- Видео 823
- Просмотров 1 501 770
HABARI PLUS TV
Танзания
Добавлен 5 дек 2019
HABARI PLUS TV tunasukumwa na dhamira ya kupasha Habari kwa Jamii .Tunaahidi kutumia weledi wetu ili wewe mlaji wa habari zetu upate kile unachotegemea kwa ajili ya KUELIMIKA,KUBURUDIKA au kupata TAARIFA zitakazakusaidia katika kufanya maamuzi.
HABARI PLUS TV tunaheshimu uhuru wa kutoa maoni katika habari zetu mbalimbali tunazochapisha lakini hatutakuwa na uvumilivu kwa lugha za matusi,kejeli au kauli zisizo na staha iwe kwa mtazamaji au mhusika yeyote wa habari au taarifa iliyochapishwa.
Tukiongozwa na muongozo wa maudhui ya mtandanoni (Electronic and Postal Communications(Online Content)Regulations 2018) pamoja na sheria nyingine za nchi,tunaahidi kutochapisha taarifa au maoni ya mtu yenye mlengo wa kuchochea chuki dhidi mtu mwingine,taasisi au serikali hivyo maoni yenye chembechembe hizo yatafutwa bila kupewa taarifa kwa mtumaji na kama mtumaji huyo ataendelea na tabia hiyo ataondolewa.
Tunaomba ushirikiano wako ili tujenge jamii yenye upendo,amani na maadili mema.
HABARI PLUS TV tunaheshimu uhuru wa kutoa maoni katika habari zetu mbalimbali tunazochapisha lakini hatutakuwa na uvumilivu kwa lugha za matusi,kejeli au kauli zisizo na staha iwe kwa mtazamaji au mhusika yeyote wa habari au taarifa iliyochapishwa.
Tukiongozwa na muongozo wa maudhui ya mtandanoni (Electronic and Postal Communications(Online Content)Regulations 2018) pamoja na sheria nyingine za nchi,tunaahidi kutochapisha taarifa au maoni ya mtu yenye mlengo wa kuchochea chuki dhidi mtu mwingine,taasisi au serikali hivyo maoni yenye chembechembe hizo yatafutwa bila kupewa taarifa kwa mtumaji na kama mtumaji huyo ataendelea na tabia hiyo ataondolewa.
Tunaomba ushirikiano wako ili tujenge jamii yenye upendo,amani na maadili mema.
Видео
'HAKUNA SABABU YA KUPATA USHINDI WA CHINI YA ASILIMIA 80 CHAGUZI ZIJAZO'.
Просмотров 2122 часа назад
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) Taifa katika ukumbi wa Parokia ya Bombambili, Wilaya Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 28 Septemba, 2024.
RAIS SAMIA 'AFUNGUKA' SIJAWAHI KUUA HATA SISIMIZI, WAAMBIENI UKWELI.
Просмотров 642 часа назад
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) Taifa katika ukumbi wa Parokia ya Bombambili, Wilaya Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 28 Septemba, 2024.
WAVUVI WAAHIDI KUTOSHIRIKI UCHAGUZI MGOGORO USIPOPATA SULUHU
Просмотров 1274 часа назад
WAVUVI WAAHIDI KUTOSHIRIKI UCHAGUZI MGOGORO USIPOPATA SULUHU
WATUHUMIWA KUHUSIKA NA MATUKIO MFULULIZO YA MAUAJI JIJINI DODOMA
Просмотров 544 часа назад
#tanzania #tanzania #ccmtanzania #polisitanzania #police
WAKANDARASI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIKAMILIFU
Просмотров 414 часа назад
#tanzania#dodoma#wakandarasi#ccm
CHIFU WA JAMII YA WAHIJIU AJITOKEZA KUVILAANI VITENDO VYA KIKATILI
Просмотров 257 часов назад
#dodoma #tanzania #singida #mila#wananchi
