Tanga Tanzania TV
Tanga Tanzania TV
  • Видео 169
  • Просмотров 316 721

Видео

TANGA ITANUFAIKA WAZIRI BASHETANGA ITANUFAIKA WAZIRI BASHE
TANGA ITANUFAIKA WAZIRI BASHE
Просмотров 7210 дней назад
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amezindua Kituo atamizi cha Mkonge ambacho kitakuwa ni eneo la ubunifu na uzalishaji wa bidhaa za mikono kwa kutumia singa za Mkonge kwa lengo la kuleta matokeo ya haraka kwa wakulima na wafanyabiashara. Akizindua kituo hicho Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema lengo la serikali ni kuweka kituo katika mkoa wa Tanga ambacho kitawekewa vifaa vidogodogo vya kuonge...
MAPYA YAIBUKA KIFO CHA DIDA KAKA YAKE AZUNGUMZAMAPYA YAIBUKA KIFO CHA DIDA KAKA YAKE AZUNGUMZA
MAPYA YAIBUKA KIFO CHA DIDA KAKA YAKE AZUNGUMZA
Просмотров 8210 дней назад
#dida #mtangazaji
SIJAWAHI KUUWA MTU RAIS SAMIASIJAWAHI KUUWA MTU RAIS SAMIA
SIJAWAHI KUUWA MTU RAIS SAMIA
Просмотров 3717 дней назад
#raissamiasuluhuhassan
DIRISHA LA MIKOPO LAFUNGULIWA, TANGA JIJI KUANZA NA BILLION 3.Septemba 27, 2024.DIRISHA LA MIKOPO LAFUNGULIWA, TANGA JIJI KUANZA NA BILLION 3.Septemba 27, 2024.
DIRISHA LA MIKOPO LAFUNGULIWA, TANGA JIJI KUANZA NA BILLION 3.Septemba 27, 2024.
Просмотров 4518 дней назад
DIRISHA LA MIKOPO LAFUNGULIWA, TANGA JIJI KUANZA NA BILLION 3. Septemba 27, 2024. Halmashauri ya Jiji la Tanga imefungua dirisha la utoaji mikopo ya asilimia 10% ya mapato ya ndani Kwa kina mama, vijana na watu wenye ulemavu, kuanzia leo tarehe 29 Septemba 2024, na litakuwa wazi kwa mwezi mmoja, na kufungwa October 29 ambapo Serikali imefanya maboresho ya sheria na kanuni za mikopo hiyo. Akizun...
Tundu Lissu atangaza kuishtaki TigoTundu Lissu atangaza kuishtaki Tigo
Tundu Lissu atangaza kuishtaki Tigo
Просмотров 6020 дней назад
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake. Lissu ameyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa ...
TANGA WASIO JULIJANA WACHOMA MOTO WATU WATATU HANDENI.TANGA WASIO JULIJANA WACHOMA MOTO WATU WATATU HANDENI.
TANGA WASIO JULIJANA WACHOMA MOTO WATU WATATU HANDENI.
Просмотров 43621 день назад
TANGA WASIO JULIJANA WACHOMA MOTO WATU WATATU HANDENI. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limesema watu watatu wamefariki dunia baada ya kuungua moto katika eneo la ndani ya Msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel katika Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani humo. Kamanda wa Polisi, Almachius Mchunguzi amesema walipokea taarifa ya ajali hiyo Septemba 23, 2024 majira ya saa 03:45 usiku, na baada ya uch...
TANGA ONE RESOURCE FOUNDATION - TORF MRADI WA KWANZA UTAKUWA NI KAZI ZA MIKONO (HAND........TANGA ONE RESOURCE FOUNDATION - TORF MRADI WA KWANZA UTAKUWA NI KAZI ZA MIKONO (HAND........
TANGA ONE RESOURCE FOUNDATION - TORF MRADI WA KWANZA UTAKUWA NI KAZI ZA MIKONO (HAND........
Просмотров 2923 дня назад
KIKAO CHA MPANGO KAZI WA SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA TANGA ONE RESOURCE FOUNDATION - TORF KIMEAZIMIA MRADI WA KWANZA UTAKUWA NI KAZI ZA MIKONO (HAND CRAFT) KIKAO HICHO KIMEHUDHIRIWA NA BWANA HUZEFA SHAMUELKUTOKA SAIFI STORE AMBAE ALIWAPA MOTISHA YA KUFANYA KAZI VIJANA WA TORF ILI KUFIKIA MALENGO YAO. *TORF - TUNAMULIKA TANGA* Abdullatif Famau TORF - CEO 255 716 755 004
TANGA: AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU AKIAMULIA UGOMVITANGA: AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU AKIAMULIA UGOMVI
TANGA: AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU AKIAMULIA UGOMVI
Просмотров 2,2 тыс.26 дней назад
TANGA: AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU AKIAMULIA UGOMVI
TANGA TANZANIA KWAMINCHI #TANGATANGA TANZANIA KWAMINCHI #TANGA
TANGA TANZANIA KWAMINCHI #TANGA
Просмотров 50Месяц назад
TANGA.KAMATI YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAIPONGEZA TANGA-UWASA..TANGA.KAMATI YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAIPONGEZA TANGA-UWASA..
TANGA.KAMATI YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAIPONGEZA TANGA-UWASA..
Просмотров 82Месяц назад
#tangauwasa #tanga #wizarayamaji #tanzania #mazingira
MASAUNI AONGOZA MAZISHI YA ALLY KIBAOMASAUNI AONGOZA MAZISHI YA ALLY KIBAO
MASAUNI AONGOZA MAZISHI YA ALLY KIBAO
Просмотров 68Месяц назад
Serikali imeahidi kushughulikia matukio ya baadhi ya wananchi na viongozi wa kisiasa kutekwa na kuuawa,kwani jambo hilo linaweza kuleta uvunjaji wa amani. Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masaun amesema hayo kwenye mazishi ya aliyekuwa kada wa Chadema Ali Kibao,ambae amefariki dunia kwa kuuawa na kusema kuwa uchunguzi wa tukio hilo na mengine yanayofanana na hilo unaendelea kufanyika. Mwenyekiti ...
Tanga Tanzania makeup 💄 Tanga harusiTanga Tanzania makeup 💄 Tanga harusi
Tanga Tanzania makeup 💄 Tanga harusi
Просмотров 71Месяц назад
#barich#barich
#barich
Просмотров 76Месяц назад

Комментарии