- Видео 202
- Просмотров 86 438
Sauti ya Haqqi
Добавлен 13 сен 2021
﴿يُريدونَ أَن يُطفِئوا نورَ اللَّهِ بِأَفواهِهِم وَيَأبَى اللَّهُ إِلّا أَن يُتِمَّ نورَهُ وَلَو كَرِهَ الكافِرونَ﴾
Wanataka Kuizima Nuru Ya Allāh Kwa Vinywa Vyao, Lakini Allāh Amekataa Ispokuwa Kuitimiza Nuru Yake, Ijapokuwa Makafiri Wanachukia.
[At-Tawbah: 32]
Wanataka Kuizima Nuru Ya Allāh Kwa Vinywa Vyao, Lakini Allāh Amekataa Ispokuwa Kuitimiza Nuru Yake, Ijapokuwa Makafiri Wanachukia.
[At-Tawbah: 32]
Видео
Jiwekee Utaratibu wa Kuswali Usiku
Просмотров 4182 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Kama Unaamini QADAR, Basi Qadar Ifungue Kwenye Mambo Yote
Просмотров 2652 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Wazazi Wanawadekeza Watoto wao Kiasi Ambacho Mtoto Ameshakaribia Kubalegh lakin Hafungi Bado
Просмотров 782 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Swali Taraweh na Imamu Mpaka Umalize NAE na Witri Usije Kukosa Ujira wa Kisimamo Cha Usiku Mzima
Просмотров 302 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Hii Ndio Asili, Wanawake Walikua Hawatoki Nje
Просмотров 672 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Masharti ya Mwanamke Kuswali Taraweh
Просмотров 1722 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Kama Kuna Kazi BORA YA Kufanya Basi ni Hii Lakini Ndio Inayodharaulika Sana
Просмотров 1222 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Maisha ya Dunia ni Kama Ubao na Kifutio
Просмотров 1282 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Je ! Imamu Akisoma Qunut Kwenye Witri, Maamuma Wafanyeje ??
Просмотров 5332 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Malipo ya Ibada Hutofautiana Kulingana na Nguvu ya Ikhlaas na Nia ya Mja
Просмотров 992 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Hizi Ndio Swala za Sunna za Rawaatib
Просмотров 3972 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Kwanini Imeitwa TARAWEHE ? Hakuna Swala ya Haraka Haraka
Просмотров 1912 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Wakat Wenzako Wanasoma Qur-an, Wewe Unakwepa, Haya Ona Sasa Ramadhan Imeingia Unapitwa
Просмотров 1632 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Hukmu ya Wanafunzi Kukopiana Katika Mitihani ?
Просмотров 1392 года назад
Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه
Mashia Wanajidai Kumpenda Aliy Lakini Kumbe Wakat Huo Huo Wanamtukana Aliy رضي الله عنه
Просмотров 852 года назад
Mashia Wanajidai Kumpenda Aliy Lakini Kumbe Wakat Huo Huo Wanamtukana Aliy رضي الله عنه
Uhizbiyya wa Mipira Umewafikisha Watu Pabaya Sana
Просмотров 2142 года назад
Uhizbiyya wa Mipira Umewafikisha Watu Pabaya Sana
Uhizbiyya wa Kikabila na Koo Umeleta Farqa Kubwa Baina ya Watu
Просмотров 862 года назад
Uhizbiyya wa Kikabila na Koo Umeleta Farqa Kubwa Baina ya Watu
Uhizbiyya wa Kisiasa ni Haraaam. Tizama Watu Walivyogombana Kwasababu ya Siasa
Просмотров 812 года назад
Uhizbiyya wa Kisiasa ni Haraaam. Tizama Watu Walivyogombana Kwasababu ya Siasa
Aina hizi Mbili za Watu Ndio Zinazoleta Tabu na Fikra Mbovu Kama Hizi
Просмотров 902 года назад
Aina hizi Mbili za Watu Ndio Zinazoleta Tabu na Fikra Mbovu Kama Hizi
Vijana Wengi ni Wavivu Kusoma Dini Yao || Sasa Mmekodisha Watu Maalum wa Kusoma hii Dini !?
