THE CAREN SHOW
THE CAREN SHOW
  • Видео 12
  • Просмотров 11 120

Видео

NILIFUKUZWA BAADA YA KUBEBA MIMBA NIKAISHI MSUTUNI NA MTOTO WANGU
Просмотров 3552 месяца назад
NILIFUKUZWA BAADA YA KUBEBA MIMBA NIKAISHI MSUTUNI NA MTOTO WANGU
MIAKA MINNE NILIOPOTEZA KUMSUBILI BOSS WANGU ATOKE GEREZANI LEO NI MAJUTO
Просмотров 9012 месяца назад
MIAKA MINNE NILIOPOTEZA KUMSUBILI BOSS WANGU ATOKE GEREZANI LEO NI MAJUTO
MWANAUME ALIUZA KIWANJA TULICHO NUNUA PAMOJA AKATOROKA #interview#
Просмотров 7672 месяца назад
MWANAUME ALIUZA KIWANJA TULICHO NUNUA PAMOJA AKATOROKA #interview#
NLITESEKA NA KIDONDA KWENYE KALIO KWA MUDA MREFU
Просмотров 3773 месяца назад
NLITESEKA NA KIDONDA KWENYE KALIO KWA MUDA MREFU
NILIFUKUZWA SAA SITA USIKU NIKAANZA KUISHI MAISHA YA MTAANI:
Просмотров 2173 месяца назад
NILIFUKUZWA SAA SITA USIKU NIKAANZA KUISHI MAISHA YA MTAANI:
MAMA MKWE ANANIFUKUZA KWENYE NYUMBA YA MUME WANGU
Просмотров 3,2 тыс.3 месяца назад
MAMA MKWE ANANIFUKUZA KWENYE NYUMBA YA MUME WANGU
Jinsi wazazi wetu walitutelekeza tulikuwa tunakula mapumba
Просмотров 5655 месяцев назад
Jinsi wazazi wetu walitutelekeza tulikuwa tunakula mapumba
MUME WANGU ALIKUWA AKINIHESABIA KILA KIPANDE CHA KUKU HAKUTAKA NILE
Просмотров 6665 месяцев назад
#stor#zamaisha#yawatu#
BAMDOGO ALINIALIBIA MAISHA NA NDIE CHANZO CHA KIFO CHA BABA YANGU
Просмотров 1,3 тыс.5 месяцев назад
#story#zamaisha#yakusisimua#yawatu#
Mume wangu alinipiga na kuniacha uchi mbele za watu huku mama yangu akiona,
Просмотров 1,4 тыс.5 месяцев назад
#story#zamaisha#yakusisimua#yawatu#
Shavu lote lilioza mjomba alikuwa anatumia nyota yangu
Просмотров 31410 месяцев назад
usisahau kusubscribe soon inakuja full episode

Комментарии

  • @francescospeciale6556
    @francescospeciale6556 2 месяца назад

    ok good

  • @francescospeciale6556
    @francescospeciale6556 2 месяца назад

    ok good

  • @upendosamwel2705
    @upendosamwel2705 2 месяца назад

    Huyu mama anataka vitu vya bei ghali

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

    Dada malipo ni kwamungu a chana nae usipoteze muda hapo

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

    Nimeipenda sana kipindi chako mungu akuwezeshe

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

    Mtangazaji unakili kamayangu yani dalili aliziona lakini akajipa upofu

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

    Wakenya wanasema simu ipo mteja ndio hapatikani akijtena mpe

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 2 месяца назад

      Unamaanisha nini?

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

      @@carenmihayo7991 ndugu nisha yapitia hayo mimtanga yani asitowe pesa kuwapa wanaume ajifunze kwa hayo anayo pitia

  • @husseinkanyama73
    @husseinkanyama73 2 месяца назад

    Biashara hawez yoyote ? Maan anacho kiomba ni vtu viwili tofaut

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 2 месяца назад

      Anachoka ni pesa ya mtaji na hata kama kuna mtu atakuwa anahitaji mfanya kazi yupo tayari

  • @SarahKherdin
    @SarahKherdin 2 месяца назад

    Jamani nyie wanaume muwe na huruma acheni dhulma angalieni hata watoto mliozaa, yani hamuoni vibaya 😮na wanawake wenzangu kueni makini kwa kuzaa watoto wengi km mwanaume mkorofi, naamini kipigo cha mungu kitampiga tu huyo baba, mungu akupe nguvu na uwezo upambane na watoto wako

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад

    Wamam punguzen roho mbaya achen wajukuu wakae duuh mwanza watuy wamekaa kam mashetan

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 2 месяца назад

    Pole Sana BDO mdg Sana usikate tamaa .ila uzazi Tena basi Lea watoto ❤

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 месяца назад

    😢

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 месяца назад

    😢

  • @BohkeVictor-qs9hn
    @BohkeVictor-qs9hn 2 месяца назад

    Yaani upangiwe nyumba ya 250000😂

  • @AhlamAbdul-h8i
    @AhlamAbdul-h8i 2 месяца назад

    😢😢😢😢ah

  • @omansalalah4247
    @omansalalah4247 2 месяца назад

    Mungu atakulipa nae yatamkuta maliopo ni hapa dunian

    • @francescospeciale6556
      @francescospeciale6556 2 месяца назад

      kwa kweli sote tunasubiri hadithi ya maisha yako na tafadhali weka moyo wako ndani yake

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 месяца назад

    Wewe mm naona umelogwa unaama kwenda wapi banana nao mpka watoto wako wajitegemee ndio uondoke acha uoga wewe

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 месяца назад

    Akae hapo ili km wanamtoa waende serikali za mtaa baada ya hapo ataludi kuteseka nyumba za kupanga azifai

