Site Tv Online
Site Tv Online
  • Видео 3 260
  • Просмотров 1 719 796

Видео

RC HOMERA ATOA AGIZO KWA RMO KUSHUGHULIKIA BIMA ZAHANATI YA SINAI
Просмотров 642 часа назад
RC HOMERA ATOA AGIZO KWA RMO KUSHUGHULIKIA BIMA ZAHANATI YA SINAI
CRS YAWA MKOMBOZI KWA WATOA HUDUMA NGAZI YA JAMII TAKRIBAN BAISKELI 250 ZATOLEWA
Просмотров 1042 часа назад
CRS YAWA MKOMBOZI KWA WATOA HUDUMA NGAZI YA JAMII TAKRIBAN BAISKELI 250 ZATOLEWA
BURUDANI ZA DR MAPANA MDAHALO WA MAADILI TAMASHA LA UTAMADUNI.
Просмотров 822 часа назад
#wizarayamichezo#utamaduni#songea
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AFUNGUKA BILA HOFU/KATAVI MAMBO SUPA WAKABIDHI MWENGE KIGOMA.
Просмотров 2162 часа назад
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AFUNGUKA BILA HOFU/KATAVI MAMBO SUPA WAKABIDHI MWENGE KIGOMA.
DC NYASA AWEKA MIKAKATI YA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAPATO KATIKA WILAYA HIYO.
Просмотров 462 часа назад
#nyasa#tamisemi#ruvuma
MAMLAKA YA MAJI MBEYA HAILALI SASA NI MTAA KWA MTAA, NYUMBA KWA NYUMBA KUTIBU CHANGAMOTO ZA MAJI.
Просмотров 814 часа назад
MAMLAKA YA MAJI MBEYA HAILALI SASA NI MTAA KWA MTAA, NYUMBA KWA NYUMBA KUTIBU CHANGAMOTO ZA MAJI.
MWENGE WA UHURU UMETEMBELEA VIWANDA VYA KISASA VYA UCHAKATAJI MCHELE TANGANYIKA NA MPIMBWE
Просмотров 914 часа назад
MWENGE WA UHURU UMETEMBELEA VIWANDA VYA KISASA VYA UCHAKATAJI MCHELE TANGANYIKA NA MPIMBWE
MWENYE KUANDAMANA AJIPANGE HAKUNA CHA MSALIAMTUME
Просмотров 404 часа назад
MWENYE KUANDAMANA AJIPANGE HAKUNA CHA MSALIAMTUME
RC HOMERA AWAIMBISHA WADADA WA DREAMS MKATAA KWAO NI MTUMWA, ATOA MAAGIZO HAYA KWA MA-DC
Просмотров 1234 часа назад
RC HOMERA AWAIMBISHA WADADA WA DREAMS MKATAA KWAO NI MTUMWA, ATOA MAAGIZO HAYA KWA MA-DC
TANZANIA MPYA YA KIDIJITALI KUNUFAISHA WANANCHI NAIBU WAZIRI MHANDISI MAHUNDI AELEZA
Просмотров 267 часов назад
TANZANIA MPYA YA KIDIJITALI KUNUFAISHA WANANCHI NAIBU WAZIRI MHANDISI MAHUNDI AELEZA
SONGEA TUMIENI FURSA ZA KIBIASHARA KWENYE TAMASHA LA UTAMADUNI
Просмотров 687 часов назад
#tamashalautamaduni#wizarayamichezo#songea
DKT TULIA ATAKA VIJANA KUPEWA KIPAUMBELE SUALA LA AJIRA NA ELIMU
Просмотров 527 часов назад
DKT TULIA ATAKA VIJANA KUPEWA KIPAUMBELE SUALA LA AJIRA NA ELIMU
"MMEKUJA KUTUPONYA MAUMIVU" CHANGAMOTO YA MAJI MTAA WA GOMBE YAFIKIA UKOMO NA MAMLAKA YA MAJI MBEYA
Просмотров 1417 часов назад
"MMEKUJA KUTUPONYA MAUMIVU" CHANGAMOTO YA MAJI MTAA WA GOMBE YAFIKIA UKOMO NA MAMLAKA YA MAJI MBEYA
MGOGORO WA WACHIMBAJI NA MUWEKEZAJI HATIMAE MBIONI KUMALIZIKA RC HOMERA ASEMA
Просмотров 2609 часов назад
MGOGORO WA WACHIMBAJI NA MUWEKEZAJI HATIMAE MBIONI KUMALIZIKA RC HOMERA ASEMA
BILIONI 3 KUKAMILISHA MRADI WA BARABARA YA RAMI
Просмотров 889 часов назад
