Ev. Isaac Deme
Ev. Isaac Deme
  • Видео 53
  • Просмотров 139 644

Видео

YESU ALIKUFA VITABU ZOTE ZIMEKUBALI
Просмотров 1425 месяцев назад
subscribe like shear and comments
WAISLAMU WOTE JIKONI WASIPOKUBALI KIFO CHA YESU(by Dacha)
Просмотров 7095 месяцев назад
ujumbe umefika busia(subscribe like shear and comments
ANSWERING WEAK QUESTIONS OF SHEIKH IBRAHIM (REMEMBER TO SUBSCRIBE THANK YOU ALL FOR WATCHING)
Просмотров 1755 месяцев назад
we any enquiries you can call 254706351839
TAZAMA PASTOR WA S.D.A GC AJUI MAADIKO,UOGO WAKE WAFICHULIWA (PART 2)
Просмотров 6 тыс.6 месяцев назад
TAZAMA PASTOR WA S.D.A GC AJUI MAADIKO,UOGO WAKE WAFICHULIWA (PART 2)
UOGO WA POSTOR WA S.D.A .GC UMEFICHULIWA BY NDACHA (PART 1)
Просмотров 2,9 тыс.6 месяцев назад
UOGO WA POSTOR WA S.D.A .GC UMEFICHULIWA BY NDACHA (PART 1)
WAISLAMU WOTE JIKONI WASIPOKUBALI YESU KAMA MWANA WA MUNGU
Просмотров 3827 месяцев назад
subscribe like shear and support
Waislamu wamefahamu yesu ni mwana wa MUNGU (Bamba kilifi county)
Просмотров 6967 месяцев назад
support number 0706351839 , subscribe like shear
UJUMBE WA MAONYO GROGON DAY 4
Просмотров 1587 месяцев назад
subscribe like shear
NABII ELIA AFUDISHA UOGO (UNYAKUO WA SIRI)
Просмотров 3108 месяцев назад
subscribe like shear and comments
WAKIRISTO WOTE WANAFA KUJUA HI SIRI
Просмотров 1,1 тыс.8 месяцев назад
mambo muhimu ambayo tunafakuelewa
DR.SULE ASHINDWA KUJIMBU MASWALI YA WAKIRISTO KATIKA UKUMBI WA SABASABA
Просмотров 9748 месяцев назад
DR.SULE ASHINDWA KUJIMBU MASWALI YA WAKIRISTO KATIKA UKUMBI WA SABASABA
PRO MAZINGE ASEMA KWELI MUHAMMAD ALISIMISHWA SHETANI (DR.SULE Vs DANCHA)PTA UKUMBI WA SABASABA
Просмотров 13 тыс.8 месяцев назад
PRO MAZINGE ASEMA KWELI MUHAMMAD ALISIMISHWA SHETANI (DR.SULE Vs DANCHA)PTA UKUMBI WA SABASABA
Kesha la hasubui (kufanya mampezi Ya MUNGU)
Просмотров 1768 месяцев назад
Kesha la hasubui (kufanya mampezi Ya MUNGU)
DR.SULE Vs DANCHA (KUMBE QURAN SI MOJA)
Просмотров 17 тыс.8 месяцев назад
DR.SULE Vs DANCHA (KUMBE QURAN SI MOJA)
AMUKA NA BWANA /KESHA LA HASUBUI
Просмотров 908 месяцев назад
AMUKA NA BWANA /KESHA LA HASUBUI
KESHA LA HASUBUI / 🌄🌅 MORNING PRAYER 🙏🙏
Просмотров 978 месяцев назад
KESHA LA HASUBUI / 🌄🌅 MORNING PRAYER 🙏🙏
Medo-persia Embu day 2(history of kingdom s)
Просмотров 1719 месяцев назад
Medo-persia Embu day 2(history of kingdom s)
Let's Teach Our Children The word of God
Просмотров 589 месяцев назад
Let's Teach Our Children The word of God
SIKILIZA UOGO WA NABI ELIASA
Просмотров 9039 месяцев назад
SIKILIZA UOGO WA NABI ELIASA
ibada za uogo Dani ya makanisa
Просмотров 1889 месяцев назад
ibada za uogo Dani ya makanisa
Uyu Ni mariamu kweli kama vile wa Catholic Wanavyodai
Просмотров 2579 месяцев назад
Uyu Ni mariamu kweli kama vile wa Catholic Wanavyodai
musikize huyu mchugaji anasema Yusuf ajui Amri #isaac #Deme #subscribe
Просмотров 2229 месяцев назад
musikize huyu mchugaji anasema Yusuf ajui Amri #isaac #Deme #subscribe
welcome to my new channel (subscribe like and share
Просмотров 879 месяцев назад
welcome to my new channel (subscribe like and share
Nini maana Ya kufuata yesu (are you following Jesus
Просмотров 649 месяцев назад
Nini maana Ya kufuata yesu (are you following Jesus
siasa Dani Ya kanisa (Babu Owino Kalonzo Gaucho Dani Ya kanisa la s.d.a)
Просмотров 4810 месяцев назад
siasa Dani Ya kanisa (Babu Owino Kalonzo Gaucho Dani Ya kanisa la s.d.a)
watu wanataka mimbaraka Ya MUNGU lakini hawataki kufuata sheria za MUNGU
Просмотров 3010 месяцев назад
watu wanataka mimbaraka Ya MUNGU lakini hawataki kufuata sheria za MUNGU
ujumbe Wa Afia unaedelea Eneo la Katani
Просмотров 7110 месяцев назад
ujumbe Wa Afia unaedelea Eneo la Katani
SEE HOW ACTIVATED CHARCOAL IS MADE
Просмотров 11310 месяцев назад
SEE HOW ACTIVATED CHARCOAL IS MADE
why Isreal is in fighting with Palestine
Просмотров 10010 месяцев назад
why Isreal is in fighting with Palestine

