DCEA TV
DCEA TV
  • Видео 172
  • Просмотров 46 515
Operesheni Kubwa Yazima Uzalishaji wa Bangi Bonde la Mto Mara. Kamishna Jenerali Lyimo asema haya...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa wiki tatu katika wilaya ya Tarime na Serengeti, mkoani Mara kwa lengo la kukabiliana na tatizo la uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya, hususan bangi.
Operesheni hiyo imefanyika katika vijiji vya Matongo, Nyarwana, na Weigita vilivyopo bonde la Masinki, pia vijiji vya Nkerege, Kembwe, Nyakunguru na Iseresere pamoja na eneo la bonde la mto Mara.
Akizungumza mara baada ya operesheni hiyo leo tarehe 8 Oktoba, 2024 Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ...
Просмотров: 58

Видео

Wanafunzi wa Wilaya za Morogoro waelimishwa kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya
Просмотров 7321 день назад
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa elimu ya dawa za kulevya mkoani Morogoro hususan katika wilaya za Mahenge, Malinyi, na Mvomero kwa wanafunzi na walimu kutoka shule za sekondari za Kasita, Nawenge, Kwiro, Usangule, Don Bosco, na Mzumbe. Utoaji wa elimu hiyo katika Mkoa wa Morogoro, ni moja ya mkakati wa kujenga uelewa juu ya tatizo la dawa za kulevya hasa ikizi...
DCEA yakamata Tani 1.8 za Skanka II Watano mbaroni
Просмотров 216Месяц назад
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika tarehe 28 Agosti, 2024 hadi tarehe 02 Septemba, 2024 katika maeneo ya Luguruni Mbezi na Magomeni jijini Dar es Salaam ambapo watuhumiwa watano (05) wamekamtwa kuhusiana na dawa hizo., Watuhumiwa waliokamatwa wanatambulika kwa majina ya Richard He...
DCEA yatoa Bima za afya kwa familia 10 za wasanii waliofariki
Просмотров 46Месяц назад
DCEA yatoa Bima za afya kwa familia 10 za wasanii waliofariki
Hotuba ya Kamishna Jenerali DCEA Aretas Lyimo || Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya
Просмотров 362 месяца назад
Hotuba ya Kamishna Jenerali DCEA Aretas Lyimo || Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya
#UTVHabari: Akamatwa akitengeneza dawa za kulevya
Просмотров 113 месяца назад
#UTVHabari: Akamatwa akitengeneza dawa za kulevya
Prof. Janabi aeleza athari za kiafya kwa watumiaji wa dawa za kulevya
Просмотров 143 месяца назад
Prof. Janabi aeleza athari za kiafya kwa watumiaji wa dawa za kulevya
Mkazi wa Manzese Mbaroni kwa tuhuma za kutengeneza dawa za kulevya
Просмотров 623 месяца назад
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya tunamshikilia SHABAN MUSA ADAM (54) mkazi jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kutengeneza dawa za kulevya. Mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake Manzese Kilimani tarehe 11 Juni, 2024 akitengeneza dawa za kulevya alizozitambulisha kama heroin kwa kutumia dawa tiba zenye asili ya kulevya akichanganya na kemikali bashirifu. Baada ya kutengeneza daw...
Joyce Mhavile || Kila mmoja ana jukumu Katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Просмотров 323 месяца назад
Joyce Mhavile || Kila mmoja ana jukumu Katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Prof. Janabi ataja athari za matumizi mabaya ya Dawa tiba zenye asili ya Kulevya na Dawa za kulevya
Просмотров 183 месяца назад
Prof. Janabi ataja athari za matumizi mabaya ya Dawa tiba zenye asili ya Kulevya na Dawa za kulevya
Mkutano wa Kamishna Jenerali na Waandishi wa Habari Leo Julai 17, 2024
Просмотров 193 месяца назад
Mkutano wa Kamishna Jenerali na Waandishi wa Habari Leo Julai 17, 2024
Mpoto agusa hisia za watanzania tatizo la dawa za kulevya nchini | Hadithi ya Innocent na Methadone
Просмотров 4153 месяца назад
Mjomba Band, ikiongozwa na Mrisho Mpoto, iliwaburudisha wahudhuriaji katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya. Burudani hiyo ilijumuisha sanaa ya wimbo na igizo lililomuhusu kijana Innocent, ambaye aliweza kuacha matumizi ya dawa za kulevya kwa msaada wa methadone. #live #drugday2024 #methadone
HOJA MEZANI | Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, ni wapi nchi imefikia?
Просмотров 263 месяца назад
HOJA MEZANI | Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, ni wapi nchi imefikia?
DCEA yakamata Kilogramu 767 2 za Dawa za Kulevya katika Operesheni Maalum, 21 Mbaroni