BILIONI 3 KUKAMILISHA MRADI WA BARABARA YA RAMI
WALIMU KUFANYABIASHARA YA BODA MUDA WA MASOMO NDIO SABABU YA MATOKEO MABOVU WILAYA YA NYASA.
Просмотров 28412 часов назад
WALIMU KUFANYABIASHARA YA BODA MUDA WA MASOMO NDIO SABABU YA MATOKEO MABOVU WILAYA YA NYASA.
TANESCO NA MAMLAKA YA MAJI WAPEWA ONYO KUKWAMISHA MIRADI YA MAENDELEO MBEYA
Просмотров 6514 часов назад
TANESCO NA MAMLAKA YA MAJI WAPEWA ONYO KUKWAMISHA MIRADI YA MAENDELEO MBEYA
KATAVI: MAMBO YAMEIVA MWENGE WA UHURU WAANZA KAZI/MAPOKEZI/MRADI WA MAJI.
Просмотров 61414 часов назад
KATAVI: MAMBO YAMEIVA MWENGE WA UHURU WAANZA KAZI/MAPOKEZI/MRADI WA MAJI.
MADEREVA MALORI WALIOSHIKILIWA MPAKANI MBEYA RAIS SAMIA AFUTA ADHABU ZAO ZOTE/TAMKO LATOLEWA
Просмотров 46914 часов назад
MADEREVA MALORI WALIOSHIKILIWA MPAKANI MBEYA RAIS SAMIA AFUTA ADHABU ZAO ZOTE/TAMKO LATOLEWA
RATIBA KAMILI YATOLEWA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2024 KATAVI.
Просмотров 32319 часов назад
RATIBA KAMILI YATOLEWA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2024 KATAVI.
BARAZA YA ARDHI YA KATA HAYARUHUSIWI KUTOA HUKUMU.
Просмотров 14719 часов назад
BARAZA YA ARDHI YA KATA HAYARUHUSIWI KUTOA HUKUMU.
ZAIDI YA WATU 1000 WAACHA KULA CHAKULA MIGAHAWANI HATIMAE MAISHA KAMA WAZUNGU
Просмотров 23521 час назад
ZAIDI YA WATU 1000 WAACHA KULA CHAKULA MIGAHAWANI HATIMAE MAISHA KAMA WAZUNGU
RC HOMERA AWALILIA WATOTO WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI ILIYOUA 12 MBEYA, ATOA MAAGIZO
Просмотров 1,4 тыс.21 час назад
RC HOMERA AWALILIA WATOTO WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI ILIYOUA 12 MBEYA, ATOA MAAGIZO
MAJERUHI WA AJALI ILIYOUA 12 MBEYA WAELEZA HALI MBAYA ILIVYOKUWA.
Просмотров 2,1 тыс.21 час назад
MAJERUHI WA AJALI ILIYOUA 12 MBEYA WAELEZA HALI MBAYA ILIVYOKUWA.
AJALI ILIYOUA 12 MBEYA JESHI LA POLISI LATOA TAMKO JUU YA CHANZO CHA AJALI
Просмотров 3 тыс.21 час назад
AJALI ILIYOUA 12 MBEYA JESHI LA POLISI LATOA TAMKO JUU YA CHANZO CHA AJALI
SIMANZI MBEYA AJALI YAUA WATU 12 WAKIWEMO WATOTO WAWILI RC HOMERA ATOA TAMKO ENEO LA TUKIO
Просмотров 26 тыс.21 час назад
SIMANZI MBEYA AJALI YAUA WATU 12 WAKIWEMO WATOTO WAWILI RC HOMERA ATOA TAMKO ENEO LA TUKIO
MAANDALIZI YA TAMASHA LA UTAMADUNI RUVUMA/RAIS SAMIA MGENI RASMI.
Просмотров 156День назад
MAANDALIZI YA TAMASHA LA UTAMADUNI RUVUMA/RAIS SAMIA MGENI RASMI.
MGANGA ALIYESEMA UKIFANYA MAPENZI ZIWA NYASA HAUPATI UKIMWI AKAMATWA.
Просмотров 208День назад
MGANGA ALIYESEMA UKIFANYA MAPENZI ZIWA NYASA HAUPATI UKIMWI AKAMATWA.
VIONGOZI WATAKIWA KUSIMAMIA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WALIMU
Просмотров 84День назад
VIONGOZI WATAKIWA KUSIMAMIA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WALIMU

