NIA 24 TV
NIA 24 TV
  • Видео 1 215
  • Просмотров 371 790

Видео

CHANGAMOTO YA DARAJA YAWAIBUA WANANCHI MALINYI, DC AFIKA KWA PIKIPIKI
Просмотров 86 часов назад
#nia24tv #morogoro #samiasuluhuhassan #polisitanzania
WANANCHI CHALINZE WALALAMIKIA VITONGOJI VYAO KUFUTWA, WAMTAJA RAIS SAMIA
Просмотров 157 часов назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan
AUWAWA KISA SH. 200 YA KAMARI / DEREVA GARI YA TAKA ANASWA KUSABABISHA AJALI ILIYOUA WAWILI MORO
Просмотров 379 часов назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan #agriculture
WAMI RUVU,WWF, TBL WAJENGA BIRIKA LA MIL 72 KUZUIA UHARIBIFU MTO RUVU.
Просмотров 1816 часов назад
#nia24tv #morogoro #samiasuluhuhassan #agriculture #polisitanzania
WANANCHI "LUPUNGA" WALIA NA SERIKALI ENEO LAO KUCHUKULIWA NA HIFADHI -MALINYI
Просмотров 1516 часов назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan #agriculture
"JESHI LA POLISI MOROGORO TUPO TIMAMU" RPC MKAMA
Просмотров 41День назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan
KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA, WAZIRI MKUU MAJALIWA WATETA
Просмотров 13День назад
#nia24tv #morogoro #samiasuluhuhassan #majaliwa
AJALI YA LORI LA MAFUTA NA KENTA YAUA WAWILI MIKESE MORO
Просмотров 12814 дней назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan
UCHUNGUZI! KIFO CHA MTOTO WA MIAKA 5 ALIEUNGUA NA MOTO KATIKA SHAMBA LA MIWA KILOMBERO
Просмотров 1914 дней назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #samiasuluhuhassan
#SAMIA KILIMO BIASHARA EXPO 2024 GAIRO KUJA NA MAMBO HAYA MAKUBWA
Просмотров 814 дней назад
#nia24tv #morogoro #polisitanzania #agriculture #samiasuluhuhassan
DHANA YA KILIMO BIASHARA NA FAIDA ZAKE KWA WANANCHI
Просмотров 2414 дней назад
DHANA YA KILIMO BIASHARA NA FAIDA ZAKE KWA WANANCHI
MWANARIADHA WA KIMATAIFA ASHINDA MITA ELFU 10 MASHINDANO YA MAJESHI MORO
Просмотров 2021 день назад
MWANARIADHA WA KIMATAIFA ASHINDA MITA ELFU 10 MASHINDANO YA MAJESHI MORO
SAKATA LA KUFUTWA UONGOZI CHAMA CHA MPIRA MORO WADAU WAHOJI
Просмотров 2621 день назад
SAKATA LA KUFUTWA UONGOZI CHAMA CHA MPIRA MORO WADAU WAHOJI
AJALI YAUA WANNE, 15 WAJERUHIWA MAGARI MATATU YAKIGONGANA MIKESE MOROGORO
Просмотров 34021 день назад
AJALI YAUA WANNE, 15 WAJERUHIWA MAGARI MATATU YAKIGONGANA MIKESE MOROGORO
POLISI JAMII CUP MIKESE YAANZA KUTIMUA VUMBI, YATAJWA KUPUNGUZA MIGOGORO WAKULIMA NA WAFUGAJI
Просмотров 9328 дней назад
POLISI JAMII CUP MIKESE YAANZA KUTIMUA VUMBI, YATAJWA KUPUNGUZA MIGOGORO WAKULIMA NA WAFUGAJI
