- Видео 57
- Просмотров 5 566
BIBLIA IACHE ISEME
Добавлен 22 сен 2023
To present the THREE ANGELS MESSEGES of revelatio 14:6_13 in line with the foundational truths of adventisim as taught by the pioneers of SDA faith from 1840-1844
Видео
TAZAMA SWALI LAJIBIWA KWA UFASAHA KABISA
Просмотров 16Месяц назад
TAZAMA SWALI LAJIBIWA KWA UFASAHA KABISA
KATI YA BIBLIA NA QORAN KITABU GANI CHA MUNGU
Просмотров 102 месяца назад
KATI YA BIBLIA NA QORAN KITABU GANI CHA MUNGU
MCHUNGAJI WA SDA AAIBIKA MBELE YA WASHIRIKI WAKE
Просмотров 153 месяца назад
MCHUNGAJI WA SDA AAIBIKA MBELE YA WASHIRIKI WAKE
QORANI YADAI WAAFRIKA HAWAENDI MBINGUNI
Просмотров 23 месяца назад
QORANI YADAI WAAFRIKA HAWAENDI MBINGUNI
YUSUF AAIBIKA BAADA YA KUJIBIWA SWALI
Просмотров 33 месяца назад
YUSUF AAIBIKA BAADA YA KUJIBIWA SWALI
AKUNA MUISLAMU DUNIANI ANAWEZA KUJIBU HII HOJA
Просмотров 83 месяца назад
AKUNA MUISLAMU DUNIANI ANAWEZA KUJIBU HII HOJA
NI KINA NANI WALIANDIKA QORANI? WALIAMRISHWA NA NANI KUANDIKA? NA WALIONGOZWA NA NANI?
Просмотров 123 месяца назад
NI KINA NANI WALIANDIKA QORANI? WALIAMRISHWA NA NANI KUANDIKA? NA WALIONGOZWA NA NANI?
KUMBE MTUME NA MASWAHABA WAKE HAWAKUBWEKA ASUBUHI
Просмотров 23 месяца назад
KUMBE MTUME NA MASWAHABA WAKE HAWAKUBWEKA ASUBUHI
ONYO KWA WANAMATENGENEZO MIGODOMANI PR J MUTISYA
Просмотров 274 месяца назад
ONYO KWA WANAMATENGENEZO MIGODOMANI PR J MUTISYA
Waislamu washindwa kukutea ijumaa
Просмотров 3,1 тыс.6 месяцев назад
Waislamu washindwa kukutea ijumaa
UJUMBE KWA WAALIMU, KWA MIPANGILIO YA KAZI YA MUNGU
Просмотров 138 месяцев назад
UJUMBE KWA WAALIMU, KWA MIPANGILIO YA KAZI YA MUNGU
BAADHI YA MAANDIKO YANAYOTUMIWA VIBAYA
Просмотров 369 месяцев назад
BAADHI YA MAANDIKO YANAYOTUMIWA VIBAYA
Nakuombaea Kwa MUNGU tufike mbinguni titokaonane wooote
Barikiwa mtumishi
Amen
Amina
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU
Walolaaniwa ni miongoni siyo wote
Amen
Mbarikiwe sana watu WA MUNGU wanamatengenezo Eneo la MATANOMANE
Mchungaji Ndacha mungu akuongezee maisha mema ili uweze kuwaelimisha wasiomjua mungu wa kweli.
😂😂😂 huyu mchungaj ni muongo
Wapendwa mu subscribe
Barikiwen sana watumishi WA MUNGU
Paulo
ILA SABATO siyo siku, Sabato ni kupumzika katika Imani ya Yesu Kristo , matendo Yaliyofanyika kwenye Torati yalikamilishwa na ujio wa Yesu Kristo, mafumbo yakawa wazi, Jinsi Mungu alivyofanya kazi akapumzika siku ya Saba, ndivyo hivyo Wakristo wanahitajika kuacha matendo ya Sheria na kupumzika katika Imani ya Yesu Kristo,
Toa andiko
Napenda sana ndacha unavofundisha injili ya Bwana wetu Yesu kiristo amakika Mungu akulinde
Dacha wapi msomaji wako Paul, napenda usomaji wake
Great good broo🎉🎉
Amen
Amen 🙌🙌🙌🙏
Waambie wakupatie mp system ndio uanze kueneza uongo wako na wewe.