Комментарии

  • @user-xp6kc1mx2i
    @user-xp6kc1mx2i День назад

    Katavi Oyeeeeeee

  • @user-xp6kc1mx2i
    @user-xp6kc1mx2i День назад

    Hongera sana Mh mkuu wa mkoa wa katavi Mh Mwanamvua Mrindoko kwa kuukabidhi mwenge wa uhuru salama kwa majirani zetu kigoma,👍👍👍

  • @HidayaMwakilema
    @HidayaMwakilema 2 дня назад

    Waje huku uyole nichangamoto kubwa maji tunamwezi mitatu wengine hadi mia tano

  • @SalumMtenje-f4b
    @SalumMtenje-f4b 3 дня назад

    Kowawaruvuma

  • @SalumMtenje-f4b
    @SalumMtenje-f4b 3 дня назад

    tunduru

  • @AlexJohnasi-wz6bn
    @AlexJohnasi-wz6bn 4 дня назад

    Umekamata izo ila jua vijanawako baazi wanajua wamekula chao naapo wangefanikisha wangekuja kutusumbua umu polini

  • @AlexJohnasi-wz6bn
    @AlexJohnasi-wz6bn 4 дня назад

    Kiongozi ongera sana chunya wamefanya nikichocholo ndiomaana mialo bandia mingi wanakula na viongozi wa madini apa chunya wakipata pesa izo ndio wanakuja kutunyanyasa sisi wanyonge wachimbaji wadogo

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 5 дней назад

    Office ziko wapi kwa sasa

  • @SamsonSimon-x3i
    @SamsonSimon-x3i 6 дней назад

    Serekali ipigemarufuku mafasiyana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 6 дней назад

    VIBAO HANITOSHI..Kilo 500 kwa Derewa 2 NI KIDOGO SAANA..BORA IWE ELF 1000

  • @LucyMushi-i2c
    @LucyMushi-i2c 6 дней назад

    Nashauri madereva wakiwa 2 kwenye basi 1 wasiondoke kwa wakati mmojo watakuwa wamechoka wate, wapange kituo cha kumpokea dereva mwenzake, ili apokee gari akiwa na nguvu.

  • @KilimoMichael
    @KilimoMichael 6 дней назад

    Kosa la malihemu

  • @zaykipini4761
    @zaykipini4761 7 дней назад

    Dah 😢😢😢

  • @medaicetz
    @medaicetz 7 дней назад

    dereva alkua anapita kila mara hyo njia kwahiyo anajua pakoje hata wakiwek bango kubwa kias gan sio kwamba watu hawajui muhim serikali ipunguze mlima huo barabara ilekebishwe hyo S kona haiko vzuri japo madereva ni vizur kuzingatia mwendo mana mwendo wa kasi ni hatari sana

  • @GodfreyMlay-n8p
    @GodfreyMlay-n8p 8 дней назад

    Hili swala la ajali kwa nchi yangu hii mbona ni lakawaida sana tu kwa viongozi wa usalama barabarani na wenye mamlaka ya kukemea na kuchukuwa hatua za kisheria lakini wote hao uwa wanakaa kimya tu sasa basi linapotekea swala la ajali na watu kupoteza maisha hapo ndipo utasikia mikelele kila kona ya nchi hii kila mmoja akiwa mwalimu na kuzichambuwa sheria ukiwasikiliza wanavyo ongea kwa hisia kali unaweza sema awa ndiyo kwanza wamezaliwa na kushushwa ktk taifa hili awa sasa sijui tuwaiteje maana mm at sielewi wataimba mashairi yao yote yasiyo na vina wakati watu tunamachungu kwa kuondokewa na wapendwa wetu wengine kuachwa yatima wajane hii yote ni uzembe na dharau ya viongozi wetu waliyowekwa kwa ajili ya kusimamia sheria nyie Mungu anawaona tena mgekaa kimya ingependeza sana mnapoongea mnazidi kututia hasira na machungu kaeni kimya kwa kifupi tu tuseme yaliyo ya Mungu apewe Mungu na yaliyo ya kaisari apewe kaisari poleni sana watanzania wenzangu mliyopoteza ndugu na jamaa zenu tuko pamoja na msiba huu ni wetu sote Mungu atawalipia na kuwatia nguvu ktk maisha mapya bila wapendwa wenu Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake na liimidiwe milele Ameen

