- Видео 929
- Просмотров 180 789
Sheikh Munir Al masruri
Добавлен 13 сен 2018
0919-NINI HUKMU YA MTOTO WA KIKE ALIEPOSWA LAKINI WAZEE HAWAJAKUBALI NA MTOTO AKACHUKUA UAMUZI WA KW
0919-NINI HUKMU YA MTOTO WA KIKE ALIEPOSWA LAKINI WAZEE HAWAJAKUBALI NA MTOTO AKACHUKUA UAMUZI WA KW
Просмотров: 234
Видео
0928-MWANAMKE ANAEZAA KWA OPERATION JE DAMU YAKE HAIWI NIFASI KAMA MWANAMKE ANAE ZAA KAWAIDA?
Просмотров 1192 года назад
0928-MWANAMKE ANAEZAA KWA OPERATION JE DAMU YAKE HAIWI NIFASI KAMA MWANAMKE ANAE ZAA KAWAIDA?
0927-MANII SIO NAJISI JE YAKINITOKA NIJISAFISHE MIMI NA NGUO AU NGUO HAITOHARISHWI NA JE NINAWEZA KU
Просмотров 1782 года назад
0927-MANII SIO NAJISI JE YAKINITOKA NIJISAFISHE MIMI NA NGUO AU NGUO HAITOHARISHWI NA JE NINAWEZA KU
0926-NINI HUKMU YA MWANAMKE KUTOBOA SIKIO ZAIDI YA MARA MOJA AU MARA MBILI?
Просмотров 4472 года назад
0926-NINI HUKMU YA MWANAMKE KUTOBOA SIKIO ZAIDI YA MARA MOJA AU MARA MBILI?
0925-NIMEMUACHA MKE WANGU BAADA YA KUTOFAHAMIANA BAINA YETU LAKINI MAMA YANGU MZAZI HAJARIDHIKA NA H
Просмотров 1902 года назад
0925-NIMEMUACHA MKE WANGU BAADA YA KUTOFAHAMIANA BAINA YETU LAKINI MAMA YANGU MZAZI HAJARIDHIKA NA H
0924 MWANAMKE ANASEMA MUMEWAKE ANAKULA MIRUNGI NA MARA NYINGI KABLA YA KUKUTANA NAE NA YEYE ANAUDHIK
Просмотров 942 года назад
0924 MWANAMKE ANASEMA MUMEWAKE ANAKULA MIRUNGI NA MARA NYINGI KABLA YA KUKUTANA NAE NA YEYE ANAUDHIK
0923-JE NI HAKI MUME KUMWITA MKEWE MAJINA YA WANAWAKE ZAKE NA KUMSIFIA KWA SIFA ZAO?
Просмотров 832 года назад
0923-JE NI HAKI MUME KUMWITA MKEWE MAJINA YA WANAWAKE ZAKE NA KUMSIFIA KWA SIFA ZAO?
0922-MWANAMKE ANASEMA YEYE ANAFANYA KAZI KWENYE COMPANY NA KILA MWEZI WANAFANYA MKUTANO AMBAMO WANAK
Просмотров 642 года назад
0922-MWANAMKE ANASEMA YEYE ANAFANYA KAZI KWENYE COMPANY NA KILA MWEZI WANAFANYA MKUTANO AMBAMO WANAK
0921-NDUGU YANGU MUISLAMU ANAKWENDA KANISANI KUOMBEWA DUA, JE ATAKUA AMESHATOKA KATIKA UISLAM?
Просмотров 542 года назад
0921-NDUGU YANGU MUISLAMU ANAKWENDA KANISANI KUOMBEWA DUA, JE ATAKUA AMESHATOKA KATIKA UISLAM?
0920-MTU AKIWA AMESHAPIGWA JICHO BAYA LA HUSDA NINI AFANYE APATE KUONDOKANA NA HIO HUSDA?
Просмотров 2222 года назад
0920-MTU AKIWA AMESHAPIGWA JICHO BAYA LA HUSDA NINI AFANYE APATE KUONDOKANA NA HIO HUSDA?
0918-JE INAFAA KUSALI JAMAA MBILI WAKATI MMOJA MSIKITI MMOJA LAKINI SALA TAFAUTI?
