Busokelo TV
Busokelo TV
  • Видео 2 456
  • Просмотров 4 332 294

Видео

Wabantu StandUp Comedy Tarajia Kuvunja Mbavu Zako
Просмотров 237 часов назад
Kundi la Wabantu standup comedy limedhamiria kuendeleza na kuinua vijana kiuchumi Kwa kuangazia changamoto na athari za kimaadili kupitia utandawazi utamaduni Sanaa na michezo Ili kupandikiza roho za kizalendo Kwa maslahi mapana ya nchi. BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Kyela Awapa Jibu Maombi ya Vikundi vya Sanaa na Bodaboda Bondeni
Просмотров 12011 часов назад
#BusokeloTv #sanaa #bodaboda KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mwakibete Atoa Habari Njema Ujenzi wa Vyoo Ikapu Sekondari na Kituo cha Afya
Просмотров 6713 часов назад
#BusokeloTv #afya #elimu KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Mwakibete Aelezea Mchakato wa Barabara ya Mbambo-Ipinda
Просмотров 1742 часа назад
#BusokeloTv #tanroads KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Viongozi wa Chama cha Wakulima wa Kokoa Kyela KYECU Watiwa Mbaroni
Просмотров 3312 часа назад
Viongozi wa Chama cha Wakulima wa Kokoa Kyela KYECU Watiwa Mbaroni
Green Voice kuwezesha Wanawake Vijijini Kukabiliana Na Athari Za Mabadiliko Ya Tabianchi.
Просмотров 104 часа назад
Wanawake 105 kutoka katika kata 3 za Manispaa ya Morogoro wamenufaika na mradi wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi Kwa wanawake wa vijijini hasa katika Kilimo na ujasiriamali ambapo umewasaidia katika kuhifadhi mazao pamoja na usindikaji. BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Njeza Achangia Ukarabati wa Shule ya Msingi Shitete Isuto
Просмотров 204 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
"Hatuna Matumaini na Wanasiasa Wanangamiza Biashara zetu"Wafanyabiashara Mbeya
Просмотров 1,6 тыс.4 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mgogoro wa Mipaka Wawakutanisha RC Homera na Mtaka
Просмотров 2334 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Ziara ya Kijiji kwa Kijiji Yagusa Shughuli za Maendeleo Busokelo/Kero Zapatiwa Majibu
Просмотров 2627 часов назад
#BusokeloTv #maendeleo #mwakibete KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Maandalizi ya Maonyesho ya Nanenane Nyanda za Juu Kusini Yakamalika
Просмотров 797 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
MAJIBU YA MAHAKAMA KESI YA MWABUKUSI DHIDI YA TLS
Просмотров 1,6 тыс.9 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
MAWAKILI 29, Wafika Mahakamani kusimama na MWABUKUSI Mchana huu.
Просмотров 9029 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Wenye Vipaji Waitwa Kusajiliwa Mbeya City FC/Tunawakaribisha Kuanzia Tarehe 15 July 2024
Просмотров 3212 часов назад
Wenye Vipaji Waitwa Kusajiliwa Mbeya City FC/Tunawakaribisha Kuanzia Tarehe 15 July 2024
Viongozi Wa Dini Waendelee Kuliombea Taifa....Nabii Joshua Kufanya Maombezi Bila Kuchoka
Просмотров 2212 часов назад
Viongozi Wa Dini Waendelee Kuliombea Taifa....Nabii Joshua Kufanya Maombezi Bila Kuchoka
Katibu Mkuu Wa CCM Balozi Dkt.Nchimbi Akerwa Na Ubinafsi Katika Ngazi za Uongozi..Tuombee Taifa
Просмотров 3812 часов назад
Katibu Mkuu Wa CCM Balozi Dkt.Nchimbi Akerwa Na Ubinafsi Katika Ngazi za Uongozi..Tuombee Taifa
Mchungaji Mwambola Akana Kurudi KKKT/Asema Ataendelea Mchungaji wa KKAM
Просмотров 45612 часов назад
Mchungaji Mwambola Akana Kurudi KKKT/Asema Ataendelea Mchungaji wa KKAM
Mbunge Njeza Asema,"Achaneni na Wasiopenda Maendeleo,Lami Inaanza Kujengwa"
Просмотров 6312 часов назад
Mbunge Njeza Asema,"Achaneni na Wasiopenda Maendeleo,Lami Inaanza Kujengwa"
Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde
Просмотров 8 тыс.12 часов назад
Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde
TANESCO Wabanwa Watumishi Wao Kuiba Nguzo Baadhi ya Vijiji Busokelo
Просмотров 12514 часов назад
TANESCO Wabanwa Watumishi Wao Kuiba Nguzo Baadhi ya Vijiji Busokelo
Utafiti wa Ulezi wa Kupambana na Ugonjwa Wafikia Hatua Nzuri
Просмотров 1114 часов назад
Utafiti wa Ulezi wa Kupambana na Ugonjwa Wafikia Hatua Nzuri
Suala la Wajawazito Kulipishwa Gharama za Kujifungua Lamfikia Mbunge/Wataalam Watoa Tamko
Просмотров 3516 часов назад
Suala la Wajawazito Kulipishwa Gharama za Kujifungua Lamfikia Mbunge/Wataalam Watoa Tamko
Mbeya City Yajipanga Upya Kuelekea Msimu 2024/2025/Usajili Tayari
Просмотров 2316 часов назад
Mbeya City Yajipanga Upya Kuelekea Msimu 2024/2025/Usajili Tayari
🔴LIVE: KATIBU MTENDAJI NECTA ANATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU 2024
Просмотров 3019 часов назад
🔴LIVE: KATIBU MTENDAJI NECTA ANATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU 2024
Nguvu ya Nafasi ya Spika Dkt. Tulia na Tanzania Duniani!
Просмотров 28019 часов назад
Nguvu ya Nafasi ya Spika Dkt. Tulia na Tanzania Duniani!
Naibu Waziri Mahundi Awaasa Wanafunzi wa Vyuo Juu ya Matumizi ya Mitandao ya Kijamiii
Просмотров 1919 часов назад
Naibu Waziri Mahundi Awaasa Wanafunzi wa Vyuo Juu ya Matumizi ya Mitandao ya Kijamiii
Wananchi wa Kata ya Iwiji Walia na Ubovu wa Barabara Mbele Mbunge
Просмотров 3121 час назад
Wananchi wa Kata ya Iwiji Walia na Ubovu wa Barabara Mbele Mbunge
Uchakavu Wa Shule ya Msingi Izumbwe II Yamuibua Mbunge Njeza
Просмотров 2921 час назад
Uchakavu Wa Shule ya Msingi Izumbwe II Yamuibua Mbunge Njeza
MORUWASA:Toeni Taarifa ya Wezi Wa Maji,Na Usikubali Kuunganishiwa Maji Na Vishoka Wa Mtaani.
Просмотров 12День назад
MORUWASA:Toeni Taarifa ya Wezi Wa Maji,Na Usikubali Kuunganishiwa Maji Na Vishoka Wa Mtaani.

