Sheikh Munir Al masruri
Sheikh Munir Al masruri
  • Видео 929
  • Просмотров 180 789

Видео

0928-MWANAMKE ANAEZAA KWA OPERATION JE DAMU YAKE HAIWI NIFASI KAMA MWANAMKE ANAE ZAA KAWAIDA?
Просмотров 1192 года назад
0928-MWANAMKE ANAEZAA KWA OPERATION JE DAMU YAKE HAIWI NIFASI KAMA MWANAMKE ANAE ZAA KAWAIDA?
0927-MANII SIO NAJISI JE YAKINITOKA NIJISAFISHE MIMI NA NGUO AU NGUO HAITOHARISHWI NA JE NINAWEZA KU
Просмотров 1782 года назад
0927-MANII SIO NAJISI JE YAKINITOKA NIJISAFISHE MIMI NA NGUO AU NGUO HAITOHARISHWI NA JE NINAWEZA KU
0926-NINI HUKMU YA MWANAMKE KUTOBOA SIKIO ZAIDI YA MARA MOJA AU MARA MBILI?
Просмотров 4472 года назад
0926-NINI HUKMU YA MWANAMKE KUTOBOA SIKIO ZAIDI YA MARA MOJA AU MARA MBILI?
0925-NIMEMUACHA MKE WANGU BAADA YA KUTOFAHAMIANA BAINA YETU LAKINI MAMA YANGU MZAZI HAJARIDHIKA NA H
Просмотров 1902 года назад
0925-NIMEMUACHA MKE WANGU BAADA YA KUTOFAHAMIANA BAINA YETU LAKINI MAMA YANGU MZAZI HAJARIDHIKA NA H
0924 MWANAMKE ANASEMA MUMEWAKE ANAKULA MIRUNGI NA MARA NYINGI KABLA YA KUKUTANA NAE NA YEYE ANAUDHIK
Просмотров 942 года назад
0924 MWANAMKE ANASEMA MUMEWAKE ANAKULA MIRUNGI NA MARA NYINGI KABLA YA KUKUTANA NAE NA YEYE ANAUDHIK
0923-JE NI HAKI MUME KUMWITA MKEWE MAJINA YA WANAWAKE ZAKE NA KUMSIFIA KWA SIFA ZAO?
Просмотров 832 года назад
0923-JE NI HAKI MUME KUMWITA MKEWE MAJINA YA WANAWAKE ZAKE NA KUMSIFIA KWA SIFA ZAO?
0922-MWANAMKE ANASEMA YEYE ANAFANYA KAZI KWENYE COMPANY NA KILA MWEZI WANAFANYA MKUTANO AMBAMO WANAK
Просмотров 642 года назад
0922-MWANAMKE ANASEMA YEYE ANAFANYA KAZI KWENYE COMPANY NA KILA MWEZI WANAFANYA MKUTANO AMBAMO WANAK
0921-NDUGU YANGU MUISLAMU ANAKWENDA KANISANI KUOMBEWA DUA, JE ATAKUA AMESHATOKA KATIKA UISLAM?
Просмотров 542 года назад
0921-NDUGU YANGU MUISLAMU ANAKWENDA KANISANI KUOMBEWA DUA, JE ATAKUA AMESHATOKA KATIKA UISLAM?
0920-MTU AKIWA AMESHAPIGWA JICHO BAYA LA HUSDA NINI AFANYE APATE KUONDOKANA NA HIO HUSDA?
Просмотров 2222 года назад
0920-MTU AKIWA AMESHAPIGWA JICHO BAYA LA HUSDA NINI AFANYE APATE KUONDOKANA NA HIO HUSDA?
0918-JE INAFAA KUSALI JAMAA MBILI WAKATI MMOJA MSIKITI MMOJA LAKINI SALA TAFAUTI?
Просмотров 1222 года назад
0918-JE INAFAA KUSALI JAMAA MBILI WAKATI MMOJA MSIKITI MMOJA LAKINI SALA TAFAUTI?
