- Видео 648
- Просмотров 118 792
NEY TV
Танзания
Добавлен 20 июн 2019
News and Current Issues
TAASISI YA MAZINGIRA NA MALIASILI YAWATAKA WANAFUNZI KUWA CHACHU YA MAZINGIRA
TAASISI YA MAZINGIRA NA MALIASILI YAWATAKA WANAFUNZI KUWA CHACHU YA MAZINGIRA
Просмотров: 13
Видео
RPC LUTUMO - TUWALINDE WATOTO NA MAJINA MABOVU KAMA USHOGA NA BWABWA
Просмотров 294 часа назад
RPC LUTUMO - TUWALINDE WATOTO NA MAJINA MABOVU KAMA USHOGA NA BWABWA
WAZIRI KIKWETE -NMB NI KINALA WA MAPATO CHALINZE
Просмотров 844 часа назад
WAZIRI KIKWETE -NMB NI KINALA WA MAPATO CHALINZE
NMB YATOÀ MSAADA WA VIFAA VYA AFYA NÀ ELIMU ZAIDI YA BILIONI 8 ÇHALINZE
Просмотров 164 часа назад
NMB YATOÀ MSAADA WA VIFAA VYA AFYA NÀ ELIMU ZAIDI YA BILIONI 8 ÇHALINZE
JUA TARATIBU ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA KUPATA HAKI YAKO
Просмотров 929 часов назад
JUA TARATIBU ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA KUPATA HAKI YAKO
WATU WAWILI WAMEKUFA KWA KUNYWA KILEVI KISICHOJULIKANA MKOA WA PWANI
Просмотров 9612 часов назад
WATU WAWILI WAMEKUFA KWA KUNYWA KILEVI KISICHOJULIKANA MKOA WA PWANI
MBUNGE MWAKAMO AANZA KUELEZA ILANI TAWI KWA TAWI KIBAHA VIJIJINI
Просмотров 7819 часов назад
MBUNGE MWAKAMO AANZA KUELEZA ILANI TAWI KWA TAWI KIBAHA VIJIJINI
KATA YA TANGINI YATANDAZWA LAMI SIKIA HIYO
Просмотров 10121 час назад
KATA YA TANGINI YATANDAZWA LAMI SIKIA HIYO
RC KUNENGE AKERWA NA MIRADI KUCHUKUA MUDA MREFU
Просмотров 5021 час назад
RC KUNENGE AKERWA NA MIRADI KUCHUKUA MUDA MREFU
TAASISI YA THO YAWEKA KAMBI BAGAMOYO NA KUTOA HUDUMA BURE KWA WAGONJWA
Просмотров 49День назад
TAASISI YA THO YAWEKA KAMBI BAGAMOYO NA KUTOA HUDUMA BURE KWA WAGONJWA
RAS PWANI AZINDUA MRADI WA USHIRIKISHI UVUVI NA MAZINGIRA PWANI YA BAGAMOYO
Просмотров 1214 дней назад
RAS PWANI AZINDUA MRADI WA USHIRIKISHI UVUVI NA MAZINGIRA PWANI YA BAGAMOYO
SEA SENSE INA MPANGO WA KUSAFISHA BAHARI KWA UPANDE WA BAGAMOYO
Просмотров 2014 дней назад
SEA SENSE INA MPANGO WA KUSAFISHA BAHARI KWA UPANDE WA BAGAMOYO
WADAU WAKIISHUKURU TMM KWA SEMINA YA MAZINGIRA
Просмотров 2014 дней назад
WADAU WAKIISHUKURU TMM KWA SEMINA YA MAZINGIRA
TAASISI YA MAZINGIRA NA MALIASILI YATOA ELIMU YA GESI ASILIA
Просмотров 1114 дней назад
TAASISI YA MAZINGIRA NA MALIASILI YATOA ELIMU YA GESI ASILIA
ALIYEKATAA MAFUNZO YA JESHI SASA ALILIA KUBAKI JESHINI
Просмотров 12321 день назад
Kijana aliyemaliza mafunzo ya mujibu wa sheria kikosi cha jeshi 832 KJ Ruvu ambaye alilazimishwa kujiunga na mafunzo hayo sasa ameomba kuongezewa mafunzo zaidi
VIJANA WENYE ULEMAVU WAFANYA MAAJABU JESHINI
Просмотров 60721 день назад
VIJANA WENYE ULEMAVU WAFANYA MAAJABU JESHINI
MNEC JUMAA -WAFUGAJI HAMTAJUTA KUNICHAGUA MIMI KUWA MLEZI WENU
