- Видео 99
- Просмотров 106 136
UNIVERSITY FILMS
Добавлен 23 май 2023
| UNITY MAKES BETTER |
..
''UNIVERSITY FILMS COMPANY'' This company manages and operates the films and is available in TANZANIA 🇹🇿
Don't forget to subscribe UNIVERSITY FILMS "our creativity is your happiness" ✴️
..
..
BONGO BOLLYWOOD 🇹🇿
..
''UNIVERSITY FILMS COMPANY'' This company manages and operates the films and is available in TANZANIA 🇹🇿
Don't forget to subscribe UNIVERSITY FILMS "our creativity is your happiness" ✴️
..
..
BONGO BOLLYWOOD 🇹🇿
Видео
HANIPENDI-official full short film | UNIVERSITY FILMS |
Просмотров 138Месяц назад
#hanipendi #universityfilms
LOVE DIE 💔-STARRING ALWATAN_30(FILM BY UNIVERSITY FILM)
Просмотров 4483 месяца назад
LOVE DIE 💔-STARRING ALWATAN_30(FILM BY UNIVERSITY FILM)
ALWATAN-NAKUKUMBUKA (FULL MOVIE OFFICIAL VIDEO)
Просмотров 5294 месяца назад
ALWATAN-NAKUKUMBUKA (FULL MOVIE OFFICIAL VIDEO)
ALWATAN-NAKUKUMBUKA (TRAILER) OFFICIAL VIDEO
Просмотров 1004 месяца назад
ALWATAN-NAKUKUMBUKA (TRAILER) OFFICIAL VIDEO
SIRI YA BABA MWENYE.NYUMBA --FULL SHORT FILM/ starring #ALWATAN_30
Просмотров 2315 месяцев назад
SIRI YA BABA MWENYE.NYUMBA FULL SHORT FILM/ starring #ALWATAN_30
WAISLAMU AMKENI MCHUNGAJI AMKUBALI MUNGU NA MTUME
Просмотров 1,8 тыс.Год назад
WAISLAMU AMKENI MCHUNGAJI AMKUBALI MUNGU NA MTUME
BIBLIA IMEWACHANGANYA WAKRISTO HAWANA LA KUFANYA
Просмотров 711Год назад
BIBLIA IMEWACHANGANYA WAKRISTO HAWANA LA KUFANYA
❤
Jaman mh
Ulitoka ukristo kumbe kumbe haukua unajua chochote umepotea rudi kwa yesu plz
Stand up
👊
Stand up
Kaz nzur wanangu
Mwanamwandeeee gud work
Oyaaaa uyo matikiti anajua dah nimechk nanitaifatiria Kwa ajili ya huyo
We kunamtu kasema uyo dada
🎉🎉❤
🤗🤗🌹🌷🥀💐🌺🌸
Vzr familia yng
Good 🎉
Bravo... Good work
Shalo shaloom mpemba mmoja apaaa
❤❤
Haaaaaaaa
Nakubali jumaaa the don
Nice
Sikia mh tunasauri achana na mambo ya biblia chambia qrahani yenu unapata wapo muda wa kufuata imani z watu katika dini zaoo
Mungu yesu si mungu yule mtu tu kama mimi kidume tena ashikwa govi na watu akitahiriwa enyi wajinga zindukeni hakuna mungu dhaifa kama mtu yesu
Mungu yesu si mungu yule mtu tu kama mimi kidume tena ashikwa govi na watu akiahiriwa enyi wajinga zindukeni hakuna mungu dhaifa kama mtu yesu
Nawapeni hom wk hivi huyo mungu mtu yesu hakuzaliwa? Vip alilelewa utotoni alikuwa hajinyei au kujitapikia maziwa au kulilia ziwa utotoni au kuona njaa au kulazwa hajiwezi au kuogeshwa au kupigwa na watoto wenzie wakicheza alikuwa hana hofu au alikuwa hafanyi ibaada?😢
Pia hawana maarifa nyumba yenyewe ni mali ya ibilisi(kanisa) sasa wap wataponea?16:18,23 mty someni wajinga mnaoingia kanisani 9:1 mithal wasio na akili watamjua mungu?matokeo wanaabudu aliyeumbwa
Makafiri hawana dini wape dawa pengine wakarejea dini hawana kila siku wanatangaza miujiza 7:21mt yesu hataki hayo wote hao watenda maovu yesu hawajuwi anawafukuza siku ya mwisho
For funnny broo❤❤❤
❤❤❤❤
Acheni uongo mtachomwa moto.