  • @GodfreyMlay-n8p
    @GodfreyMlay-n8p 8 дней назад

    Hili swala la ajali kwa nchi yangu hii mbona ni lakawaida sana tu kwa viongozi wa usalama barabarani na wenye mamlaka ya kukemea na kuchukuwa hatua za kisheria lakini wote hao uwa wanakaa kimya tu sasa basi linapotekea swala la ajali na watu kupoteza maisha hapo ndipo utasikia mikelele kila kona ya nchi hii kila mmoja akiwa mwalimu na kuzichambuwa sheria ukiwasikiliza wanavyo ongea kwa hisia kali unaweza sema awa ndiyo kwanza wamezaliwa na kushushwa ktk taifa hili awa sasa sijui tuwaiteje maana mm at sielewi wataimba mashairi yao yote yasiyo na vina wakati watu tunamachungu kwa kuondokewa na wapendwa wetu wengine kuachwa yatima wajane hii yote ni uzembe na dharau ya viongozi wetu waliyowekwa kwa ajili ya kusimamia sheria nyie Mungu anawaona tena mgekaa kimya ingependeza sana mnapoongea mnazidi kututia hasira na machungu kaeni kimya kwa kifupi tu tuseme yaliyo ya Mungu apewe Mungu na yaliyo ya kaisari apewe kaisari poleni sana watanzania wenzangu mliyopoteza ndugu na jamaa zenu tuko pamoja na msiba huu ni wetu sote Mungu atawalipia na kuwatia nguvu ktk maisha mapya bila wapendwa wenu Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake na liimidiwe milele Ameen

  • @tamumumajoka2641
    @tamumumajoka2641 8 дней назад

    Poleni ndugu na jamaa na marafika walio fikiwa majoz hii😂

  • @AzizaVenansi
    @AzizaVenansi 8 дней назад

    Duh mungu tunusur

  • @neemamwocha2113
    @neemamwocha2113 8 дней назад

    Jamani magari ya mbeya tabora ni balaa.watu wanajazwa kwenye gari kama magunia jamani.alafu magari ni mabovu kweli kweli...

  • @ANNAKISIGA-pc5qs
    @ANNAKISIGA-pc5qs 8 дней назад

    Ajari zikitokea ndo mnajifanya mko siliaz hata mkipigiwa cm hampokei na wala hamji kwneye tukio kwa wakat unakuta trafick wanakula na madereva siku moja mimi nilitoa taarifa ya gar la sumry linaloenda mwanza lakin hakuna msaada nilioupata gari likaondoka hivyo hivyo bovu njia nzima linazima baada ya kufika singida tukatoka std ya mabas mkabala na sher ya lek oili likawwka moto abiri tukatoka ndipo tulipo pata msaada haya mnayasababisha nyie maporis msituchoshe

  • @MariamDeus-u8e
    @MariamDeus-u8e 8 дней назад

    Polen

  • @JULIANADOMMY
    @JULIANADOMMY 8 дней назад

    Sio hivyo tu waweke na traffic barabara ya kutoka mbeya kuja Tabora watu wanajazwa sana kwenye bus af makondakta na madereva hata hawajari kabsa yan kiukweli inasikitisha

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 8 дней назад

    Viongozi hatuko makini hasa traffic police,

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 8 дней назад

    Serikali iwe makini, mfano njia hii ya Tabora Haina vituo vingi vya kukagua mabasi, ndio maana unakuta dereva anaendesha gari anavyotaka yeye,pili mabasi haya yanajaza watu kupita kiwango.

