Afya yako Uhai wako
Afya yako Uhai wako
  • Видео 330
  • Просмотров 82 356

Видео

Tiba ya kizunguzungu || Kama hakitatibiwa kwa haraka kinaweza leta umauti || Shekh Khamisi Suleiman
Просмотров 414 часов назад
Tiba ya kizunguzungu || Kama hakitatibiwa kwa haraka kinaweza leta umauti || Shekh Khamisi Suleiman
NO2: Makutano yako na Mwenyezi Mungu || Utakutana nae mkiwa wawili tu || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 7День назад
NO2: Makutano yako na Mwenyezi Mungu || Utakutana nae mkiwa wawili tu || Shekh Khamisi Suleimani
Dawa hizi zinatibia mgonjwa yeyote alieshindikana kutibika || Shekh Khamisi Suleimani ||
Просмотров 18День назад
Dawa hizi zinatibia mgonjwa yeyote alieshindikana kutibika || Shekh Khamisi Suleimani ||
Dawa ya Mvuto wa Biashara Pahala Pakazi na Mvuto wa Mwili katika biashara || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 96День назад
Dawa ya Mvuto wa Biashara Pahala Pakazi na Mvuto wa Mwili katika biashara || Shekh Khamisi Suleimani
Dawa madhubuti ya kupandisha nyota, Kurejesha bahati yako iliyofungwa kichawi || Shekh Khamisi Sulei
Просмотров 2314 дней назад
Dawa madhubuti ya kupandisha nyota, Kurejesha bahati yako iliyofungwa kichawi || Shekh Khamisi Sulei
Waliofanikiwa nyota zao ni safi zinanguvu || Safisha nyota yako urudishe bahati yako || Shekh Khamis
Просмотров 821 день назад
Waliofanikiwa nyota zao ni safi zinanguvu || Safisha nyota yako urudishe bahati yako || Shekh Khamis
Utaratibu wa kumtoa jini yeyote mkorofi mwilini mwako || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 221 день назад
Utaratibu wa kumtoa jini yeyote mkorofi mwilini mwako || Shekh Khamisi Suleimani
No1: Makutano yako na mwenyezi Mungu siku ya kiama || Namba zinaongea. Aya zinathibitisha ||
Просмотров 321 день назад
No1: Makutano yako na mwenyezi Mungu siku ya kiama || Namba zinaongea. Aya zinathibitisha ||
Umekua hufanikiwi maishani mwako || Safidha nyota yako urudishe bahati yako || Shekh Khamis Suleiman
Просмотров 328 дней назад
Umekua hufanikiwi maishani mwako || Safidha nyota yako urudishe bahati yako || Shekh Khamis Suleiman
Dawa hii inayeyusha mawe ya figo Inasafisha na kuondosha shida za figo || Shekh Khamisi Suleymani
Просмотров 528 дней назад
Dawa hii inayeyusha mawe ya figo Inasafisha na kuondosha shida za figo || Shekh Khamisi Suleymani
Tazama mtu aliechukuliwa kivuli || Maisha yake yanakua magumu || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 228 дней назад
Tazama mtu aliechukuliwa kivuli || Maisha yake yanakua magumu || Shekh Khamisi Suleimani
Omba usirogwe uchawi wa makaburini || kwa namna hii wachawi ndivyo warogavyo || Shekh Khamisi
Просмотров 628 дней назад
Omba usirogwe uchawi wa makaburini || kwa namna hii wachawi ndivyo warogavyo || Shekh Khamisi
Tibia sukari mwilini kwa kutumia dawa ya MARANDULA MKUTA || Shekh Khamisi Suleymani
Просмотров 5Месяц назад
Tibia sukari mwilini kwa kutumia dawa ya MARANDULA MKUTA || Shekh Khamisi Suleymani
Nani atakae kupandishwa cheo na kupandishwa mshahara mnono? Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 3Месяц назад
Nani atakae kupandishwa cheo na kupandishwa mshahara mnono? Shekh Khamisi Suleimani
Tiba ya tezi dume || Udhaifu wa nguvu na kufika kilele mapena ni tezi dume || Shekh Khamisi Suleiman
