![Busokelo TV](/img/default-banner.jpg)
- Видео 2 456
- Просмотров 4 332 294
Busokelo TV
Танзания
Добавлен 7 ноя 2010
Karibu katika channeli yetu
Busokelo Tv ni chombo cha habari kinachouhabarisha umma Habari/Taarifa/Makala mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.
MAWASILIANO
Email: busokelotv@gmail.com
Tel: +255762684745/+255674217445
Tufuatilie:
Facebook, Instagram and Twitter kwa kubofya viunganishi hapo chini
Busokelo Tv ni chombo cha habari kinachouhabarisha umma Habari/Taarifa/Makala mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.
MAWASILIANO
Email: busokelotv@gmail.com
Tel: +255762684745/+255674217445
Tufuatilie:
Facebook, Instagram and Twitter kwa kubofya viunganishi hapo chini
Familia ya Kijana Aliyechoma Picha Ya Rais Samia Yaomba Radhi
Familia ya Kijana Aliyechoma Picha Ya Rais Samia Yaomba Radhi
Просмотров: 79
Видео
Wabantu StandUp Comedy Tarajia Kuvunja Mbavu Zako
Просмотров 237 часов назад
Kundi la Wabantu standup comedy limedhamiria kuendeleza na kuinua vijana kiuchumi Kwa kuangazia changamoto na athari za kimaadili kupitia utandawazi utamaduni Sanaa na michezo Ili kupandikiza roho za kizalendo Kwa maslahi mapana ya nchi. BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Kyela Awapa Jibu Maombi ya Vikundi vya Sanaa na Bodaboda Bondeni
Просмотров 12011 часов назад
#BusokeloTv #sanaa #bodaboda KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mwakibete Atoa Habari Njema Ujenzi wa Vyoo Ikapu Sekondari na Kituo cha Afya
Просмотров 6713 часов назад
#BusokeloTv #afya #elimu KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Mwakibete Aelezea Mchakato wa Barabara ya Mbambo-Ipinda
Просмотров 1742 часа назад
#BusokeloTv #tanroads KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Viongozi wa Chama cha Wakulima wa Kokoa Kyela KYECU Watiwa Mbaroni
Просмотров 3312 часа назад
Viongozi wa Chama cha Wakulima wa Kokoa Kyela KYECU Watiwa Mbaroni
Green Voice kuwezesha Wanawake Vijijini Kukabiliana Na Athari Za Mabadiliko Ya Tabianchi.
Просмотров 104 часа назад
Wanawake 105 kutoka katika kata 3 za Manispaa ya Morogoro wamenufaika na mradi wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi Kwa wanawake wa vijijini hasa katika Kilimo na ujasiriamali ambapo umewasaidia katika kuhifadhi mazao pamoja na usindikaji. BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mbunge Njeza Achangia Ukarabati wa Shule ya Msingi Shitete Isuto
Просмотров 204 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
"Hatuna Matumaini na Wanasiasa Wanangamiza Biashara zetu"Wafanyabiashara Mbeya
Просмотров 1,6 тыс.4 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Mgogoro wa Mipaka Wawakutanisha RC Homera na Mtaka
Просмотров 2334 часа назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Ziara ya Kijiji kwa Kijiji Yagusa Shughuli za Maendeleo Busokelo/Kero Zapatiwa Majibu
Просмотров 2627 часов назад
#BusokeloTv #maendeleo #mwakibete KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Maandalizi ya Maonyesho ya Nanenane Nyanda za Juu Kusini Yakamalika
Просмотров 797 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
MAJIBU YA MAHAKAMA KESI YA MWABUKUSI DHIDI YA TLS
Просмотров 1,6 тыс.9 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
MAWAKILI 29, Wafika Mahakamani kusimama na MWABUKUSI Mchana huu.
