TZ TRENDING
TZ TRENDING
  • Видео 1
  • Просмотров 242 148
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
Просмотров: 242 174

Видео

Комментарии

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Месяц назад

    😂😂😂hapa nimechka walekezeni wa Zanziba ndo kitukindog utasikia Tanganyik

  • @PatrickJoseph-vw2tn
    @PatrickJoseph-vw2tn 4 месяца назад

    Nyerere M eya

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    👍👊✌️

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 6 месяцев назад

    Hii haikuwa hotuba ya 1969 bali 1995 Mbeya! Waandishi mnahitaji ku-cross check na ku-vet information yenu kabla hamja-post kwenye mitandao.

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 8 месяцев назад

    Huu ulikuwa mwaka 1995, Mimi nilimpokea airport na wakati wa hotuba ya Mwalimu Nyerere mimi nilikaa katikati ya sehemu ya eneo la kuchezea mpira

  • @bakarikhatib7410
    @bakarikhatib7410 9 месяцев назад

    Mwaka 1969 hakukuwa na OTTU

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 9 месяцев назад

    Vividly explains the whole concept of Exploitation of the Working Class and Class structures of/in Society!!

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 9 месяцев назад

    The rapport he had with the audience!!!!!!!!!.....the honesty of his ideals and ideas he genuinely had for the Nation !!!! Mwalimu was a very rare exception on the Continent!!!

  • @Salisalum
    @Salisalum 10 месяцев назад

    1969????

  • @doktamathew
    @doktamathew 11 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @ABSTemu
    @ABSTemu 11 месяцев назад

    "Ogopa Kama Ukoma" - Serious Message, People Laugh!!! Sad!

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Год назад

    Kichwa cha Afrika.

  • @edwardmajanga3977
    @edwardmajanga3977 Год назад

    Saws kabisa

  • @edwardmajanga3977
    @edwardmajanga3977 Год назад

    The true son of Africa

  • @FK-cr4sw
    @FK-cr4sw Год назад

    Je suis congolais! Nilijifunza kidogo kuhusu Mwalimu Nyerere. Maintenant, j'ai la chance de le découvrir en profondeur! C'était et ça restera un grand intellectuel, un grand philosophe, un grand Maitre!

  • @makasimuhindo3448
    @makasimuhindo3448 Год назад

    Ni viema Sana kuhifazi hutuba kama n'a hizi Mwalimu alikua sujaa kweli hongera kuleta uhuru Tanzania

  • @yessemwakibete2458
    @yessemwakibete2458 Год назад

    Hiyo hotuba haikuwa mwaka 1969 ilikuwawaka 1995 na Mimi ni miongoni mwa watu waliompokea airport ya zamani.baadaye sokoine Mbeya ambapo alitoa madini hapo Moja kati ya hotuba nzuri kuwahi kutokea.

    • @kelvinjelas3923
      @kelvinjelas3923 8 месяцев назад

      Binafsi mara zote nafarijika sana kuisikia sauti hii.

    • @kelvinjelas3923
      @kelvinjelas3923 8 месяцев назад

      Lakini nafurahi zaidi kuhusu uwepo wako Yesse Mwakibete katika tukio hilo muhimu katika historia ya Nchi yetu.

    • @BS-kl9yf
      @BS-kl9yf 3 месяца назад

      Wametuchosha na usambazaji wa historia kwa kubadilisha miaka. Imebakia hao kuanza kusambaza hotuba za Mwalimu wakidai ni ya 1389.

    • @fitinamagambo7014
      @fitinamagambo7014 2 месяца назад

      😊 pp​@@kelvinjelas3923

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 Год назад

    How 1969

  • @robertlyaunga3262
    @robertlyaunga3262 2 года назад

    Mwalimweweulikuajembe

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 2 года назад

    The title is misleading. Nyerere made this speech on May Day 1995

    • @agustinothadeus
      @agustinothadeus 2 года назад

      Inaonekana hata aliyeipost sidhani kama ameisikiliza vizuri kwani dakika 36:02 Nyerere anasema "Viongozi wanaotaka kuingia katika awamu ya tatu ya uongozi", moja kwa moja hii inaonesha ilikuwa katika vuguvugu la uchaguzi wa 1995

    • @bakarikhatib7410
      @bakarikhatib7410 9 месяцев назад

      Wengine hawana utaratibu wa kuuliza hata kama hawajui

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 2 года назад

    KAMA magu vile jamani🤗🤗🤗💞💞💞💞🙏🙏🙏

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 Год назад

      Kumlinganisha magu na Nyerere ni kama mbingu na dunia,l Nyerere hakuwa mkabila wala gange za kanda.

  • @gracaconceicao4635
    @gracaconceicao4635 2 года назад

    that was 1995, not 1969

  • @leonardndossy560
    @leonardndossy560 2 года назад

    Hotuba hiyo haikutolewa 1969 rekebisha mwaka wa hotuba hiyo kwa usahihi wa kumbukumbu

  • @danfordmageche5806
    @danfordmageche5806 2 года назад

    The Great message

  • @koleshntagwa2368
    @koleshntagwa2368 2 года назад

    Hatuna budi kuyaenzi maono yake

  • @danielmwanjali2449
    @danielmwanjali2449 2 года назад

    Huo mwaka umekosea. Ilikuwa may day 1995

  • @nickosisto5144
    @nickosisto5144 2 года назад

    Asante baba wa taifa letu njia ulionyesha,.Hii ni hotuba ya. Mei mosi. 2995 mbeya uwanja sokoine.