Просмотров 1222 года назад
0918-JE INAFAA KUSALI JAMAA MBILI WAKATI MMOJA MSIKITI MMOJA LAKINI SALA TAFAUTI?
0917-JE INAFAA KUSALI SALA YA MALIPO BAINA YA SALA YA ALAASIRI NA MAGHARIBI NA PIA BAADA YA WITRI?
Просмотров 582 года назад
0917-JE INAFAA KUSALI SALA YA MALIPO BAINA YA SALA YA ALAASIRI NA MAGHARIBI NA PIA BAADA YA WITRI?
0913-MWANAFUNZI WA KIKE MWENYE HEDHI ANAWEZA KUSOMA QUR-AN KWENYE MTIHANI AU ASISOME APATE SIFURI?
Просмотров 1542 года назад
0913-MWANAFUNZI WA KIKE MWENYE HEDHI ANAWEZA KUSOMA QUR-AN KWENYE MTIHANI AU ASISOME APATE SIFURI?
0912-IWAPO MWANAMKE AMEOLEWA NA ANAMTOTO WA NJE YA NDOA MTOTO AKALELEWA NA BABA WA KAMBO SASAA AMESH
Просмотров 742 года назад
0912-IWAPO MWANAMKE AMEOLEWA NA ANAMTOTO WA NJE YA NDOA MTOTO AKALELEWA NA BABA WA KAMBO SASAA AMESH
0911-BAADHI YA WANAWAKE WENYE MIMBA ZIKIKARIBIA SIKU ZAO ZA KUZAA HUWENDA HOSPITALI NA KUTAKA WAZAL
Просмотров 672 года назад
0911-BAADHI YA WANAWAKE WENYE MIMBA ZIKIKARIBIA SIKU ZAO ZA KUZAA HUWENDA HOSPITALI NA KUTAKA WAZAL
0910-JE INAJUZU KUMWITA MAMA WA MKE WANGU MAMA?
Просмотров 802 года назад
0910-JE INAJUZU KUMWITA MAMA WA MKE WANGU MAMA?
0909-KABURI LA MAMA YETU LIMETUPOTEA SASA TUNAOMBA KILA KABURI JE NISAWA NA JE KUNA ULAZIMA WA MAITI
Просмотров 762 года назад
0909-KABURI LA MAMA YETU LIMETUPOTEA SASA TUNAOMBA KILA KABURI JE NISAWA NA JE KUNA ULAZIMA WA MAITI
0908-JE MWANAMME KUJIBADILISHA MAUMBILE NA KUA M.KE NA KUJIITAJINA LA KINASWARA ANAFAA KUSALIWA?
Просмотров 372 года назад
0908-JE MWANAMME KUJIBADILISHA MAUMBILE NA KUA M.KE NA KUJIITAJINA LA KINASWARA ANAFAA KUSALIWA?
0907-TUMEONA BAADHI YA WATU BAADA YA KUZIKA HUSOMA QUR-AN NA DUA JUU YA MAKABURI.JE HII NI SAWA?
Просмотров 612 года назад
0907-TUMEONA BAADHI YA WATU BAADA YA KUZIKA HUSOMA QUR-AN NA DUA JUU YA MAKABURI.JE HII NI SAWA?
0906-JE INAFAA KISHERIA KUNUNUA NYAMA KWENYE DUKA NA MUUZAJI ANAKULA KITIMOTO NGURUWE?
Просмотров 412 года назад
0906-JE INAFAA KISHERIA KUNUNUA NYAMA KWENYE DUKA NA MUUZAJI ANAKULA KITIMOTO NGURUWE?
Asa apo kweny kuka bil kuingililian nd mtihn shekh mke ukishajipmb mume anaeez kuingia hamasa
Je yafaa mume kuongeza mke wa pili ambaye anazini name mda mrefu ilhali mke wake hajampa mahari yake na masrufu ya nyumbani ni ya kishida shida na mume huyo anapenda kuoa kila aina ya wanawake na nimzinifu kwa juu mke wake akiyashudia manyanyaso kila kukicha vipi ndoa ya hao wazinifu wawili ni haki kwawalichokifanya
Asalam alykum mwalimu mie nipo eda lakin sikai nyumba alie niweka kwasababu pale ni nyumba ya kupanga na hakuna msaada nikachukuliwa ndugu yang he ni vibaya,.