Просмотров 9029 часов назад
BusokeloTv KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: busokelotv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana
Wenye Vipaji Waitwa Kusajiliwa Mbeya City FC/Tunawakaribisha Kuanzia Tarehe 15 July 2024
Просмотров 3212 часов назад
Wenye Vipaji Waitwa Kusajiliwa Mbeya City FC/Tunawakaribisha Kuanzia Tarehe 15 July 2024
Viongozi Wa Dini Waendelee Kuliombea Taifa....Nabii Joshua Kufanya Maombezi Bila Kuchoka
Просмотров 2212 часов назад
Viongozi Wa Dini Waendelee Kuliombea Taifa....Nabii Joshua Kufanya Maombezi Bila Kuchoka
Katibu Mkuu Wa CCM Balozi Dkt.Nchimbi Akerwa Na Ubinafsi Katika Ngazi za Uongozi..Tuombee Taifa
Просмотров 3812 часов назад
Katibu Mkuu Wa CCM Balozi Dkt.Nchimbi Akerwa Na Ubinafsi Katika Ngazi za Uongozi..Tuombee Taifa
Mchungaji Mwambola Akana Kurudi KKKT/Asema Ataendelea Mchungaji wa KKAM
Просмотров 45612 часов назад
Mchungaji Mwambola Akana Kurudi KKKT/Asema Ataendelea Mchungaji wa KKAM
Mbunge Njeza Asema,"Achaneni na Wasiopenda Maendeleo,Lami Inaanza Kujengwa"
Просмотров 6312 часов назад
Mbunge Njeza Asema,"Achaneni na Wasiopenda Maendeleo,Lami Inaanza Kujengwa"
Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde
Просмотров 8 тыс.12 часов назад
Msaidizi wa Askofu KKAM Ajiuzulu/Akumbuka Mgogoro wa KKKT Konde
TANESCO Wabanwa Watumishi Wao Kuiba Nguzo Baadhi ya Vijiji Busokelo
Просмотров 12514 часов назад
TANESCO Wabanwa Watumishi Wao Kuiba Nguzo Baadhi ya Vijiji Busokelo
Utafiti wa Ulezi wa Kupambana na Ugonjwa Wafikia Hatua Nzuri
Просмотров 1114 часов назад
Utafiti wa Ulezi wa Kupambana na Ugonjwa Wafikia Hatua Nzuri
Suala la Wajawazito Kulipishwa Gharama za Kujifungua Lamfikia Mbunge/Wataalam Watoa Tamko
Просмотров 3516 часов назад
Suala la Wajawazito Kulipishwa Gharama za Kujifungua Lamfikia Mbunge/Wataalam Watoa Tamko
Mbeya City Yajipanga Upya Kuelekea Msimu 2024/2025/Usajili Tayari
Просмотров 2316 часов назад
Mbeya City Yajipanga Upya Kuelekea Msimu 2024/2025/Usajili Tayari
🔴LIVE: KATIBU MTENDAJI NECTA ANATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU 2024
Просмотров 3019 часов назад
🔴LIVE: KATIBU MTENDAJI NECTA ANATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU 2024
Nguvu ya Nafasi ya Spika Dkt. Tulia na Tanzania Duniani!
Просмотров 28019 часов назад
Nguvu ya Nafasi ya Spika Dkt. Tulia na Tanzania Duniani!
Naibu Waziri Mahundi Awaasa Wanafunzi wa Vyuo Juu ya Matumizi ya Mitandao ya Kijamiii
Просмотров 1919 часов назад
Naibu Waziri Mahundi Awaasa Wanafunzi wa Vyuo Juu ya Matumizi ya Mitandao ya Kijamiii
Wananchi wa Kata ya Iwiji Walia na Ubovu wa Barabara Mbele Mbunge
Просмотров 3121 час назад
Wananchi wa Kata ya Iwiji Walia na Ubovu wa Barabara Mbele Mbunge
Uchakavu Wa Shule ya Msingi Izumbwe II Yamuibua Mbunge Njeza
Просмотров 2921 час назад
Uchakavu Wa Shule ya Msingi Izumbwe II Yamuibua Mbunge Njeza
MORUWASA:Toeni Taarifa ya Wezi Wa Maji,Na Usikubali Kuunganishiwa Maji Na Vishoka Wa Mtaani.
Просмотров 12День назад
MORUWASA:Toeni Taarifa ya Wezi Wa Maji,Na Usikubali Kuunganishiwa Maji Na Vishoka Wa Mtaani.
Mwaambien huyu bunge wenu tunataka bara bara toka njia border mpaka Itunge port ijengwe .
