![suleshy technology](/img/default-banner.jpg)
- Видео 157
- Просмотров 136 745
suleshy technology
Добавлен 5 авг 2014
Chaneli hii itakufunfisha jinsi ya kutengeneza simu,flat tv,pasi,redio aina zote na kuunda amplifier na pre amph
Видео
Jinsi ya kutoa password kwenye Tecno pop6 BF7
Просмотров 65Месяц назад
Jinsi ya kutoa password kwenye Tecno pop6 BF7
Jinsi ya kubandua kioo Cha simu kwa kutumia gun. (how to remove lcd screen by using hot gun)
Просмотров 993 месяца назад
Jinsi ya kubandua kioo Cha simu kwa kutumia gun. (how to remove lcd screen by using hot gun)
Jinsi ya kutoa password kwenye Villaon
Просмотров 653 месяца назад
Jinsi ya kutoa password kwenye Villaon
repair power supply on flat tv (Jinsi yakurekebisha power supply kwenye flat tv)
Просмотров 3445 месяцев назад
repair power supply on flat tv (Jinsi yakurekebisha power supply kwenye flat tv)
jinsi ya kufuma amplifier ya base isiyo na kelele
Просмотров 2875 месяцев назад
jinsi ya kufuma amplifier ya base isiyo na kelele
jinsi ya kubadili konekta ya battery kwenye saketi ya simu kubwa
Просмотров 1575 месяцев назад
jinsi ya kubadili konekta ya battery kwenye saketi ya simu kubwa
how to hard reset Infinix hot 30i (669)
Просмотров 567 месяцев назад
how to hard reset Infinix hot 30i (669)
jifunze aina za vifaa vinavyo tumika kwenye redio
Просмотров 2,2 тыс.Год назад
jifunze aina za vifaa vinavyo tumika kwenye redio
jinsi ya kufuma amplifaya kwa kutumia TDA 2050
Просмотров 640Год назад
jinsi ya kufuma amplifaya kwa kutumia TDA 2050
Ongeza urefu wa video Kaka na uongezee nyingi za televisheni
Sawa kaka
Thanks kbx bldman
Shukrani pia
Tv yangu vote 5 zipo ila aiswich
0654487282
Yangu inaandika legal Use then inazima waeza nisaidia kwa hilo kaka
Iflash
Sabufa imepigwa na radi ila inawaka na ila haitoi sauti bezi wala twita sababu nini
Power zake (ic za sauti)
Ndugu naomba ufanye video nyingine ya kuunda amplifier
Sawa
Kaka unapatikana wap nipenamb
0654487282
Natak iyo unlock tool mzee
0654487282
Me all so🎉🎉🎉🎉
Grand
Inabeba ohms ngap speaker
15 nakuendelea
Tank u
Shukranii pia
jambo mkuu. je nikiwa sina hio nawrza tumia 7805
Itakuwa Ina pata moto sana
Aita dumu week
namba 5 lini mkuu
Hujamalizia
kaka mbona uya malizia nanba 4 kweny kusuka amplifier
Tafadhar fund nilikuwa naomb kufaham kuwa uwo waya wa 5v unaoenda kwenyechopa uanakaa mguu wowote au kunashelia
Unakaa moto unapoingilia
Kwani huwezi kutumia hadi useti namba husika?