Просмотров 10821 день назад
MNEC JUMAA -WAFUGAJI HAMTAJUTA KUNICHAGUA MIMI KUWA MLEZI WENU
ILAJE WANA CHAKULA CHA KUTOSHA ,ZAIDI YA BILIONI 12 ZATUMIKA KUTEKELEZA ILANI
Просмотров 16Месяц назад
ILAJE WANA CHAKULA CHA KUTOSHA ,ZAIDI YA BILIONI 12 ZATUMIKA KUTEKELEZA ILANI
KIPINDI :UVCCM KIBAHA MJINI NA MAZOEZI KATA YA MKUZA
Просмотров 76Месяц назад
KIPINDI :UVCCM KIBAHA MJINI NA MAZOEZI KATA YA MKUZA
ZAIDI YA KAYA 18,403 MPANGO WA TASAF WAMEHITIMU KUJIONDOA KATIKA TASAF MKOA WA PWANI
Просмотров 112Месяц назад
ZAIDI YA KAYA 18,403 MPANGO WA TASAF WAMEHITIMU KUJIONDOA KATIKA TASAF MKOA WA PWANI
MWK UVCCM KIBAHA MJINI KAZZEMBE ACHUKIZWA NA ZAHANATI MKUZA KUTOFANYA KAZI JUMAMOSI
Просмотров 231Месяц назад
MWK UVCCM KIBAHA MJINI KAZZEMBE ACHUKIZWA NA ZAHANATI MKUZA KUTOFANYA KAZI JUMAMOSI
MAONI YA DIRA YA MAENDELEO MKOA WA PWANI 2025 - 2050
Просмотров 77Месяц назад
MAONI YA DIRA YA MAENDELEO MKOA WA PWANI 2025 - 2050
AJINYONGA BAADA YA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA SABA
Просмотров 446Месяц назад
AJINYONGA BAADA YA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA SABA
CHAMA CHA WAIGIZAJI KIBAHA NA MPANGO WA UZINDUZI WAKE , KUMUOMBA MGENI RASMI RAIS MSAAFU KIKWETE
Просмотров 65Месяц назад
CHAMA CHA WAIGIZAJI KIBAHA NA MPANGO WA UZINDUZI WAKE , KUMUOMBA MGENI RASMI RAIS MSAAFU KIKWETE
MAXMILLIAN PRE&PRIMARY SCHOOL WATOTO WANAONGEA KICHINA
Просмотров 207Месяц назад
MAXMILLIAN PRE&PRIMARY SCHOOL WATOTO WANAONGEA KICHINA
WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA VUNJO WALALAMIKIA UNYANYASAJI KIWANDANI
Просмотров 704Месяц назад
WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA VUNJO WALALAMIKIA UNYANYASAJI KIWANDANI
WAUGUZI WASISITIZA WAJAWAZITO KUTUMIA BITROOT KUONGEZA DAMU
Просмотров 11Месяц назад
WAUGUZI WASISITIZA WAJAWAZITO KUTUMIA BITROOT KUONGEZA DAMU
TMM NA PGF WAJIANDAA KUSAIDIA SHULE KUTUMIA GESI ASILIA KWA AJILI YA KUPIKIA
Просмотров 49Месяц назад
TMM NA PGF WAJIANDAA KUSAIDIA SHULE KUTUMIA GESI ASILIA KWA AJILI YA KUPIKIA
TAMBWE ZA MASHABIKI WA YANGA VIKAWE KUELEKEA SIKU YA WANANCHI 04/08/2024
Просмотров 2102 месяца назад
TAMBWE ZA MASHABIKI WA YANGA VIKAWE KUELEKEA SIKU YA WANANCHI 04/08/2024
Huna mpango wowote sifa tu kiongozi wa familia yako
wao h😊
Noma sana🔥
Tupambane tu jaman hongeren makomando na sisi tunapenda
Alafu bado eti goli 1, millions 5
Kabisa
Hii barabara ni finyu inatakiwa ipanuliwe
🎉🎉
Kazi kazi
Hongera sana Dr Gabriel umeonge maono makubwa
hongera mkoa wa Pwani
Kongole Pwani
Wanaume tuwe makini sana Kuna tabia ipo sana ya wanawake/mke kama ulimuoa akiwa amekuja na mtoto wa kike ambae siyo mwanao(wakufikia ) ikatokea mmegombana wanasingizia umebaka mwanae.