UONGOZI CHAMA CHA MPIRA WILAYA YA MOROGORO WAFUTWA, UCHAGUZI KURUDIWA UPYA
Просмотров 13228 дней назад
UONGOZI CHAMA CHA MPIRA WILAYA YA MOROGORO WAFUTWA, UCHAGUZI KURUDIWA UPYA
WANANCHI WAFUNGA BARABARA MORO -DODOMA, WATAKA MATUTA, ALAMA ZA BARABARANI
Просмотров 5228 дней назад
WANANCHI WAFUNGA BARABARA MORO -DODOMA, WATAKA MATUTA, ALAMA ZA BARABARANI
"UGONJWA UNAOATHIRI WATU WENGI BILA YA WAO KUJUA" AMAN MWAIPAJA
Просмотров 4528 дней назад
"UGONJWA UNAOATHIRI WATU WENGI BILA YA WAO KUJUA" AMAN MWAIPAJA
POLISI JAMII CUP YACHAGIZA UTOAJI ELIMU DHIDI YA VITENDO VYA UHALIFU, YAIBUA VIPAJI
Просмотров 35Месяц назад
POLISI JAMII CUP YACHAGIZA UTOAJI ELIMU DHIDI YA VITENDO VYA UHALIFU, YAIBUA VIPAJI
TAHARUKI! WAPANGAJI WATUPWA NJE NA VITU VYAO SAA 11 ASUBUHI, NYUMBA IMEUZWA
Просмотров 41Месяц назад
TAHARUKI! WAPANGAJI WATUPWA NJE NA VITU VYAO SAA 11 ASUBUHI, NYUMBA IMEUZWA
WANANCHI KILOSA WAFUNGA SHULE, ZAHANATI WAITAKA SERIKALI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI
Просмотров 23Месяц назад
WANANCHI KILOSA WAFUNGA SHULE, ZAHANATI WAITAKA SERIKALI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI
MTOTO BOMBA AWARDS 2024 YAIBUA MAZITO "WAZAZI PUNGUZENI MAJUKUMU"
Просмотров 43Месяц назад
MTOTO BOMBA AWARDS 2024 YAIBUA MAZITO "WAZAZI PUNGUZENI MAJUKUMU"
TAZAMA! DC KILAKALA MBELE YA WAFANYABIASHARA WALIOGOMA MORO, ATOA KAULI HII
Просмотров 40Месяц назад
TAZAMA! DC KILAKALA MBELE YA WAFANYABIASHARA WALIOGOMA MORO, ATOA KAULI HII
#TAHARUKI! WAFANYABIASHARA SOKO LA CHIFU KINGALU MORO WAGOMA, WAFUNGA BARABARA
Просмотров 65Месяц назад
#TAHARUKI! WAFANYABIASHARA SOKO LA CHIFU KINGALU MORO WAGOMA, WAFUNGA BARABARA
UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA WAFIKIA 98.5% MANISPAA YA MOROGORO- MEYA
Просмотров 16Месяц назад
UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA WAFIKIA 98.5% MANISPAA YA MOROGORO- MEYA
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA CUBA UTAFITI MIMEA TIBA - MAJALIWA
Просмотров 3Месяц назад
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA CUBA UTAFITI MIMEA TIBA - MAJALIWA
MADIWANI MANISPAA YA MOROGORO WAUTAKA MJI WA KIUCHUMI, WAFUNGUKA HAYA
Просмотров 16Месяц назад
MADIWANI MANISPAA YA MOROGORO WAUTAKA MJI WA KIUCHUMI, WAFUNGUKA HAYA
SEKESEKE WAMAMA WAJAWAZITO KUUZIWA KADI ZA KLINIKI, TAKUKURU WABAINI HAYA
Просмотров 10Месяц назад
SEKESEKE WAMAMA WAJAWAZITO KUUZIWA KADI ZA KLINIKI, TAKUKURU WABAINI HAYA
ABIRIA WAIHUJUMU TRENI YA SGR, TAKUKURU YAINGILIA KATI YATOA TAMKO
Просмотров 82Месяц назад
ABIRIA WAIHUJUMU TRENI YA SGR, TAKUKURU YAINGILIA KATI YATOA TAMKO