Комментарии

  • @SafariHakizamana
    @SafariHakizamana 5 часов назад

    Mungu akupe maisha même mwalimu ndanca unawaa mbia Ila wana maskio magumu

  • @ZachariaOino
    @ZachariaOino 3 дня назад

    Pastor ndacha tell them the truth na wambandilike hili wache kwa yesu kristo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 4 дня назад

    Allah ni kiumbe cha ujinini..maana yake mwenye hekima anaona kabisaaa huyu ni Shetani!

  • @andolinasikitu9200
    @andolinasikitu9200 27 дней назад

    Weislam dini ya wa chawi Ndomana wa sheikh wengi ni wa gaga 😂😂😂

  • @AnithaMuvurwaneza
    @AnithaMuvurwaneza Месяц назад

    Iyo titre yako haina masna Ndaca ni docter anajuwa Maamdiko na corowani koma na ukomaae

  • @MullasKhamis
    @MullasKhamis 2 месяца назад

    Dalodi

  • @MullasKhamis
    @MullasKhamis 2 месяца назад

    Dalodi 1:59 2:06

  • @MaryannWainaina-ud1de
    @MaryannWainaina-ud1de 2 месяца назад

    Kitu inanishida ni mbn huwa Muslim hajibu maswali unarudi tu zile ambazo zimesomwa yesu ndiye jia ya uzima

  • @STEPHENAUNGO
    @STEPHENAUNGO 3 месяца назад

    Allah si Mungu wa Kweli nimejifunza mengi leo

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895 3 месяца назад

    Endelea kuabudu dini mkimkataa yesu. Ole wenu!

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 3 месяца назад

    Ndacha anapindisha Qur an makusudi ili afikie malengo yake KAFIRI NGURUWE HUYU

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 3 месяца назад

    Wakristo hawaelewi wanamshangilia mpumbavu mwenzao bila UJUZI yaani unashangilia kafiri mwenzako anayehubiri ukafiri ina lilah waina ilaih rajiun