0917-JE INAFAA KUSALI SALA YA MALIPO BAINA YA SALA YA ALAASIRI NA MAGHARIBI NA PIA BAADA YA WITRI?
Просмотров 582 года назад
0917-JE INAFAA KUSALI SALA YA MALIPO BAINA YA SALA YA ALAASIRI NA MAGHARIBI NA PIA BAADA YA WITRI?
0916-
Просмотров 522 года назад
0916-
0915-
Просмотров 452 года назад
0915-
0914-
Просмотров 612 года назад
0914-
0913-MWANAFUNZI WA KIKE MWENYE HEDHI ANAWEZA KUSOMA QUR-AN KWENYE MTIHANI AU ASISOME APATE SIFURI?
Просмотров 1542 года назад
0913-MWANAFUNZI WA KIKE MWENYE HEDHI ANAWEZA KUSOMA QUR-AN KWENYE MTIHANI AU ASISOME APATE SIFURI?
0912-IWAPO MWANAMKE AMEOLEWA NA ANAMTOTO WA NJE YA NDOA MTOTO AKALELEWA NA BABA WA KAMBO SASAA AMESH
Просмотров 742 года назад
0912-IWAPO MWANAMKE AMEOLEWA NA ANAMTOTO WA NJE YA NDOA MTOTO AKALELEWA NA BABA WA KAMBO SASAA AMESH
0911-BAADHI YA WANAWAKE WENYE MIMBA ZIKIKARIBIA SIKU ZAO ZA KUZAA HUWENDA HOSPITALI NA KUTAKA WAZAL
Просмотров 672 года назад
0911-BAADHI YA WANAWAKE WENYE MIMBA ZIKIKARIBIA SIKU ZAO ZA KUZAA HUWENDA HOSPITALI NA KUTAKA WAZAL
0910-JE INAJUZU KUMWITA MAMA WA MKE WANGU MAMA?
Просмотров 802 года назад
0910-JE INAJUZU KUMWITA MAMA WA MKE WANGU MAMA?
0909-KABURI LA MAMA YETU LIMETUPOTEA SASA TUNAOMBA KILA KABURI JE NISAWA NA JE KUNA ULAZIMA WA MAITI
Просмотров 762 года назад
0909-KABURI LA MAMA YETU LIMETUPOTEA SASA TUNAOMBA KILA KABURI JE NISAWA NA JE KUNA ULAZIMA WA MAITI
0908-JE MWANAMME KUJIBADILISHA MAUMBILE NA KUA M.KE NA KUJIITAJINA LA KINASWARA ANAFAA KUSALIWA?
Просмотров 372 года назад
0908-JE MWANAMME KUJIBADILISHA MAUMBILE NA KUA M.KE NA KUJIITAJINA LA KINASWARA ANAFAA KUSALIWA?
0907-TUMEONA BAADHI YA WATU BAADA YA KUZIKA HUSOMA QUR-AN NA DUA JUU YA MAKABURI.JE HII NI SAWA?
Просмотров 612 года назад
0907-TUMEONA BAADHI YA WATU BAADA YA KUZIKA HUSOMA QUR-AN NA DUA JUU YA MAKABURI.JE HII NI SAWA?
0906-JE INAFAA KISHERIA KUNUNUA NYAMA KWENYE DUKA NA MUUZAJI ANAKULA KITIMOTO NGURUWE?
Просмотров 412 года назад
0906-JE INAFAA KISHERIA KUNUNUA NYAMA KWENYE DUKA NA MUUZAJI ANAKULA KITIMOTO NGURUWE?
0905-
Просмотров 482 года назад
0905-
0904-
Просмотров 432 года назад
0904-
0903-
Просмотров 502 года назад
0903-
0902-
Просмотров 442 года назад
0902-
0901-
Просмотров 382 года назад
0901-
0900-
Просмотров 532 года назад
0900-
0899-
Просмотров 342 года назад
0899-