Просмотров 1512 года назад
Vijana Wengi ni Wavivu Kusoma Dini Yao || Sasa Mmekodisha Watu Maalum wa Kusoma hii Dini !?
Akili Zetu Tuzitumie Katika Kufahamu Dalili na sio Kuzichakua
Просмотров 642 года назад
Akili Zetu Tuzitumie Katika Kufahamu Dalili na sio Kuzichakua
Je Kuna Andiko Lolote la Kuwafuata Salaf ? Kwanini Tusiwafuate Wazee Wetuuu !?
Просмотров 2102 года назад
Je Kuna Andiko Lolote la Kuwafuata Salaf ? Kwanini Tusiwafuate Wazee Wetuuu !?
Kama Munataka Kuufunga Mlango Wa Ruduud, Pengine Njia Hii Itawafaa
Просмотров 3152 года назад
Kama Munataka Kuufunga Mlango Wa Ruduud, Pengine Njia Hii Itawafaa
Si Kila Anaeizungumzia Dini Anakuwa Shekhee
Просмотров 522 года назад
Si Kila Anaeizungumzia Dini Anakuwa Shekhee
Hakuna Swala wala Funga Maalum ya Mwez 27 RAJĀB
Просмотров 482 года назад
Hakuna Swala wala Funga Maalum ya Mwez 27 RAJĀB
Je ! Dr Islam wa Mombasa Kenya ni Salafiyy ?
Просмотров 4302 года назад
Je ! Dr Islam wa Mombasa Kenya ni Salafiyy ?
Ewe Salaf Nyanyua Kichwa Chako Usiogope Kudhihirisha Usalaf
Просмотров 462 года назад
Ewe Salaf Nyanyua Kichwa Chako Usiogope Kudhihirisha Usalaf
Je ! Msikiti wa Limbani Tumbatu Umejengwa zama za Khalifa 'Aliy رضي الله عنه ?
Просмотров 972 года назад
Je ! Msikiti wa Limbani Tumbatu Umejengwa zama za Khalifa 'Aliy رضي الله عنه ?
Mola awape ujuzi zaidi inshallah ❤❤
Maashaaallah! Mashaallah Tabarraqah Allah,Sheikh Allah akupe mema hapa Duniani na Kesho Aakhera ukupe jazzah ya pepo fildausi!Kwa muda mrefu nilikuwa nikisubiri nisikie maneno yalojaa haqi, ukweli umetumia hekma kwa ukubwa na uzito wa swala kama hili,sikuwa nimesikia kabla kwa sheikh yeyote kuongea kwa usahihi kama ulivyo ongea wewe sheikh tena bila uwoga! Alhamdullah 🙏 masheikh wengi hawakuwahi!hugusia gusia tena kwa uwoga nadhani hawa viumbe (wanawake)huko majumbani Kwao! Inastaajabisha sana twamuhofia mke alie amrishwa na Allah atwii mume wake!ni Allah wakumhofia nasio mwanamke!hakika nilitaka hili lizungumziwe sana ili kuondoa fitna dhana na hillana mbaya iliojengeka ktk jamii ya kiisilam na baadhi yawenye ilimu kwa wasio na ilimu ili kuwapotosha na kuwadhoofisha kuwakatisha tamaa,na pengine kufuta kabisa suala zima la kuowa wake zaidi ya mmoja, suala hili ni la kheri lkn inatafsiriwa kwa ubaya ni kama jambo la haramu! Wapo watu wanapiga vita suala hili bila kumhofia Allah! kupinga hili jambo ni kumkosoa mtume wetu Mohammad s.a.w kana kwambia yeye alikosea kuowa wake zaidi ya mmoja!na kumpinga Allah alie ruhusu hili, anae pinga hii ni kupingana na Allah na mtume S. A. W nikujifananisha na wasio waisilam (maqafir)Allah ametuonya tusijifananishe nao,leo sheikh kawapa Da'awa na wake zenu, mke hayawani ni anae hiyari mumewe azini hovyo lkn Sio kuitafuta kheri na fadhilla za Allah ktk miongozo ndani ya Qur'ani, insha'allah Bi'idhiinillaaah tuwe na subra ktk kila jambo nyoyo kunjufu ktk mambo ya kheri, Allah atuongoze umma Islam
Mashallah
Tutarajie nini kwa khawarij alsalafiyatul wahabbiya isipokuwa ukosefu wa ilm na adabu!
