- Видео 1
- Просмотров 105 367
YAO OG SIMULIZI
Добавлен 6 июл 2021
THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
#mtumemohammad #thestorybook #islamicreligion
THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
SUBSCRIBE NOW. THANKS
THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
SUBSCRIBE NOW. THANKS
Просмотров: 105 433
I was looking for story Mohamed now I'm Muslim
Amin❤
jaman naomben mnisaidie kuandika hilo jina la babu yake mtume please 🙏🙏
Abdul Mutwalib
@SalmaDadi-gv2dq asantee hv kuna hilo na abutwalb au hili limekosew
Usiichore picha kufananisha na mtume wa Mungu
Nikweli. Picha yenyewe ni mbaya kabisa😂
Histori nzuri ira umekosea kutuekea picha izo sisi utuabudu picha
Simuliz nzuri mashaallah ila naomba uondoe picha tafadhali
Eeee uo ni uongooo Tena. Niuongooo , ee ety huyo ⭐🌙🗽🌔 malaika ,. Na Ako kamiyungu kake kadogo kamuwamedii wa 666 , noma sana ebu Okokenii nyie WASILAMU wote ulimwenguu maana YESU 🌄⛪🕊️🙏 Mkombozi wenu hanawapendenii Tena Ayo mambo ya muwamedii ni ya kishetani, mujue ukweliii
Kumbe sio mfanyabiashara wa madina alieolewa na mwanamke anae mzid umri mmmmh kumbe story inabadilika
acheni ukoloni mnamshupalia mtoa cmulizi kwadini zawatu uislam dini ya mwarabu acheni umbumbumbu
tatizo waislam elimu imetupta sasa kunshdagani kufundishwa kwapcha
❤❤❤❤❤❤❤
Allahu akhbaruu
Ndio maana yesu aliongea kwa mfano
Futa picture
Toa picture tafadhali
🙏
Allah akujaalie uendelee kusimulia hadithi mbalimbali
TUNATAKA hizo picha uzitoe unazozinasibisha na kipenz chetu Muhammad s.a.w
sawaisitoria rakini III mfano yapinca sivizuri umekosea
imwenye zii mungu tunakuwomba waisiramu wote uwong-oze katika mahaadiri myema amina
Hajasema kuwa aliolewa na mwanamke madina
Nani kakuruhusu kutoa hiyo historia?
Kwanini unaweka picha ya mtu mwingine na historia ni mtu mwingine unafeli jitathimin kwanza acha mzaa na dini
Msenge ww
Murongo
Toa hizo picha mara moja
Ujumbe mnzuri mashaallah,lakini hiyo picha humeitoa wapi na ni yanani
Nabi alsi, Sam shamoun, Nabeel Qureshi utajua historia kamili alikua apiga Safari za wafanyi biashara, kuoa binti wa miaka tisa kuoa bibi ya zaid zainabu
Simulizi nzuli ipokua sisi Hatupendi picha ungeweka kitabu cha allaa ingetosha
❤
Hatutaki picha ni harumu kwetu
S❤A❤W
Wewe ni muongo
SASA HIZO PICHA PICHA ZA NINI NDO NANI HUYO
Hakuna kitu unacho kijua,, acha kutudangan
🚫🚫🚫🚫🚫
Hii sio sawa....hizo picha hazitakiwi.....
Qur'an ndio history tosha kila kitu kishabainika history itabaki history tu namaanisha ndoyale binadamu wakwanza alikua sokwe au gorilla nasio Nabii Adam (AS) tusomeni dini yetu tuwache kuburuzwa asili ya history ni uongo....
Jamani mtu akijitolea kutoa hadithi ya aina yoyote msimtukane ndugu.hawa wote wanatafuta riziki jamani n kama kosa niizo picha,nataka mniambie nani alimuona mtu yeyote yule tokea Adam paka Mohammad( S.W.A.)chungeni maneno yenu mn izo picha pia nimifano km wanavyotoa watu kwa mitume myengine.
Allah akupe ubunifu zaidi mwalimu ili uweze kutujuza hadithi mbalimbali insha'Allah ❤
Wewe ni kafiri usie na adabu,kwanza twaharisha kinywa chako upate ufasaha wa kuongea,halafu toa hizo sanamu mnazotumia kufanyia inada sie kwetu hatuna,kisha jifunze uislamu ndio upate kumjua unaemuongelea hapo maana asiyekujua hakuthamini, halafu sio kila kitu lazima ukiongelee mengine yakupite maana huyawezi,hovyoo
hii hadithi ni sahihi?
Kafiri mkubwa
Umesahau kusema alioa khadija akiwa na miaka 40 naye Muhammad akiwa na 25. Akaoa aisha akiwa na miaka 54 wakati aisha alikuwa miaka 6, na kufanya naye ngono akiwa miaka 9. Alikuwa mtoto hajapata hedhi, alikuwa akicheza na midoli. Pia alikuwa akipewa asilimia ishirini kwa Mia ya walichokipata vitani. Alikuwa na wake kumi na watatu kwa ujumla. Alifanya mapenzi na Maria kama hajamuoa akafumaniwa na bibiye. Alimchukua zaynab kutoka kwa zaiyd. Alikuwa mke wa zaiyd kabla ya kumtamani. Baada ya kuua Familia ya Sofia pamoja na mumewe Maria, alimuona masaa mawili badaye na kufanya naye ngono. Yani historia ya mtu me niulize mimi ninayeishi medina nitakueleza kwa kina. Alikuwa sio mtu me ila dikteta, wizi nwa mavabu, mnajisi, mbakaji.
Weye nilatulayi kabisa
Haujui unacho sema Bora tu unyamaze
@@KomboNyanje-b9w Sema uongo mmoja ambao nimesema na nitaleta hadith ama quran verse to proove
Muongo mkubwa
@@nasrasheikh1020 kama upi? If you can't point out one lie you are the lyer
Umefanya makosa makumbwa sana kueka picha ikiwezekana itoe hii video haraka
Makala nzuri sana isipokuwa kuweka hizo picha za mfano tu.
alisoma vtabu vya kiisilamu na kuigiza ili kuwaelimisha waislamu wenzake msi mzonge na maswal mwenzemu
Sasa kwanini mnasema afute picha sindoushahidi uo na kuamini kuwa alikuwepo au 🙄 kwaiyo nyie mkifa hamutaki kuacha picha wajuukuu wawatoto wenu wasiwaone? 🙄😂
Hiyo ni Imani yenu sio yetu
Mukristo huo
The story book
The book