Aunt Sadaka's Lessons
Aunt Sadaka's Lessons
  • Видео 20
  • Просмотров 32 306
SELF LOVE: MAMBO YANAYOKUZUNGUKA, CONFLICT RESOLUTION.
Mambo yanapokua sio sawa kati yetu, sio mwisho wa mahusiano yetu.
Tunapokua na mitazamo tofauti ndio muda wa kuzatiti hisia zetu tuweze kusimama vizuri pamoja. Ndani yangu ninaouwezo wa kukabili vurugu na niwe kiongozi wa kuyaweka sawa?
Ninaouwezo wa kukubali kutokukubaliana au ninachoamini ni sawa lazima kifuatwe?
Просмотров: 627

Видео

SELF LOVE: NINAJIBEBA? "Mirror Mirror!!! Kila jambo linaanza na mimi
Просмотров 578Год назад
Naangalia nafasi yangu kwenye mahusiano kimaisha. Najiuliza, hulka yangu, mapaji na uelewa nilio nao unanisaidia? Nikiambiwa msingi uliobora wa mahusiano unaanza na mimi naelewa kilichosemwa? Niko tayari kubeba majukumu yanayoendana na huu usemi? Hii ni "Mirror Mirror" nikiangalia kwenye kioo, huyu ninaemuona anaouwezo wa kusimamia show maisha yawe matamu?
SELF LOVE: LULU ZA MAHUSIANO YENYE TIJA.
Просмотров 1,4 тыс.Год назад
Mahusiano matamu yanaanza na mimi, "SELF LOVE" Kuingia kwenye mahusiano ni rahisi, kuyadumisha ni mtihani kidogo. Kwa msingi wa kujipenda na kujithamini, chagua unachokitamani na ukifanyie kazi. Mambo matamu hayatokei bila kuweka nguvu ya ziada. Jiangalie ndani yako, unao uwezo wa kuzikamilisha baadhi ya hizi LULU (pearls): 1. Honest 2. Trust 3. Respect 4. Open Communication 5. Juhudi binafsi 6...
SELF-LOVE: KUJIPENDA NA KUJITHAMINI
Просмотров 3,4 тыс.Год назад
POWER OF SELF LOVE!! Maisha matamu yanaanza na mapenzi ya nafsi zetu kwanza. Tutajua jinsi ya kupendana kupendwa pale tutakapowekeza mapenzi ndani yetu sisi kwanza kabla ya kuwapa wengine. Tujue raha na thamani ya kile tunachokibeba ndani yetu na tutoe pale tunapokua tumesheheni kila kona.
JINSI GANI UNAWEZA KUCHUKUA TAHADHARI KWA MADHARA AMBAYO YANATOKANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO.
Просмотров 270Год назад
Wapendwa kwenye kijiwe chetu leo tunaongelea jinsi ambavyo wazazi au walezi tunaweza kuchukua tahadhari kwa madhara ambayo yanatoka na ukatili ama unyanyasaji wa namna yoyote ile kwa watoto wetu. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q Apple: podcasts.appl...
FANYA HIVI KUMUDU WORK - LIFE - BALANCE.
Просмотров 469Год назад
Watu wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana kwenye kuweza kubalance, "WORK" & "LIFE". kwenye episode hii tutazungumzia jinsi yakuweza kubalance maisha ya kazi na maisha ya familia. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q Apple: podcasts.apple.com/tz/pod...
MAMBO SITA AMBAYO USIPOZINGATIA HAUTAFANIKIWA KWENYE MALENGO NA MIPANGO YAKO.
Просмотров 804Год назад
Wapendwa kwenye kijiwe chetu leo tunaongelea ni nini chakufanya ili maazimio au matarajio yetu yasiharibike ama yasivurugike. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q Apple: podcasts.apple.com/tz/podcast/aunt-sadakas-lessons/id1655814944 Follow me: Twitter:...
EPISODE 7: MAMBO SITA MUHIMU NINAYOZINGATIA NINAPOPANGA MALENGO YANGU YA MWAKA MPYA.
Просмотров 433Год назад
HAPPY NEW YEAR WAPENDWA. Ni siku nyingne na mwaka mwingine na leo tutaangalia mambo muhimu ninayozingatia ninapopanga malengo yangu ya mwaka. Sikiliza kwa makini naamini utajifunzaa kitu na pia itakusaidia kuweza kupanga malengo yako kwa usahihi. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6...
EP 7: PROMO - NINAYOZINGATIA NINAPOPANGA MALENGO YANGU YA MWAKA MPYA.
Просмотров 57Год назад