Просмотров 7885 месяцев назад
DCEA yakamata Kilogramu 767 2 za Dawa za Kulevya katika Operesheni Maalum, 21 Mbaroni
Ukamataji wa Kilogramu 54,489.65 za Dawa za Kulevya|| Mwezi Februari na Machi 2024.
Просмотров 4256 месяцев назад
Ukamataji wa Kilogramu 54,489.65 za Dawa za Kulevya|| Mwezi Februari na Machi 2024.
Mbio za Mwenge za Mwaka huu 2024 kuhamasa kwa jamii kusitisha kilimo cha Bangi na Mirungi
Просмотров 1106 месяцев назад
Mbio za Mwenge za Mwaka huu 2024 kuhamasa kwa jamii kusitisha kilimo cha Bangi na Mirungi
Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya Kanda ya Ziwa
Просмотров 316 месяцев назад
Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya Kanda ya Ziwa
Watuhumiwa 23 Wapandishwa Kizimbani tuhuma za dawa za kulevya Kahama
Просмотров 2377 месяцев назад
Watuhumiwa 23 Wapandishwa Kizimbani tuhuma za dawa za kulevya Kahama
ZIARA YA WANAFUNZI WA KLABU YA KUPINGA DAWA ZA KULEVYA SHULE YA VIWANDANI MAKAO MAKUU YA DCEA
Просмотров 707 месяцев назад
ZIARA YA WANAFUNZI WA KLABU YA KUPINGA DAWA ZA KULEVYA SHULE YA VIWANDANI MAKAO MAKUU YA DCEA
𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗢𝗙𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗔𝗪𝗔𝗣𝗢𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗗𝗖𝗘𝗔
Просмотров 367 месяцев назад
𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗢𝗙𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗔𝗪𝗔𝗣𝗢𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗖𝗘𝗔
KUTOKA GIZANI HADI SHAMBANI
Просмотров 1407 месяцев назад
KUTOKA GIZANI HADI SHAMBANI
Kamishna jenerali DCEA akifunga mafunzo kwa Waelimishaji wa TAKUKURU
Просмотров 697 месяцев назад
Kamishna jenerali DCEA akifunga mafunzo kwa Waelimishaji wa TAKUKURU
𝗠𝗮𝗳𝗮𝗻𝗶𝗸𝗶𝗼 𝘆𝗮 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗠𝗮𝗽𝗮𝗺𝗯𝗮𝗻𝗼 𝗱𝗵𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗗𝗮𝘄𝗮 𝘇𝗮 𝗞𝘂𝗹𝗲𝘃𝘆𝗮 𝗠𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟯
Просмотров 317 месяцев назад
𝗠𝗮𝗳𝗮𝗻𝗶𝗸𝗶𝗼 𝘆𝗮 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗠𝗮𝗽𝗮𝗺𝗯𝗮𝗻𝗼 𝗱𝗵𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗮𝘄𝗮 𝘇𝗮 𝗞𝘂𝗹𝗲𝘃𝘆𝗮 𝗠𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟯
#UTV: MIZANI YA WIKI Vita dhidi ya dawa za kulevya yashika kasi
Просмотров 188 месяцев назад
#UTV: MIZANI YA WIKI Vita dhidi ya dawa za kulevya yashika kasi
Siku 6: Kamishna Jenerali atembelea mabanda ya wadau wa haki jinai Wiki ya sheria 2024
Просмотров 658 месяцев назад
Siku 6: Kamishna Jenerali atembelea mabanda ya wadau wa haki jinai Wiki ya sheria 2024
Siku 5: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Просмотров 388 месяцев назад
Siku 5: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Siku 4: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Просмотров 458 месяцев назад
Siku 4: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Siku 3: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Просмотров 528 месяцев назад
Siku 3: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Siku 2: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Просмотров 478 месяцев назад
Siku 2: Banda la DCEA Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2024
Mkutano wa Kamishna Jenerali na Waandishi wa habari kuhusu Ukamataji wa gramu 692 za Cocaine
Просмотров 848 месяцев назад
Mkutano wa Kamishna Jenerali na Waandishi wa habari kuhusu Ukamataji wa gramu 692 za Cocaine

Комментарии

  • @lembrisgodfrey423
    @lembrisgodfrey423 3 дня назад

    Ww ni matako tu lekisongo hakuna mtu anaekutambua kwenye Jamie ya Wamasai banana yake ww ni mhujumu wa jamii na utaishia pabaya

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 13 дней назад

    Mimi Ningeshauri au Kuomba Watoto Wakike maana I think they may be under 30s, Watoto wa Kike Wanaotumika kwenye Biashara ya Madawa ya Kulevya Bila ya Wao Kujua, Nao Wasaidiwe Kama Victims, Hawa Watoto Wanaingizwa Kwenye Hii Biashara ya Mauti Kwa sababu ya Umasikini na Kutokujua... So Please Wasaidiwe au hata Wakipewa Adhabu isilingane na Wale Wanaingiza Madawa Hayo.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 13 дней назад

    I Wish Maaskari Wote Wangekuwa Maafisa Wa Kusaidia Jamii Kama Huyu Badala ya Kuwa Kama Watu Wa Kuwaogopa. He is such a Knowledgeable and Gentleman.