  • @Aggreymbugano
    @Aggreymbugano 3 месяца назад

    UUNGU WA YESU. >>> Kwanini Mungu anajitaja katika nafsi za wingi,"Sisi","Tumfanye" katika uumbaji? Hii ni kwa mjibu wa Biblia na Quruan. Quruan 51:47 - Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua 51:48 - Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!. Biblia. Mwanzo 1:1 Hapo mwanzo Mungu(Elohim- liko katika wingi badala ya Eli) aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Ndio,mwenyezi Mungu ni mmoja,hana mshirika,hakuumbwa,wala kuzaa. Quruan. 40:16 - Siku watakayo dhihiri wao. Hapana kitacho fichikana chochote chao kwa Mwenyezi Mungu. Ufalme ni wa nani leo? Ni wa Mwenyezi Mungu Mmoja Mtenda nguvu. Biblia. Kumbukumbu la Torati 6:4 Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. >>>Ndg msomaji kama Huyu Mungu ni mmoja inakuaje,anajitaja katika wingi kwenye uumbaji?? Sisi,tumfanye,tukafanye,tushuke? Na kama alishrikiana na malaika katika uumbaji,basi nao ni Mungu,Loh. >>>Fikria mfano wa wana ndoa , Quruan 75:38 - Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo :39 - Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke. Mtu mme+Mtu mke =Mwili mmoja. Yaani nafsi mbili zinaunganishwa kuwa mwili mmoja,na zinatenda kazi tofauti lakini ni moja(one). Mathayo 19:4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke, Mathayo 19:5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja? >>>Ukiwaona wanandoa ni wawili kwa mjibu wa Biblia na Quruan, ila katika utendaji ni mmoja, kama unawaona wanandoa kwenye utendaji ni mbili,basi kuna shida sehemu!! Ukielewa somo hili la wanandoa,ni rahisi kuelewa ilo la uungu wa Yesu. >>>Wengi wanashindwa kuuelewa asili(nature) ya uungu wa Yesu,hivyo wanamuelezea akiwa katika mission(ukombozi wa mwanadamu) hapo ndipo huchanganyikiwa. >>>>Sasa basi,tunalo jambo tumuulize nani?? Quruan 10:94 - Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka. >>>Basi kwa kuwa watu wana shaka ,tukiulize kitabu kilichoteremshwa zamani. Nature ya Yesu. Wafilipi 2:5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; Wafilipi 2:6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; Wafilipi 2:7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; Wafilipi 2:8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. >>> Yesu nature yake ni Mungu,kumkomboa mwanadamu anaacha uungu,Mungu hafi,anachukua mwili,na kushuka kwetu,aliuacha uungu kwa hiari yake mwenyewe, toka siku ile alipouacha akawa mwana ,kulingana na Council of peace yake na Baba. Zaburi 2:7 Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, <br>Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa. >>> Kuzaliwa kwa Yesu kama mwana wa Mungu,Mwana wa pekee(monogenes) ,sio kwa kuzaliwa bali ni makubaliano kwa ajili ya mission,hata isack aliitwa mwana wa pekee although ismail alikuwepo!!!. Isaya 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, <br>Tumepewa mtoto mwanamume; <br>Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; <br>Naye ataitwa jina lake, <br>Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, <br>Baba wa milele, Mfalme wa amani. Tito 2:10 wasiwe waibaji; bali wauonyeshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mwokozi wetu Mungu katika mambo yote. Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Karibu sehemu ya pili,kama una swali usisite kutuandikia.

  • @Aggreymbugano
    @Aggreymbugano 3 месяца назад

    Ndacha anakurupukaga tu mengine1

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis 3 месяца назад

    Mtumishi Ndacha,MUNGU muumba akubariki na kukuzidishia,uendelee kuokowa walimwengu🙏🙏🙏

  • @amimo3904
    @amimo3904 4 месяца назад

    alishindwa kujibu swali la ndacha

  • @reubenngonyo1308
    @reubenngonyo1308 4 месяца назад

    Kua muislamu ni hasara sana

  • @dickkagari8952
    @dickkagari8952 4 месяца назад

    Kwa kweli umenifanya nikajua kweli Kuna Mungu wa kweli naye ni Yesu kristo

  • @MakuruRenatus
    @MakuruRenatus 4 месяца назад

    Acheni porojo matendo yenu mema yatawavutia watu kwake... Soma neno tenda neno kama so hivyo haina haja ya kubishan af ni kaz ya watoto kubishana

  • @issasekao9088
    @issasekao9088 4 месяца назад

    Ndacha anajua ukweli sema anapotosha wakristo Kwa maslahi yake uislamu ndio njia ya kweli

  • @JafethOdhiambo
    @JafethOdhiambo 4 месяца назад

    Ubarikiwe mtumishi ndacha

  • @leonardyona1462
    @leonardyona1462 4 месяца назад

    Pastor Ndacha nakufananisha na Apollo enzi za mitume alivyokuwa anawanyoosha...

  • @user-zp5oo9gf1r
    @user-zp5oo9gf1r 4 месяца назад

    Ndacha acha kubishana na watu wasioelewekaa

  • @user-fe8ju5vd9z
    @user-fe8ju5vd9z 4 месяца назад

    Mze wangu akika wewe uko na neno la kweli ubarikiwe tunakufata tokeya congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 yesu ndiye jia ya kweli

  • @SAMWELWASASA
    @SAMWELWASASA 5 месяцев назад

    Ndacha uyomnjungaji n mkora aelewi

  • @augustinomathan4385
    @augustinomathan4385 5 месяцев назад

    Ndacha endelea kufafanua neno la Mungu vyuo vya biblia vinapotosha maandiko mengi

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 5 месяцев назад

    Kwakweli uislamu umekeisha kabisa. Waislamu wengi wanaingia katika ukristo baada ya kuijua ukweli. Ingia kwa channel "Busted Islam" ukashuhudia mwenyewe

  • @user-qk8ny9bx3s
    @user-qk8ny9bx3s 5 месяцев назад

    Alhamdullilah for being a muslim kwa sababu ukristo ni kukanyagana tu

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 5 месяцев назад

    Nenda ukashike udhu uwe msafi kwanza ufahamu utakujia kwa uwezo wake Allah mtukufu