Ndioo
Nimetengeneza huo mufumo rakini sikufanikiwa kutoa sauti tatizo nin
0654487282
Brother naomba namba yako brother
0654487282
Nipikie
Naam mkuu
kaka umenifundisha vizuri sana
Shukranii
Good
Pamoja kaka ila ata usipo tumia iyo resistor .tafuta 3.3v kwenye kashine unga udjust ina inafungua frsh
Ata 5 inawaka
Safi safi nice work
Shukranii
Na mm nataka kua fundi wa cifaa vya umeme icluding radio rapair kwa sas bado ni bigginer naomba utaratib wa kfika ofsin na ghara zipoje
Unapatikana wapi kiongozi nitafute 0654487282
Nipo apa mbeya
Karibu kaka nipo mbeya
Ok eb nipe utratib sas wa apo ususan bei
@@Hezronibrahim nafundisha vitu vingi Kuna simu,redio,flat tv karibia vyote ni laki mbili kwa miezi mitatu
nakubali kaka
Shukranii kiongozi
One love Mr mbeya hapa
Unatumia moto kiasi Gani kwenye blower
380
nakubali from dar es salaam
One love kaka
Imekaaa gud iyo braza mm nimeikubal sanaaaa
Shukranii sana kaka
Kaka mm tv yangu imekat sauti kabisa toka jan
Uwa unatumia two in one KWAAJILI ya kutoka sauti kwenye tv kwenda kwenye sabufa
Niaje fundi tv yangu mm inawaka inazima ikiwaka inakaa km dakika 5 au 20 inahusika jee tatizo nn
Kaka inazima kabisa na je kabla ya kuzima aleti maandishi yoyote
Big nimeikubal sana hii techinology yenu ila n kwanii hii video ya kuisuka iyo amp imeishia njian????????😢😢😢😢
Malizien bas hayo maelekezo nimeyapenda san
Sawa kaka nilipoteza simu yenye kamera nzuri
Naomba namba yako yasim
0654487282
0654487282
Fundi woi ni saidie tv ya smart kutoa kioo chenye ngundi Ina tolewajy
Gundi ya ndani au ya nje kaka
Sabufa yang ili sumbua kwenye kutoa saut nika enda kwa fund aka niwekea mashine nyingine ikawa ina tumia mashine mbili ikawa ina imba ila ina toa muungurumo kwenye bass na speaker baadae ika acha kuimb aitoi saut ten
Pole sana kiongozi shida kubwa hakuweza kubalance vizuri signal na moto
Mbn hujaweka part 3
link
KWAJILI ya?
Naomba password tafadhali mkuu
Password ya nn kaka
Tafadhali naomba password ya kuextract
@@suleshytechnology3154 ya kufungua hio sp flash tool,, kwa sababu inaniuliza password ndio niweze kuextract
Nimependa niandikie namba ya whatssap hapo
0654487282
Big up
👍
Swali je nini knachofanya mp3 itoe sauti ya muungulumo baada ya kfungwa kwenye amplifier ,lakin pia groung wire inayokua kati ya LO na RO inakazi gani?
Moja uwa ni volt kuwa chache na pili ground kuwa ndogo. Inafanya kazi kama ground nyengine
Ok je naweza vip kufunga input toka kwenye. Mp5 kwenda kwenye amplifie , ,ile mp5 haina sehem ya mic kama ulivoelekeza mwanzo
Possible kabisa
Bonjour
Bonjour
Kaka Asante kwa kushare hii video nakutizama nikiwa Nairobi Kenya,nilinunua vitron smart tv lakini baada ya miaka 3 ikawa na shida ya kutoa masauti nikama vile wasikia ukikunja karatasi hivi,hyo shida ikiendelea mpaka siku ikazima tu but power ikaachwa bado ikiwaka,niki connect kwa stima, power button uwaka lakini screen haionyeshi shida Iko wapi
Ulikuwa unatumia subwoofer
@@suleshytechnology3154 eeeh
Nna tv ya sunda inch 15 imepiga short haiwaki naomba kuelekezwa Nini nianzie Kisha iwake
Ifungue angalia kwenye mfumi wa power supply
Kazi nzuri
Nina TV inch 42 imegoma ghafla kuwaka nikama shoti imetokea iv sasa nahii tunafunga power mode
Unafunga power mode
Sawa hiyo power mode ni bei gan inauzwa
Kwani upo wapi
Niko dar wew uko wap
Nipo dar
Tv yangu ina ukickomekeme kwenye Moto taa ya led ndo inatoa mwanga Ila Tv aiwak nifanye Nini au nibadili nn?
Kimya
Inabadilika iyo sense
safi sana