LISSU: MIMI NI KING'ANG'ANIZI,FAMILIA YANGU INAOGOPA KURUDI NYUMBANI
Просмотров 7089 часов назад
#chadema #tanzania #dodoma #chademamedia #
UCHAGUZI NI MUHIMU,WANANCHI WAPEWE ELIMU ZAIDI
Просмотров 1312 часов назад
#tanzania #dodoma #ccmtanzania #wananchi #kura #uchaguzimkuu
ANGALIA MBOWE ALIVYO KAMATWA AKIWA ANAFANYA MAHOJIANO ENEO LA MAANDAMANO
Просмотров 1,4 тыс.14 часов назад
#tanzania #chadema #mbowe
RAIS SAMIA ATOA HESHIMA KATIKA KABURI LA KIONGOZI VITA YA MAJIMAJI
Просмотров 47914 часов назад
RAIS SAMIA ATOA HESHIMA KATIKA KABURI LA KIONGOZI VITA YA MAJIMAJI
RAIS SAMIA ATAKA KUDUMISHWA KWA UTAMADUNI NA NIDHAMU
Просмотров 12714 часов назад
RAIS SAMIA ATAKA KUDUMISHWA KWA UTAMADUNI NA NIDHAMU
TAMKO LA JESHI LA POLISI KUHUSU KUKAMATWA KWA MBOWE,LISSU,LEMA NA WAANDAMANAJI WENGINE
Просмотров 79714 часов назад
TAMKO LA JESHI LA POLISI KUHUSU KUKAMATWA KWA MBOWE,LISSU,LEMA NA WAANDAMANAJI WENGINE
WENGINE 8 WANASHIKILIWA KWA KESI YA MAUAJI
Просмотров 60019 часов назад
WENGINE 8 WANASHIKILIWA KWA KESI YA MAUAJI
UWT WAJITOKEZA KULAANI MAUWAJI YANAYO ENDELEA KUTOKEA
Просмотров 6619 часов назад
UWT WAJITOKEZA KULAANI MAUWAJI YANAYO ENDELEA KUTOKEA
KAMATI YA ULINZI KUANZA MKAKATI WAKUTOKOMEZA UKATILI
Просмотров 4921 час назад
KAMATI YA ULINZI KUANZA MKAKATI WAKUTOKOMEZA UKATILI
SERIKALI KUTEKELEZA MKAKATI WA KUWAWEZESHA WANANCHI
Просмотров 5121 час назад
SERIKALI KUTEKELEZA MKAKATI WA KUWAWEZESHA WANANCHI
MBUNGE MAVUNDE KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WANANCHI
Просмотров 3021 час назад
MBUNGE MAVUNDE KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WANANCHI
MAZISHI YA MTOTO ALIE UAWA KWA KUCHOMWA MOTO
Просмотров 125День назад
MAZISHI YA MTOTO ALIE UAWA KWA KUCHOMWA MOTO
SERIKALI YAFANIKISHA UPATIKANAJI WA MASOKO YA KIMATAIFA
Просмотров 20День назад
SERIKALI YAFANIKISHA UPATIKANAJI WA MASOKO YA KIMATAIFA
CHIFU WA WANGONI ALIVYOZIKWA NA WATU WAWILI WAKIWA HAI
Просмотров 75День назад
CHIFU WA WANGONI ALIVYOZIKWA NA WATU WAWILI WAKIWA HAI
PROF ELISANTE AFUNGUKA MAHAKAMA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA JUU
Просмотров 27День назад
PROF ELISANTE AFUNGUKA MAHAKAMA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA JUU
RAIS MWINYI ATAKA FURSA ZA MAENDELEO ZITOLEWE KIKAMILIFU KWA VIJANA
Просмотров 61День назад
RAIS MWINYI ATAKA FURSA ZA MAENDELEO ZITOLEWE KIKAMILIFU KWA VIJANA
JESHI LA POLISI LISIWE LA 'KIZEEZEE' LATAKIWA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAONI
Просмотров 15День назад
JESHI LA POLISI LISIWE LA 'KIZEEZEE' LATAKIWA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAONI
KWA WANAOCHOCHEA VURUGU SITAWAFUMBIA MACHO
Просмотров 51День назад
KWA WANAOCHOCHEA VURUGU SITAWAFUMBIA MACHO
Chimendel pameanza kuchangamka
Amani bila haki nchi ya fisiemu
Naomba mnipatie nafasi hizo
Sawa kiongozi tuko pamoja
⛽⛽⛽⛽⛽