Kama sio akili nenda wagonjwa waa akili katoe mawaidha ,,unachoyo fisadi weeee
Ww ndo unashindana na sheh msabah nenda uk weeee mshez
Ni mtihani kwakweli, usufi ni mzigo
Hakuna Dola ya kiislamu straight sasa hivi hata moja, Dola ya mwisho straight ni ile ya uturuki iloangushwa karne moja iliyopita.
Kuna watu natamani iwafikie kisha washikamane na mambo haya
Ma Sha Allah
Mashukura❤
Q
Jazaakallahu khayraa sheikh ABDALLAH humed
Shukran
Shuklani
Yaani makhurafi na maulidi Yao , akitokea mtu anasema Yale yaliopo kwenye Hilo likitabu la viwete wa akili linaloitwa barzanji wanasingizia hana elimu Mara kaa chini usome, tusome? Uozo? Alafu wapi mna markaz za kufundisha au mnapiga Ngoma na kukatika katikati ya wanawake kama muhkanithuna lingine humu panasemwa kuhusu maulidi lenyewe linataja balagha. Tukae chini kusoma kwa watu ambao akili zao zimeoza na bidaa ya maulidi?
Wewe muhabi huamini karama na mengi mmwawapoteza watu tahadharini sana na moto wa allah nyiye watu wabaya saaana. Je huamini kama miwili ya mtume na mawalii haitafunwi na radhi je hilo nalo huamini. Muhammad albeidh alikua mchamungu hawezi kuongopa hata mara moja. Mmekosa hoja.
Kweli wew hujielewi
Aty haya mambo hayana dalili, umesoma wapi mawalii hawana karama ? Kisha Si Kila jambo lazima liwe limefanywa na mtume , Mtume Muhammad yeye ni miujiza na mawalii ni karama . Sasa km umesoma kweli ungeanza kielezea miujiza ni yapı na karama ni zipi, Kisha ukaja kumkadhibisha Sheikh wetu, Wacha kutufanya hatuna maana
Baarakallah fiikum
Umekimbia hojja mafuta wafundishe hao hao upotoshaji wako wa kiwahabbi
Kuwaiga salaf ni sawa lakin hakuna andiko limesema jiiteni masalaf. Lakin nyie mawahabbi mnajiita kuwa nyie ndo salaf hilo halina andiko. Alaf pia nyie mnanishangaxa nyie mnapojiita masalaf mnawafuata masheikh wa mlengo wakiwahabi utacikia ibn taymiya, alban, aljauzy, shawkan, uthaimin na wengineo wakat hao wote hata hawajafikia daraja ya kuwa hata mujitahidu swali sasa hao masheikh zenu na maimamu wakubwa kam kina Ahmad ibn hambal, malik,Abuu khanifa na Shafii wapi wenye hakki yakuitwa kuwa ni salaf??. Ila nyie jambo likiulizwa hamrejei kwa hao mtaanza na akina abdul wahabbi kasema hivi yeye alilisoma kwa nani mpka akasema hayooo??? Cc twataka muwataje wale masalaf wenye hakki yakuitwa hivyo haswaaa wale mujitahid
Tumesikia tumetiii....yaa Allah tuepushe sisi na all zetu na bidaaa
Saudia wamejitahid mashallah.....nimetubia kwa Allah....niliwadhania vibaya bt niko na mtu yyte au taifa lolote linalohuisha sunna ...na linalokataza shirk na bidaa na khurafat.....