Комментарии

  • @user-kr1yo4eq3j
    @user-kr1yo4eq3j 6 часов назад

    Asa apo kweny kuka bil kuingililian nd mtihn shekh mke ukishajipmb mume anaeez kuingia hamasa

  • @user-qv7gl1ph9t
    @user-qv7gl1ph9t 3 дня назад

    Je yafaa mume kuongeza mke wa pili ambaye anazini name mda mrefu ilhali mke wake hajampa mahari yake na masrufu ya nyumbani ni ya kishida shida na mume huyo anapenda kuoa kila aina ya wanawake na nimzinifu kwa juu mke wake akiyashudia manyanyaso kila kukicha vipi ndoa ya hao wazinifu wawili ni haki kwawalichokifanya

  • @FauziaFarah-h3i
    @FauziaFarah-h3i 8 дней назад

    Asalam alykum mwalimu mie nipo eda lakin sikai nyumba alie niweka kwasababu pale ni nyumba ya kupanga na hakuna msaada nikachukuliwa ndugu yang he ni vibaya,.

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr 8 дней назад

    Asante Kwa kutujuza ukweli ❤

  • @mdurrani223
    @mdurrani223 Месяц назад

    ruclips.net/user/livec-cdkzQwFT0?si=l5dTYLKGScFVHbJ4

  • @NadhiraNa-vm5hs
    @NadhiraNa-vm5hs 2 месяца назад

    Musiseme zambi mulio Fanya we tubu yu

  • @NadhiraNa-vm5hs
    @NadhiraNa-vm5hs 2 месяца назад

    Allah tusamehe wajawake

  • @khadijaabdul5029
    @khadijaabdul5029 2 месяца назад

    Je anaruhusiwa kumuhudumia

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 4 месяца назад

    Naaam sheikh wetu

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 4 месяца назад

    Alhamdulillah

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 4 месяца назад

    Naaam sheykh

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 4 месяца назад

    Masha allah

  • @SUZANASUZANA-ku3jk
    @SUZANASUZANA-ku3jk 4 месяца назад

    Mashallah shukran ubarikiwe

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 5 месяцев назад

    Imepokewa pia kuwa Abuu Maalik Al-Ash'ariyy alisema: "Nilimuuliza baba yangu, 'Ee baba yangu, uliswali nyuma ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na nyuma ya Abuu Bakr, 'Umar, 'Uthmaan na 'Aliy (Radhwiya Allaahu 'anhum ajma'iyn). Je, walikuwa wakisoma Qunuwt katika Swalaah ya Alfajiri?' Akajibu, Ee mwanangu, hili ni jambo jipya lililozushwa,'" [Imesimuliwa na wapokezi wote (watano) isipokuwa Abu Daawuwd].

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl 5 месяцев назад

    Maa shaa Allah ❤ ingelikuwa mawahabii washasema haifai kuswali nyuma ya maibadhii ,wallah maibadhi ni madhehebu yenye upendo na umoja wa waislamu hakuna madhehebu nyengine inayojenga waislamu kama maibadhi ❤

  • @user-oq6hb9hh2b
    @user-oq6hb9hh2b 6 месяцев назад

    Saa ngapi saa kumi usiku tu au saa kumi na Moja y asubuhi

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z 6 месяцев назад

    Jazakhaheir Khairan 🙏

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z 6 месяцев назад

    Jazakhaheir Khairan 🙏

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 7 месяцев назад

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakat sheikh Munir tunaomba sira za MITUME PLEASE

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 7 месяцев назад

    Jazakallah lkheiry shukran Sheikh munir tunakukubal sana ❤❤

  • @MSalem786
    @MSalem786 8 месяцев назад

    MashAllah hikma kubwa na neema ya imani yetu unahisi kwenye moyo

  • @mbwanamwalimu402
    @mbwanamwalimu402 9 месяцев назад

    Jee baba wakambo anaweza kuwa walii wake??

