- Видео 15
- Просмотров 41 493
Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel
Добавлен 31 дек 2021
Binadamu Kaumbika – Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha Morogoro (Official Video-HD)_Gabriel
Wimbo wa kusifu ukuu wa Mungu na upendeleo alioumbwa binadamu kulinganisha na viumbe wengine hapa duniani. Ni dhahiri binadamu tumepewa utashi wa kujua mema na mabaya unaotufanya kuwa viumbe wa kipekee kwa upendeleo mkubwa.
Mtunzi & Organist: Fabian Boma
Audio: @banallyproductions3125
Waimbaji: @kwayayamalaikamkuugabriel8430
Video: @TanganyikaProductions
Phone number: +255 785 876 898
Wimbo unapatikana kwenye Albamu yetu @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Vol 2 yenye jina la albamu "WATOTO NA MALEZI"
Mtunzi & Organist: Fabian Boma
Audio: @banallyproductions3125
Waimbaji: @kwayayamalaikamkuugabriel8430
Video: @TanganyikaProductions
Phone number: +255 785 876 898
Wimbo unapatikana kwenye Albamu yetu @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Vol 2 yenye jina la albamu "WATOTO NA MALEZI"
Просмотров: 830
Видео
UPENDO WA MUNGU - Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha Morogoro (Official Video-HD)_Gabriel
Просмотров 1,1 тыс.4 месяца назад
Wimbo wa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mema mengi anayotukirimia na kutujalia. Mtunzi: Theodos Ng'amilo Audio: @banallyproductions3125 Kinanda: Fabian Boma Waimbaji: @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Video: @TanganyikaProductions Phone number: 255 785 876 898 Wimbo unapatikana kwenye Albamu yetu @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Vol 2 yenye jina la albamu "WATOTO NA MALEZI"
AMEYASHINDA MAUTI - Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha Morogoro (Official Video-HD)_Gabriel
Просмотров 13 тыс.6 месяцев назад
Wimbo wa Ufufuko wenye ujumbe wa Kristo Mfufuko kuwa Kayashinda mauti amefufuka yu mzima. Mtunzi: Edvine Tangaliola Audio: @banallyproductions3125 Waimbaji: @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Video: @TanganyikaProductions Phone number: 255 785 876 898 Wimbo unapatikana kwenye Albamu yetu @kwayayamalaikamkuugabriel8430 Vol 3 yenye jina la albamu "IMBENI BWANA AMEFUFUKA"
Watoto na Malezi
Просмотров 1,1 тыс.7 месяцев назад
Wimbo huu maalumu unatuasa na kutukumbusha changamoto za Malezi ya Watoto. Wazazi na walezi tunahimizwa kuwajibika kwenye malezi ya watoto wetu. Wimbo: Watoto na Malezi Waimbaji: Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel, Parokia ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha , Jimbo la Morogoro Mwandishi: Philbertha Mkongwa (Mrs.Kadama) Mtunzi: Pius P Fubusa Organist: Fabian Boma Audio: Banally Productions Video: Tangan...
Moyo wangu umeridhia
Просмотров 1,6 тыс.8 месяцев назад
Wimbo: Moyo wangu umeridhia Waimbaji: Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Parokia ya Ruaha Jimbo la Morogoro Mtunzi: Damas Gouagoya Audio: Banally Productions Video: Tanganyika Productions
Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha Morogoro kwa mara ya kwanza ndani ya Tamasha la Yesu ni Mwema.
Просмотров 18710 месяцев назад
Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Ruaha Morogoro kwa mara ya kwanza ndani ya Tamasha la Yesu ni Mwema.
Amkeni - Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel
Просмотров 19 тыс.2 года назад
Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel Parokia ya Ruaha Jimbo la Morogoro inakukaribisha kuangalia wimbo mzuri wa Pasaka. Wimbo: Amkeni Mtunzi: Pius Fubusa Audio: Banally Productions Video: Tanganyika Productions Heri ya Pasaka, tuamke tukashangile Ufufuko wa Bwana.