Salamu zangu za mwaka mpya kwenu wapendwa. Kwenye Aunt Sadaka’s lessons wiki hii nitashare na wewe niliyojifunza kuhusu kupanga malengo ya mwaka kitu kizuri ambacho naamini utajifunza. Na pia itakusaidia kuzingatia mambo mbalimbali ili uweze kuepuka kujipanga kwa mazoea. Usikose kufuatilia Episode hii ifikapo kesho saa nane Kamili mchana . Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@aunts...
ONGEZA THAMANI NDANI YA MAISHA YAKO
Просмотров 2,2 тыс.Год назад
Wapendwa wangu naendelea kushare nanyi mambo muhimu katika maisha ilituweze kujifunzaa wote kwa pamoja. kwa sababu hakuna aliemkamilifu hapa duniani na ndio maana katika kijiwe chetu tunakumbushana ili tuweze kurekebisha mahala tulipokosea. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?s...
SINGLE MOM FANYA HAYA KULEA MWANAO USIMTELEKEZE.
Просмотров 2,2 тыс.Год назад
Kwa namna ambavyo nimekua nikipata cases tofauti tofauti nimeona sio mbaya leo kwenye kijiwe chetu tuzungumze namna yakujijali, kujithamini na kuhakikishaa kama mtoto wakike unafanya maamuzi yaliyo sahihi kwenye maisha yanayokuzunguka. Ili tuweze kuepushaa utelekezaji wa watoto wasio na hatia kwa maamuzii uliyoyachukua. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscri...
TUEPUSHE UTELEKEZAJI KWA WATOTO. - PROMO
Просмотров 72Год назад
kwa namna nyingi sana kumekua na tabia ya kutelekeza watoto na hili limekuwa ni kama kawaida kwa maisha ya sasa. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q Apple: podcasts.apple.com/tz/podcast/aunt-sadakas-lessons/id1655814944 Follow me: Twitter: ...
MAMBO SITA MUHIMU KAMA KIJANA UNATAKIWA KUYAFUATA.
Просмотров 4,1 тыс.Год назад
Kwenye kijiwe chetu leo tutazungumzia kuhusu mambo muhimu ambayo kama kijana unapaswa kuyafuata ili uweze kuishi vizuri na kuhakikisha unapambana na changamoto za maisha. Nimewaandalia hadithi au jambo lilitokea huko nyuma ili tuweze kupata mafunzo mazuri ndani yake. Subscribe, Like na Comment. RUclips: youtube.com/@auntsadakalessons Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾 Spotify: open.spotify.com/sh...
CHANGAMOTO ZA VIJANA KATIKA MAISHA - PROMO
Просмотров 234Год назад
Mara nyingi kama kijana unaweza kujikuta unapitia changamoto nyingi ambazo zinaweza kukukatisha tamaa na ukakosa furaha kwenye maisha yako. Sasa kwenye Podcast yangu wiki Hii Episode mpya nitashare na nyie uzoefu wangu kidogo nilichojifunza nikiwa kijana miaka hiyooo ehee 😊! kwa maana hata mimi nilikuwa kijana, Na mambo gani haswa niliyapa kipaumbele na yapi niliepuka ili kuwa na furaha? Usikos...
USIFANYE MAKOSA HAYA UTAMHARIBU MTOTO WAKO.
Просмотров 11 тыс.Год назад
Kwenye Episode hii nazungumza na wewe kuhusu mambo niliyojifunza kwenye malezi ya mtoto wangu na watoto wengine wengi waliobahatika kupita kwenye mikono yangu. Mimi kama mama kuna vitu nimekutana navyo ambavyo natamani ningevijua mapema ingeniokoa pakubwa kwenye safari hii ya malezi. Sikiliza Episode hii mpya nimekufafanulia kwa undani makosa ambayo hutakiwi kuyafanya kwenye malezi ya mtoto wak...
MALEZI BORA KWA WATOTO WETU - PROMO
Просмотров 479Год назад
MALEZI BORA KWA WATOTO WETU - PROMO
Mambo sita makubwa niliyojifunza kuhusu malezi (Full episode).
Просмотров 2 тыс.Год назад
Mambo sita makubwa niliyojifunza kuhusu malezi (Full episode).
NUKUU YA AUNT SADAKA.
Просмотров 157Год назад
NUKUU YA AUNT SADAKA.
Niliyojifunza kwenye MAISHA yangu / Sharing my best LIFE lessons
Просмотров 1,8 тыс.Год назад
Niliyojifunza kwenye MAISHA yangu / Sharing my best LIFE lessons
HIVI NDIO UNAWEZA KUWA MFANO BORA KWA MWANAO - PROMO
Просмотров 365Год назад
HIVI NDIO UNAWEZA KUWA MFANO BORA KWA MWANAO - PROMO