Kuna kinachoendelea nyuma ya kurudisha joho! Si bure! Yaani makamu anamtuma mtoto kupeleka joho kwa askofu mkuu? Hapa makamu hajasema ukweli
Weeee alimtuma mtoto!!!!!!!! 😂😂😂😂😂😂😂
Mwambola anajichanganya
Dhambi ya uasi inawatesa
Apewe monobani yule wa Arusha mgombania ardhi awe naibu askofu wenu
Tatizo ni wafanyabiashara kinachohitaji mnyumbu ambao ni wahumini wanatakiwa wajitambue
Ok we thanks to hear that progress of mwabukusi take case to curt for him been blocked tls presidential candidate l as the tls president election ok mwabukusi we are following this move vary close be strong enough to resist as the tls presidential matiriol lncass win case to curt tuko pamoja bwana mwabukusi
Tumekuelewa mkuu wa mkoa Hawa viongozi wa kweku wanakwamisha maendelea ya wanakyela kwa kuwahujumu
Minawaambia nyie watanzania tumepoa sana katika nchi hiii kodi zetu zinaenda kununua magali ya msafara wa rais
Watanzania bhna tatizo letu hua tunajisahaulisha Hapo Samia akija akawaondolea mtapuga kelele za shangwe muanze kusema mama mama mama utafikiri Hauna mama yako Baada ya muda atazurudisha tu atarudisha kodi
Wewe mzee usituletee ujinga wako
Mnaacha kutuchagua sie wenyeji mnaleta wageni ss shida hio
Wasomi ndio wezi walawala wamejisahau kbs
Huyu mama akishinda 2025 mtafunga biashara
Ambao hawafanyi biashara hawataelewaa.
Wanatoa macho😮😮😮
Mabadilko ni muhimu kwenye hii nchi.
Mm sijaelewa mbona nchi yetu mtu anagombea popote tu , ila labda kwenye mchango hapo mana nchi yetu wat hawana uihari san wakulipa michango kisa inaliwa sana
Kodi zetu wao wanafanyia anasa
Tokeni zenu hapo hatuwataki kabisa na upmbavu wenu
Semeni hatumtaki samia na mawaziri wake wote vinginevyo mtakuwa mnawatafutia wao ili wanunue maviex
Daaaaaa poleni jamani😊
Something is seriously wrong 😒 😕
Watanzania wote inapaswa kuamka kwa sasa . Bila ya hivyo tutakuwa watumwa wa nchi hii
.... SHIDA yetu KODI zetu hazilindi MITAJI tunashindwa KUZALISHA tunabanana na KODI nyofo nyofo ni za KINYONYAJI huyu mtu ana AKILI na anajielewa #MwiguluisaFAILURE anamuangusha MAMA
Huyu ni Mimi kbs
Namshukuru Mungu pia
Chama imehingiliwa na mafisadi hatari twende wapi
Hongeren sana jeshi la polisi
Magereza tupo vizuli
Mji wangu mzuri kyela napapenda kyela home sweet home.
Ifike mahali mtumishi wa Mungu ukae mahali ujitafakari kwanini kila pahala wanakaa na mimi kwa muda fulani na baada ya hapo wananikataa yan hawataki kushirikiana na wewe. Lakini pia ukitaka kumjua kiongozi yoyote vizuri uliza aliofanya nao kazi watakwambia ni mtu wa aina gani huyo.
😮😮😢
Yamefika yaliyotalajiwa kama kawaida yake yakusema anamasirahi
That My Blood! Go Broo Goooo
Mm Nina erufi m mikono yote miwili na zinangara
umejipambanua sana bro kwa mtu mwenye akili ameshaelewa wewe ni mtu wa namna gani. Danganya sana wanadamu ila ujue Mungu anakuona Mungu hapendi hivo sikuhukumu ila namini utafika jehanamu ukiwa umechoka sana
Kk tukonyumayako tunakuombea kwamungu ushindi ,
Mwanampotevu aliopotafakari moyoni AKAHAMU TAFAKARI UHAMUE MSINGI WA KKAM NI UGOMVI TARAJIA UGOMVI HADI MWISHO POVU RUKSA
Hilo limeshiba rushwa 😢
Mungu awatangulie
Kindly we need a conclusion ...
Soon as possible, Endelea kusubscribe tunarejea sasa hivi
Uasi huzaa uasi😭
hivi kuna pasi za sola zakunyooshea nguo? kama zipo ninahitaji
Kuna wachungaji kuna wakomba sadaka za wajinga ndiyo waliwao kazi kugombana kisa sadaka
Mwajiri wako ni Kristo Yesu na SI vinginevyo
Washamba bado sana
Kaka hapo ni nyumbani pako?
Aisee....hili nililitegemea. Nadhani linakuja kubwa zaidi ya hili
Mch ulipokuwa unakabidhiwa vifaa vya kichungaji ulitumiwa mtoto? Imekuwaje umtume mtoto
😂😂😂😂😂 tulijua tu
Mimi hapa napita tuu