Просмотров 2Месяц назад
Tiba ya tezi dume || Udhaifu wa nguvu na kufika kilele mapena ni tezi dume || Shekh Khamisi Suleiman
Kama unasumbuliwa na mapenzi || Mpenzi wako kabadilika kitabia kiboko yake hii || Shekh Hamisi
Просмотров 12Месяц назад
Kama unasumbuliwa na mapenzi || Mpenzi wako kabadilika kitabia kiboko yake hii || Shekh Hamisi
Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke || Jitibie kuepu maumivu katika tendo || Shekh Khamisi
Просмотров 4Месяц назад
Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke || Jitibie kuepu maumivu katika tendo || Shekh Khamisi
Tiba ya uchawi wa nywele unaozalisha maradhi mengi mwilini || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 5Месяц назад
Tiba ya uchawi wa nywele unaozalisha maradhi mengi mwilini || Shekh Khamisi Suleimani
Suluhisho la mikosi maishani mwako hili hapa || Nimefundisha dawa za nuksi na mikosi || Shekh Khamis
Просмотров 2Месяц назад
Suluhisho la mikosi maishani mwako hili hapa || Nimefundisha dawa za nuksi na mikosi || Shekh Khamis
Mwanamke jitambue || Ukipungukiwa na hormone zako za kike dalili ni hizi || Shekh Khamisi Suleymani
Просмотров 4Месяц назад
Mwanamke jitambue || Ukipungukiwa na hormone zako za kike dalili ni hizi || Shekh Khamisi Suleymani
Ndoto ya kuota gari jipya || Au kuota unapanda gari || Au kuota kupata ajali ya gari ||
Просмотров 202 месяца назад
Ndoto ya kuota gari jipya || Au kuota unapanda gari || Au kuota kupata ajali ya gari ||
Ikiwa wewe ni mwanaume unaewahi kufika kileleni mapema na uume kulegea hapohapo || Shekh Khamisi
Просмотров 52 месяца назад
Ikiwa wewe ni mwanaume unaewahi kufika kileleni mapema na uume kulegea hapohapo || Shekh Khamisi
Namna hii ndivyo tunavyo waombea watu || Nikukaribishe uje kuombewa || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 62 месяца назад
Namna hii ndivyo tunavyo waombea watu || Nikukaribishe uje kuombewa || Shekh Khamisi Suleimani
Tiba ya mirija ya uzazi iliyoziba || Mirija yenye vimbe na iliyojikunja || Shekh Khamisi Suleimani
Просмотров 32 месяца назад
Tiba ya mirija ya uzazi iliyoziba || Mirija yenye vimbe na iliyojikunja || Shekh Khamisi Suleimani
Tibia fangasi sehemu za siri || Ondoshamiwasho kujikuna || Shekh Khamisi Suleymani
Просмотров 52 месяца назад
Tibia fangasi sehemu za siri || Ondoshamiwasho kujikuna || Shekh Khamisi Suleymani
Kwa wamama, ukiwa na mfuko wa mayai aina hii huwezi kupata ujauzito jitibie kwanza || Shekh Khamisi
Просмотров 22 месяца назад
Kwa wamama, ukiwa na mfuko wa mayai aina hii huwezi kupata ujauzito jitibie kwanza || Shekh Khamisi
Hii hapa tiba ya kupooza kwa mkono na mguu || Ndani ya mwezi tu mgonjwa kapona || Shekh Khamisi
Просмотров 52 месяца назад
Hii hapa tiba ya kupooza kwa mkono na mguu || Ndani ya mwezi tu mgonjwa kapona || Shekh Khamisi
Mwanamke akiporomosha mimba hutibiwa kwa dawa hizi || Shekh Khamisi suleimani
Просмотров 22 месяца назад
Mwanamke akiporomosha mimba hutibiwa kwa dawa hizi || Shekh Khamisi suleimani
Dawa ya kumuachisha mnywaji pombe, sigara, bangi, na mirungi || Shekh Khamisi Suleiman
Просмотров 82 месяца назад
Dawa ya kumuachisha mnywaji pombe, sigara, bangi, na mirungi || Shekh Khamisi Suleiman