Комментарии

  • @ZuhuraibrahimAlly
    @ZuhuraibrahimAlly Месяц назад

    jaman naomba unitumie namba nikupigie nikueleze changamoto yangu

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 3 месяца назад

    Ahsante ❤

  • @Mtanzania-j5t
    @Mtanzania-j5t 4 месяца назад

    Mashaallah umesema kweli shukrani

  • @carolineanthony1095
    @carolineanthony1095 6 месяцев назад

    tunaomb to download

  • @victoriatembo1505
    @victoriatembo1505 6 месяцев назад

    Najifunza mengi kupitia ww...mungu azidi kuongeza kipawa chako😊...asantee mama

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 8 месяцев назад

    mimi nimepatikana ukisahihisa kazi zote utapata zawadi condition naomba mbadala ya conditions nifanyaje

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 8 месяцев назад

    asante aki nimeamini cjipendi i have to love ma self first

  • @MwanajumaShaban-c5k
    @MwanajumaShaban-c5k 8 месяцев назад

    🙏

  • @MwanajumaShaban-c5k
    @MwanajumaShaban-c5k 8 месяцев назад

    Shukran sana aunty sadaka❤

  • @lamatsnyamaishwa3896
    @lamatsnyamaishwa3896 9 месяцев назад

    Thanks my lovely mommy

  • @rajabuhassan1932
    @rajabuhassan1932 10 месяцев назад

    Nakupnda sana mazaa but naomba hata cku Moja nikutane na ww kwa uwezo wa Allah tutakutana

  • @ElstakiusRwangobe-mg3zw
    @ElstakiusRwangobe-mg3zw 11 месяцев назад

    Be blessed mama and thaks

  • @mollymwenitumba6641
    @mollymwenitumba6641 Год назад

    The higher power indeed. Amen ❤❤

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Год назад

    Ahsante sana mama

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Год назад

    Ahsante sana mama

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Год назад

    Ahsante sana mama

  • @emryspantaleo5977
    @emryspantaleo5977 Год назад

    Mungu akubariki na somo zuri Aunt

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Год назад

    Your the best

  • @graceneemaramadhaniabdalla7734

    Mungu azidi kukupa afya njema na maisha marefu, uendelee kutupa mafunzo na nasaha nzuri