Комментарии

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa 4 часа назад

    Mwaambien huyu bunge wenu tunataka bara bara toka njia border mpaka Itunge port ijengwe .

  • @revdrseni
    @revdrseni 6 часов назад

    Kuna kinachoendelea nyuma ya kurudisha joho! Si bure! Yaani makamu anamtuma mtoto kupeleka joho kwa askofu mkuu? Hapa makamu hajasema ukweli

  • @mariakawogo3449
    @mariakawogo3449 8 часов назад

    Mwambola anajichanganya

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 10 часов назад

    Dhambi ya uasi inawatesa

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 15 часов назад

    Apewe monobani yule wa Arusha mgombania ardhi awe naibu askofu wenu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 15 часов назад

    Tatizo ni wafanyabiashara kinachohitaji mnyumbu ambao ni wahumini wanatakiwa wajitambue

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 День назад

    Ok we thanks to hear that progress of mwabukusi take case to curt for him been blocked tls presidential candidate l as the tls president election ok mwabukusi we are following this move vary close be strong enough to resist as the tls presidential matiriol lncass win case to curt tuko pamoja bwana mwabukusi

  • @ambokilegwakisa3526
    @ambokilegwakisa3526 День назад

    Tumekuelewa mkuu wa mkoa Hawa viongozi wa kweku wanakwamisha maendelea ya wanakyela kwa kuwahujumu

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 День назад

    Minawaambia nyie watanzania tumepoa sana katika nchi hiii kodi zetu zinaenda kununua magali ya msafara wa rais

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x День назад

    Watanzania bhna tatizo letu hua tunajisahaulisha Hapo Samia akija akawaondolea mtapuga kelele za shangwe muanze kusema mama mama mama utafikiri Hauna mama yako Baada ya muda atazurudisha tu atarudisha kodi

  • @GwakisaMwangajilo-rm4es
    @GwakisaMwangajilo-rm4es День назад

    Wewe mzee usituletee ujinga wako

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 2 дня назад

    Mnaacha kutuchagua sie wenyeji mnaleta wageni ss shida hio

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 2 дня назад

    Wasomi ndio wezi walawala wamejisahau kbs

  • @user-fk6mt5ib6g
    @user-fk6mt5ib6g 2 дня назад

    Huyu mama akishinda 2025 mtafunga biashara

  • @KanikiIkinda
    @KanikiIkinda 2 дня назад

    Ambao hawafanyi biashara hawataelewaa.

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 дня назад

    Mabadilko ni muhimu kwenye hii nchi.