Комментарии

  • @FurahaAugustin
    @FurahaAugustin 21 день назад

    Mimi nimeota Na mgawiya baba yangu pesa dollar 500 za kimarekani sijui ina maanisha nini

    • @FurahaAugustin
      @FurahaAugustin 21 день назад

      Nilienda kijijini kwao kumtafuta Nika mupa hizo pesa na haja ni leya miye nilimuona mwaka 2013 Lakini Nili muota juzi

  • @MophatMwamlima
    @MophatMwamlima Месяц назад

    Kama mama Naye anahitaji mahitaji kwa mtoto

  • @dmshana4242
    @dmshana4242 Месяц назад

    Ukiota umeona kaburi limechimbwa tu na Galina mtu

  • @thumubaraka-ne4uq
    @thumubaraka-ne4uq Месяц назад

    Kuota kma mzazi amekufa

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt 2 месяца назад

    Aslm aliyekuwa mimi mmemuota mama tunachuma mapera na pia namuambia mam mara hii nitakupandisha ndege akafurahi

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x 2 месяца назад

    Ameen mm uwa naota sana wazazi wangu Jana nimeota baba na mama

  • @marymutindi-iy4uh
    @marymutindi-iy4uh 2 месяца назад

    Ukiota unahama inamaanisha nini

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад

    Nipo uarabuni Nilikuwa naumwa na weweseka mauzauza nasikia naniitwa na kaka yangu ambaye yy yupo hai Ila mgonjwa yupo Tanzania🇹🇿 ,Nikawa mtu mwenye kuzidisha ibada na kusoma qur'an siku za mbele ile sauti ikawa imebadilika inasikika sauti ya baba akiniita muasiti kila mala ikanivuluga kiakili zaid nikawa mim nipo na Allah sw , Ila sikuweza kuhuzulia mazishi ya baba, sikuwepo nipo uarabuni japo asaiv alhamdulillah rabbiy a'alamiin, shekhe ndoto ilikuwa inamaana gani

  • @MerlickEduard
    @MerlickEduard 2 месяца назад

    Punguza viarabu uko safi

  • @MerlickEduard
    @MerlickEduard 2 месяца назад

    Tatizo uyu viarabu vingi

  • @abdulrazaqkalenzi7307
    @abdulrazaqkalenzi7307 2 месяца назад

    je naweza kufanya kwa ajili ya mtu yaan mtu kaja na anamjua aduiyake je naweza kufanya dua hyo kwa niaba yake

  • @Lilianmbeyu-ev2rw
    @Lilianmbeyu-ev2rw 2 месяца назад

    Shukran sana Sheikh 🙏

  • @asiahmchingamah-ds3vl
    @asiahmchingamah-ds3vl 3 месяца назад

    Ustadhi mm nimeota nimeyaona makaburi ya maswahaba 10 yamejejengewa vzr kabisa na yameandikwa majina yao na nikawa nayasoma, lkn pia yalikua yamezungukwa na nyasi wakawa wapo wanaume wanasafisha hizo nyasi na wakimaliza tu wananyunyiza maji kwa mpira mrefu tu,,,,,, niambie maana yake tafadhari

  • @VeronikaTuppak
    @VeronikaTuppak 3 месяца назад

    Mm nimeota baba angu amefalik laakin nimeota ananipiga

  • @juntaadichie1923
    @juntaadichie1923 3 месяца назад

    As mbn ndot ya usaliti ujazungmzia. Hii nd vipi?

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc 3 месяца назад

    Asalam aley kum zindiko LA NYUMBA ni Quran wanazuoninwanasema kupitia hadith MTUME alipokuwa akilala alikuwa anasoma tatu3 hakusema tuweke vitu NDANI ILI mchawi asiingie hapana .HAPA ndipo naanza kuona KUWA baadhi ya masheikh wanatutoa kwenye nuru ya Quran wanatupekeka kwa karumanIla .haya ndiyo tunayaona kwetu Kigoma wameingia WAKINA kamchape waiailamu takribani wengi wanawaamini .haya YANGU macho

  • @OmmanEyyag
    @OmmanEyyag 4 месяца назад

    Iyo ndot ya kukwatwa kiganja ni mikon yote ni maan moj au vp

  • @OmmanEyyag
    @OmmanEyyag 4 месяца назад

    Assalam alaykum

  • @BiashaAli-w6o
    @BiashaAli-w6o 4 месяца назад

    Alhamdulillah

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 4 месяца назад

    Nimeota baba na mama wana nisindikiza sokoni

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад

    Asante sana barikiwa sanaaaana

  • @MohamedMohamed-dg6cn
    @MohamedMohamed-dg6cn 4 месяца назад

    Hiyo kanzu au Dirac.naona msuwaa

  • @MohamedMohamed-dg6cn
    @MohamedMohamed-dg6cn 4 месяца назад

    Yaad.funga ndevu kama mtume saw..baradhul ww

  • @AtoAli-be2qq
    @AtoAli-be2qq 4 месяца назад

    Preach brother man

  • @AuntyShuu-jb5jq
    @AuntyShuu-jb5jq 4 месяца назад

    Sheikh sasa ukiota unamchora mtu Hina je ama piko

  • @AishakhamisOmari
    @AishakhamisOmari 4 месяца назад

    Asalam alykm warahmatullah wabarakatu mm nimeota nimeenda kuangalia makaburi yapoo mengi kisha nika mkuta mtu anafukua makaburi yote nakuhamisha pembeni mtu

  • @chabanesalimo2762
    @chabanesalimo2762 5 месяцев назад

    Vittah Tawfiq

  • @MagretiSokoni
    @MagretiSokoni 5 месяцев назад

    Mi niliota napeea dawa na mganga wakiengeji ananiuliza ivi na ii nimewai kukupa?