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 5 месяцев назад

    Huna maandiko bali hoja tu muhammad ni kiumbe ambaye kila sekunde anombewa kheri kwa Allah nawe ndacha unajulikana kwa hoja za kumpiga ugharikike mjinga wewe

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 5 месяцев назад

    Mnamo makafiri Ndacha unamo nafasi yako ya juu kabisa na Allah mtukufu ndio anajua mahala pako duniani na akhera kwani umepoteza wengi na huna uwezo wa kuwaongoza tena huna kabisaaa

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 5 месяцев назад

    Hongera sana Mashekh 🎉🎉🎉,, ALLAH azidi kuwaongoza muweze kufunza wakristo ukweli kwa sababu wamepotea

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 5 месяцев назад

    Ndacha Nakuombea Mwenyezi Mungu akujaalie uwe MUISLAMU kabla ufariki🙏🙏🙏🙏🙏Mungu akuongoze uache kudanganya watu kwa kutokuwa na elimu .........

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha9077 5 месяцев назад

    Naombeni mnijbu waliokufa kabla ya masihi kusurubiwa msaraban waliokolewa na Dam ya Nan,(2) wakrsto ni wafuas wa krsto ambaye ni yesu kabla ya yesu kazaliwa au kuja dunian walitumia jna gan au walikuwa wapagan

  • @user-wc7xg1ve9l
    @user-wc7xg1ve9l 5 месяцев назад

    😂😂😂

  • @simeonnyamwaya8407
    @simeonnyamwaya8407 5 месяцев назад

    Amen my brother you give him exactly answer 🙏💯

  • @pastorafande142
    @pastorafande142 5 месяцев назад

    Kwa kweli Ndacha alinifungua macho ❤❤❤, Nampenda sana huyu ndugu yangu

  • @mosotimanwa8232
    @mosotimanwa8232 5 месяцев назад

    Isaac umelamba sakafu

  • @willygwaikana
    @willygwaikana 5 месяцев назад

    Aliyezaliwa na binadamu ana asili ya ubinadamu, kadhalika aliyezaliwa na Mungu ana asili ya uungu. Ubinadamu wa mtoto ameupata toka kwa yeye aliyemzaa, na wala yeye mtoto si baba, bali ametokana na baba. Kadhalika Bwana Yesu yeye uungu wake umetokana na kuzaliwa na Mungu mmoja alie Baba. Kwa hiyo Yesu si Baba bali ametokana na Baba. Na yeyote aliemwona Yesu au kumsikia ni sawa na kwamba amemwona Baba na kumsikia maana Yesu ndiye Mwana ambaye amechukua uwezo wote wa Mungu na tabia kadri ya mapenzi ya Baba kwa mwanawe mpendwa, kama ambavyo mtoto wa kibinadamu anavyochukua tabia na uwezo wa kibinadamu - Waebrania 1:1-6; 2:14; Yohana 5:10-29; 9:24-38; 10:17-39; 17:121-26; Mathayo 3:16,17; 17:1-9 na 2Petro 1:15-18

  • @TheStraightTestimonyMinistry
    @TheStraightTestimonyMinistry 5 месяцев назад

    Amen mtumishi

  • @afolabijoabalaba8522
    @afolabijoabalaba8522 5 месяцев назад

    Those foolish Quran scholars just Ike quoting out of context. They searched for what sweet their religion in the scriptures and quoted it out. How can they say that all prophets in the Bible are Muslim while Islam was founded by Mohammed 630 AD

    • @EvIsaacDeme
      @EvIsaacDeme 5 месяцев назад

      All doctrine of islamu is from devil

  • @JohnjohnMnonjela-br3xl
    @JohnjohnMnonjela-br3xl 5 месяцев назад

    Muslims do not understand even though you tell them...God bless you servant of God

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 5 месяцев назад

    Amen Amen 🙏🏽 May God bless you abundantly 🙏🏽 John 14:6 Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me.

  • @ANDREWKIRUI-vo7wl
    @ANDREWKIRUI-vo7wl 5 месяцев назад

    Ndacha ni pastor mukakamavu kweli,

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f 5 месяцев назад

    Mkamba Lkn Amesoma Kuliko Ww Ndacha Kua Mwanafunzi Mzuri Kwa Ustadh Sasaka

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f 5 месяцев назад

    Ndacha Hana Elimu Mbishi Tuu Makelele Kasome

  • @MombasaKwetu-ft9ky
    @MombasaKwetu-ft9ky 5 месяцев назад

    Ndacha muongope mungu maana unapenda kukufuru mungu akuongoze ishallah Ameen yarabi

  • @HassanMoses-hh2eg
    @HassanMoses-hh2eg 5 месяцев назад

    Paster mujinga ndacha we hawujielewi