Upendo ndani ya Kwaya umetamaradi kama mawaridi, wanakwaya tukimuimbia Mwalimu siku ya Birthday yake
Просмотров 2982 года назад
Upendo ndani ya Kwaya umetamaradi kama mawaridi, wanakwaya tukimuimbia Mwalimu siku ya Birthday yake
Harambee ya Ujenzi wa Kanisa - Kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel Parokia ya Ruaha Jimbo la Morogoro
Просмотров 1,4 тыс.2 года назад
Document from Kmmgabriel
Safi sana ❤
Nimewamiss sana,, naona sister siwa yuko na tarumbeta
Mbarikiwee sanaa
Hakika binadamu kaumbika, hongereni Sana kwa wimbo mzuri👏👏
Hongereni sana nibarkiwa mungu azidi kuwasimamia mfike mbali
Tunashukuru sana.
Hongereni wapendwa 🎉
Asante sana, tunashukuru.
Hongeren sana
Asante sana.Tunashukuru sana the most talented vocalist.
Hongereni sana familia ya Gabriel Kilombero
Tunashukuru sana maestro ...
Wimbo mnzur sana
Asante sana. Tunashukuru
Mungu awabariki sana wimbo mzuri na video nzuri kwa kifupi mmependeza sana
Tunashukuru sana.
Mungu azidi kuwainua
Nice
Best song ever ❤
Hongereni sana kwa kazi nzuri mnazoendelea kuzifanya.👏👏 Mwenyezi Mungu azidi kubariki kazi zenu🤲🙌, Nawapenda bureee jaman!❤❤❤❤
Tunashukuru sana
Hongereni sana kwa uinjilishaji kwa njia ya nyimbo,hakika wimbo ni mzuri sana na MUNGU AWABARIKI SANA.
Tunashukuru sana..
Hongereni sana Ngamilo hongera kwa Utunzi makini...❤❤❤❤❤❤
Tunashukuru sana..
Hata sasa asante Mungu kwa unayoyatenda kwa Kwaya yangu ya malaika mkuu Gabriel
Amina
KAZI nzuri sana ama hakika, kadiri siku zinavyoenda Malaika Mkuu Gabriel mnazidi kuwa juu!! Hongera na pongezi MWL NG'AMILO kwa Utunzi mzuri sana
Shukrani sana.
Safi
Safi
Kazi nzuri
Hongereni
We boma weeeeee umeweza mnoo nidai tishert ya HOCAS🤣🤣🤣
Asanteni sana mungu awape neema zaidi ya kueneza injili
Mungu atukuzwe kwelikweli
wimbo mzr sanaa❤
hongera sana wapendwa
Waoooo bonge la wimbo
Hongereni sana. Ujumbe mzito sana kwa jamii
Kazi imefana🎉🎉🎉🎉🎉
Utume mwema ❤❤❤❤❤❤
Mm mtunzi sina Neno 🙌🎉🎉
Mimi mtunzi sina Neno 🙌🎉🎉🎉🎉
😊😊😊good work
Thank you so much.
Mungu azidi kuwatia nguvu ya kuinjilisha kwa njia hii ya nyimbo. Mbarikiwe sana na Bwana
Kazi nzuriii tangaliolA 🎉
Shukrani sana.
Kazi nzuri wapendwa mbarikiwe salute kwa mtunzi edvine tangaliola🙌🙌
Amina. Mungu ni mwema.
Hongera kijana Edvine kwa wimbo mzuri wa Ufufuko wa Bwana Wetu Yesu Kristo
Mmeupiga mwingi ndugu zangu 🎉🎉🎉🎉
Asante sana, tunashukuru.
Mungu ibarik kazi iii isonge mbele
Amina...
Kazi nzuri hakika amefufuka 🔥🔥🔥🔥
Kristo mfufuka afufuke nasi nyoyoni mwetu.
Hongereni sana kazi nzuri sana Ukweli Malaika Mkuu Gabriel mna-uthubutu mkubwa sana Katika utume!!
Tunashukuru sana, tunazidi kuomba neema na baraka za Mwenyezi Mungu tuzidi kumtumikia kwa njia ya uimbaji.
Mr boma nakuona master kinanda wimbo mzuri sana
Amina.
🎉
Hongereni sanaa sana
Mwalemi sana
Asante sana.
Hongereni sana Kazi Nzuri Mno.
Tunashukuru sana.
Thanks for sharing this delightful and fantastic song!!Mbarikiwe saaana
Thank you for your sensational wishes.
❤❤❤❤❤
Tunapokea maua ya upendo.
Mziki Mtakatifu. Kazi nzuri wimbo ni mzuri Hongereni sana
Asante sana tunashukuru.
Hata sasa sifa naeutukufu ni kwako Mungu
Kwaya yangu pendwa. Sifa na utukufu kwaungu
Amina....