Vitabu vya kishia ni kutoka katika hekaya za abunuwas
Kweli sheikh mtihani
Allah atuhifadhi na masheikh kama hawa na wanaowatuma
Mashaa Allah. Allah akuhifadhi sheikh Abuu Arkam
Yaani ww unachekesha kweli ndio huna akili kbs
حفظه الله
Thanks akhy
Sheikh Mashaallah
Allah Yahfadho Abdulkhattab
Vp akiwa mama au baba pia ahamwe
Barakallah fiykum!
Khilafa rashida itarudi hilo Halinashaka . Madhalimu wote wataondoka na vibara vyao amiin amiin amiin
ruclips.net/video/eLo9JPQesDY/видео.html
Allah Yahfadhok ya sheikh wachape wayajue majahel
Barakallah fiykum!
Barakallah fiykum!
Jazakal lkheir bro
Ayo ni mawazo yako tu
Yako wewe yako wapi?
Shukran
Kusoma kitabu si kujua elimu eti,elimu ina adabu zake.
Jamaa pumbavu huyu , kweli Mafutaa elimu yako sawa na mtu TAHIRA AU PUNGUANI 100 kwa 100 yaani ungekuwa mchekeshaji ungejixolea umaarufu mkubwa
Mimi ninacho kitabu wazazi wake Mohameed Abdul wahabi wakimlaani Mohammed Abdul wahabi , pia ninacho kitabu kakayake Mohammed Abdul wahabi anayeitwa Suleman Abdul wahabi akithibitisha kuwa Mohammed Abdul wahab ndiyo JINI la Najdi
Ndani ya Buhari Mtume ameshatutahadharisha Mohammed Abduliwahabi NO NO NO NO NO Muhuni huyoooooo
upotofu mwingi
mashekhe wasasa matata sana
Mambo mengi ktk dini yana khitilafu ukisoma ndo unayaona
Uamsho hawana msikiti zanzibar acheni fitna nyie
Shida ya masheikh wakisoma hawajadili inayotaka kujadiliwa kudai kufuata sunnah wanaoichagua kwa maslah yao lakini sehemu kuu hagusi na uislamu umekuja kudhihiri juu ya dini zote si juu ya wanyonge hata maswahaba hakuelewa hivyo walidhihirisha dini kwa kila mtu
Natwamkubali anayo ilmu na ameandika vitabu na tumezisoma lakini anayo makosa mengi katika maisha yake.
Swali La Kwangu Je Mtu Inafaa Kumkosea Kwa Mambo Binafsi ?!! Je Wewe huna Makosa Yako Katika Maisha Yako , mbona Huna hoja Kaka !!!!!!
Sh.Muhammad Abdulwahab ni msomi lakini ameua watu wengi mpaka akakataliwa na familia yake someni tarekh ndugu zangu.
Ushahidi wako wako wapi Mbona Sisi Hatuoni Haya Kwenye Tarekh ya Sheiykh Bali tuaona Kusifiwa Kwenye Tarekh yake , tunajuwa Hizi Ni propaganda za maadui wake ili kumchafua Huyu Sheikh Ambae Juhudi yake Umma wa Kiislamu unaifahamu Ispokuwa wale maadui wa huyu Sheiykh رحمه الله تعالى
Leo kweli ni mejua hauna ilmu kweli soma tarekh yake soma kitabu chamu ndugu yake Suleiman alivomjibu.
Baaraka allāh Fiyk kwa Kujua kuwa sisi Hatujui tarekh hebu wewe na uyu Sheikh wako jibuni Hizi video ruclips.net/video/VpOTT1A6R1s/видео.html ruclips.net/video/vsNnG5gigRw/видео.html Aqiydah na Madhhab ya Shaykh Muhammad bin Abdil wahhaab Na Watu Wa Najd - 01 Na 02
@@sautiyahaqqi4707 kwanza mimi nilijibu mzungumzaji kisha nitafauti kubwa kwa alim na mtu wa kawaida vipi alim kisha awe na sifa mbaya hata kama ni ya kibinafsi.