ACHA kukurupula na vitu husivyovijua kajifunze VIZURI kuhusu u kristo
Uganga tu kuelewa Aaah! Achana na bible kama ina makosa endelea na Uganga
Talent brother
Tiishaa Bwaaii👊🏿
Umechanganyikiwa na uganga wa kienyeji we endelea kumkataa aliekuumba
❤❤❤ xela apo enyewe umetisha sanaaa
Nimekubali apo enyewe xela
😂😂❤❤ nimekubalili xana xela apo
UNAYEKOSOA BIBLIA UMEIJULIA WAPI MAANA KITTABU CHAKO KIMEKUJA NYUMA SANA HAKINA UWEZO WA KUIKOSOA BIBLIA NA WAVUNJAJI WA AMANI WANAJULIKANA TU KUTOKANA NA MUNGU WANAYE MUABUDU
Swala la imani linahitaji saana utulivu na kusoma plus tafiti lakini kuchukulia kirahisi rahasi ndo comment zingine ukisoma unaona mtu amepigwa mhuri na Mungu abaki katika ubishi ubishi
Maneno anayotoa mwaipopo yapo ndani ya kitabu chenu biblia bado hata hamkubali inasikitisha sana sana
Comment zote ukiziangalia zomejaa chuki na uvivu wa kusoma kufanya tafiti sahihi kuhusu mambo ya Mungu mtu ana comment kishabiki ila kusoma hapana au mtu anafuata imami kisa alimkuta mzazi anafwata imani flani hata kama hiyo imani sio sahihi ila kwakua baba na mama wanabudu mrengo flani
UISLAMU UMETENGENEZWA NA MHAMADI BAADA YA MIAKA MIA SITA UONGO ACHA UISLAMU NI UDANGANYIFU UNAONGOZWA NA MAJINI
Wacha uongo kabla hujasema dini au imani ya mtu mwingine usome japo kidogo ili unapoandika comment usiandike kujifurahisha nafsi na ushabiki kujifurahisha hapana masheikh wanapotoa mistari ya biblia hawabahatishi wamesoma nyie someni quran ili mwezi kutoa hoja zenye mashiko na utoa aya ndani ya quran sasa ukitoa comment pasipo kuwa na elimu ni kujishusha hadhi yako
WEWE HUJUI LOLOTE USLAMU NI UONGO UNADANGSNYA HUYO MWARABU ANADANGANYA HUNA KITUNDINI INAYOONGOZWA NA MAJINI NA MTUME ALI MSILIMISHA SHETANI MUONGO ALITAKA KUCHINJWA NI ISAKA KASIME UMETUMWA UWAULIZE WALIOTANGULIA NI WAKRISTONUISLAMU UMEKUJA MWAKA 600 NA HUYO MUARABU ACHA UONGO HUNA LOLOTE WADANGANYE UKRISTO ND DINI YA MUNGU
❤
NAONA WAGONJWA NI WENGI SHEIKH MWAIPOPO WAONGEZEE DOZI INSHALLAH
Maskini pole sana umeshachelewa eti kwa mjibu wa bibilia unachekesha sana
Tangaza mtume wako tu Mambo ya Biblia achana nayo huna elimu ya kuifundisha
Stori za kufuga majini zimeisha mmehamia kwenye biblia tena,😂😂😂😂 Mkiwekwa kwenye mdahalo mtetee qurani yenu holaaa😂😂😂😂 Imejaaa majini na uchawi tu
Hujasoma Biblia, kama ungesoma ungeelewa MAJINI, mashetani, uchawi na dawa za asili zimetajwa kwa wingi katika biblia. Usilete ujanja wa nyani kucheka kalio la mwenzake akisahau lake.
@@jamalkishangu uchawi upo kwenye Quran tu mpk mtume mwenyewe alirogwa
Acha upumbavu nyinyi mwafanywa wajinga uislamu ndio dini ya haki
Pili someni nyinyi wajinga wapumbavu
god
❤