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 8 дней назад

    Inauma Sana poleni nyote

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 8 дней назад

    Mbona huzungumzii kuhusu ufungaji mikanda

  • @LambatyMbalamwezi
    @LambatyMbalamwezi 8 дней назад

    Sio mwendo tu Ata abilia wanajazwa kama magunia Ata Gali inakosa baransi jitahidini kuangalia balabala inayo toka chunya tabora mjionee

    • @JULIANADOMMY
      @JULIANADOMMY 8 дней назад

      Kumbe umeona waweke traffic barabara ya chunya yan ni balaa kwa sababu wanawajaza sana watu kwenye bus mnaambiwa tu meridian nyuma inasikitisha

  • @EmmyFesto
    @EmmyFesto 8 дней назад

    hadi yawakute ndiio muamke haya pole saaana dc

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 8 дней назад

    Jaman kabila tuanze safar tuombe tuombe shetan amefunguwa mdomo kumeza watu wa Mungu 😢😢

  • @MashanaMhoni-v6x
    @MashanaMhoni-v6x 8 дней назад

    Poreni sanawanandugu madureva punguzeni mwend

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 8 дней назад

    Kumbeee wamezimaaa kizibitiii mwendoooo doooo boss kaenda na maji

  • @aishadaba7045
    @aishadaba7045 8 дней назад

    Innalillahi wainna ilayhi rajioun jamian poleni ndugu kwa msiba Allah Tabaraqa Wata'Alla Awatie nguvu na Awajaze subra wafiwa wakti huu wa huzni 😭😭😭

  • @SHABANIMATONGO
    @SHABANIMATONGO 8 дней назад

    Innalli llah wa innalillah rajuunny 🙏🙏🙏🙆

  • @vasccomasoko-xm6ld
    @vasccomasoko-xm6ld 9 дней назад

    😢😢😢 dah Mungu atusaidie

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 дней назад

    Kira kitu uzembe wa dereva mpaka tunawachoka kwani hakunaga sababu zingine katka ajari barabara mvovu uzembe wa dereva

  • @saidsalum423
    @saidsalum423 9 дней назад

    Barabara ina vipimo vya😅ke uwezi tengeneza barabara ipite gari moja

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 9 дней назад

    Eewe Baba wa mbinguni tunaomba huruma yako!!

  • @MasharikiKati
    @MasharikiKati 9 дней назад

    Kushindwa kulimudu vp je alikuwa spindi kwenye mteremko au? mbona maelezo hayajitoshelezi?

  • @glorylyimo74
    @glorylyimo74 9 дней назад

    Mungu akutangulie utimize yote uliyosema,Amina

  • @everlisamsyananah1867
    @everlisamsyananah1867 9 дней назад

    Jamani mngemkaripia dereva apunguze mwendo mwee...

  • @raysalum
    @raysalum 9 дней назад

    Sahivi shetani ameinuka sana twapasa kuomba Kwa nguvu zote jmn .....Damu ya Yesu ifunike sana

  • @HidayaMwakilema
    @HidayaMwakilema 9 дней назад

    Hajali zinatumaliza sana mungu ingilia kati kwa hili

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 9 дней назад

    Tunaomba kabla ya safari askari waingie ndani ya magari watupatie no za simu,kwenye mabasi wanazitoa!!

  • @YussufTabu-ts7lf
    @YussufTabu-ts7lf 9 дней назад

    Duh! Poleni kwa wafiwa, lkini pia Mungu awalaze marehemu mahali pema, ila dereva jamani waache mwendo kasi sehemu zenye kona .

  • @mwaupinailejeyetu
    @mwaupinailejeyetu 9 дней назад

    Pole sana kwa maafaa haya mngu awatangulie wote wana familia mngu awe nao milele amina

  • @mlekwa
    @mlekwa 9 дней назад

    Dah onauma sana😢😢

  • @kenethelius
    @kenethelius 9 дней назад

    Da inauma sana da😢😢😢😢😢

  • @GidionMarijo
    @GidionMarijo 9 дней назад

    Wapumzike kwa amani

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 9 дней назад

    Ni maumivu Sana 😭😭

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 9 дней назад

    Apa amna kusubiri kazi iendelee,huyu anaye sema tumalize kimya2 anacho watetea nn?