Uongo upi?
wimbo mtamu sana
Barikiweni mno watu wa Mungu aishiye mahali pa juu mno.
Amen
Amen 🙏 MUNGU awabariki
Hii hali ya kugombezana sabato sio nzuri 😢
hatujagombezana.... walikataa tujadili trinity kwa kanisa wanatuita chemba
@@DavidSafari-hi5ki Mungeachana nao kwa upole
Matendo ya Mitume 18:4 [4]Akatoa hoja zake katika sinagogi kila sabato, akajaribu kuwavuta Wayahudi na Wayunani. And he reasoned in the synagogue every sabbath, and persuaded the Jews and the Greeks.
@@DavidSafari-hi5ki mimi sijaona mkitoa hoja isipokuwa ni kutupiana maneno na kulaumiana na hakuna mpangilio wowote
Hoja itatolewaje na walikua wanakataa.... unafaa uelewe kwanza before uongeee...... anuani hapo nimeandika nini
David acha hasira kwanza oa mke ndio ujifunze kunyenyekea
haujui hasira wewe
Siku ya sabato sio ya mijadala ya kugombezana bali lesson tu ya kijifunza.......
@@KatanaCharo-q5f Matendo ya Mitume 18:4 [4]Akatoa hoja zake katika sinagogi kila sabato, akajaribu kuwavuta Wayahudi na Wayunani. And he reasoned in the synagogue every sabbath, and persuaded the Jews and the Greeks.
@@KatanaCharo-q5f wewe bado unaamini wasabato wanafaa kujifunza lesson zinazoandikwa na majesuits wakati Biblia inasema watakatifu wanaamini neno la Mungu(Biblia) na roho ya unabii (ufunuo 19:10) tafuta ukweli
Mnasema mlijitenga na magugu,angalia kibanzi vizuri.
Tunajitenga na makanisa yote ambayo yanaenda kinyume na neno la Mungu hata Yesu alijitenga na Mafarisayo na masadukayo waliokuwa hawako tayari kufuata kweli
amen
Sasa tangu mjitenge na wale mnaowaita mangungu nyie ni safi sasa!!!!!!!??????
Tunajitenga na madhehebu yalioasi Mungu
point yako ni gani
Kama ninyi ni ngano ,mlijitenga na magugu
Mnaongea na hasira sana nyie off shut.tulizeni hasira
Katana charo maana ya OFFSHOOT ni nini kulingana na Biblia kaka
barikiwa sana mtumishi
Barikiweni sana watu wa MUNGU
Isaya 58:1 [1]Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Cry aloud, spare not, lift up thy voice like a trumpet, and shew my people their transgression, and the house of Jacob their sins.
Amen amen amen ..... brother katana
Wow 😊😊barikiwani sana
Huyu David ungeachana naye ukafuata wale tuliongea huyu atakuzungusha tu na ukweli anajua
subscribe na share
Amen
Amen
❤ Barikiweni watumishi
Amen
Amen mbarikiwe xana
subscribe na share
Amen
barikiwa sana mtumishi wa mungu❤
tuendelee kubarikiwa sana watu wa MUNGU
yeyote anayefuatilia hii channel, subscribe na share pia kwa wengine ili tuendelee kujifunza kwa pamoja na mungu atubariki
Barikiweni watu wangu Mungu. Neema ya Mungu iwatoshe
Amina. Mbarikiwe Sana watu wa Mungu
subscribe na share
Mmeimba vizuri sana barikiweni naona kina Mwanaidi wamewa join iyo ni vizuri muendelee ivo ivo❤
Barikiweni sana watu wa mungu... muendelee kushikilia ukweli huo huo❤
Amen ❤❤❤
Amen
Barikiwa sana mtumishi
Huyu sio wewe ama ?
Amen mbarikiwe
Amina,inapendeza sana
kaz nzuri mwalimu