kolola. Kile kilochowaganwanyisha kitaendelea kuwagawanyisha maana mmekataa kuwa na Kristo Mnanena makufuru et kanisa langu mlilinunua kwa damu ipi? Tubuni na kuirejea injili ya neema na kweli

  • @georgefesto8455
    @georgefesto8455 8 месяцев назад

    Lazima uwe mbunifu kutafuta maokoto ' mwisho wa siku wana tafuta wafadhili watakao wauliza, mnakubali ushoga ili tuwape misaada? Jibu ndiyo kama anglikani.

  • @ShukuruMgimba
    @ShukuruMgimba 8 месяцев назад

    Mgawanyiko hautanui kazi ya Mungu ila unatuchanganya waumini kutojua ni wapi Kwa kwenda,

  • @nsanyayisambi8306
    @nsanyayisambi8306 9 месяцев назад

    Kweli siku za mwisho

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 9 месяцев назад

    Uzr Askofu kasema amesajili kanisa lake la Mungu litakuja baadae

  • @josephbonday8510
    @josephbonday8510 9 месяцев назад

    Ukiona kutoelewana ,kinajchojifanya hivyo ni FWEZAAAAA

  • @pendael02
    @pendael02 9 месяцев назад

    Maslahi

  • @johnmwanja4476
    @johnmwanja4476 9 месяцев назад

    Ujinga, upumbafuuu njaaa za wachungaji..Aibu kwa Ukristo..Ugomvi wa madaraka hadi Mungu anahuzunika...Ulokole feki!!!

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 9 месяцев назад

    Ndo maana hata serikali huwa haiangalii sana makanisa ya kipentekosti kwenye kushirikisha jambo, kwasaabu hatueleweki tunagawanyika Kila siku madhehebu yanaota kama uyoga Kila siku, Sasa sijui washirika washike lipi waamini lipi, hii roho sio nzuri wapendwa tuwe makini, unajua Sasa hii roho imeshaingia hadi kwenye Familia, tunaacha kushughulika na kazi za shetani, tunashughulika na migogoro tu Kila siku daah Mungu aturehemu kwakweli

    • @mosesmussa2096
      @mosesmussa2096 9 месяцев назад

      Hakuna Dini Ya Mungu Duniani Kaka Mungu Anaangalia Wokovu Ndani Yako

  • @ObedMwankina
    @ObedMwankina 9 месяцев назад

    😢😢😢😢 mmmmmmh

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 9 месяцев назад

    Kama ni mpango wa Mungu.Maamuzi yenu ni mema.Lakini kama ni tamaa na nimpango wenu wenyewe.Hapo ni Mungu aingilie kati.

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 9 месяцев назад

    Ushetani tu

  • @kilumiletvonline2001
    @kilumiletvonline2001 9 месяцев назад

    Hii tangu 80/82 kulola kuto kukubali ushindi na kuiacha T.A.G hii Inabidi kujitafakali Aya Kama ni MUNGU sawa ila mi kwa mtazamo wangu ni uchu wa madaraka.

  • @josephsamuel7088
    @josephsamuel7088 9 месяцев назад

    MBONA WA-ASSEMBLIES MNAGAWANYIKA SANA KUPITA KIASI? UKO WAPI UMOJA WA KRISTO aliousisitiza kama sio maslahi yanawagawanya?

  • @neHe100
    @neHe100 9 месяцев назад

    Ukiona unajitetea sana ujue kuna tatizo.

  • @jacobtandila2019
    @jacobtandila2019 9 месяцев назад

    Hapo ugomvi ni Sadaka 😅

  • @Augustinojohn-pf3pg
    @Augustinojohn-pf3pg 9 месяцев назад

    Yaan mumeshindwa kupatana huko mnakuja kuanzisha Kanisa jipyaa

  • @gracepahali3719
    @gracepahali3719 9 месяцев назад

    mm? wacha mi jamani mbona hivi ni jambo gani Yesu asiloliweza jamani

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 9 месяцев назад

    Kwa Asemblesndiyo bora? Askofu ? Mbona una sisitiza sana kuwa sisi ni wa Asembles ,