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад

    Asante sana aunt sadaka

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 Год назад

    Unasema kwel Mama🙏

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Год назад

    Ahsante sana mama mwenyezi mungu akupe afya njema

  • @bestinamaro7645
    @bestinamaro7645 Год назад

    Asante Mama Kwa ushauri

  • @zaitunomar54
    @zaitunomar54 Год назад

    Asante sana mm aunt sadakas lkini sis wanawake tunsvumiliya san hawa wanaume zetu hawabadiriki

  • @zaitunomar54
    @zaitunomar54 Год назад

    Sisi tunafanya kazi huku nch zauarabuni lakin tunsyopitiya nimagumu sana mtot mdogo tu anakuamrisha kwa sababu we nimfanyakazi naten unaitwa shaahala km zsrahu mpk tunajion sis km masikini wenzentu huku kila kitu uwafanyie hat chup unafuwa za bb za mm za wasichan

  • @zaitunomar54
    @zaitunomar54 Год назад

    Hongera san mam umeongeya point sana

  • @belindamtwanga9754
    @belindamtwanga9754 Год назад

    ❤❤❤

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Год назад

    hilo latupa kule nimelipenda

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Год назад

    Alhamdulillah maneno mazuri sana aunty

  • @adeladavis1876
    @adeladavis1876 Год назад

    Aunty Sadaka Nakupenda Asante

  • @shamymuyassin3833
    @shamymuyassin3833 Год назад

    Lovely

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад

    Aunt sadaka nimekuelewa Sana hasira zote na familia yangu naziachilia tangia leo,Mungu akupe mapya kila ck,nakupenda,

  • @emmanueljmwaisabula9346
    @emmanueljmwaisabula9346 Год назад

    I love you aunt sadaka

  • @zuhrazuuvenus3705
    @zuhrazuuvenus3705 Год назад

    Asante anty nimevutiwa sana ulipokuwa unaongea kwenye sentro.

  • @mimahmussa1376
    @mimahmussa1376 Год назад

    Aunt mungu aendelee kukuweka.. Asante kwa kuniponya😢

  • @eugeniafabiano9326
    @eugeniafabiano9326 Год назад

    This is well put 😍

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Год назад

    Shukran mama unatufunzaa

  • @geofreykaneno6004
    @geofreykaneno6004 Год назад

    sasa aunty kwa madini haya mbona kama ofisini tutapata shida kufika🌹❣

  • @mamadidajullio1658
    @mamadidajullio1658 Год назад

    How do I stop praying for u my Aunty.here u killed it mum

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Год назад

    Unatuponya wengi mama nakupenda fram sweden

  • @truthtreasure6921
    @truthtreasure6921 Год назад

    Well said

  • @neemachettah2559
    @neemachettah2559 Год назад

    😢 Asante mama

  • @robinsonraider7631
    @robinsonraider7631 Год назад

    Apo kwenye tupa kule dah mala nyingi ndipo panapoleta ugumu na kuendelea kupata maumivu,,labda utufundishe ni vip au njia gan unaweza ukatumia ukafanikisha suala la kumuacha yule aliyekupa maumivu Ili wakat unamuacha usibaki na maumiv ya kumpoteza. Asante kwa SoMo zuri sana

  • @fransiscamrema5369
    @fransiscamrema5369 Год назад

    Mama unafundisha vizuri Sana unawekeka Mambo wazi maana wengi hushindwa kijithamini kwa kuachana na wenzi wao. Hawajui kwamba maisha na ni wewe mwenyewe.

  • @maximillianjoseph8803
    @maximillianjoseph8803 Год назад

    Tunajifunza asante mama

  • @mamadidajullio1658
    @mamadidajullio1658 Год назад

    From this I learnt so much Aunty

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Asante sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Asante sana

  • @stargloria7106
    @stargloria7106 Год назад

    Mama Mungu akuweke. I met very great people including you 2019 but was not well prepared on what I wanted to do....and just yesterday was thinking how bad it is to meet right people at the wrong time or when one is not prepared.... I'm still working on that dream though and hope it will come true inshallah

  • @mimiwewe3447
    @mimiwewe3447 Год назад

    ❤️❤️❤️❤️🌹