Mlimuona diamond alivyotoa burudani ?kaupiga mwingi , ndio furaha na amani unaotakiwa,hayo mengine ni zenu,sijui kutekwa,sijui kuuwawa ,sijui maisha magumu ,sijui nini mnayajua ninyi ,uko wapi wew vip hamuungani kula bata la amani
Anavyo jiondoa ufaham utafikir maandamano ni kosa la uaini ila wange andamana ccm kumpongeza mama wange wapa ulinz na kuyasfia mama anaupiga mwingi haya mazee mungu ayachukue tu
😂😂😂 apo nicheke
Kwani msoma magazeti wa mwanzo yuko wapi? Huyu hatumuelewi aiseee
SALUTE MAMA SAMIA NICE EXCELLENT
Bado endeleeni kuamini serikali, wao waliojuu haya maswala hayawakuti
Wewe achia icho kiti kwanza ndio huone kama wananchi awatapata uduma
Tunaomba serekari itusaidie vitendo vaa ukatiri zimezidi
Mfumo huu sidhan kama utakuwa na manufaa na utapata watu Bora zaidi Kwa sababu hamjui changamoto tulizokutana nazo huku,pia mfumo huu hauko kwenye usawa Kwa sababu hamuelewek kwenye maksi za kuchukua kwann msinge chukua wastan wa kawaida 50 mkachuja hadi ya mnavyotakaaa??? Serikali sijapendezwa na mfumo huu, haya ni maoni yangu. Kaeni chini mshauriane upya
Ndio hapo Sasa je mtu akiomba mwakani wakaanza kuchukua 90% wakati mtu kapata 80% hawaoni kuwa ni mfumo wa kijinga sana tena unamuua kabisa maskini. Halafu watu wenye pesa wanaiba mitihani wanapeana majibu wanapata 98% halafu maskini hajapa majibu ya mtihani kapata 56% halafu anaambiwa not selected😡😡😡. Watu watafikia hatua watailaanj hii serikali nzima Kwa uonevu wao. Kwanini wasirudishe ule mfumo wa ajira TAMISEMI? Au walete usaili wa oral TU na huo usaili wa kuandika ni uharibifu wa rasilimali za Taifa tu
uyo jamaa kwaza afilwe alafu onyongwe
Tunajua umeumia sana,tuna kusii tumia lugha yenye staha.
Huyu jamaa naye ni wakunyonga tu si wagereza
𝕁𝕒𝕞𝕒𝕟𝕚 𝕛𝕒𝕞𝕒𝕟𝕚 𝕜𝕨𝕒𝕟𝕚 𝕜𝕒𝕞𝕒 𝕞𝕜𝕖𝕠 𝕙𝕒𝕜𝕦𝕣𝕚𝕕𝕙𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕤𝕚𝕨𝕒𝕟𝕒𝕨𝕒𝕜𝕖 𝕨𝕒𝕞𝕖𝕛𝕒𝕒𝕒😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢𝕦𝕟𝕘𝕖𝕞𝕦𝕖𝕜𝕖𝕒 𝕙𝕒𝕥𝕒 𝕤𝕦𝕞𝕦 𝕝𝕒𝕜𝕚𝕟𝕚 𝕦𝕝𝕠𝕞𝕗𝕒𝕟𝕪𝕚𝕒 𝕞𝕥𝕠𝕥𝕠 𝕛𝕒𝕞𝕒𝕟𝕚 𝕨𝕖 𝕞𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕞𝕖 𝕙𝕒𝕦𝕟𝕒 𝕦𝕥𝕦😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭
Ila Jamani kweli na kurecod video kusambaa mtandaoni hata haibu hakuna mnalete mawakili nanyie mawakili huyo binti angekuwa mtoto wenu mngejisikiaje jamani binti kapata fedheha dunia nzima inajua leo mnatetea wabakaji kweli jamani😭
Ni Sheria ilivo na n haki yao kusimama na mawakili mahakamani
Mnatetea wabakaji,waendelee nakazi yao maana mtuumiwa yupo kwenye pingu anatishia yule dada mwaandishi wahabari,acheni hizo,kwaza inatakiwa kabla yakuingia kujibu tuuma chai yabakora kumi kila mtu shezi kabisa.
Habari plus ipo sehem gn hii
Bora aboud kajiongeza mapemaaa kashanyaka route mikoa mingne afu yuko fit hawanyanyasi abiria vifurushi bei poa kulingana na hali wanao kazia hawabebi mzgo wa buku ten endelea kulia😂
Haina namna kila jambo na wakati wake hata mwanzo mabasi ndio yaliiuwa treni sasa kimewarudia muanze kuangalia mipakani mkasombe Wakenya,warundi congo msumbiji na malawi muwalete nchini.