  • @a.856
    @a.856 9 месяцев назад

    Jazakallah khayran

  • @sharonpaur9640
    @sharonpaur9640 10 месяцев назад

    Bhas mbona haya hamfundishi hadharan misikitini nbhas hapa duniani hakuna ndoa maana uzinifu umekua mwingi sana

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw 10 месяцев назад

    Shukran shekh

  • @zushymohaa
    @zushymohaa 11 месяцев назад

    Mashallah

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 11 месяцев назад

    SHEIKH MUNIR NAOMBA NO YAKO PLEASE

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 11 месяцев назад

    JAZAKALLAH LKHEIRY SHUKRAN ❤

  • @ummyayman9449
    @ummyayman9449 Год назад

    Na nini hukmu ya mimi muuza keki za birthday japo mimi mwenyewe sifanyi?

  • @ahmedalkiyum7592
    @ahmedalkiyum7592 Год назад

    Kiufupi tumwazinie tu kwavile si mbayaa kusikia neno la Mungu

  • @shemsamasroor480
    @shemsamasroor480 Год назад

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Jazak Llah khair Sheikh nimepata majibu yamenihusu kwa hali yangu.

  • @fatumaally2068
    @fatumaally2068 Год назад

    Maasha Allah sheikh. Shukran jaziilan

  • @radjabundikumana5689
    @radjabundikumana5689 Год назад

    Vipi kuusu uliyo zaa naye mtoto afu ukamuowa?

  • @tasmiahasani2699
    @tasmiahasani2699 Год назад

    Asalam ghalaikum mm nina siku ya 11 bado damu inatoka kidogo na maumivu kama ya hedhi na siku zangu kawaidani 5 nini hukumu yake je naweza kuswali au nijanyaje

  • @أمطارقالبحرية
    @أمطارقالبحرية Год назад

    بارك الله فيك يا شيخنا

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 Год назад

    Mmh ,wavurugaji nyie

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 Год назад

      .hawa nao kweli ni mtihani mtu Bado mkewe VIPI uwe umezini tena

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 Год назад

    Shukran ❤

  • @atkaali-mz5st
    @atkaali-mz5st Год назад

    Je sheikh Inafaa kutumia mafuta eg perfume yenye alcohol au Moja kati ya branch za alcohol ?

  • @omarkhamis2320
    @omarkhamis2320 Год назад

    Sual je imethibit kutok kwa mtume jamb hilo ? usitupe rai yako

  • @sundrusjuma3470
    @sundrusjuma3470 Год назад

    Je ukiwa na laki Moja ikamaliza mwaka unaweza kutoka zaka nayenyewe unagawa kwa arobaini?

  • @mammpiko9801
    @mammpiko9801 Год назад

    Naomba unijibu shekhe Niko njia panda je kumuacha make na ukiwa umelewa talaka inaswikhi au ata bangi ni miongon mwa kilevi piy talaka inasihi

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Год назад

    hadithi 298 ktjk sahihi musili ukatafute badae uilete hiyo iliyofutwa

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Год назад

    fatwa umeripua

  • @khadijaaliomar3376
    @khadijaaliomar3376 Год назад

    Jee! Sheikh inafaa mwanamke alietoka eda kuolewa na kaka yake marehemu? Iwapo watakubaliana? Sheikh tafadhal

  • @amoole7saaas960
    @amoole7saaas960 Год назад

    kama upo mbali umepigia simu baba yako ukamwambia unataka kuolewa akampa idhini bos wako inafa

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Год назад

    Shukran

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 Год назад

    Mashallah tunapata kustafidi Allah akulinde nafitnazadunia tuzidi kunufaika sheikh munir

  • @sadikfarhansadik6096
    @sadikfarhansadik6096 Год назад

    Chamsingi ni kusoma na kuyajali mawazo ya wanazuoni na sio kutoa fatwa zisizoeleweka

  • @saidaomar6084
    @saidaomar6084 Год назад

    Shukran

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Mashallah elimu nzuri sana hii tunaipata hapa