Комментарии

  • @paschalkigala6628
    @paschalkigala6628 6 дней назад

    Namba zake ninazo

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 8 дней назад

    1. MWONEKANO - MUNGU Mwenye Enzi, YESU KRISTO anaangalia ndani na nje. 1 Wakorintho 6:19, 1 Samwi 16 :7 - Usisahau sisi hatuoni ndani, tunaona nje. - Ukishaokoka unapongezwa na malaika wanashangalia, ila unaingia kwenye ulimwengu, mji na njia ya utakatifu ambao bila huo hakuna atakayemwona MUNGU na ambao ni matokea ya kulitii NENO LA MUNGU. Waebrania 12 : 14, Ufunuo Wa Yohana 21: 27 Yupo Kahaba Mmoja na Mkuu, Bibi Wa Uchawi na Yule Mwanamke aliyeketi juu ya Mnyama anayewauza mataifa kwa uzinzi wake na uchawi wake. a.ka Malkia wa Pwani (Queen of the Coast) au Yezebeli. aliyejipenyeza kwa siri katika kanisa fulani nakuabudiwa kama mtakatifu.(Soma Ufunuo 13:11) Ufunuo wa Yohana 2:20 Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. Nahumu 3: 4 Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa yule kahaba mzuri, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake. Soma; Ufunuo wa Yohana 17:1-18 Amekaa juu ya wanawake wengi kupitia a) Vichwani mwao Nywele za huyo kahaba wanazoweka (nyele bandi), kope, makeup, lips-coloring,hereni,vipini, azama n.k Soma; 1 Petro 3: 3-4, 1 Timotheo 2:9-14, (b) Miili Yao Kucha bandia, mapambo ya dhahabu, suruali wanazovaa, chupi za G-String, n.k Soma; Isaya 3: 16-24, Kwa kupitia vitu hivi vya njee, huyu kahaba ameingia na kufanya kazi na wanawake wengi katika kuwaongoza ndani ya dibwi la uzinzi na katika kumtumikia YESU KRISTO Chini ya hasira yake, huku wakijua wamejazwa ROHO MTAKATIFU. Amekaa ndani ya waimbaji wengi wa kike, matokea yake amechafua na kuharibu ndoa zao nyingi, hao wanaojiita manabii amewageuza wazinzi wakutupwa. Wote akiwaandaa na ziwa la moto na kiberiti. Imenenwa watatupwa juu ya kitanda ( cha mateso makali) na pia kitanda kile ni kifupi asiweze mtu kujinyoosha juu yake. Isaya 28:20 Ufunuo wa Yohana 2:22 Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao wazinio pamoja naye, wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yake; Huyu kahaba amezaa manabii mitume na watumishi wengi wa MUNGU, Lengo kuu ikiwa nikulipotosha kanisa na kufunga kabisa mlango wa wokovu wa kweli kwa mwamini. Ufunuo wa Yohana 2:20 Anatoa moto wa kigeni mfano wa moto wa ROHO MTAKATIFU, ndani ya wote walio chini yake, Wengine wakijua wengine wakiwa hawajui. Mambo ya Walawi 10:1 Ndugu, MUNGU hadhihakiwa njia ni Takatifu na wengi wanaopita humo wanaoneka kama ni wajinga lakini hao ndio ambao hawatapotea. Isaya 35:8 USHAURI KWA IRENE. 1. (a)Anza na Utakatifu wa nje. (b) Imarisha utakatifu wa ndani, ondoa hasira chuki, tamaa, mawazo mabaya n.k 2. Ondoa/Futa kwa kadiri uwezavyo maudhui yote unayojua hayampendezi MUNGU, Katika mitandao na ndani mwako. 3. Jitenge na vyote unavyoona havimfurahishi MUNGU, Ikiwemo sanaa na nyimbo za uovu. 4. Lisome na ulijue sana NENO LA MUNGU, Huo ndio wokovu na ndio msingi. Wengi wamejenga msingi wa wokovu wao nje ya NENO LA MUNGU, (ingawa wengine wanalijua na bado wamengofoa hili na kuacha hili) Ndio maana habari ya utakatifu ni stori za kuchekesha kwao. 5. Makanisa mengi ya ibada nyakati hizi yamejawa na nyimbo na nyimbo, WEWE JIELEKEZE KATIKA MAOMBI NA NENO, Na Kulitenda Hapo. UTAOKOKA. 6. Unaposali au unapoenda kanisani, Onyesha Heshima kwa MUNGU. FUNIKA KICHWA CHAKO. Soma: 1 Wakorintho 11: 3 - 15. MWISHO. NENO LA MUNGU Limesimama Imara Mbinguni. Hata Mwanadamu akilipuuizia na kulikanyagia duniani ila mbinguni limesimama imara. Zaburi 119: 89-90 89, Ee Bwana, neno lako lasimama Imara mbinguni hata milele. 90, Uaminifu wako upo kizazi baada ya kizazi, Umeiweka nchi, nayo inakaa. Soma: Isaya 28 :16

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs 8 дней назад

    Waende ukren wakageizwe wapishi

  • @WallaceJustine-nk5nx
    @WallaceJustine-nk5nx 9 дней назад

    Wafanyakazi wa ccm na Wala sio raia

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 11 дней назад

    Pelekeni hait awa wanakiu ya mapambano

  • @mupanobrand9716
    @mupanobrand9716 11 дней назад

    😂😂😂😂 Mazoez ni afya. Elewa kuifahamu himaya

  • @AffectionateChocolateBon-ef4zt
    @AffectionateChocolateBon-ef4zt 15 дней назад

    Mungu akutie nguvu Erin akupiganie mana wokovu si mchezo hata utukanwe komaa na yesu

  • @mungunimwemakilawakati1299
    @mungunimwemakilawakati1299 16 дней назад

    WEWE UNAYEHUKUMU NI MSAFI??????