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 3 месяца назад

    Sasa dada unaomba usaidiwe halafu unataka kufungua biashara ya duka la bei kubwa kiasi hicho duka la vifaa vya ujenzi bora uanze na biashara ya sokoni kuuza vitunguu,nyanya na mboga mboga utafanikiwa kusaidiwa na nyumba ya kupanga tafuta ya bei ndogo pia ili kwa baadae uweze kulipa kodi wew mwenyew

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 месяца назад

    Mama mpambanaji hongera sana, Mungu akufanyie wepesi Mume ni dhalimu huzuni kubwa! Kosa la Mama huyu ni kujisahau afya yake na kusahau kuwahi kuiona nyota ya kijani! Yani uzazi wa mpango

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 3 месяца назад

      Kweli kabisa, mungu ni mwema,

    • @francescospeciale6556
      @francescospeciale6556 3 месяца назад

      ​Mungu ni mwema kwa wale wanaostahili kweli na tunajua kwamba ni wachache hapa

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m 3 месяца назад

    Cha msingi hapo usihame kamwe mpk wanao wajenge nyumba yao usihame hapo awezi toa wajukuu wake

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 месяца назад

    Mnyoshee Mungu mikono,na choxi la nguvu Mungu atamkalisha kiuno chini,atatambaa km nyoka.

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 3 месяца назад

      Kweli kabisa😊

    • @francescospeciale6556
      @francescospeciale6556 3 месяца назад

      ​@@carenmihayo7991Mnamzungumzia mungu wakati ninyi nyote ni wasaliti na watu mliofanya mambo ya kutisha...na mnajua kabisa ninachokizungumza.

  • @AhlamAbdul-h8i
    @AhlamAbdul-h8i 3 месяца назад

    🤦

  • @BontownMzigu
    @BontownMzigu 3 месяца назад

    kwel mama umepitia magum Sana Ila ndo Dunia ilivo

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya595 3 месяца назад

    Watoto wadogo mmepitia magumu sana Pole mdogo wangu

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya595 3 месяца назад

    Ila shoga angu unamoyo wa chuma mimi siwwzi walahi sikuiyo aliokukaba ilibidi uwachane nae kabisa kwanza hana adabu anamtukana adi shangazi ako loo misiwezi kwakweli

  • @AhlamAbdul-h8i
    @AhlamAbdul-h8i 3 месяца назад

    😢

  • @sebastianjoseph2682
    @sebastianjoseph2682 3 месяца назад

    Conglaturation Caren for providing us with a very good show...keep it up please

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 3 месяца назад

      Thank you so much, for your comment, I will🙏

  • @TeddyjosephTeddy-jp7ls
    @TeddyjosephTeddy-jp7ls 5 месяцев назад

    pole sana

  • @rashenry3436
    @rashenry3436 5 месяцев назад

    Beautiful dear

  • @brotherf
    @brotherf 5 месяцев назад

    Congratulations

  • @ruphinblack9878
    @ruphinblack9878 5 месяцев назад

    Duuuh shida kweli 😢

  • @ruphinblack9878
    @ruphinblack9878 5 месяцев назад

    Pole sana

  • @ruphinblack9878
    @ruphinblack9878 5 месяцев назад

    Duuuh

  • @DonChild-eo9xt
    @DonChild-eo9xt 5 месяцев назад

    Good work

  • @TeddyjosephTeddy-jp7ls
    @TeddyjosephTeddy-jp7ls 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @TeddyjosephTeddy-jp7ls
    @TeddyjosephTeddy-jp7ls 5 месяцев назад

    pole sana mdada

  • @josephsejoh6156
    @josephsejoh6156 5 месяцев назад

    Wah

  • @Kifumbenews255
    @Kifumbenews255 5 месяцев назад

    Hongeleni sana mnaweza mungu awazidishishie malifa❤❤❤❤

  • @Kifumbenews255
    @Kifumbenews255 5 месяцев назад

    Nomaaaaaa❤❤❤

  • @AhlamAbdul-h8i
    @AhlamAbdul-h8i 5 месяцев назад

    God bless you

  • @oliverbrunoakonaay6748
    @oliverbrunoakonaay6748 5 месяцев назад

    Hongera Sana Caren kwa kazi nzuri kuwasaidia watanzania wenzio Mungu akubariki. Huyo Aisha namfahamu jamani kama sijakosea

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 5 месяцев назад

      Asante sana dear tunaendelea kupambana, kumbe unamfahamu basi ni jambo jema ❤

    • @francescospeciale6556
      @francescospeciale6556 5 месяцев назад

      Why don't you tell us your story and your work in Macedonia .....

  • @oliverbrunoakonaay6748
    @oliverbrunoakonaay6748 5 месяцев назад

    Oh pole sana mdogo wangu aisha. Mungu akufanyie wepesi.

  • @samybirongo1
    @samybirongo1 5 месяцев назад

    Iyi kali

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 5 месяцев назад

    Dunia Ina mambo

  • @AnifaJuma-uu7ir
    @AnifaJuma-uu7ir 6 месяцев назад

    Daaah ni hatari

  • @TimFilms255
    @TimFilms255 6 месяцев назад

    😢😢😢

  • @calfiolahblack1892
    @calfiolahblack1892 6 месяцев назад

    😢😢😢

  • @AhlamAbdul-h8i
    @AhlamAbdul-h8i 6 месяцев назад

    😢

    • @coktv
      @coktv 6 месяцев назад

      umetisha sana

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 6 месяцев назад

      ​@@coktvasante sana

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 6 месяцев назад

    I can't wait for the Caren Show