Asante Kwa kutujuza ukweli ❤
ruclips.net/user/livec-cdkzQwFT0?si=l5dTYLKGScFVHbJ4
Musiseme zambi mulio Fanya we tubu yu
Allah tusamehe wajawake
Je anaruhusiwa kumuhudumia
Naaam sheikh wetu
Alhamdulillah
Naaam sheykh
Masha allah
Mashallah shukran ubarikiwe
Imepokewa pia kuwa Abuu Maalik Al-Ash'ariyy alisema: "Nilimuuliza baba yangu, 'Ee baba yangu, uliswali nyuma ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na nyuma ya Abuu Bakr, 'Umar, 'Uthmaan na 'Aliy (Radhwiya Allaahu 'anhum ajma'iyn). Je, walikuwa wakisoma Qunuwt katika Swalaah ya Alfajiri?' Akajibu, Ee mwanangu, hili ni jambo jipya lililozushwa,'" [Imesimuliwa na wapokezi wote (watano) isipokuwa Abu Daawuwd].
Maa shaa Allah ❤ ingelikuwa mawahabii washasema haifai kuswali nyuma ya maibadhii ,wallah maibadhi ni madhehebu yenye upendo na umoja wa waislamu hakuna madhehebu nyengine inayojenga waislamu kama maibadhi ❤
Saa ngapi saa kumi usiku tu au saa kumi na Moja y asubuhi
Jazakhaheir Khairan 🙏
Jazakhaheir Khairan 🙏
Assalam aleikum warahmatullah wabarakat sheikh Munir tunaomba sira za MITUME PLEASE
Jazakallah lkheiry shukran Sheikh munir tunakukubal sana ❤❤
MashAllah hikma kubwa na neema ya imani yetu unahisi kwenye moyo
Jee baba wakambo anaweza kuwa walii wake??
Jazakallah khayran
Bhas mbona haya hamfundishi hadharan misikitini nbhas hapa duniani hakuna ndoa maana uzinifu umekua mwingi sana
Shukran shekh
Mashallah
SHEIKH MUNIR NAOMBA NO YAKO PLEASE
JAZAKALLAH LKHEIRY SHUKRAN ❤
Na nini hukmu ya mimi muuza keki za birthday japo mimi mwenyewe sifanyi?
Kiufupi tumwazinie tu kwavile si mbayaa kusikia neno la Mungu
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Jazak Llah khair Sheikh nimepata majibu yamenihusu kwa hali yangu.
Maasha Allah sheikh. Shukran jaziilan
Vipi kuusu uliyo zaa naye mtoto afu ukamuowa?
Asalam ghalaikum mm nina siku ya 11 bado damu inatoka kidogo na maumivu kama ya hedhi na siku zangu kawaidani 5 nini hukumu yake je naweza kuswali au nijanyaje
بارك الله فيك يا شيخنا
Mmh ,wavurugaji nyie
.hawa nao kweli ni mtihani mtu Bado mkewe VIPI uwe umezini tena
Shukran ❤
Je sheikh Inafaa kutumia mafuta eg perfume yenye alcohol au Moja kati ya branch za alcohol ?
Sual je imethibit kutok kwa mtume jamb hilo ? usitupe rai yako
Je ukiwa na laki Moja ikamaliza mwaka unaweza kutoka zaka nayenyewe unagawa kwa arobaini?
Naomba unijibu shekhe Niko njia panda je kumuacha make na ukiwa umelewa talaka inaswikhi au ata bangi ni miongon mwa kilevi piy talaka inasihi
hadithi 298 ktjk sahihi musili ukatafute badae uilete hiyo iliyofutwa
fatwa umeripua
Jee! Sheikh inafaa mwanamke alietoka eda kuolewa na kaka yake marehemu? Iwapo watakubaliana? Sheikh tafadhal
kama upo mbali umepigia simu baba yako ukamwambia unataka kuolewa akampa idhini bos wako inafa
Shukran
Mashallah tunapata kustafidi Allah akulinde nafitnazadunia tuzidi kunufaika sheikh munir
Chamsingi ni kusoma na kuyajali mawazo ya wanazuoni na sio kutoa fatwa zisizoeleweka
Shukran
Mashallah elimu nzuri sana hii tunaipata hapa