Mafanikio ni Kuzuia kabisa Kutendeka makosa na Sio Hukumu ya Watu...maana matokeo ya Ubakaji na Hukumu ni Mbaya Zaidi
Very nice kids
😂😂 mmekuja kuwandani kuchukua habari nmepewa rushwa
😂😂 mmekuja kuwandani kuchukua habari nmepewa rushwa
Duh
Hahaha
Ilipendeza sana
Jmn selikal wap mnatupeleka
Ongera serikali ya chini ya mama Samia kwa ubunifu wa kutoa ajira ya kaz uhudumu wa afya ngaz ya jamii
Hongera sana ndg zetu Mungu ni mwema maana aluumba mtu Kwa mfano na sura yake tu.
KARIBU KISARAWE
mr nova unatisha mkumbushe mkuu wa wilaya ileahadi yake ya estikizu
SAMIA ANATOSHA MITANO TENA 🎉🎉🎉🎉❤
Kazi iendelee
Mr David Mramba katisha sana hongera sana kwake
kwakweli
IPO VINZURI SANA
KARIBUNI KILIMA NAZI
Naweza kupata nafasi level3 ushonaji mwaka huu
Wasiliana na huyu 0712024648
ongera Mwenyekiti wa Chama Mkoa unaupiga mwingi
😅Apo mmenifikisha noma iyo chenja
Naomba namba yenu tafadhali
namba ya CCBRT au
Kazi nzuri endelea kufanya Kazi njema😊
asante
Hakuns Dini Huko.
Mashaallah wawekezaji wanamiminika sasahivi kutikana na sera nzuri ya mama baada ya miaka 3 au 4 ijayo tanzania tutakuwa mbali sana kuanzia miundo mbinu ajira na ubora mkubwa ktk nchi yetu
Kwani serikali si uwa inasema haiamini uchawi
Afande huyuu analeta utani kwa mtoto waa mwenzake yani nijambo la kawaida afande sikuelewi kabisa unacho kiongea nikama mtuu alie poteza kuku hata kuku uta muuliza jirani yako hujamuona kuku wangu bora ungentamaza tuu mnamkumvatia. Mwalimu WEMA 😢😢😢😢😢damu ya WARDA .haita potea bure😢😢😢
Kwann serikali mwaamini ushirikina?
Congratulations king lion 👏
wameweza
Kumbe nikawaida watu kupotea daa
Freedom forever
kazi mnaipiga
Hiii😢
Pongezi kwa kazi nzuri
Hata kama ni mchawi kweli nasema huo sio muujiza. Muujiza mkubwa kuliko miujiza yote ni kumwamin Yesu na kusamehewa dhambi " huu ndo muujiza ninaojivunia kwa Yesu"
Litakuwaje tukio la kutengeneza wakati kamlipoti polis yeye jaman nyie
Mtu anapofanya maovu. Haina uhusiano na dini au dhehebu. Unaweza kuwa muislamu ila ukawa muovu na vilevile kwa mkristo. Hivyo tusichanganye dini na matendo ya maovu yaliyofanywa na mtu
Shetani naye yuko kazini, inawezekana kabisa mchungaji kugeuziwa kibao ili aonekane kuwa yeye ndiya mshirikina kumbe siyo. Hizo ni mbinu za shetani kudhoofisha kazi ya Mungu.