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 9 месяцев назад

    Hongereni sana kwa kazi njema mliyofanya kuepusha shari la EAGT na kufungua Kanisa jipya. Lakini pamoja na kazi nzuri mliyoikamilisha bado EAGT wanaweza kuja kuwafanyia fujo muondoke kwenye majengo yaliyokuwa makanisa yao. Najua Msajili alisema kila mtu aendelee na mahali alipokuwa kutegemea Washirika na Mchungaji wa kanisa hilo anamuunga nani mkono. Chonde chonde hakikisheni Maamuzi hayo ya Msajili mnayapata kwa maandishi ili kuepusha kuja kufukuzwa na Mahakama kwenye majengo yenu mnayoyageuza kuwa AGGCI kutoka EAGT kwa kibali cha Msajili. Shetani hafurahishwi kuona Nguvu mpya ya Mungu inaanzishwa. Tuorodhesheeni basi kwenye mitandao tujue makanisa yenu yako wapi na wapi ktk kila Wilaya ili iwe rahisi kwa Washirika wapya kuwafikia. Wengine tulishachoka na migogoro ya EAGT tukahamia TAG lakini kwa uanzilishi wa Kanisa jipya linalotoka EAGT tutakuwa tayari kujiunga na ninyi na tutajiona tumerudi nyumbani kwa Watakatifu. Huko kwingine kulishachafuka kwa tuhuma kibao. Asanteni na Mungu awabariki sana.

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko1436 9 месяцев назад

    Du

  • @mauriceishengoma5955
    @mauriceishengoma5955 9 месяцев назад

    Ibrahimu alipomwita Sara dada yake Ile dhambi ilimfuata hata Isaka. TAG ilipogawanyika mara 2 EAGT ikazaliwa sasa nayo imegawanyika. Waliojitenga nao huko mbele hawatabaki wa Moja muda utasema

  • @roseyongolo302
    @roseyongolo302 9 месяцев назад

    MUNGU ALIE HAI aturehemu,,,mzee unskiri kanisa ni lako,,,umasajili kanisa lako,,,tutakutana bandarini,,,.

  • @johngerald4739
    @johngerald4739 9 месяцев назад

    Nakushangaa askofu mwaisabila unasema kanisa lako kweli nimeamini siku za mwisho zimefika kwa nn kujitenga Nini hasa shida maslahi au taabu sana

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 9 месяцев назад

    Mnamuaibisha Moses Kolola

  • @JamesBayyo-h5i
    @JamesBayyo-h5i 9 месяцев назад

    Wanagombania cheo tu kuweni wanyenyekevu mbele za mungu

  • @wilfredmoshi6507
    @wilfredmoshi6507 9 месяцев назад

    Bado mtagawanyika sana ni kitu cha kawaida kwani hatuwezi kuwa na akili zinazofanana. Ukiona unachotaka halılı hapo ulipo tafuta wafuasi wanaokubaliana na wewe. Na üzuri roho mtakatifu anaongea na mtu hivyo hakuna anaweza kuhoji ulichoongea na roho akiwa mtakatifu au mtaka vitu yote unajua wewe 😂😂

  • @pastordanielmgogo
    @pastordanielmgogo 9 месяцев назад

    Mzee mwaisabila umetumika miaka miingi na Moses kulola daah huu ndio mwisho wako uliko ishia lengo ni uwaskofu wa nchi nzima okey hatuingilii ni maamzi yako huenda ni mpango wa Mungu labda sisi tu 😷

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 9 месяцев назад

      Laana zako hazimpati wala..mbona Eagt yenyewe ilijitenga kutoka TAG?au wewe mgeni

    • @donathaalphonce6933
      @donathaalphonce6933 8 месяцев назад

      Usichokijua ni usiku wa Giza! Mngejua Mzee alivyoacha eagt kwa machozi bila kupenda, msingesema lolote ila endeleeni kusema maana hamjui chanzo

    • @manoahmahuna6426
      @manoahmahuna6426 8 месяцев назад

      Chanzo n urafi wa madaraka wa bab huyu hamna kitu kingine

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 9 месяцев назад

    EAGT bwana wao wamesahau walitokana na TAG😂