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga5369 2 дня назад

    Mm sijaelewa mbona nchi yetu mtu anagombea popote tu , ila labda kwenye mchango hapo mana nchi yetu wat hawana uihari san wakulipa michango kisa inaliwa sana

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 2 дня назад

    Kodi zetu wao wanafanyia anasa

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 дня назад

    Tokeni zenu hapo hatuwataki kabisa na upmbavu wenu

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 дня назад

    Semeni hatumtaki samia na mawaziri wake wote vinginevyo mtakuwa mnawatafutia wao ili wanunue maviex

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 2 дня назад

    Daaaaaa poleni jamani😊

  • @MirajiMbolile
    @MirajiMbolile 2 дня назад

    Watanzania wote inapaswa kuamka kwa sasa . Bila ya hivyo tutakuwa watumwa wa nchi hii

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa2900 2 дня назад

    .... SHIDA yetu KODI zetu hazilindi MITAJI tunashindwa KUZALISHA tunabanana na KODI nyofo nyofo ni za KINYONYAJI huyu mtu ana AKILI na anajielewa #MwiguluisaFAILURE anamuangusha MAMA

  • @ClayONeal-s5c
    @ClayONeal-s5c 2 дня назад

    Huyu ni Mimi kbs

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 2 дня назад

    Namshukuru Mungu pia

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 дня назад

    Chama imehingiliwa na mafisadi hatari twende wapi

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed 3 дня назад

    Hongeren sana jeshi la polisi

  • @KuwedaPaul
    @KuwedaPaul 3 дня назад

    Magereza tupo vizuli

  • @Big-oc8wl
    @Big-oc8wl 3 дня назад

    Mji wangu mzuri kyela napapenda kyela home sweet home.

  • @AmenithaDickson
    @AmenithaDickson 3 дня назад

    Ifike mahali mtumishi wa Mungu ukae mahali ujitafakari kwanini kila pahala wanakaa na mimi kwa muda fulani na baada ya hapo wananikataa yan hawataki kushirikiana na wewe. Lakini pia ukitaka kumjua kiongozi yoyote vizuri uliza aliofanya nao kazi watakwambia ni mtu wa aina gani huyo.

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 3 дня назад

    😮😮😢

  • @AmbokileOmarymwanyiru
    @AmbokileOmarymwanyiru 3 дня назад

    Yamefika yaliyotalajiwa kama kawaida yake yakusema anamasirahi

  • @user-uk4ll3su3g
    @user-uk4ll3su3g 3 дня назад

    That My Blood! Go Broo Goooo

  • @BelimoMasoka
    @BelimoMasoka 4 дня назад

    Mm Nina erufi m mikono yote miwili na zinangara

  • @imanimwaijumb4934
    @imanimwaijumb4934 4 дня назад

    umejipambanua sana bro kwa mtu mwenye akili ameshaelewa wewe ni mtu wa namna gani. Danganya sana wanadamu ila ujue Mungu anakuona Mungu hapendi hivo sikuhukumu ila namini utafika jehanamu ukiwa umechoka sana

  • @StephanoMwanjemba
    @StephanoMwanjemba 4 дня назад

    Kk tukonyumayako tunakuombea kwamungu ushindi ,

  • @nehemiahmboyamboya8557
    @nehemiahmboyamboya8557 4 дня назад

    Mwanampotevu aliopotafakari moyoni AKAHAMU TAFAKARI UHAMUE MSINGI WA KKAM NI UGOMVI TARAJIA UGOMVI HADI MWISHO POVU RUKSA

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 дня назад

    Hilo limeshiba rushwa 😢

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 дня назад

    Mungu awatangulie

  • @eddyjojo36
    @eddyjojo36 4 дня назад

    Kindly we need a conclusion ...

    • @BusokeloTV
      @BusokeloTV 4 дня назад

      Soon as possible, Endelea kusubscribe tunarejea sasa hivi

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 4 дня назад

    Uasi huzaa uasi😭

  • @AminaDaud
    @AminaDaud 4 дня назад

    hivi kuna pasi za sola zakunyooshea nguo? kama zipo ninahitaji

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 дня назад

    Kuna wachungaji kuna wakomba sadaka za wajinga ndiyo waliwao kazi kugombana kisa sadaka

  • @alphabartazary9692
    @alphabartazary9692 5 дней назад

    Mwajiri wako ni Kristo Yesu na SI vinginevyo

  • @HassaniUwessu
    @HassaniUwessu 5 дней назад

    Washamba bado sana

  • @lyosimwaalyosi5981
    @lyosimwaalyosi5981 5 дней назад

    Kaka hapo ni nyumbani pako?

  • @Mwakamele
    @Mwakamele 5 дней назад

    Aisee....hili nililitegemea. Nadhani linakuja kubwa zaidi ya hili

  • @Nyalafu
    @Nyalafu 5 дней назад

    Mch ulipokuwa unakabidhiwa vifaa vya kichungaji ulitumiwa mtoto? Imekuwaje umtume mtoto

  • @evjohnshalom419
    @evjohnshalom419 5 дней назад

    😂😂😂😂😂 tulijua tu

  • @byalugabachengula9936
    @byalugabachengula9936 5 дней назад

    Mimi hapa napita tuu