  • @mwasisobajohan7641
    @mwasisobajohan7641 2 года назад

    dah pumzika Baba wa Taifa mwalimu Nyerere

  • @francismapugilo2435
    @francismapugilo2435 2 года назад

    Siyo mwaka 1969 ila ilikuwa 1986 nadhani

  • @worshipandmeditation8273
    @worshipandmeditation8273 2 года назад

    It is so sad All this Serious Talk as a wake up call was taken as a comedy show and people laughed SO INSANE NO WONDER TANZANIA IS MORE POOR THAN WHEN IT WAS 60years ago lack of seriousness on very important things... Kweli umaskini wa Fikra ni kitu kibaya sana

  • @williamshao7893
    @williamshao7893 2 года назад

    Hii ni hotuba ya Jumatatu ya Mei Mosi 1995 na si ya mwaka 1969

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 2 года назад

    Ili kukuza ueleea wangu na Busala hua lazima nimsikilize Nyelele..Mandela Kaunda...na Kenyata

  • @zingibarofficinale8351
    @zingibarofficinale8351 3 года назад

    Edit huo mwaka please

  • @zingibarofficinale8351
    @zingibarofficinale8351 3 года назад

    ..

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 года назад

    Kiongozi aliyekubali makosa yake na kujisahihisha Mwanga wa milele akuangazie eeh bwana Upumzike kwa Amani.

  • @prosperfrumence4342
    @prosperfrumence4342 3 года назад

    GENIUS

  • @lemburismollel2393
    @lemburismollel2393 3 года назад

    Hii ni hotuba ya Mei Mosi Mwaka 1995 na sio Mwaka 1969

    • @abdalahmrisho3076
      @abdalahmrisho3076 Год назад

      Kweli kabisa ni 1995 nilikuwamo siku ile ndani ya uwanja wa Sokoine

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 года назад

    Hayati Nyerere alikuwa mwalimu, Hayati Magufuli alikuwa mwalimu da Yatupaswa kutafakari walale kwa Amani ma genius hawa Mungu alitupenda watanzania cha ajabu wema hawadumu

  • @ramadhankayaya5484
    @ramadhankayaya5484 3 года назад

    Mbona mmeondoa sehemu ya hotuba

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 3 года назад

    Rekebisha, hotuba hii ni ya mwaka 1995 sio 1969

  • @hangiroetincelle8167
    @hangiroetincelle8167 3 года назад

    In the world,they are 4 important people,people of all the time: Martin L king Mandela,Madiba,Nelson Ghandi Nyerere Julius

    • @samsonkayioni2218
      @samsonkayioni2218 3 года назад

      My brother you have not had from Malcolm x...I'm sure you will be fascinated by him

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 5 месяцев назад

      Mandela no, maybe for the sake of the Imperialists.He handed over everything to the whites.He wasn't a true African hero.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 года назад

    Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania vilianzishwa 1992, sasa hiyo 1969 ni ipi???

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 3 года назад

      Kuanzishwa rasmi ni 1992 ila vilikuwepo havikutambulika

  • @simbaamani1318
    @simbaamani1318 3 года назад

    Unforgettable Mwl J K Nyerere mazungumzo hai !!

  • @muftybawesy
    @muftybawesy 4 года назад

    sawa kabisa

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 года назад

    Mshenzi huyu

  • @mtumishimtumishi3828
    @mtumishimtumishi3828 4 года назад

    Mwaka 1995 Mbeya Mei mosi

  • @johnramadhani3241
    @johnramadhani3241 4 года назад

    Mwalimu jk nyerere alikuwa anakipawa kutoka kwa mungu

  • @masikaraphael2823
    @masikaraphael2823 4 года назад

    Akinunua,kanunuliwa.kama amekopa atalipaje?.mwalimu ulikuwa na busara.

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 года назад

    Acheni kumpongeza huyu mzee yeye kaifanyia nini tanganyika tokea awe raisi ni umasikini tu hadi kafa ,wacheni kumuona mungu hakufanya kitu isipokuwa kuimeza zanzibar tu

    • @issaguyashi8321
      @issaguyashi8321 4 года назад

      Mungu akusamehe

    • @petermabiki7798
      @petermabiki7798 3 года назад

      Natamani ningejua umezaliwa mwaka gani. ila hata kama umezaliwa 2002 bado akili yako haina akili.

    • @stanfordjoseph1585
      @stanfordjoseph1585 3 года назад

      Wewe mzima Kweli?

    • @medardsotta5211
      @medardsotta5211 3 года назад

      Soma vizuri historia kabla hujaongea 'mdogo wangu'!

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 3 года назад

      Mpaka leo hii hujajua roles Za nyerere? Kwanini ulikimbia shule?

  • @ismailnoor6729
    @ismailnoor6729 4 года назад

    Huyu mpumbavu rais nn matatizo yake lazima tu Amin maendeleo yaletwe na yeye sindio rais