Tafuteni biashara zingine za kufanya, kwani ni lazima mfanye biashara ya mabasi peke yake? Kwanza mna endesha mabasi hovyo kwa hatari sana! Washa kufa watu wengi sana, ina tosha sasa, tafuteni kazi za kufanya, hata kilimo pia ni utajiri! Achaneni na TRC / SGR ina saidia watanzania vizuri sana! Na bado mikoa mingine yote ya Tanzania 🇹🇿 SGR ita fika si muda mrefu! Sijui mta fanya nini sasa (thatha) 🤔? 🤪! Nendeni mka lime vijijini 😏
Hiki ndo kilicho chelewesha maendeleo Tanzania kwa miaka mingi ,matajiri wamekua wakiicontrol serikali kwa masilahi yao binafsi, sasa hicho nikitu chakulaumu au nikitendo chakuomba ruti nyingne ,mbon tanzania nikubwa sana
Pelekeni gari kigoma , katavi, sumbawanga. Kuna changamoto ya magari 😂😂😂
Aloooo weeeee!!😂
🎉🎉🎉
Subhanallah tumuogopeni Allah tuwe na huruma enyi binaadam
Nauli ya mabasi na sgr zote zinalingana halafu ukiangalia sgr inatumia muda mfupi kuliko bus so watu wengi lazima wakimbilie sgr
Mritulingia sana bhna
Kwani lazima muende dr 2 mbn mikoa ipo kibao
Badirisheni rut
safi sana Mh Jafo. Ila viwanda 3 kila mwaka kwa Mkoa kweli hii ni feasible Mheshimiwa? halafu, swala la kodi bado w/biashara wanalilalamikia sana kiongozi wetu
badilisheni ruti wazee
Watu wamabasi mulitutesa sana munapandisha bei mukijisikia nyie
Fanyen kz km Dala Dala ili mrad usikae bure t yn mukifanu hv n jamb zr t mn ht nch z wezet ziliz endeley zilikuw hv hv lakn walibadilish mtazam n uchumi ukazid kukuwaz ht sk moj hakun aliye Zoey shid lkn chukuwen abiria hp hp Jin t Sy lazim ufany safar z MD mref n hatar kw afy kukaa ktk basi mda mref n gharam kw kil kt mfan hai tunasikiy kuw kumetoky ajal wat wamekufa yn Iko hv tubadiliken n ss
Usilazimish badilishen ruti yn munatafut abiria hp hp munawapelek mjin Yan ik hv Sy lazim uwend mikowan fanyen mpag w kuchukuw abiria kutok kariakoo kuwapelek mbez
Washaurini maboss zenu wapeleke basi mikoa mingine
Tunapenda tupate habari na sio muziki!.
Poleni sana kila jambo lina sura ya faida na hasara. Kweli kabisa athari ni kubwa na tunashukuru sana kwa uwepo wa mabasi mnasaidia sana. Kulikuwa na kero sana usafiri Kati ya Dodoma na Morogoro baadhi ya mabasi wanakuambia hakuna gari ya Morogoro ila kuna gari ya Dar inayopita Morogoro Kwa abiria walilazimika kulipa nauli ya Dar wakati wanaenda Morogoro. Magari mengine watakukatia nauli halali ya Morogoro lakini uwe tayari kutumia masaa 7 Dodoma-Morogoro maana utadanganywa gari inaondoka sasa hivi mtakaa masaa 3 stendi na hela hawawezi kurudisha. Mteja ni mfalme pale bado hujatoa hela ukishatoa pesa basi mteja huna thamani tena. Bado tutaendelea kuhitaji uwepo wa njia mbadala ya usafiri kama mabasi. Hakuna changamoto bila mlango wa kutokea kuneni vichwa njia itapatikana. Watakao baki kwenye mchezo ni wale wabunifu.
Mama nini, Nenda Kalime bwege wewe. Kazi sio uajenti tuu. Nendeni mkalime, muwauzie chakula waKenya wana njaa sana. Hoja hiyo SGR ifike Mwanza ndo mtaona sasa
Pelekeni mabasi mikoani kwaiyo ampendi mama anacho fanya
Kwenye sgr hatufokewi
Wame zoea kufokea na kutukana watu, na kisha nauli zao ghali mno 😂
Kwaiyo nchi isifanye maendeleo msikilizwe nyie wapiga debe
Kutesa kwa Zamu Acheni Figisu Zenu.
Sasa mnataka tusafiri msaa 7eti achen janjajanja .mbona kuna mikoa haina usafir simpeleke huko
Kila siku nasema hii nchi ikiendelea kila kitu kikawepo kama tunavyolilia ndi kila raia akili itaanza kufanya kazi. Hapo ni SGR nja moja tu kilio kimeanza.vipi ikiingia ARUSHA TANGA MTWARA NA KWINGINE. VIPI MELI ZIKIJAA MAJINI,VIPI BARABARA ZA LAMI ZIKAWA KILA KIJIJI,VIPI National Housing wajenge nyumba kila kata
Kwa hili siunhi mkono ng'o achane watanzania wapate huduma kadiri ya viwango vyao sio kwamba mabasi mlifanya vibaya haoana lkn kwa maendeleo haya ya kuoanua huduma za usafiri kwangu ni fahari sana, wamiliki wa mabasi kuweni wabunifu ili biashara yenu iendelee tusikarir
UBAYA UBAYA TU