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 24 дня назад

    Anapatikana wapi?

  • @RahmaKhamissi-dh5ie
    @RahmaKhamissi-dh5ie 26 дней назад

    Mungu akubariki sana ❤❤❤❤

  • @SwahiliPlatforms
    @SwahiliPlatforms 27 дней назад

    Piusi kakayangu amefariki kwenye ajali hii nashukuru sana ripoter wa tukio hili kesho jumapili tutamzika mgeta bunduki

    • @nia24tv28
      @nia24tv28 26 дней назад

      Pole sana Kwa Msiba huu

  • @JACKSONMWIZARUBI
    @JACKSONMWIZARUBI 27 дней назад

    Polen sana kwa ajali na pole kwa wafiwa wote Mungu awatie nguvu katka kipndi hiki kigumu Amina

  • @fatumaissa101
    @fatumaissa101 27 дней назад

    Mimi naitaji

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv 28 дней назад

    Hongera tulikuwa kama ww Yesu katuokoa

    • @EDWARDKISHIMBO
      @EDWARDKISHIMBO 27 дней назад

      Dada ongera Kwa wokovu ,by mchunga E kishimbo Arusha tengeru chama

    • @EDWARDKISHIMBO
      @EDWARDKISHIMBO 27 дней назад

      Dada ongera Kwa wokovu ,by mchunga E kishimbo Arusha tengeru chama

    • @EDWARDKISHIMBO
      @EDWARDKISHIMBO 27 дней назад

      😊r4*in😊😊😊❤

  • @remmyyasinti1939
    @remmyyasinti1939 29 дней назад

    👊

  • @MariamAgustino-z8y
    @MariamAgustino-z8y Месяц назад

    Amen Mungu mwema kila wakati

  • @hemedichabu1089
    @hemedichabu1089 Месяц назад

    Kazi nzuri sana,,,,

  • @JUDITHMGAYA
    @JUDITHMGAYA Месяц назад

    Zijaribun hizo roho ili mjue kama zatokana na Mungu au la. Mungu atusaidie sana maana kinachotuponza ni pesa😢

  • @piimediatz4589
    @piimediatz4589 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @msjtv8760
    @msjtv8760 Месяц назад

    🎉🎉🎉

  • @MONICADUNIAMAGILI-wd6ix
    @MONICADUNIAMAGILI-wd6ix Месяц назад

    Na jee nanamba yenu nataka pap

  • @MONICADUNIAMAGILI-wd6ix
    @MONICADUNIAMAGILI-wd6ix Месяц назад

    Ni bei gan hiyo pap ya kumwalia shamba sola?

  • @celinengonna427
    @celinengonna427 Месяц назад

    Irine kuokoka sio mchezo laxima uwe ushuhuda na kielelezo wafadhiri wako wanageria mmh umeshajiunga freemason unatumia kivuli cha kanisa unaingia kanisani na vikuku unamuangalia Mungu na mawani mbona ndani mwako sijaona hata Neno la Mungu ambalo ndio wokovu na Yesu hamtaji mlokole gani? Acha usanii unachotangaza ni usanii au unaact move mpya. Acha Acha Acha Acha

  • @AsiaasiaAsiaasia123
    @AsiaasiaAsiaasia123 Месяц назад

    Safi sana dada

  • @douglasochieno3358
    @douglasochieno3358 Месяц назад

    Na sasa mbona unafungua kanisa na bado uko na mapambo ya kisani nikipi utawafundisha waumini kuhusu mahubiri ya mapambo mwilini ju tunaona bado moyo wako uko kwa tamaa za mapambo unajaza mwilini mwako makucha bandia nywele mikorogo ya mapambo bado yako moyoni mwako omba mungu akuguse kwa ajili ya kutoka kwa Mambo ya mapambo

  • @adammassomo342
    @adammassomo342 2 месяца назад

    Unapatikana WAP baba

  • @IreneShigunda
    @IreneShigunda 2 месяца назад

    Kidoti683

  • @consolatagowelle1618
    @consolatagowelle1618 2 месяца назад

    Barikiwa nabii

  • @meck9so9
    @meck9so9 2 месяца назад

    Namba hii

  • @isamony58
    @isamony58 2 месяца назад

    Makubwaaa😅😅

  • @honorinasalema6301
    @honorinasalema6301 2 месяца назад

    Mungu akubariki Prophet.

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 2 месяца назад

    Irene mpendwa nikikusikiliza nasikia raha hata machozi yananitoka umeugusa moyo wangu. Uko serious na Mungu nakuona ukiwa Mtumishi mkubwa siku zijazo. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.