  • @aminaabdulrahman5184
    @aminaabdulrahman5184 5 месяцев назад

    Mie Nina siku mbili namuota baba YANGU Yuko nae na furaha ila jana kama alikuwa ananipeleka sehemu tunampata milima na mabonde

    • @afyayakouhaiwako8528
      @afyayakouhaiwako8528 2 месяца назад

      Hiyo inajulisha kupata mafanikio makubwa. Lakini mafanikio yako itakua yanakua makuba kwa wakati fulani na wakati mwingine yanashuka

  • @kaundimemussa9575
    @kaundimemussa9575 5 месяцев назад

    Shehe as alleikum w w mm nimeota watu wawili mashehe wanampiga mamba vbya sana nawakamtoa kwenye maji tena tope wakampiga mpka akafa. Nawakaenda kumchoma kisha uyo shehe akaja akanipa pesa mm

  • @ruqyhkhames6446
    @ruqyhkhames6446 5 месяцев назад

    Amiiiniii

  • @pameladonald4100
    @pameladonald4100 5 месяцев назад

    Nikweli kabisa yani

  • @Nigh337
    @Nigh337 6 месяцев назад

    aslm alkm shekh mm nmeota naswali nmekaa juu ya kitanda ina maan gan

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt 6 месяцев назад

    Mimi baba amefariki lkn nilimuota ananipeleka hospital

  • @yahyaabdallah8959
    @yahyaabdallah8959 6 месяцев назад

    As alaykum,,,mimi nimeona nipo sehemu nataka kununua kuku nikamvia na kumkamata na kumbeba,,,naenda nae nyumbani na nina matumaini atataga na kuniletea kuku wengi,,,, nini maana yake?

  • @hamisiabdallah1405
    @hamisiabdallah1405 6 месяцев назад

    Mollah anijalie mie aniongoze

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 6 месяцев назад

    Allah akuzidishie sheikh wng

  • @YusufuDunga
    @YusufuDunga 7 месяцев назад

    Mashaalah

  • @BihawaLibenanga
    @BihawaLibenanga 7 месяцев назад

    Mm baba angu yupo iliniwahi kuota nimerudi nyumban baba amefurahi sana na amenipa bata nifuge inamaana gani?namm na baba hatuna maelewano mazuri😊

  • @leonardofaruk1077
    @leonardofaruk1077 7 месяцев назад

    Ya Allah tufanyie wepesi na utu wepushie shali.Ameen

  • @maryamobady1853
    @maryamobady1853 7 месяцев назад

    Nanime zichukua hizo dawa yako dozi nzma

  • @maryamobady1853
    @maryamobady1853 7 месяцев назад

    Shehe mm niliambia kongosho yangu imefyatuka kidogo jee dawa hiyo itanisaidia?

  • @gracemathias-ub1dj
    @gracemathias-ub1dj 7 месяцев назад

    Shee et nimeota ninaham ya kufanya mapenzi na kichaa et nn maana yake

  • @OmarMwishee
    @OmarMwishee 8 месяцев назад

    A.alaikum ukiota mganga amefariki ina maana gani

  • @OmarMwishee
    @OmarMwishee 8 месяцев назад

    Je ukiota mganga amefariki ina maana gani

  • @NasmaYura
    @NasmaYura 8 месяцев назад

    Shekh A/alaykum kuota wazaz wako na mwanao wamepata ajali ya gari ila wamenusurika hii maan gani

    • @afyayakouhaiwako8528
      @afyayakouhaiwako8528 2 месяца назад

      Hiyo ni kheri yako tu,

    • @NasmaYura
      @NasmaYura 2 месяца назад

      @@afyayakouhaiwako8528 Ameen, Shukran ❤️🙏

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 8 месяцев назад

    Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh, inshallaah allaah anilinde kila mwenye shari na mimi kwamana nina mahasidi wengi

  • @afyayakouhaiwako8528
    @afyayakouhaiwako8528 9 месяцев назад

    Mashallaah Qaswida nzuri.

  • @Salma-ho6wx
    @Salma-ho6wx 9 месяцев назад

    Sheikh kuota unasafisha makaburi hii inamaana gani

  • @monicawangui3068
    @monicawangui3068 11 месяцев назад

    Naomba nisaidie nimeota nikipea mama yangu chakula na alikufa