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola6964 24 дня назад

    😂😂😂😂

  • @MalaikaLaizer-r6n
    @MalaikaLaizer-r6n 29 дней назад

    Kuna nn aseee

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Месяц назад

    Wewe kiongozi mkuu nani alikupa hiyo nafasi na unafuta kazi kama nani?

  • @PAULNESPHORY
    @PAULNESPHORY Месяц назад

    I am watching this all the way from Tarime Mara. Tuko pamoja Paul Mgaya Psychologist Tarime Hospital.

  • @yassirrupia9902
    @yassirrupia9902 2 месяца назад

    Mungu akusimamie lyimo

  • @giftofhope7782
    @giftofhope7782 3 месяца назад

    Kwa pamoja tunaweza

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 4 месяца назад

    asante sana je nauliza wale naeuza madawa ya kulevya unajifanya uwaju wauzaji madawa ya kulevya mbona amuwasemi wengine ni mawaziri watoweni kwanza walioko ndani ya serekali ndio tujue yakwamba mnapenda maisha yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 4 месяца назад

    Wewe sio kiongozi mkuu wa Wamasai

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 5 месяцев назад

    Safi sana lakini. Watuhumiwa wakikamatwa ipitishwe sheria kifungo cha maisha watawacha watanzania wengi wamethirika juu ya wao

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 5 месяцев назад

    Skanka siyo dawa za kulevya huku SA zinauzwa kwenye masupa market, kama ilivyo milaa halali Kenya 😂😂😂

  • @Abdul-rahmanBakar
    @Abdul-rahmanBakar 5 месяцев назад

    Mtihani kweli

  • @JosephLolo-fw4mc
    @JosephLolo-fw4mc 6 месяцев назад

    Hi

  • @maramegamahega1991
    @maramegamahega1991 6 месяцев назад

    Tayson mwita 😢😢 namfahm

  • @mohamedlumanga5258
    @mohamedlumanga5258 7 месяцев назад

    Kazi safi kabisa @dcea

  • @veronicaromwald8311
    @veronicaromwald8311 7 месяцев назад

    Great

  • @sembetamsanga8576
    @sembetamsanga8576 7 месяцев назад

    Sema kingozi mkuu wa ilarusa sii wa Maasai kwa jadi Kimaasai hatufugi ndevu kihuni

  • @IsayaMedot
    @IsayaMedot 7 месяцев назад

    Uyu musee nimbua

  • @giftofhope7782
    @giftofhope7782 7 месяцев назад

    Tiba kazi Safi sana

  • @nyagakamau9502
    @nyagakamau9502 8 месяцев назад

    Je jina la mshukiwa mkuu ni nani?

  • @davidlaizerleyan5259
    @davidlaizerleyan5259 9 месяцев назад

    Kioangozi mkuu umepatikanaje kwenda zako mchumia tumbo

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 9 месяцев назад

    Ubaya hauna kwao,Bangi ni ushetani ambao umewaumiza familia nyingi sana.

  • @jeremiahmollel163
    @jeremiahmollel163 10 месяцев назад

    😅😅😅Kwendaaaaaaaaaaa huna jipya wewe mchumia tumbo

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe 10 месяцев назад

    Mwenyewe una vutaa bangi na naona unapenda kugia kwenye kapenii

  • @GanjaAttitude
    @GanjaAttitude 10 месяцев назад

    Legalize marijuana!

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 11 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @DicksonLengine-zw9wz
    @DicksonLengine-zw9wz Год назад

    Jamani ndug zetu vip tena huko

  • @MusaMajid-j7e
    @MusaMajid-j7e Год назад

    Aina xhida bangi sema 2 nima2miz mabay kwa hao wa2 wanaowap watot

  • @MusaMajid-j7e
    @MusaMajid-j7e Год назад

    Bangi aiwez ixha hadi viongoz wanavut

  • @leesmile9144
    @leesmile9144 Год назад

    Kazi iendelee

  • @kapenjekapwapwanya6751
    @kapenjekapwapwanya6751 2 года назад

    kazi iendelee kamanda