  • @ChrestinaTina-jl9cs
    @ChrestinaTina-jl9cs 2 месяца назад

    Amen

  • @NicholausMziray
    @NicholausMziray 2 месяца назад

    Futa hizo tatuu Mtumishi wewe sio wa mataifa tena

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 2 месяца назад

    Irene nakupenda sana Toka zamani lkn sasa ivi nimekua nakupenda zaidi ya sana kw Huo uamuzi wako,zaidi kubarikiwa Ameen

  • @Blandinalugina
    @Blandinalugina 2 месяца назад

    Blandina lugina

  • @SalumuBakari-w8r
    @SalumuBakari-w8r 3 месяца назад

    Jamani gharama zipoje

  • @EfraziaMashiri
    @EfraziaMashiri 3 месяца назад

    Mungu amekuonekania jamanii hongera❤😊 ila sasa vikuku hvy miguuni jamniii

  • @lweikizedmond114
    @lweikizedmond114 3 месяца назад

    Kuna mtu kuokoka ni jambo moja na ni muhimu zuri . Lakini mtu kuwa mchg si jambo jepesi kama tunavyodhani. Biblia imeonya sana kabla mtu hujawa muhudumu kwa wengine baada ya kuokoka anapaswa kukaa kwanza chini ya watu maalum walio na uwezo kuliko yeye ili kumtengeneza na kumpa miongozo sahihi.Ndivyo ilivyokuwa utaratibu wa Biblia tangu Agano la kale na Agano jipya. *Ni sawa na kutaka kuwadereva wa chombo chochote kabla hujajifunza namna ya kukiendesha,mwisho wa siku nikuingiza abiria kwenye magorongo. * Tujifanze kwa Musa kabla haijatumwa kwenda Misri kabla kuwakombo wana wa Israel,Sauli kabla hajawa Paulo, Kornelio,Samwel n.k.

    • @blandinajoseph1291
      @blandinajoseph1291 Месяц назад

      Watu wengi wapo gizani hawaelewi,kuokoka ni sawa lkn umeokoka hapohapo na uchungaji umejifunza lini??? Na kufunguka kanisa hapo hapo kitaeleweka baadae,natutajua magugu na ngano soon.

  • @SabihaRajab
    @SabihaRajab 3 месяца назад

    Hahahaaaaa ushajiunga rasmin na chama cha kuwauwa maalbino

  • @goaf2023
    @goaf2023 3 месяца назад

    Dah hi nouma aisee sasa si itakuwa nchi nzima sasa

  • @aneth520
    @aneth520 3 месяца назад

    Toa miwani hiyo labda kama unaumwa macho

  • @HappyKitupya
    @HappyKitupya 3 месяца назад

    Mbona sioni anamtaja Yesu? Anamwogopa maana anafanya kinyume na utaratibu wake, embu acha kuekt ww mama ipo utakuja Lia na huwo uchangaji wako bandia angalia ata unavyo ongea Ni uwongo mtupu, Wala kwel haimo ndani yako, eti mchungaji umevaa vikuku mguuni

  • @WitinessJoseph
    @WitinessJoseph 3 месяца назад

    Mungu akutangulie na azidi kukutia nguvu

  • @happynesmchele8537
    @happynesmchele8537 3 месяца назад

    Atabadilika tu msimhukmu mungu yupo atambadilisha

  • @devotajaphet7312
    @devotajaphet7312 3 месяца назад

    Ubarikiwe Irene, acha wapige kelele ww kaza mwendo kwani mtume Paulo mbona alikuwa akiua watu wa Mungu alipokuwa akiitwa Sauli lakini Mungu alimwita kwa kazi yake,

  • @NyorokaNyenge
    @NyorokaNyenge 3 месяца назад

    Nenda shule bas ukasome kwanza. Ndo uje.elimu ya kimbingu inahitaji roho mtakatifu na maarifa.sasa ili upate maarifa.nenda shule.

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 3 месяца назад

    Hiyo miwani sasa mmmm

  • @peterelisha1958
    @peterelisha1958 3 месяца назад

    Nimeona tattoo😂

  • @gladishaule9261
    @gladishaule9261 3 месяца назад

    Umeanza hatua ya kwanza, hatua nyingine ni kuachana na kucha za kubandika, kope za bandia, mavazi ya waziwazi, na nywele zitofautishwe na wasio mjua MUNGU..zisichachamae kichwani..na mengine roho mtakatifu atakavyookuelekeza kwa ajili ya hekalu lake.. Barikiwa sana..